Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Studying Law: UDSM (4 years) while MZUMBE (3 years). why!!!!!

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 40
    1. #1
      DASA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th January 2011
      Location : JF
      Posts : 1,000
      Rep Power : 625
      Likes Received
      260
      Likes Given
      220

      Default Studying Law: UDSM (4 years) while MZUMBE (3 years). why!!!!!

      Hi members. Kusoma sheria UDSM ni miaka 4, wakati MZUMBE ni miaka 3. kwanini ipo hivi!!. Au kuna kitu MZUMBE wanakosa ukilinganisha na UDSM!, Tofauti hasa ni nini kwenye Elimu inayopatikana. Maana kinachonishangaza zaidi ni kwamba atakayemaliza MZUMBE miaka mitatu na atakayemaliza UDSM miaka 4 watakuja kuanza wote LAW SCHOOL hapohapo UDSM, sasa mi naona kama kuna kauonevu hapa kwa wale wa UDSM, mwaka mmoja ni mkubwa sana. Inawezekana labda mi kuna kitu sielewi (mi sijasoma sheria). Wanaofahamu hii kitu vizuri hebu wasaidie kutoa utata huu.

    2. Miaka 50

    3. #2
      Pitz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th February 2011
      Posts : 4,969
      Rep Power : 1411
      Likes Received
      519
      Likes Given
      48

      Default Re: Studying Law: UDSM (4 years) while MZUMBE (3 years). why!!!!!

      We tumekushtukia,unataka kuanzsha mpambano wa vyuo humu tena na wakat tushakubaliana mabishano ya vyuo yakome.

    4. #3
      kipindupindu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th December 2010
      Location : puchapucha sokoni
      Posts : 1,031
      Rep Power : 634
      Likes Received
      124
      Likes Given
      91

      Default

      Quote By Mkiwa1
      We tumekushtukia,unataka kuanzsha mpambano wa vyuo humu tena na wakat tushakubaliana mabishano ya vyuo yakome.
      ulikubaliana na nani?mbona hilo tangazo sijaliona?
      DASA likes this.

    5. #4
      Pitz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th February 2011
      Posts : 4,969
      Rep Power : 1411
      Likes Received
      519
      Likes Given
      48

      Default

      Quote By kipindupindu
      ulikubaliana na nani?mbona hilo tangazo sijaliona?
      litafute humu utaliona tu.

    6. #5
      Magobe T's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th March 2008
      Location : I'm based in Dar es Salaam
      Posts : 2,055
      Rep Power : 1391
      Likes Received
      262
      Likes Given
      403

      Default Re: Studying Law: UDSM (4 years) while MZUMBE (3 years). why!!!!!

      Quote By DASA
      Hi members. Kusoma sheria UDSM ni miaka 4, wakati MZUMBE ni miaka 3. kwanini ipo hivi!!. Au kuna kitu MZUMBE wanakosa ukilinganisha na UDSM!, Tofauti hasa ni nini kwenye Elimu inayopatikana. Maana kinachonishangaza zaidi ni kwamba atakayemaliza MZUMBE miaka mitatu na atakayemaliza UDSM miaka 4 watakuja kuanza wote LAW SCHOOL hapohapo UDSM, sasa mi naona kama kuna kauonevu hapa kwa wale wa UDSM, mwaka mmoja ni mkubwa sana. Inawezekana labda mi kuna kitu sielewi (mi sijasoma sheria). Wanaofahamu hii kitu vizuri hebu wasaidie kutoa utata huu.
      Nimesoma chuo ambacho kilikuwa affiliated vyuo vikuu viwili: kimoja kilikuwa na programme ya miaka 3 na kingine miaka 4. Mtu akimaliza napata gamba lake bila kuonesha kama ni miaka 3 au 4. Kutokana na experience yangu ni jinsi chuo chenyewe kilivyojipanga ku'cover' syllabus yake kutokana na human and capital resources na pia aina ya courses zinazofundishwa kulingana na mahitaji ya soko. Pengine wengine wana mchango tofauti.

    7. RukaaJuu Final

    8. #6
      kipindupindu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th December 2010
      Location : puchapucha sokoni
      Posts : 1,031
      Rep Power : 634
      Likes Received
      124
      Likes Given
      91

      Default

      Quote By Mkiwa1
      litafute humu utaliona tu.
      sijaliona limefutwa nini?

    9. #7
      DASA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th January 2011
      Location : JF
      Posts : 1,000
      Rep Power : 625
      Likes Received
      260
      Likes Given
      220

      Default Re: Studying Law: UDSM (4 years) while MZUMBE (3 years). why!!!!!

