Hiv hii shule kimazingira ya kiufundishaj kuanzia uwepo wa waalim,na nyenzo zingine za ufundishaj ziko vip??na vip kuhusu mazingira yana ushawish?na maisha ya pale kwa ujumla?nimechaguliwa hapo A LEVEL PCB naomben ushauri wenu!!ila bado sijareport coz of sam matatizo hiv ambayo bado napambana nayo nimeshatuma EXCUSE na wamekubali kunipa mda kidogo wa kureport!
ANGALIZO:KAMA HUNA CHCHOTE CHA KUCHANGIA BETTER UIACHE HII THREAD KAMA ILIVYO USTAARAB WA KUELIMISHAMANA PLUS MATURITY NDO NYENZO MUHIM ZINAZOHITAJIKA KWENYE HII THREAD!

Reply With Quote


Follow Us Here