Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: hivi ndivyo interview ya dodoma ilivyokuwa

    Report Post
    Results 1 to 17 of 17
    1. #1
      figganigga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th October 2010
      Location : dar es salaam
      Posts : 8,159
      Rep Power : 12004
      Likes Received
      2638
      Likes Given
      1583

      Default hivi ndivyo interview ya dodoma ilivyokuwa

      ilipofika saa tatu wametengwa kulingana na ulicho apply.wakaingia ndani.wakagawa paper la mtihani.mda masaa mawili.
      maswali kwa watu wa HR yalikuwa mchanganyiko;
      mathematics!economics,english na maswali ya HR.hapakuwepo kiswahili.maswali yalikua ya kuchagua na kujieleza.walikuwepo wasimamizi wa mitihani.
      watakaopass ndo wataitwa kwenye oral interview.hawajasema wataita baada ya mda gani.watu walikua zaidi ya elfu2.watu wameingia kwenye paper saa3,5 na saa nane.na kesho wengine watafanya.ni hayo tu.roger

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      tatanyengo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th March 2011
      Posts : 931
      Rep Power : 598
      Likes Received
      220
      Likes Given
      186

      Default Re: hivi ndivyo interview ya dodoma ilivyokuwa

      Tunawatakia kila lenye kheri wote waliofanya interview. Tuamini kwamba vyuo vikuu ni taasisi zinazopaswa kutenda haki na hivyo ndivyo itakavyokuwa hapo UDOM!
      'Our Problems can be solved,our challenges can be met'- Obama

    4. #3
      Bei Mbaya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th November 2010
      Posts : 1,177
      Rep Power : 665
      Likes Received
      301
      Likes Given
      167

      Default Re: hivi ndivyo interview ya dodoma ilivyokuwa

      Kila la kheri
      Kama si ombwe la Uongozi, kama si udhaifu wa serikali; wallahi kusingekuwepo hiki kinachoitwa 'udini' na ugaidi.

    5. #4
      Mohamedi Mtoi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th December 2010
      Location : Lushoto - Kwemakame.
      Posts : 2,052
      Rep Power : 24549
      Likes Received
      3132
      Likes Given
      354

      Default Re: hivi ndivyo interview ya dodoma ilivyokuwa

      Tatizo kina chembechembe za magamba wanaweza wakaenzi uchakachuaji!
      only83 likes this.

    6. #5
      ndyoko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2010
      Posts : 4,505
      Rep Power : 1705
      Likes Received
      1199
      Likes Given
      1916

      Default Re: hivi ndivyo interview ya dodoma ilivyokuwa

      thanx kwa taarifa mkuu
      “If you can not get what you love, then love what you have”

    7. Miaka 50

    8. #6
      figganigga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th October 2010
      Location : dar es salaam
      Posts : 8,159
      Rep Power : 12004
      Likes Received
      2638
      Likes Given
      1583

      Default Re: hivi ndivyo interview ya dodoma ilivyokuwa

      usafiri ubungo-dodoma ilikuwa elfu25 sumatra walivyokuja tukfanyiwa elfu 15,guest house dodoma ilikua tabu.asubuhi kutoka dodoma mjini kwenda chuo taxi elfu15,bodaboda elfu5,udom cantini zimefungwa bado so mchana hamna kula na kunywa.kutoka udom taxi mnachangia buku3.kule udom ni noma.
      HR walikuwa watu 1012 waliofanya interview lakini wanahitajika watu 12 tu.

    9. #7
      peri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd March 2011
      Posts : 1,193
      Rep Power : 651
      Likes Received
      372
      Likes Given
      40

      Default Re: hivi ndivyo interview ya dodoma ilivyokuwa

      Thankx kwa taarifa. Kila la kheri mkuu.

    10. #8
      Ndechumia's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th July 2011
      Posts : 772
      Rep Power : 551
      Likes Received
      136
      Likes Given
      304

      Default Re: hivi ndivyo interview ya dodoma ilivyokuwa

      Kila la kher mkuu, nafkir lile suala la udin km lilivyowah kuripotiwa hapa halitakuwepo, mungu akuongoze upate job

    11. #9
      Sabry001's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th June 2011
      Location : everywhere
      Posts : 968
      Rep Power : 608
      Likes Received
      287
      Likes Given
      199

      Default Re: hivi ndivyo interview ya dodoma ilivyokuwa

      Hyo ndo bei ya tax always. Why hawajafungua canteen wakati form 1 ndo wamekuja? Poleni anyway poleni!

