Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Tujikumbushe tuition za ukweli enzi hizo tukiwa madenti

    Report Post
    Page 4 of 6 FirstFirst ... 23456 LastLast
    Results 61 to 80 of 114
    1. #1
      Ta Kamugisha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th May 2011
      Posts : 1,043
      Rep Power : 3608
      Likes Received
      268
      Likes Given
      23

      Default Tujikumbushe tuition za ukweli enzi hizo tukiwa madenti

      Wakati uleeee tukisoma, kulikuwa na Tuition moja ipo pale Mwenge nyuma ya Nakiete Phamacy (MAPAMBANO TUITION CENTRE) Nakumbuka kipindi kile wanafundisha wakina Selemani matipa, Magnus kibonde a.k.a P Didy, Mussa Detebha na wengine wengi nimewasahau, kwanza tulianzia pale karibia na Magorofa ya jeshi Mwenge kwa Mzee mmoja alikuwa anaitwa Mzee Chilumba ndo tukahamia nyuma ya Nakiete Phamacy. Enzi hizo vijana tulikuwa tunasoma si mchezo, kwanza palikuwa na ushindani wa shule kwa shule ili shule yako iwe ya kwanza lazima ushike No. 1. Palikuwa hapatoshi jamani siku ya pepa. Kipindi hiko Makongo ipo chini ya Kipingu, ilikuwa makongo ya ukweli si kama ilivyo sasa Palikuwepo na vijana kama Kamna Shomari, Alex mavika, Daudi Bupilipili, Pale Forodhani nawakumbuka wakina Shabani kingazi kwa sasa ni dr, Big Noise, Jangwani namkumbuka Nanzoke Mvungi sijui yuko wapi, Mzumbe namkumbuka Benjamini kamala kwasasa ni dr, Loyola namkumbuka Mtabazi, Azania nimewasahau, kibasila nimeawsahau ila walikuwepo sana tu pamoja na zanaki, Watu walikuwa wanajituma kichizi, Tegeta namkumbuka Datius Mshala kwasasa ni pirot! Azania ilikuwa si mchezo, Pugu nao walikuwepo, Kibasila. Forodhani, Kisutu, Jangwani, Royola, Tegeta na Jitegemee kwa mbali ingawa walikuwa wanakimbia pepa kwa sana. Namkumbuka mdada mmoja wa jangwani alikuwa anaitwa Nanzoke alikuwa ni noma kwa Mathematics! Makongo ilikuwa inabebwa na vijana wa pure mathematics. Kimbembe kilikuwa wakati wa likizo, wakija wale waliobalikiwa kiakili yaani Mzumbe, Ilboru na Kibaha + Tabora Boyz. Hawa jamaa tulikuwa tunashindana nao mpaka kinaeleweka ingawa kiukweli walikuwa juu sana. Kwa sasa nashangaa vijana hawajitumi wanafeli kila kukicha, hakuna ushindani tena baina ya shule na shule! Enzi zetu tulikuwa tunasoma si mchezo jamani ndo maana tupo hapa tulipo au wewe ulipo au nakosea?

      Ebu na wewe tukumbushe Tuition yako, bila kusahau zile za ubungo, Mchikichini nk.

      Naomba kuwasilisha.
      Last edited by Ta Kamugisha; 27th July 2012 at 15:58.
      Saint Ivuga and kuberwa like this.

    2. Miaka 50

    3. #61
      jchofachogenda's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th January 2012
      Posts : 470
      Rep Power : 466
      Likes Received
      64
      Likes Given
      26

