Majina yapo katika makundi mawili 1. Wale ambao hawajachaguliwa chuo chochote
2.wale waliochaguliwa
Majina yapo katika makundi mawili 1. Wale ambao hawajachaguliwa chuo chochote
2.wale waliochaguliwa
Haya jamaa yaani vyuo vimeshafunguliwa bdo wanazungusha tu watu.
1. A comparative study of consumer’s perception of “Made in China” products and India in Tanzania.
any one who wanna work with me for conducting a research you are welcome....[email protected]
<br />
<br />
kuna chuo km SAUT kimeshafunguliwa alaf wao wamechelewesha kutoa majina hvyo ina maana wale watakaochaguliwa leo wanahitajika mapema iwezekanavyo, kumbuka m2 hajaweza jiandaa vizur kutokana na kutojua gharama za chuo aendacho. Dats ma point. Na ndo mana nimesema wanawazungusha watu.mia
hacheni marumbano simamia hoja zenu
jamani vipi wale tulio kosa mkopo matumaini ya kufikiliwa yapo
Follow Us Here