kutokana na kile walichokiita ufisadi na uzembe wa serikali ya wanafunzi, uma wa udsm umeadhimia kuiondoa daruso rasmi kuanzia kesho,kwani tokea migomo na maandamano vianze daruso aijawai kushiriki..
Hadi sasa hali ni mbaya na tete maandamano mwanzo mwisho,vyakula vimeliwa bure cafeteria ile ya yombo.fimbo hadi vyumbani,waliokua madarasani saa 1 jioni (sasa hivi) wamepigika ile mbaya.kwa ufupi hapafai..

Reply With Quote

Follow Us Here