Jukwaa la Elimu (Education Forum)Educational discussions in here... If you have some College/School materials and you wanna give them to your fellows pls do that favour to them. Let them get educated here! Become a Member to enjoy more stuffs
Kwa wale Ilborins Mnakumbuka hii Misamiati jamani?
KITEI = Kipunga Iva Tule Elimu Inatungoja (Wali)
CHUI = CHUkua chako Iboru (Ugali aka Bondo)
SUMU = Haya yalikuwa Makande
Half Life = Jina Maarufu la kiporo hasa cha SUMU au KIETI ( tulikuwa tunachanganya na Uji)
Umenyeni = Kijiji around Ilboru
Baghdad = Hii siikumbuki mwenye kukumbuka anikumbushie
Golgota = Huu ni Ukumbi juu ya Maktaba ambapo ndipo NECTA inafanyika
Mtego = Chandarua
KUKU = Kalale Upitwe Kama Umesimama ( Usingizi)
Twiga = Sikumbuki
Kufufuka = Kuamka Ucku wa Manane
Bafu Kubwa = Eneo Chini ya Daraja ambako Vijana hupenda kwenda Kuoga
Chief = Mwalimu katili kabisa na mpenda sifa Losujaki ,sijui sasa hivi yuko wapi
Kite = Alikuwa headmaster , Kitemango
Enabo = Enaboishi, hii ni shule Fulani ambayo walikuwa hawaivi na Ngarenaro,totoz zilikuwa
zinagombania Ilborians
MTEGO= kideo cha Shule
KATARA= mtu ambaye alikuwa na kichwa kikali, anafananishwa na lile gari la shule la bluu
KWA MAMA BENII= kibanda ambacho baadhi ya member wanakula fegi
PICHI= uwanja wa mpira, kule kilimani karibu na Nyumba ya headmaster.
ILBORIASIS MSULIATA= scientific name ya mwana ilboru
__________________ Ni haki yangu kuukataa uwongo kama ilivyo wajibu wangu kuukubali ukweli ,itakuwa ni makosa makubwa kuukataa ukweli eti kwa vile siupendi-gamba la nyoka.
Kwa wale Ilborins Mnakumbuka hii Misamiati jamani?
KITEI = Kipunga Iva Tule Elimu Inatungoja (Wali)
CHUI = CHUkua chako Iboru (Ugali aka Bondo)
SUMU = Haya yalikuwa Makande
Half Life = Jina Maarufu la kiporo hasa cha SUMU au KIETI ( tulikuwa tunachanganya na Uji)
Umenyeni = Kijiji around Ilboru
Baghdad = Hii siikumbuki mwenye kukumbuka anikumbushie
Golgota = Huu ni Ukumbi juu ya Maktaba ambapo ndipo NECTA inafanyika
Mtego = Chandarua
KUKU = Kalale Upitwe Kama Umesimama ( Usingizi)
Twiga = Sikumbuki
Kufufuka = Kuamka Ucku wa Manane
Bafu Kubwa = Eneo Chini ya Daraja ambako Vijana hupenda kwenda Kuoga
Chief = Mwalimu katili kabisa na mpenda sifa Losujaki ,sijui sasa hivi yuko wapi
Kite = Alikuwa headmaster , Kitemango
Enabo = Enaboishi, hii ni shule Fulani ambayo walikuwa hawaivi na Ngarenaro,totoz zilikuwa
zinagombania Ilborians
Unakumbuka mikate ya "sunkista" pale kwa Loning'o? hv mama tonii bado anapika pilau kule chini? nasikia Shembilu alivuta je ni kweli? Kishuu na Geree bado wapo?
MTEGO= kideo cha Shule
KATARA= mtu ambaye alikuwa na kichwa kikali, anafananishwa na lile gari la shule la bluu
KWA MAMA BENII= kibanda ambacho baadhi ya member wanakula fegi
PICHI= uwanja wa mpira, kule kilimani karibu na Nyumba ya headmaster.
ILBORIASIS MSULIATA= scientific name ya mwana ilboru
Kuna siku Kite alifurahi na alikuwa na trip ya Dar wakati wa mid-term, basi wasee tukala trip ya Dar na Katara.....sikutegemea kama tungefika nalo, lakini mungu si Athumani!! Ilikuwa bonge la trip...
Nyie ndio mlikuwa na akili nyingi? nasikia mlikuwa/mapewa mitihani ndio maana vibanda vingi.....a'u dizaini watu waliosoma boys walikuwa wachafu kwa kukopa(kutokuoga)
Pugu Boysss mpooo? Mkandawile alikuwa anaponda sana,Pugu boys walikuwa hawamlipi hela ya tuition.
Wewe wewe weee;
Pale Meru tuliruka sana dirisha za Mzulu, sijui yuko wapi na zile suruali zake kama bado anakua!!... Utamu zaidi ni pale tukiwa "POND"... mtu unatembea na panadol shule nzima kutafuta nusu glasi ya maji ya kunywa!! ...na Mihogo ya Mze wa shamba (sijui mwanga yule!?)
MTEGO= kideo cha Shule
KATARA= mtu ambaye alikuwa na kichwa kikali, anafananishwa na lile gari la shule la bluu
KWA MAMA BENII= kibanda ambacho baadhi ya member wanakula fegi
PICHI= uwanja wa mpira, kule kilimani karibu na Nyumba ya headmaster. ILBORIASIS MSULIATA= scientific name ya mwana ilboru
Aisee hii imenichekesha sasa, hii nadhani ilikuja baadae. Sisi hatukuiacha.
Bravo G la N!
__________________
"To whom much is given, much is expected"
Umbwe walevi wa mbege tu....hawana mpango wowote!, enzi zetu tuliwaputa Machame Girls, Zoo na Ashira Girls! LOL, wakabaki kulialia tu...
Acha maneno bana...Mti safi tumewatesa sana nyie mpaka mkakimbia Weru Weru. Mkaanza kugombea watoto wa O'Level wa Machame Girls na competition yenu.. Lyamungo Sec.
Acha maneno bana...Mti safi tumewatesa sana nyie mpaka mkakimbia Weru Weru. Mkaanza kugombea watoto wa O'Level wa Machame Girls na competition yenu.. Lyamungo Sec.
hahahahahahahaha mbavu zangu!! bana Capitol Hill unaota, labda hiyo Ilboru nyingine...