TMF|JamiiForums Blog
  • Member Login:
http://www.jamiiforums.com/zain.jpg

+ Reply to Topic
Page 1 of 2 1 2 LastLast
Results 1 to 20 of 30
  1. #1
    Junior Member nguogani will become famous soon enough nguogani will become famous soon enough nguogani will become famous soon enough nguogani will become famous soon enough nguogani will become famous soon enough nguogani will become famous soon enough nguogani will become famous soon enough nguogani will become famous soon enough
    Join Date
    Wed Aug 2008
    Posts
    1
    Thanks : 0
    Thanked 0 Times in 0 Posts
    Rep Power
    0

    Default Kiini cha suplementary dept. Ya sociology

    HI JEFF, nimejiunga rasmi leo ingawa nimekuwa msomaji wa mada mbalimbali kwenye hii forum. kilichonikuna ni mada ya sipo kuhusu sup hapo UDSM. kusema kweli imenigusa sana na nimesoma michango ya watu, kuna ya kuipa credit na kuna ya kuipuuza, ndio uhuru wa kusema huu. nianze kusema nami ni muathirika wa tatizo hili na si kweli kuwa hatusomi kama baadhi ya washiriki walivyosema ingawa ni kweli kuna ambao dhahiri hawasomi lakini haina maana ya kufanya generalization. kuna mambo makuu ninayotaka kusema:
    1. sup ni kawaida na sehemu ya shule lakini kinachotokea hapa ni sup za lazima na za kukomoana baina ya lecturer na mwanafunzi, kwasababu mwalimu huyu toka mwanzo wa semister anasema ya kuwa hakuna wa kupata B+ hapa na kweli matokeo yakitoka ndivyo ilivyo. je hii ni sahihi kwenye ufundishaji?
    2. somo la huyu mwalimu sio gumu kiasi hicho na kwa wale wanaokumbuka zamani lililkuwa likifundishwa na hayati Prof. Chachage na historia inaonyesha wanafunzi walielewa na aliyefeli alikubali kuwa mzembe. sasa huyu mwalimu toka apokee ni kilio na kusaga meno
    3. hoja ya kusoma vitabu kwa huyu mwalimu sio sahihi kwani tulikuwa tunafuata mbinu zake zote za usomaji alizotaka yeye lakini kwakuwa alishapanga kukamata alikuwa haoni hivyo vitabu kwenye scripts wakati wa kusahihisha.
    4. huyu sipo na mimi au wengine sio tunalalamika ila tunataka watanzania wajue kuwa kuna walimu wachache wanaharibu mfumo wa elimu Tanzania kwa malengo yao binafsi na kuyafanya maisha ya watoto wa maskini kuwa magumu, hata wale wanaojitahidi kwa kila hali.
    5. tabia ya kukemea kwa huyu mwalimu pia ni kuwa na uhusiano na baadhi ya wanafunzi ambapo hudiriki hata kuwapa matokeo kabla hayajawa released. hii tumefanya uchunguzi na tunaongea kwa ushahidi madhubuti na sio bla bla.
    6. kuhusu ku-appeal, jamani nyie sijui mnaujua ukweli kuhusu kuappeal, procedure ni nzuri lakini uhalisia sio hivyo. mwalimu huyu huyu anakwambia katika social sciences hakuna appeal na ukijaribu tu ni lazima udondokee pua. je nani wa kudhubutu. ebu fanyeni uchunguzi kabla ya kushauri jamani
    7. halafu kuhusu dept kurudisha heshima yake, hivi heshima inakuja kwa kufelisha? mbona dept ya PSPA inaheshima yake kubwa tu na haijapatikana kwa kufelisha. hata dept ya GEOGRAPHY hipo juu sana kwa heshima ingawa sio kwa kufelisha.
    8. halafu jamani hata mkuu wa dept ya sociology DR. MVUNGI, ABUU A.K alikuwa na kozi ngumu sana kuliko hata ya huyu DR lakini watu walisoma na wametoka waliokamatwa wanakiri kweli walifanya mistake sehemu fulani fulani.
    9. jamani hakuna wanafunzi wanaosoma siku hizi kama dept ya sociology, hii ni kutokana na nature ya walimu lakini bado walimu wanawakamata vibaya mno. jaribuni kuangalia ratiba ya supllimentary hipo pale utawala inatisha sana upande wa hii dept. na hii inasababishwa na walimu kujisifu wanapokamata wanfunzi wengi kuliko wengine
    10. hivi mnaposema degree sio vyeti mnamaanisha nini? M.A tutasomaje na GPA za 2.6 na 3.0 wakati vyuo vingine wanapata 3.5 mpaka 3.9. jamani elimu bongo inarudi nyuma. na kazi siku hizi zinapatikana kwa GPA nzuri na sio una nini kichwani, na mwajiri ataamini vipi una mambo kichwani wakati una GPA ya 2.0? GPA za sociology zinatisha sana na tutabaki tung'aa sharubu mtaani tu na wenye pesa ndio watakaosoma M.A ulaya kwa mapesa yao.