    12. #10
      only83's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Dodoma-Mjengoni
      Posts : 4,157
      Rep Power : 1846
      Likes Received
      1431
      Likes Given
      1539

      Default Re: hivi ndivyo interview ya dodoma ilivyokuwa

      Quote By tatanyengo
      Tunawatakia kila lenye kheri wote waliofanya interview. Tuamini kwamba vyuo vikuu ni taasisi zinazopaswa kutenda haki na hivyo ndivyo itakavyokuwa hapo UDOM!
      Labda sio UDOM..........
      "Problems can not be solved by the same level of thinking that created them"
      "Matatizo hayawezi kutatuliwa na uwezo ule ule mdogo wa watawala wa CCM walioyasababisha"




    13. #11
      SILENT ACtOR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th April 2011
      Location : KANDA MAALUM!
      Posts : 551
      Rep Power : 521
      Likes Received
      110
      Likes Given
      142

      Default Re: hivi ndivyo interview ya dodoma ilivyokuwa

      Quote By mageuzi daima
      usafiri ubungo-dodoma ilikuwa elfu25 sumatra walivyokuja tukfanyiwa elfu 15,guest house dodoma ilikua tabu.asubuhi kutoka dodoma mjini kwenda chuo taxi elfu15,bodaboda elfu5,udom cantini zimefungwa bado so mchana hamna kula na kunywa.kutoka udom taxi mnachangia buku3.kule udom ni noma.
      HR walikuwa watu 1012 waliofanya interview lakini wanahitajika watu 12 tu.
      Mbona usafiri wa daladala upo tele kituo cha jamatini kuelekea udom, tena muda wowote unapofika kituoni sh 350/. Kama umeamua kupanda taxi, boda, usilalamike ndo bei zake kulinganisha na umbali.
      SUCCESS MEANS; DOING THE BEST YOU CAN WITH WHAT YOU HAVE.

    14. #12
      Lambardi's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 7th February 2008
      Location : KITAANI ZAIDI
      Posts : 4,517
      Rep Power : 0
      Likes Received
      654
      Likes Given
      0

      Default Re: hivi ndivyo interview ya dodoma ilivyokuwa

      Kweli ajira ngumu sana nafasi 12 waliofanya interview wako 1012 daaa hii kali zaidi kama vile kwa NAO iko sawa walikuwa 4000 nafasi 100!!

    15. #13
      nyambari's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2010
      Location : Behind you
      Posts : 264
      Rep Power : 485
      Likes Received
      8
      Likes Given
      15

      Default Re: hivi ndivyo interview ya dodoma ilivyokuwa

      All the best Mungu akutangulie

    16. #14
      Mzee's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd February 2011
      Location : DUNIANI
      Posts : 6,589
      Rep Power : 1745
      Likes Received
      698
      Likes Given
      386

      Default Re: hivi ndivyo interview ya dodoma ilivyokuwa

      Kila la kheri wandugu.


      Samahani, unaweza kunipa mchanganuo wa ajira ulivyo, i.e nafasi zipi wanaziomba.

    17. #15
      Bukijo's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 28th July 2010
      Posts : 115
      Rep Power : 470
      Likes Received
      11
      Likes Given
      29

      Default Re: hivi ndivyo interview ya dodoma ilivyokuwa

      Quote By Mzee
      Kila la kheri wandugu.


      Samahani, unaweza kunipa mchanganuo wa ajira ulivyo, i.e nafasi zipi wanaziomba.
      Umekumbuka shuka asubuhi,nafasi zilitangazwa zilikua nyingi sana na sasa ni interview mzee!!!

    18. #16
      Mzee's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd February 2011
      Location : DUNIANI
      Posts : 6,589
      Rep Power : 1745
      Likes Received
      698
      Likes Given
      386

      Default

      Quote By Bukijo
      Umekumbuka shuka asubuhi,nafasi zilitangazwa zilikua nyingi sana na sasa ni interview mzee!!!
      simaanishi kuwa nataka kuomba ajira, ila natamani sana kujua hizo position.

    19. #17
      Apollo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th May 2011
      Location : Dar Es Salaam, Tanzania. ZION.
      Posts : 3,397
      Rep Power : 1083
      Likes Received
      658
      Likes Given
      1301

      Default

      Quote By mageuzi daima
      .....HR walikuwa watu 1012 waliofanya interview lakini wanahitajika watu 12 tu.....
      duh, watu 1000 watatupwa nje? Duh! Probability ya kupata ni ndogo........sana

    Similar Topics

    1. Je wewe ndivyo unavyoishi hivi?
      By Mtambuzi in forum Mahusiano, mapenzi, urafiki
      Replies: 3
      Last Post: 20th October 2011, 22:53
    2. jamani hofu ya nini interview dodoma?????
      By semali kisenga in forum Nafasi za Kazi na Tenda
      Replies: 22
      Last Post: 17th October 2011, 11:18
    3. Replies: 2
      Last Post: 17th July 2011, 22:24
    4. hivi ndivyo tulivyo mchoka jk
      By hashycool in forum Tanzania 2010-2015
      Replies: 0
      Last Post: 7th October 2010, 03:16
    5. Hivi ndivyo ilivyo....
      By ngoshwe in forum Jamii Photos
      Replies: 7
      Last Post: 17th February 2010, 01:28

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...