      Quote By Mkiwa1
      We tumekushtukia,unataka kuanzsha mpambano wa vyuo humu tena na wakat tushakubaliana mabishano ya vyuo yakome.
      Kwanza ndugu mbona wewe humu JF una siku 3 tatu. Hayo unayosema umeyasikia wapi!, usichanganye facebook na JF. Nway sina huo mpango unaofikilia, hilo ni swala ambalo lipo na linaendelea. na wapo wanafunzi wa UDSM wanaochoshwa na hiyo miaka 4, na kuna wakati UDSM walitaka kufanya miaka 5, lakini sijui ilisitishwa vipi.
      Pasco likes this.

    10. #8
      DASA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th January 2011
      Location : JF
      Posts : 1,000
      Rep Power : 625
      Likes Received
      260
      Likes Given
      220

      Default Re: Studying Law: UDSM (4 years) while MZUMBE (3 years). why!!!!!

      Quote By kipindupindu
      sijaliona limefutwa nini?
      Achana na hako katoto. Akikua atakuwa na nidhamu.

    11. #9
      Magobe T's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th March 2008
      Location : I'm based in Dar es Salaam
      Posts : 2,055
      Rep Power : 1391
      Likes Received
      262
      Likes Given
      403

      Default Re: Studying Law: UDSM (4 years) while MZUMBE (3 years). why!!!!!

      Quote By DASA
      Kwanza ndugu mbona wewe humu JF una siku 3 tatu. Hayo unayosema umeyasikia wapi!, usichanganye facebook na JF. Nway sina huo mpango unaofikilia, hilo ni swala ambalo lipo na linaendelea. na wapo wanafunzi wa UDSM wanaochoshwa na hiyo miaka 4, na kuna wakati UDSM walitaka kufanya miaka 5, lakini sijui ilisitishwa vipi.
      Kutokana na experience yangu, chuo ambacho kina programme ya miaka 4 au 5, wanafunzi wanasoma bila kufukuzana sana kuliko wa miaka 3. Ni rahisi kwa mwanachuo anayesoma miaka 4 au 5 kufanya vitu vingi zaidi (hata mazoezi) kwa vile atakuwa na nafasi ya kufanya hiki au kile kuliko wa miaka 3. Huyu muda wake unakuwa very tight na hana muda wa kufanya vitu vya ziada. Kwa umri, ambao mtu anajiunga na chuo miaka 4 au 5 ni kidogo sana na inapita as if ni miaka 3.

    12. #10
      Pitz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th February 2011
      Posts : 4,969
      Rep Power : 1411
      Likes Received
      519
      Likes Given
      48

      Default

      Quote By DASA
      Kwanza ndugu mbona wewe humu JF una siku 3 tatu. Hayo unayosema umeyasikia wapi!, usichanganye facebook na JF. Nway sina huo mpango unaofikilia, hilo ni swala ambalo lipo na linaendelea. na wapo wanafunzi wa UDSM wanaochoshwa na hiyo miaka 4, na kuna wakati UDSM walitaka kufanya miaka 5, lakini sijui ilisitishwa vipi.
      tafuta,kuna thread ilikua hapa jamvin juzi ikikataza ligi za vyuo.

    13. #11
      Pitz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th February 2011
      Posts : 4,969
      Rep Power : 1411
      Likes Received
      519
      Likes Given
      48

      Default

      Quote By DASA
      Achana na hako katoto. Akikua atakuwa na nidhamu.
      kwani kamefanya nin kibaya?

    14. #12
      kipindupindu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th December 2010
      Location : puchapucha sokoni
      Posts : 1,031
      Rep Power : 634
      Likes Received
      124
      Likes Given
      91

      Default

      Quote By Senetor
      tafuta,kuna thread ilikua hapa jamvin juzi ikikataza ligi za vyuo.
      hiyo thread ilianzishwa na mods?

    15. #13
      DASA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th January 2011
      Location : JF
      Posts : 1,000
      Rep Power : 625
      Likes Received
      260
      Likes Given
      220

      Default Re: Studying Law: UDSM (4 years) while MZUMBE (3 years). why!!!!!

      Quote By Senetor
      tafuta,kuna thread ilikua hapa jamvin juzi ikikataza ligi za vyuo.
      Watu wengine kama ni wanaume mnaweza mkawa mashoga ndugu yangu. We ukisoma vizuri hiyo mada unaona ni ligi!. suala hapa kwanini ni 3 years, 4 years etc!!!, sio wapi bora wapi sio bora!!. mnatumiia masaburi yenu kusoma au!!. kama hauna la kuchangia pita kimya kimya. hujalazimishwa. sijui tusi gani linakufaa wewe!!, ungekuwa karibu yangu ningekung'atang'ata hayo masikio. Alaaaaaaaaaaah!!!!!!