      Default Re: Tujikumbushe tuition za ukweli enzi hizo tukiwa madenti

      Najuta kwanini nilichelewa kuingia Jamii forum, kuna raha ya ajabu. Mnanikumbusha mbali sana, mimi nataja tuisheni za shule ya msingi kwa kuwa mliotangulia mmetaja tuishweni zote za sekondari. Mitaa ya Sinza kuna ticha alikuwa anaitwa MT (Mtaalam) huyu alipata sifa sana ya kufaulisha wanafunzi wa darasa la saba. Mitaa ya Mburahati kuna ticha alikuwa anaitwa Dan, nae huyu alikuwa noma.Alikuwa na uwezo wa kumpandisha mwanafunzi kutoka maksi 20/50 akakuwezesha hadi ukapata fisi (50/50). Mitaa ya Mabibo kulikuwa na ticha aitwae Ibunga Boni, ngoja niwape mikasa ya huyu mtu. Huyu ticha alishawahi kugombana na ticha mwenzake(MT) baada ya kutunga swali la kumkashifu kwenye mtihani. Mkasa mwingine wa huyu ticha ni kwamba alishawahi kumpa ujauzito mwanafunzi wake na skendo hii iliwahi kutoka kwenye gazeti la Alasiri. Wazazi wa yule binti wakamsusia bwana Ibunga na akajichukulia mzigo kiulaini. Pamoja na mikasa yote hii huyu ticha alikuwa na sifa moja kubwa. Alikuwa mtaalamu wa kutunga mitihani ya kila wiki yenye ubora wa hali ya juu. Kingine ninachokumbuka alikuwa anawandikia wanafunzi wanaofaulu mitihani kwake shule za sekondari watakazokwenda. Mfano anakuandikia utakwenda Azania,mbinu hii ilimsaidia kupata wanafunzi wengi wanaofanya mitihani kwake. Kwa wanafunzi waliosoma shule za msingi za Manispaa ya kinondoni watakuwa wanawakumbuka sana hawa watu.
      Osaka likes this.

    4. #62
      Ta Kamugisha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th May 2011
      Posts : 1,043
      Rep Power : 3608
      Likes Received
      268
      Likes Given
      23

      Default Re: Tujikumbushe tuition za ukweli enzi hizo tukiwa madenti

      Quote By senetor07
      afu unakuta pamoja na kupoteza muda huko tution,mwishowe wakaambulia vdivshen 3 na 4.
      Tutake radhi Kijana, tungekuwa na Div 3 au 4 tusingekuwa tumekalia hivi viti vya kuzunguka
      Osaka likes this.
      " UOGA WAKO NDO UMASIKINI WAKO"

    5. #63
      Companero's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th July 2008
      Posts : 4,755
      Rep Power : 6504
      Likes Received
      955
      Likes Given
      1107

      Default Re: Tujikumbushe tuition za ukweli enzi hizo tukiwa madenti

      Quote By patience96
      Mkuu Companero umenikumbusha lile book kubwa lenye cover ya rangi ya manjano: 'University Physics'. Looh, lile book lilikuwa ma maswali magumu kweli kweli.
      Lile buku lilikuwa noma, halafu tulikuwa tunatumia toleo la 3 au 4 kama sikosei - kufika chuo nikakuta wanatumia toleo la 7!
      Osaka likes this.
      "Each generation must, out of relative obscurity, discover its mission, fulfil it, or betray it"/Kila kizazi, katika utata wa kipindi chake, lazima kiutambue wajibu wake na kiutekeleze au kiusaliti - Frantz Fanon

    6. #64
      Companero's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th July 2008
      Posts : 4,755
      Rep Power : 6504
      Likes Received
      955
      Likes Given
      1107

      Default Re: Tujikumbushe tuition za ukweli enzi hizo tukiwa madenti

      Quote By Old-Timer
      Busanji huyo, So much alikua anamponda sana.
      Du wazee mna kumbukumbu, si mchezo !

      PS. Pale Tambaza kulikuwa na ticha wa namba alikuwa na jina zuri hivi la King'eng'e ila nalo limenitoka!
      "Each generation must, out of relative obscurity, discover its mission, fulfil it, or betray it"/Kila kizazi, katika utata wa kipindi chake, lazima kiutambue wajibu wake na kiutekeleze au kiusaliti - Frantz Fanon

    7. #65
      Companero's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th July 2008
      Posts : 4,755
      Rep Power : 6504
      Likes Received
      955
      Likes Given
      1107