    mwisho wanaoharibu shule zaidi ni ASSISTANT LECTURER na TUTORIALS nenda kafanye uchunguzi UDSM wana mademu kila seminar anayosimamia. wanawapendelea washkaji na mademu zao kwa kuwapa coursework za juu wakati wale wanao-toil library wanapata 2 ya 10.

    SITULALAMIKI KWANI SUP LAZIMA NIFANYE NA NAAMINI NITATOKA TU ILA NINATOA HALI HALISI KWANI INAUMA SANA KUBANIWA WAKATI ULISTAHILI KUPITA NA KUFANYA MAMBO MENGINE YA KIMAISHA.

  2. #2
    Member Faith will become famous soon enough Faith will become famous soon enough Faith will become famous soon enough Faith will become famous soon enough Faith will become famous soon enough Faith will become famous soon enough Faith will become famous soon enough Faith will become famous soon enough
    Join Date
    Wed Jul 2008
    Posts
    47
    Thanks : 0
    Thanked 0 Times in 0 Posts
    Rep Power
    0

    Default Re: Kiini cha suplementary dept. Ya sociology

    nakuunga mkono nguogani
    ukweli ni kua pale department ya sociology waalim wapo kujisifia kufelisha! nakumbuka kipindi namaliza mm first class zilikua km 20 kwa wahitim zaidi ya 500!, upper second km30 au hamsini lakini lower second du kama jamvi yaani kibao na walimu walikua wanajifagilia kwa matokeo hayo yanayotokana na kufelisha kimakusudi!
    pia ktk department hiyo ukiingia kuanza mwaka mnatishwa..waulizenu wenzenu wa miaka hiyo..mm kiboko..ntawakamata lazima nihakikishe sept mnarudi kibao for sup! tena kulikua na prof issa msoke aka ustaadh.. ilikua noma yaani sipendi hata kukumbuka
    ubaya unakuja waalim wanaojifanya wanajua kukamata km MWAMI utakuta wanamadem wao wanawaacha tena ni vilaza wa kutupwa! na sio siri huwa inajulikana kbs kua demu flani ndo anachukuliwa na dr. au prof na hata mkitaka matokeo kabla mtayapata kupitia hao mademu yaani inaumiza mno
    pia kwa wanaume huko sociology wenyewe utakuta wanahonga pombe kwa ma prof/ ma dr na wanapita..kwa hili MISANYA ANAJUA kichwani kitu hakuna lakini wanatoa pombe, mafuta mradi wapite na sio siri wanapita tena kwa GPA kali hadi mbabaki mkijiuliza!
    maseminar leader nao balaa utakuta wao ndo wana act uprof! yaani pale sociology department panahitajika mkuu ambae ametulia na apasimamie ki umakini la sivo sup zitaendelea kuwapo na pia watoto wetu wa kike wataendelea kupata virus ili wasirudi sept/for sup!
    mdau nguogani upo kweli 99.9999%
    mengine baadae ila