    16. #14
      Pitz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th February 2011
      Posts : 4,969
      Rep Power : 1411
      Likes Received
      519
      Likes Given
      48

      Default

      Quote By DASA
      Watu wengine kama ni wanaume mnaweza mkawa mashoga ndugu yangu. We ukisoma vizuri hiyo mada unaona ni ligi!. suala hapa kwanini ni 3 years, 4 years etc!!!, sio wapi bora wapi sio bora!!. mnatumiia masaburi yenu kusoma au!!. kama hauna la kuchangia pita kimya kimya. hujalazimishwa. sijui tusi gani linakufaa wewe!!, ungekuwa karibu yangu ningekung'atang'ata hayo masikio. Alaaaaaaaaaaah!!!!!!
      kama co utaahira unakusumbua.hapo me nimeongea nin kibaya?au ndo unataka watu wajue nawe una hasira?ovyo kweli

    17. #15
      DASA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th January 2011
      Location : JF
      Posts : 1,000
      Rep Power : 625
      Likes Received
      260
      Likes Given
      220

      Default Re: Studying Law: UDSM (4 years) while MZUMBE (3 years). why!!!!!

      Quote By Senetor
      kama co utaahira unakusumbua.hapo me nimeongea nin kibaya?au ndo unataka watu wajue nawe una hasira?ovyo kweli
      Kama huna la kuchangia ndugu yangu nakushauri upite kimya kimya.

    18. #16
      Pitz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th February 2011
      Posts : 4,969
      Rep Power : 1411
      Likes Received
      519
      Likes Given
      48

      Default

      Quote By DASA
      Kama huna la kuchangia ndugu yangu nakushauri upite kimya kimya.
      me nilikua nadhan unataka ligi ya matusi tuianzshe,naona tena umekua mpole?

    19. #17
      DASA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th January 2011
      Location : JF
      Posts : 1,000
      Rep Power : 625
      Likes Received
      260
      Likes Given
      220

      Default Re: Studying Law: UDSM (4 years) while MZUMBE (3 years). why!!!!!

      Quote By Senetor
      me nilikua nadhan unataka ligi ya matusi tuianzshe,naona tena umekua mpole?
      Una umri gani!

    20. #18
      mlimbwende's Avatar
      Member Array
      Join Date : 15th July 2011
      Posts : 53
      Rep Power : 407
      Likes Received
      12
      Likes Given
      0

      Default Re: Studying Law: UDSM (4 years) while MZUMBE (3 years). why!!!!!

      Acheni ulimbukeni, you are just criticizing without thinking. The guy has raised a very important and valid question. Kama hamna jibu kaeni kimya. Waache wataalamu wajibu. Hii sio mipasho ya taarabu. This question should go to TCU; why 4 not 3 years? or vice versa? kama kuna quality issue, it should be revealed. Inakuaje mwingine 3 mwingine 4 yrs mwisho wa siku wote wanapata shahada ya sheria. Na huo mtindo wa kutukana watu eti wameuliza maswali yanayohusu vyuo ukome; who are you to stop them? I don't mean to start another debate lakini nataka watu muwe makini na kurespect mawazo ya watu. Hii sio forum ya watu wasio taka kureason, kama ujajipanga kaa kimya, subiri mada unayoijua ujibu. Don't answer ili mradi tu. Heshimu jamii forumn watu wanaitegemea sana kupata taarifa muhimu na kuelimika.
      DASA likes this.

    21. #19
      mikatabafeki's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th December 2010
      Posts : 4,840
      Rep Power : 1398
      Likes Received
      766
      Likes Given
      1463

      Default Re: Studying Law: UDSM (4 years) while MZUMBE (3 years). why!!!!!

      hapa kuna kila dalili ya UWALAKINI wa siredi kitakachoishia hapa ni malumbano n nothing new.
      when love goes wrong,nothing goes right.

    22. SMU
      #20
      SMU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th February 2008
      Location : Mavurunza
      Posts : 4,532
      Rep Power : 3811
      Likes Received
      1312
      Likes Given
      1916

      Default Re: Studying Law: UDSM (4 years) while MZUMBE (3 years). why!!!!!

      labda walimu walishindwa mchakamchaka wa miaka mitatu! Kama nakumbuka vizuri hata udsm mwanzoni walikuwa wakisoma miaka 3. Wamebadilisha miaka ya karibuni tu (2000's). Bahati mbaya sikufuatilia sababu za kubadilisha.

    Page 1 of 2 12 LastLast

    Similar Topics

    1. Udsm is not 50 years yet
      By macinkus in forum Jukwaa la Elimu (Education Forum)
      Replies: 2
      Last Post: 21st October 2011, 19:04
    2. Replies: 52
      Last Post: 21st October 2011, 15:00
    3. Replies: 0
      Last Post: 1st February 2010, 00:25
    4. 10 Years After: A shocker 40 years later!
      By Mzee Mwanakijiji in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 19
      Last Post: 8th March 2009, 17:10

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...