| Find/Invite Friends | Register | Calendar | Search | Today's Posts | Mark Forums Read |
| FAQ | Members List | Bongo Flava | Zilipendwa | Taarab | Injili |
|
|
#1 | |||||||||||
|
||||||||||||
|
Views: 244
|
||||||||||||
|
#2
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
Kama ni nanasi hili hili tunalolijua linapandwa hivi;
Nanasi likisha toa tunda lake halifi,bali huto machipukizi (suckers),haya machipukizi hayatokei chini kama mgomba ufanyavyo bali yanatokea kama matawi kutoka ktk nanasi mama.Lile chipukizi huanza kutoa mizizi hata kabla halijaondolewa toka nanasi mama,lakini mizizi hiyo imefichwa na maganda. Kwa hiyo unachotakiwa kufanya ni kunyofoa chipukizi toka nanasi mama na kuondoa maganda yanayozuia mizizi isionekane, kisha unapanda ktk udongo kama tunavyopanda miche mingine. Nisamehe bure kama nimetoa maelezo yasiyotosheleza swali lako. |
|
#3
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
Unalijua nanasi lilivyo likiwa either shambani au sokoni? hebu lielezee ili iwe rahisi kukuelewesha jinsi ya kuliotesha.
__________________
|
|
#4
|
|||||||||||||||||||||||||||||||||||||
|
|||||||||||||||||||||||||||||||||||||
|
naona malila keshakujibu.
«
Previous Thread
|
Next Thread
»
Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako! All times are GMT +3. The time now is 04:47 PM.
Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com | |||||||||||||||||||||||||||||||||||||