Kwa wale walioenda wizara ya elimu leo naomba mnijuze yaliyojiri........
0786107530
au
0763107831
[email protected]
Kwa wale walioenda wizara ya elimu leo naomba mnijuze yaliyojiri........
0786107530
au
0763107831
[email protected]
wote tunataka kujua km vp walioko huko watujuze kuptia jf na sio cm
Wamesema kwamba hawakuweza tena kukaa kikao ile ijumaa, kwa hiyo kikao wangekaa leo ile saa nane, kuhusu wataamua nini wamesema twende kesho saa 6 mchana tutaambiwa. Walituletea mpaka usalama wa taifa, sasa sijui wana wasiwasi gani watu hate nyembe hatuna! Ndo hivyo bana we kama vipi kesho uwepo.
watachosema iyo kesho tunaomba mtujuze wa mikoan..... Ahsanten wanaJF kwa kutu-up2date gudnewz ka izo
Follow Us Here