      Default Re: Tujikumbushe tuition za ukweli enzi hizo tukiwa madenti

      Quote By Mwalu
      nili enjoy physics ya kazibure! The guy was a saint sent from above!
      unakumbuka alivyokuwa anachora michoro ya bernoulli theorem ubaoni, yaani ilikuwa kama ya kwenye vitabu !
      Osaka likes this.
      "Each generation must, out of relative obscurity, discover its mission, fulfil it, or betray it"/Kila kizazi, katika utata wa kipindi chake, lazima kiutambue wajibu wake na kiutekeleze au kiusaliti - Frantz Fanon

    8. RukaaJuu Final

    9. #66
      Companero's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th July 2008
      Posts : 4,755
      Rep Power : 6504
      Likes Received
      955
      Likes Given
      1107

      Default Re: Tujikumbushe tuition za ukweli enzi hizo tukiwa madenti

      kule sinza karibu na shule ya ubungo national housing nako kulikuwa na twisheni kali za o-level, nimesahau majina ya maticha!
      "Each generation must, out of relative obscurity, discover its mission, fulfil it, or betray it"/Kila kizazi, katika utata wa kipindi chake, lazima kiutambue wajibu wake na kiutekeleze au kiusaliti - Frantz Fanon

    10. #67
      Pitz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th February 2011
      Posts : 4,969
      Rep Power : 1411
      Likes Received
      519
      Likes Given
      48

      Default

      Quote By Ta Kamugisha
      Tutake radhi Kijana, tungekuwa na Div 3 au 4 tusingekuwa tumekalia hivi viti vya kuzunguka
      hah hah hah,haya mkuu,mko juu.
      Osaka likes this.

    11. #68
      don-oba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th December 2011
      Posts : 746
      Rep Power : 526
      Likes Received
      257
      Likes Given
      32

      Default Re: Tujikumbushe tuition za ukweli enzi hizo tukiwa madenti

      Kwa Ustaadh, nime tuit pale hadi unapewa kanda na kaseti kusikiliza nondo. Alikua akichambua lile pamphlet la Kadhege hadi raha. Tegeta pale kulikuwa na mwl Simon sijui sikuhizi yuko wapi. Makongo Nyambizi pale ila kipindi cha likizo. Yuko wapi chai jaba? Ha ha ha kweli watu sikuhz hawasomi.
      Osaka likes this.

    12. #69
      Sigma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th February 2011
      Location : The 2nd House on the Left
      Posts : 4,281
      Rep Power : 1337
      Likes Received
      918
      Likes Given
      620

      Default Re: Tujikumbushe tuition za ukweli enzi hizo tukiwa madenti

      Makumaku
      ...------------------------------------------------.---------------------------------------------------------------------..Rather Kill a FRIEND than Risk Missing an ENEMY

    13. #70
      giraffe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th June 2010
      Posts : 300
      Rep Power : 515
      Likes Received
      18
      Likes Given
      15

      Default Re: Tujikumbushe tuition za ukweli enzi hizo tukiwa madenti

      ubungo national housing jamaa mmoja alikuwa anaitwa mode,tulianzia maeneo ya kombozi pmrimary manzese , jamaa siku hizi anafanya kazi Tanesco.
      Companero likes this.

    14. #71
      Osaka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st June 2011
      Location : Morogoro
      Posts : 1,098
      Rep Power : 620
      Likes Received
      269
      Likes Given
      162

      Default Re: Tujikumbushe tuition za ukweli enzi hizo tukiwa madenti

      Quote By Companero
      Lile buku lilikuwa noma, halafu tulikuwa tunatumia toleo la 3 au 4 kama sikosei - kufika chuo nikakuta wanatumia toleo la 7!
      Kazi kweli kweli, mmenikumbusha mbali wakuu!
      Companero likes this.
      Darkness can not drive out darkness; only light can do that. Hate can not drive out hate; only LOVE can do that.

