Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Majina ya waliochaguliwa na TCU second round haya hapa

    Report Post
    Results 1 to 16 of 16
    1. #1
      chazignat's Avatar
      Member Array
      Join Date : 9th October 2010
      Posts : 32
      Rep Power : 443
      Likes Received
      1
      Likes Given
      7

      Exclamation Majina ya waliochaguliwa na TCU second round haya hapa

      Majina yapo katika makundi mawili 1. Wale ambao hawajachaguliwa chuo chochote
      2.wale waliochaguliwa
      Attached Files

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      Eshacky's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th April 2011
      Posts : 824
      Rep Power : 576
      Likes Received
      155
      Likes Given
      3

      Default Re: Majina ya waliochaguliwa na TCU second round haya hapa

      Haya jamaa yaani vyuo vimeshafunguliwa bdo wanazungusha tu watu.

    4. #3
      Pitz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th February 2011
      Posts : 4,969
      Rep Power : 1410
      Likes Received
      519
      Likes Given
      48

      Default

      Quote By Eshacky
      Haya jamaa yaani vyuo vimeshafunguliwa bdo wanazungusha tu watu.
      <br />
      <br />
      chuo gan kimefunguliwa?

    5. #4
      stan b's Avatar
      Member Array
      Join Date : 8th September 2011
      Posts : 85
      Rep Power : 406
      Likes Received
      5
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Eshacky
      Haya jamaa yaani vyuo vimeshafunguliwa bdo wanazungusha tu watu.
      <br />
      <br />
      umeingilia mada ucyojua historia yake.

    6. #5
      JOHNSON's Avatar
      Member Array
      Join Date : 20th April 2008
      Location : china
      Posts : 22
      Rep Power : 569
      Likes Received
      1
      Likes Given
      1

      Default Re: Majina ya waliochaguliwa na TCU second round haya hapa

      1. A comparative study of consumer’s perception of “Made in China” products and India in Tanzania.

      any one who wanna work with me for conducting a research you are welcome....[email protected]


    7. Study Abroad

    8. #6
      Apollo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th May 2011
      Location : Dar Es Salaam, Tanzania. ZION.
      Posts : 3,395
      Rep Power : 1083
      Likes Received
      658
      Likes Given
      1292

      Default

      Quote By Eshacky
      Haya jamaa yaani vyuo vimeshafunguliwa bdo wanazungusha tu watu.
      wewe nenda www.unafikiria.kwa.masaburi.co m maana umerukia hii mada, hujaisoma vizuri.

    9. #7
      Apollo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th May 2011
      Location : Dar Es Salaam, Tanzania. ZION.
      Posts : 3,395
      Rep Power : 1083
      Likes Received
      658
      Likes Given
      1292

      Default

      Quote By JOHNSON
      <font color="red">1. A comparative study of consumer’s perception of “Made in China” products and India in Tanzania.<br />
      <br />
      any one who wanna work with me for conducting a research you are welcome....[email protected]<br />
      <br />
      </font>
      we mzima kweli?

    10. #8
      Eshacky's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th April 2011
      Posts : 824
      Rep Power : 576
      Likes Received
      155
      Likes Given
      3

      Default

      Quote By Senetor
      &lt;br /&gt;<br />
      &lt;br /&gt;<br />
      chuo gan kimefunguliwa?
      <br />
      <br />
      SAUT!

    11. #9
      Eshacky's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th April 2011
      Posts : 824
      Rep Power : 576
      Likes Received
      155
      Likes Given
      3

      Default

      Quote By Apollo
      wewe nenda www.unafikiria.kwa.masaburi.co m maana umerukia hii mada, hujaisoma vizuri.
      <br />
      <br />
      tnx kwa tusi!

