Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: St. Augustine university kutimua watoto wa masikini

    Report Post
    Results 1 to 19 of 19
    1. #1
      Kada Deya's Avatar
      Member Array
      Join Date : 8th November 2011
      Posts : 32
      Rep Power : 387
      Likes Received
      6
      Likes Given
      4

      Default St. Augustine university kutimua watoto wa masikini

      Chuo kikuu cha mtakatifu Agustino mwanza kina mpango wa kutimua watoto wote masikini, hii ni baada ya kupandisha faini ya waliochelewa kujisajili kwa asilimia 1000%, mwanzoni ilikuwa 10000 kwasasa ni 100000/= na kwamba asiyetoa hatafanya mitihani ilhali wanafahamu wengi wa wanaochelewa kulipa ada hiyo ni watoto wa masikini hawa jamaa wanaendesha watu wanavyotaka serikali iko wapi?

    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      Bobuk's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th October 2010
      Posts : 2,065
      Rep Power : 922
      Likes Received
      835
      Likes Given
      0

      Default Re: St.augustine university kutimua watoto wa masikini

      Kama ni kweli hawa RC nao wanakosa HURUMA kama mafundisho ya Yesu yanavyosema.
      Ninajua umuhimu wa kuweka faini kwa wale wote wanaochelewa kulipia hudma yeyote ile.
      Huwa tunalipa faini tunapochelewa ku-renew motor vehicle licence kodi za majengo na viwanja
      etc lakini faini ya 1000% is an imaginable.

      Tunaomba uongozi wa SAUT uwahurumie na kuwapenda hao watoto wa masikini kama
      yalivyo mafundisho ya Yesu Kristo.

    4. #3
      tzjamani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th October 2010
      Posts : 999
      Rep Power : 645
      Likes Received
      25
      Likes Given
      96

      Default Re: St.augustine university kutimua watoto wa masikini

      Tuanze na serikali ambayo inashindwa kujali watu wako wanaolipa kodi na kuwapigia kura.
      The more anger towards the past you carry in your heart, the less capable you are of loving in the present- Barbara De Angelis

    5. #4
      matungusha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th December 2010
      Location : Juu Ya Mti
      Posts : 528
      Rep Power : 535
      Likes Received
      92
      Likes Given
      197

      Default Re: St.augustine university kutimua watoto wa masikini

      cHiii ni kweli kabisaa mdogo wangu yupo pale second year alinistua sana aliponiambia alikua anadaiwa laki moja lakini alipokwenda kulipa wakamwambia atoe laki mbili kwa sababu amechelewa!!! Jaman mhasham Askof Rwaichi uko wapi???? this is totally unfair.
      Last edited by matungusha; 15th November 2011 at 09:13.
      Kada Deya likes this.

    6. #5
      C programming's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th November 2011
      Location : kenya
      Posts : 617
      Rep Power : 463
      Likes Received
      111
      Likes Given
      7

      Default Re: St.augustine university kutimua watoto wa masikini

      hiii nchi inaelekea wapi jamani

    7. Miaka 50

    8. #6
      chitambikwa's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 8th November 2010
      Location : KAISHO
      Posts : 3,169
      Rep Power : 1960
      Likes Received
      573
      Likes Given
      426

      Default Re: St.augustine university kutimua watoto wa masikini

      Siwezi kuwalaumu RC kwani wanafanya hivyo ili wanafunzi waone uovu na dhambi za serikali yao.
      IT IS TO THOSE WITHOUT TEETH GOD GIVES MEAT

    9. #7
      Mabagala's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2009
      Location : Nansio, Ukerewe
      Posts : 1,327
      Rep Power : 747
      Likes Received
      227
      Likes Given
      254

      Default Re: St.augustine university kutimua watoto wa masikini

      Asilimia 1000?!!!
      Promises are comfort to a fool

    10. #8
      Raia Fulani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th March 2009
      Posts : 9,256
      Rep Power : 2624
      Likes Received
      1293
      Likes Given
      834

      Default Re: St. Augustine university kutimua watoto wa masikini

      kwa nini wachelewe? Hilo ndilo tatizo la watanzania. Watangazie jambo la msingi leo na uwaambie mwisho ni tar 30/11/2011, utaona mijitu inajazana kuanzia tar 28. Nini maana ya semester? Wakawaulize waliosoma seminari ndo watajia nini maana ya punctuality

    11. #9
      matungusha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th December 2010
      Location : Juu Ya Mti
      Posts : 528
      Rep Power : 535
      Likes Received
      92
      Likes Given
      197

      Default Re: St. Augustine university kutimua watoto wa masikini

      Quote By Raia Fulani
      kwa nini wachelewe? Hilo ndilo tatizo la watanzania. Watangazie jambo la msingi leo na uwaambie mwisho ni tar 30/11/2011, utaona mijitu inajazana kuanzia tar 28. Nini maana ya semester? Wakawaulize waliosoma seminari ndo watajia nini maana ya punctuality
      Wanafunzi wengi wanategemea hela za bodi ya mikopo kulipia michango chuo sasa chuo kilifunguliwa september bodi wameto fedha za wanafunzi lkuanzia late october na mpaka sasa bado wanaendelea !!! Chua kilitangaza deadline during the first two weeks sasa ungetegemea huyu mtoto wa mkulima ambaye mzazi wake kazuiliwa kuuza mahidi nje ya nchi kwenye bei nzuri atoe wapi fedha za ku meet hiyo deadline!!! jaribu kujiweka nafasi ya mtoto maskini ndo utajua,
      Nzi likes this.