    15. #72
      Osaka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st June 2011
      Location : Morogoro
      Posts : 1,098
      Rep Power : 620
      Likes Received
      269
      Likes Given
      162

      Default Re: Tujikumbushe tuition za ukweli enzi hizo tukiwa madenti

      Quote By Companero
      unakumbuka alivyokuwa anachora michoro ya bernoulli theorem ubaoni, yaani ilikuwa kama ya kwenye vitabu !
      Huyu mzee Kazibure, miaka ya nyuma kipindi cha Mwl. Nyerere, alikuwa Mkurugenzi wa RTD, alifanya mistake moja, Mwl. nyerere akamtimua. Kisa cha kwenda kushika chaki pale Kibaha Sekondary ni Huyu Kambarage! Kazibure ametufikisha hapa tulipo sasa!!!
      Companero likes this.
      Darkness can not drive out darkness; only light can do that. Hate can not drive out hate; only LOVE can do that.

    16. #73
      NYENJENKURU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th February 2011
      Location : Tanganyika Masagati
      Posts : 936
      Rep Power : 607
      Likes Received
      182
      Likes Given
      359

      Default Re: Tujikumbushe tuition za ukweli enzi hizo tukiwa madenti

      [QUOTE=Sigma;3334492]Unamjua "Mwl So Much"[/QUOTE]
      So Much mtaalamu wa Adv Math and Chemisrty pia alikuwa na msemo wake University siyo choo kila mtu anaweza kuingia wakati huo Watu wanaingia UDSM(2000 tu kwa mwaka UDSM).Pia kwa PHYSCIS alikuwa mzee Kazibure...
      Jamani CCM hamshibi?Mnataka kula mpaka ukoko jamani?2015 byeeeeeeeeeee.

    17. #74
      NYENJENKURU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th February 2011
      Location : Tanganyika Masagati
      Posts : 936
      Rep Power : 607
      Likes Received
      182
      Likes Given
      359

      Default Re: Tujikumbushe tuition za ukweli enzi hizo tukiwa madenti

      Quote By patience96
      Namkumbuka Mwl So much akifundisha tuition Azania lile darsa la mwisho karibu na fensi ya Muhimbili. Alikuwa akishusha organic chemistry si mchezo! Pia Mzee Kazibure (RIP) akitoka Kibaha Sec. Ni kipindi hiki Mzee Ruksa akiwa Prezda wetu alipopata skendo ya kwenda kuangalia 'Isambe' wakti Madaktari wa Muhimbili wamegoma!
      Wewe sasa tulisoma darasa moja AZANIA......Unawakumbuka wakina Lukaza,Mjuni,Wale mapacha wa kipare...Aswime kabunga,Mzee wa Kambi,Limamba Evarist,Kirungi Luteganya ,Anord Nzali,Aristoto Mushi,Lusajo Mwakyusa,Josephat Kyaruzi,Mabwai,Akida Mussa,eeee wanatosha,,,eeeh Rweyemamu mdogo ns mkubwa?Substance Geofrey Bakanga...eeeee
      Jamani CCM hamshibi?Mnataka kula mpaka ukoko jamani?2015 byeeeeeeeeeee.

    18. #75
      Billie's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th August 2011
      Posts : 1,741
      Rep Power : 802
      Likes Received
      444
      Likes Given
      186

      Default Re: Tujikumbushe tuition za ukweli enzi hizo tukiwa madenti

      Mudi mmarekan kichwa cha Physics matata ebana navua kofia kwa m2 huyu LUKINGA practical za physics KIBIRITI practical ya Chemia pale Pugu.

    19. #76
      CHOTA CHOTA's Avatar
      Member Array
      Join Date : 15th February 2012
      Posts : 16
      Rep Power : 370
      Likes Received
      4
      Likes Given
      7