    12. #10
      Eshacky's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th April 2011
      Posts : 824
      Rep Power : 576
      Likes Received
      155
      Likes Given
      3

      Default

      Quote By stan b
      &lt;br /&gt;<br />
      &lt;br /&gt;<br />
      umeingilia mada ucyojua historia yake.
      <br />
      <br />
      kuna chuo km SAUT kimeshafunguliwa alaf wao wamechelewesha kutoa majina hvyo ina maana wale watakaochaguliwa leo wanahitajika mapema iwezekanavyo, kumbuka m2 hajaweza jiandaa vizur kutokana na kutojua gharama za chuo aendacho. Dats ma point. Na ndo mana nimesema wanawazungusha watu.mia

    13. #11
      stan b's Avatar
      Member Array
      Join Date : 8th September 2011
      Posts : 85
      Rep Power : 406
      Likes Received
      5
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Eshacky
      &lt;br /&gt;<br />
      &lt;br /&gt;<br />
      kuna chuo km SAUT kimeshafunguliwa alaf wao wamechelewesha kutoa majina hvyo ina maana wale watakaochaguliwa leo wanahitajika mapema iwezekanavyo, kumbuka m2 hajaweza jiandaa vizur kutokana na kutojua gharama za chuo aendacho. Dats ma point. Na ndo mana nimesema wanawazungusha watu.mia
      <br />
      <br />
      ucjitetee bwana kwani SAUT si wanafaamu kuwa wengne bado majina yao?

    14. #12
      Eshacky's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th April 2011
      Posts : 824
      Rep Power : 576
      Likes Received
      155
      Likes Given
      3

      Default

      Quote By stan b
      &lt;br /&gt;<br />
      &lt;br /&gt;<br />
      ucjitetee bwana kwani SAUT si wanafaamu kuwa wengne bado majina yao?
      <br />
      <br />
      soma uelewe nilichokuelezea.

    15. #13
      chazignat's Avatar
      Member Array
      Join Date : 9th October 2010
      Posts : 32
      Rep Power : 443
      Likes Received
      1
      Likes Given
      7

      Default Re: Majina ya waliochaguliwa na TCU second round haya hapa

      hacheni marumbano simamia hoja zenu

    16. #14
      G_crisis's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th June 2011
      Posts : 430
      Rep Power : 486
      Likes Received
      54
      Likes Given
      2

      Default

      Quote By Eshacky
      &lt;br /&gt;<br />
      &lt;br /&gt;<br />
      kuna chuo km SAUT kimeshafunguliwa alaf wao wamechelewesha kutoa majina hvyo ina maana wale watakaochaguliwa leo wanahitajika mapema iwezekanavyo, kumbuka m2 hajaweza jiandaa vizur kutokana na kutojua gharama za chuo aendacho. Dats ma point. Na ndo mana nimesema wanawazungusha watu.mia
      unamaanisha pre entry au vp??je wenye mikopo imeshafika huko SAUT au vp?

    17. #15
      GUMADI's Avatar
      Member Array
      Join Date : 5th August 2011
      Posts : 32
      Rep Power : 400
      Likes Received
      3
      Likes Given
      0

      Default Re: Majina ya waliochaguliwa na TCU second round haya hapa

      jamani vipi wale tulio kosa mkopo matumaini ya kufikiliwa yapo

    18. #16
      Pitz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th February 2011
      Posts : 4,969
      Rep Power : 1410
      Likes Received
      519
      Likes Given
      48

      Default

      Quote By GUMADI
      jamani vipi wale tulio kosa mkopo matumaini ya kufikiliwa yapo
      hamna matumaini!

    19. Miaka 50

    Similar Topics

    1. Majina ya tcu haya hapa na mikopo waliyopata
      By ketwas in forum Jukwaa la Elimu (Education Forum)
      Replies: 51
      Last Post: 20th September 2012, 07:46
    2. Majina yoote ya waliochaguliwa TCU haya hapa
      By saggy in forum Jukwaa la Elimu (Education Forum)
      Replies: 17
      Last Post: 14th August 2012, 11:12
    3. Tcu wanaachia soon majina ya second round
      By chazignat in forum Jukwaa la Elimu (Education Forum)
      Replies: 7
      Last Post: 23rd September 2011, 18:34
    4. New Cabinet: Baadhi ya Majina ni Haya Hapa!.
      By Pasco in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 65
      Last Post: 13th November 2010, 20:44
    5. Majina ya majimbo mapya haya hapa
      By MziziMkavu in forum Tanzania 2010-2015
      Replies: 0
      Last Post: 22nd May 2010, 07:30

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...