    12. #10
      Remote's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th May 2011
      Posts : 4,269
      Rep Power : 1360
      Likes Received
      950
      Likes Given
      182

      Default

      Quote By matungusha
      Wanafunzi wengi wanategemea hela za bodi ya mikopo kulipia michango chuo sasa chuo kilifunguliwa september bodi wameto fedha za wanafunzi lkuanzia late october na mpaka sasa bado wanaendelea !!! Chua kilitangaza deadline during the first two weeks sasa ungetegemea huyu mtoto wa mkulima ambaye mzazi wake kazuiliwa kuuza mahidi nje ya nchi kwenye bei nzuri atoe wapi fedha za ku meet hiyo deadline!!! jaribu kujiweka nafasi ya mtoto maskini ndo utajua,
      tuache unafiki kwa wale ambao hajapata mkopo na waliokuwa wanategemea pesa ya bodi kulipia ada ya kujisajili walivumiliwa na wakalipa na wale ambao bado bodi ya mikopo haijawalipa bado wanaendelea kuvumiliwa hadi hapo watakapopata pesa zao... Na kama wamepigwa ikiwa wana'case zfananazo na nilizoorodhesha hapo juu basi itakuwa hawajaujulisha uongoz wa chuo matatzo yao.

    13. #11
      matungusha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th December 2010
      Location : Juu Ya Mti
      Posts : 528
      Rep Power : 535
      Likes Received
      92
      Likes Given
      197

      Default Re: St. Augustine university kutimua watoto wa masikini

      Quote By Degedege
      tuache unafiki kwa wale ambao hajapata mkopo na waliokuwa wanategemea pesa ya bodi kulipia ada ya kujisajili walivumiliwa na wakalipa na wale ambao bado bodi ya mikopo haijawalipa bado wanaendelea kuvumiliwa hadi hapo watakapopata pesa zao... Na kama wamepigwa ikiwa wana'case zfananazo na nilizoorodhesha hapo juu basi itakuwa hawajaujulisha uongoz wa chuo matatzo yao.
      We ndo mnafiki mwanafunzi aliyenipa taarifa hizo ni mtu wa karibu sana na mimi na alikua ananiomba nimchangie hiyo penalt ya kuchelewa kulipa ada ilihali ndo mkopo wake ulikua umetoka bodi!!! labda kama wamebadilika jana but hadi kufikiaa ijumaa walikua bado na msimamo huo huo!!! ukitaka ushahidi zaidi tutakupa majina ya wanafunzi hao,tarehe walizopata mkopo,na tarehe walizokwenda kwa wahasibu kukamilisha madeni yao lakini wakatakiwa kulipia penalt..
      Kada Deya likes this.

    14. #12
      Mbugi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th January 2011
      Location : BOX 2063 MBEYA
      Posts : 818
      Rep Power : 587
      Likes Received
      83
      Likes Given
      13

      Default Re: St. Augustine university kutimua watoto wa masikini

      Quote By kada deya
      chuo kikuu cha mtakatifu agustino mwanza kina mpango wa kutimua watoto wote masikini, hii ni baada ya kupandisha faini ya waliochelewa kujisajili kwa asilimia 1000%, mwanzoni ilikuwa 10000 kwasasa ni 100000/= na kwamba asiyetoa hatafanya mitihani ilhali wanafahamu wengi wa wanaochelewa kulipa ada hiyo ni watoto wa masikini hawa jamaa wanaendesha watu wanavyotaka serikali iko wapi?
      umaskini siyo sifa, na wala siyo kinga ya kutofuata taratibu siye sote tumehangaika sana ktk harakati za kujitafutia elimu lakini shida na matatizo yetu hatuweka kwenye rambo nyeupe ili kila mtu aone

    15. #13
      doctorwasummary's Avatar
      Member Array
      Join Date : 27th July 2011
      Posts : 20
      Rep Power : 400
      Likes Received
      3
      Likes Given
      0

      Default Re: St. Augustine university kutimua watoto wa masikini

      Usulaumu mtu anayekukumbusha ulichotakiwa kufanya. Laumu mtu aliyesababisha ushindwe kutimiza wajibu wako kwa muda. Laumu serikali ya magamba ambayo imetufikisha hapa...tuipige mawe kwani sasa tumeelewa chanzo ni nini!

    16. #14
      Kada Deya's Avatar
      Member Array
      Join Date : 8th November 2011
      Posts : 32
      Rep Power : 387
      Likes Received
      6
      Likes Given
      4

      Default Re: St.augustine university kutimua watoto wa masikini

      Quote By chitambikwa
      Siwezi kuwalaumu RC kwani wanafanya hivyo ili wanafunzi waone uovu na dhambi za serikali yao.
      Unadhani nani anaumia sasa kwa hich kitendo chao?