      Default Re: Tujikumbushe tuition za ukweli enzi hizo tukiwa madenti

      Quote By Ta Kamugisha
      Wakati uleeee tukisoma, kulikuwa na Tuition moja ipo pale Mwenge nyuma ya Nakiete Phamacy (MAPAMBANO TUITION CENTRE) Nakumbuka kipindi kile wanafundisha wakina Selemani matipa, Magnus kibonde a.k.a P Didy, Mussa Detebha na wengine wengi nimewasahau, kwanza tulianzia pale karibia na Magorofa ya jeshi Mwenge kwa Mzee mmoja alikuwa anaitwa Mzee Chilumba ndo tukahamia nyuma ya Nakiete Phamacy. Enzi hizo vijana tulikuwa tunasoma si mchezo, kwanza palikuwa na ushindani wa shule kwa shule ili shule yako iwe ya kwanza lazima ushike No. 1. Palikuwa hapatoshi jamani siku ya pepa. Kipindi hiko Makongo ipo chini ya Kipingu, ilikuwa makongo ya ukweli si kama ilivyo sasa! Azania ilikuwa si mchezo, Pugu nao walikuwepo, Kibasila. Forodhani, Kisutu, Jangwani, Royola, Tegeta na Jitegemee kwa mbali ingawa walikuwa wanakimbia pepa kwa sana. Namkumbuka mdada mmoja wa jangwani alikuwa anaitwa Nanzoke alikuwa ni noma kwa Mathematics! Makongo ilikuwa inabebwa na vijana wa pure mathematics. Kimbembe kilikuwa wakati wa likizo, wakija wale waliobalikiwa kiakili yaani Mzumbe, Ilboru na Kibaha + Tabora Boyz. Hawa jamaa tulikuwa tunashindana nao mpaka kinaeleweka ingawa kiukweli walikuwa juu sana. Kwa sasa nashangaa vijana hawajitumi wanafeli kila kukicha, hakuna ushindani tena baina ya shule na shule! Enzi zetu tulikuwa tunasoma si mchezo jamani ndo maana tupo hapa tulipo au wewe ulipo au nakosea?

      Ebu na wewe tukumbushe Tuition yako, bila kusahau zile za ubungo, Mchikichini nk.

      Naomba kuwasilisha.
      Ndugu yangu wakati huo Jitegemee (JITE) ilikuwa noma sana, nakumbuka ilikuwa mwaka 1999 walitoa vichwa zaidi ya 5 kwenda special school, hiyo bunch ilikuwa noma sana kuna mchizi mmoja alikuwa anaitwa Golota, huyu mchizi alikuwa amekuwa akiwa wa kwanza katika miaka yake yote alipokuwa hapo, alikuwa akisoma bure muda wote kwa kuwa wakati huo wanafunzi wanaofanya vizuri shuleni hapo kwa kuwa wa kwanza, katika mikondo yote walikuwa wanapata ofa ya kusoma bure, so msela alisoma bure miaka yote 4 . Mara ya mwisho nilikutanana naye Muhimbili akiwa Daktari. Jitegemee wakati huo ilikuwa ni nimo sana. Imetoa vichwa, nilikutana na msela mmoja tuliyesoma naye akaniambia hile bunch ya 1999 imetoa Madaktari 5. wote hao walikuwa wanasoma tuition kwa Mudi na Babangida Mchikichini. Sijui sasa JITE pakoje kwasababu kitambo sana.
      Last edited by CHOTA CHOTA; 18th February 2012 at 20:11.

    20. #77
      Ta Kamugisha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th May 2011
      Posts : 1,043
      Rep Power : 3608
      Likes Received
      268
      Likes Given
      23

      Default Re: Tujikumbushe tuition za ukweli enzi hizo tukiwa madenti

      Quote By C programming
      mapambano ilikuwa tution ya matozi na wauza sura.......halafu ilikuwa haitoi product za ukweli kitu mchikichini pindi sh.100 kwa aiden ilikkuwa noma mpaka vijana walikuwa wanazimia kwa jotoooo
      Kijana haujui unalosema, hao wote niliokuandikia hapo juu ni product ya Mapambano na wengi wao ni Madoctor, Ebu futa kauli yako maana umedhalilisha kiti changu cha kuzunguka nilichokalia hapa
      " UOGA WAKO NDO UMASIKINI WAKO"

    21. #78
      Ta Kamugisha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th May 2011
      Posts : 1,043
      Rep Power : 3608
      Likes Received
      268
      Likes Given
      23

      Default Re: Tujikumbushe tuition za ukweli enzi hizo tukiwa madenti

      Quote By CHOTA CHOTA
      Ndugu yangu wakati huo Jitegemee (JITE) ilikuwa noma sana, nakumbuka ilikuwa mwaka 1999 walitoa vichwa zaidi ya 5 kwenda special school, hiyo bunch ilikuwa noma sana kuna mchizi mmoja alikuwa anaitwa Goloka, huyu mchizi alikuwa amekuwa akiwa wa kwanza katika miaka yake yote alipokuwa hapo, alikuwa akisoma bure muda wote kwa kuwa wakati huo wanafunzi wanaofanya vizuri shuleni hapo kwa kuwa wa kwanza, katika mikondo yote walikuwa wanapata ofa ya kusoma bure, so msela alisoma bure miaka yote 4 . Mara ya mwisho nilikutanana naye Muhimbili akiwa Daktari. Jitegemee wakati huo ilikuwa ni nimo sana. Imetoa vichwa, nilikutana na msela mmoja tuliyesoma naye akaniambia hile bunch ya 1999 imetoa Madaktari 5. wote hao walikuwa wanasoma tuition kwa Mudi na Babangida Mchikichini. Sijui sasa JITE pakoje kwasababu kitambo sana.
      JITE ya Masawe imetoweka kaka imabakia ya kutoa Div 3, 4 na 0 tu
      " UOGA WAKO NDO UMASIKINI WAKO"

    22. #79
      Ta Kamugisha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th May 2011
      Posts : 1,043
      Rep Power : 3608
      Likes Received
      268
      Likes Given
      23

      Default Re: Tujikumbushe tuition za ukweli enzi hizo tukiwa madenti

      Quote By jchofachogenda
      Najuta kwanini nilichelewa kuingia Jamii forum, kuna raha ya ajabu. Mnanikumbusha mbali sana, mimi nataja tuisheni za shule ya msingi kwa kuwa mliotangulia mmetaja tuishweni zote za sekondari. Mitaa ya Sinza kuna ticha alikuwa anaitwa MT (Mtaalam) huyu alipata sifa sana ya kufaulisha wanafunzi wa darasa la saba. Mitaa ya Mburahati kuna ticha alikuwa anaitwa Dan, nae huyu alikuwa noma.Alikuwa na uwezo wa kumpandisha mwanafunzi kutoka maksi 20/50 akakuwezesha hadi ukapata fisi (50/50). Mitaa ya Mabibo kulikuwa na ticha aitwae Ibunga Boni, ngoja niwape mikasa ya huyu mtu. Huyu ticha alishawahi kugombana na ticha mwenzake(MT) baada ya kutunga swali la kumkashifu kwenye mtihani. Mkasa mwingine wa huyu ticha ni kwamba alishawahi kumpa ujauzito mwanafunzi wake na skendo hii iliwahi kutoka kwenye gazeti la Alasiri. Wazazi wa yule binti wakamsusia bwana Ibunga na akajichukulia mzigo kiulaini. Pamoja na mikasa yote hii huyu ticha alikuwa na sifa moja kubwa. Alikuwa mtaalamu wa kutunga mitihani ya kila wiki yenye ubora wa hali ya juu. Kingine ninachokumbuka alikuwa anawandikia wanafunzi wanaofaulu mitihani kwake shule za sekondari watakazokwenda. Mfano anakuandikia utakwenda Azania,mbinu hii ilimsaidia kupata wanafunzi wengi wanaofanya mitihani kwake. Kwa wanafunzi waliosoma shule za msingi za Manispaa ya kinondoni watakuwa wanawakumbuka sana hawa watu.
      Umenikumbusha mbali sana hata mimi nisoma kwa MT, alikuwa noma we hacha tu.
      " UOGA WAKO NDO UMASIKINI WAKO"

    23. #80
      dora's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 5th June 2010
      Posts : 158
      Rep Power : 486
      Likes Received
      48
      Likes Given
      50

      Default Re: Tujikumbushe tuition za ukweli enzi hizo tukiwa madenti

      Mwl Machagga- A leve physisc. alikuwa mwl wa Kibaha ila anafundisha tuition Jangwani weekend.
      Mwl Ngalawa(RIP)- std 7 Math tuition Oysterbay primary

    Page 4 of 6 FirstFirst ... 23456 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...