    17. #15
      Kada Deya's Avatar
      Member Array
      Join Date : 8th November 2011
      Posts : 32
      Rep Power : 387
      Likes Received
      6
      Likes Given
      4

      Default Re: St.augustine university kutimua watoto wa masikini

      Quote By chitambikwa
      Siwezi kuwalaumu RC kwani wanafanya hivyo ili wanafunzi waone uovu na dhambi za serikali yao.
      Tusitumia kila kitu kama mtaji wa kisiasa, ni kweliserikali ina uovu na dhambizake lakini hayo hayawezi kuwa justified kwa RC kupandisha fine kwa 1000%

    18. #16
      Kada Deya's Avatar
      Member Array
      Join Date : 8th November 2011
      Posts : 32
      Rep Power : 387
      Likes Received
      6
      Likes Given
      4

      Default Re: St. Augustine university kutimua watoto wa masikini

      Quote By doctorwasummary
      Usulaumu mtu anayekukumbusha ulichotakiwa kufanya. Laumu mtu aliyesababisha ushindwe kutimiza wajibu wako kwa muda. Laumu serikali ya magamba ambayo imetufikisha hapa...tuipige mawe kwani sasa tumeelewa chanzo ni nini!
      Kuto timiza wajibu wa muda hakuna ususiano na kupandisha faini kwa asilimia 1000%, kumbuka SAUT kuna registration ya kila mwaka about 365,000/= from 1st year to last year ambayo bodi ya mikopo haitambui, unapaswa kujilipia mwenyewe. So kama mtu amechelewa kuliba basic hiyo addition ataitoa wapi?

    19. #17
      Kada Deya's Avatar
      Member Array
      Join Date : 8th November 2011
      Posts : 32
      Rep Power : 387
      Likes Received
      6
      Likes Given
      4

      Default Re: St. Augustine university kutimua watoto wa masikini

      Quote By Mbugi
      umaskini siyo sifa, na wala siyo kinga ya kutofuata taratibu siye sote tumehangaika sana ktk harakati za kujitafutia elimu lakini shida na matatizo yetu hatuweka kwenye rambo nyeupe ili kila mtu aone
      Nakubaliana na wewe umasikini sio sifa, lakini kumbuka kuwa hakuna anayeutaka, vyuo vyetu vilenge kutoa huduma ya kitaaluma katika nchi yetu, si kutumia matatizo ya wanafunzi kama vyanzo vipya vya mapato. Sasa kama hiki chuo cha kanisa kinaanza kutoza hivi tutegemee nini kwenye vyuo binafsi.

    20. #18
      Kada Deya's Avatar
      Member Array
      Join Date : 8th November 2011
      Posts : 32
      Rep Power : 387
      Likes Received
      6
      Likes Given
      4

      Default Re: St. Augustine university kutimua watoto wa masikini

      Quote By Degedege
      tuache unafiki kwa wale ambao hajapata mkopo na waliokuwa wanategemea pesa ya bodi kulipia ada ya kujisajili walivumiliwa na wakalipa na wale ambao bado bodi ya mikopo haijawalipa bado wanaendelea kuvumiliwa hadi hapo watakapopata pesa zao... Na kama wamepigwa ikiwa wana'case zfananazo na nilizoorodhesha hapo juu basi itakuwa hawajaujulisha uongoz wa chuo matatzo yao.
      Pole sana ndugu, huna taarifa ya nini kinaendelea research first sio unaropoka tu kama umetumwa.

    21. #19
      Kada Deya's Avatar
      Member Array
      Join Date : 8th November 2011
      Posts : 32
      Rep Power : 387
      Likes Received
      6
      Likes Given
      4

      Default Re: St. Augustine university kutimua watoto wa masikini

      Quote By Raia Fulani
      kwa nini wachelewe? Hilo ndilo tatizo la watanzania. Watangazie jambo la msingi leo na uwaambie mwisho ni tar 30/11/2011, utaona mijitu inajazana kuanzia tar 28. Nini maana ya semester? Wakawaulize waliosoma seminari ndo watajia nini maana ya punctuality
      Kumbuka watu wanauwezo tofauti si kila mtu ana uwezo kuna watu hivi tunavyoongea hawana hata 200 mfukoni

    Similar Topics

    1. Mdahalo wa katiba St Augustine university
      By Mbushuu in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 32
      Last Post: 15th August 2012, 20:15
    2. Employment opportuinities St. Augustine University
      By Remote in forum Nafasi za Kazi na Tenda
      Replies: 14
      Last Post: 12th July 2011, 08:39
    3. St augustine university shida matokeo ya wanafunzi !!!!!!!!!1
      By Endaku's in forum Jukwaa la Elimu (Education Forum)
      Replies: 2
      Last Post: 25th June 2010, 21:34
    4. St augustine university matokeo shida ?????
      By Endaku's in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 1
      Last Post: 1st June 2010, 11:42

    User Tag List

    Tags for this Topic

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...