  3. #3
    JF Senior Expert Member MwanajamiiOne will become famous soon enough MwanajamiiOne will become famous soon enough MwanajamiiOne will become famous soon enough MwanajamiiOne will become famous soon enough MwanajamiiOne will become famous soon enough MwanajamiiOne will become famous soon enough MwanajamiiOne will become famous soon enough MwanajamiiOne will become famous soon enough
    Join Date
    Thu Jul 2008
    Location
    TANZANIA
    Posts
    3,087
    Thanks : 2,364
    Thanked 1,159 Times in 683 Posts
    Rep Power
    29

    Default Re: Kiini cha suplementary dept. Ya sociology

    Poleni sana. Sasa nimepata picha halisi. Ninachoweza kuuliza je hakubna sehemu ya kuushitakia upuuzi huu?... Mkikaa kimya pasipo kuchukua hatua watakaoumia ni ninyi na si kina Mwami wala Mvungu sijui. Kama mnavyokuwaga msitari wa mbele kudai nyongeza ya BOOM basi mfanye hivyo katika kudai elimu bora.

    nguogani umefafanua vizuri huku ukionyesha kuwa una ushahidi ni wakati mzuri wa kuchukua hatua.

    Hapo chuoni si kuna DARUSO inayoshughulikia academics au hakuna??
    When You are in love and You get hurt, it's like a cut... it will heal, but there will always be a scar.

  4. #4
    JF Senior Expert Member Sipo will become famous soon enough Sipo will become famous soon enough Sipo will become famous soon enough Sipo will become famous soon enough Sipo will become famous soon enough Sipo will become famous soon enough Sipo will become famous soon enough Sipo will become famous soon enough
    Join Date
    Fri Jul 2008
    Location
    SIPAJUI
    Posts
    2,167
    Thanks : 382
    Thanked 433 Times in 294 Posts
    Rep Power
    27

    Default Re: Kiini cha suplementary dept. Ya sociology

    [QUOTE=nguogani;270762]HI JEFF, nimejiunga rasmi leo ingawa nimekuwa msomaji wa mada mbalimbali kwenye hii forum. kilichonikuna ni mada ya sipo kuhusu sup hapo UDSM. kusema kweli imenigusa sana na nimesoma michango ya watu, kuna ya kuipa credit na kuna ya kuipuuza, ndio uhuru wa kusema huu. nianze kusema nami ni muathirika wa tatizo hili na si kweli kuwa hatusomi kama baadhi ya washiriki walivyosema ingawa ni kweli kuna ambao dhahiri hawasomi lakini haina maana ya kufanya generalization. kuna mambo makuu ninayotaka kusema:
    1. sup ni kawaida na sehemu ya shule lakini kinachotokea hapa ni sup za lazima na za kukomoana baina ya lecturer na mwanafunzi, kwasababu mwalimu huyu toka mwanzo wa semister anasema ya kuwa hakuna wa kupata B+ hapa na kweli matokeo yakitoka ndivyo ilivyo. je hii ni sahihi kwenye ufundishaji?
    2. somo la huyu mwalimu sio gumu kiasi hicho na kwa wale wanaokumbuka zamani lililkuwa likifundishwa na hayati Prof. Chachage na historia inaonyesha wanafunzi walielewa na aliyefeli alikubali kuwa mzembe. sasa huyu mwalimu toka apokee ni kilio na kusaga meno
    3. hoja ya kusoma vitabu kwa huyu mwalimu sio sahihi kwani tulikuwa tunafuata mbinu zake zote za usomaji alizotaka yeye lakini kwakuwa alishapanga kukamata alikuwa haoni hivyo vitabu kwenye scripts wakati wa kusahihisha.
    4. huyu sipo na mimi au wengine sio tunalalamika ila tunataka watanzania wajue kuwa kuna walimu wachache wanaharibu mfumo wa elimu Tanzania kwa malengo yao binafsi na kuyafanya maisha ya watoto wa maskini kuwa magumu, hata wale wanaojitahidi kwa kila hali.
    5. tabia ya kukemea kwa huyu mwalimu pia ni kuwa na uhusiano na baadhi ya wanafunzi ambapo hudiriki hata kuwapa matokeo kabla hayajawa released. hii tumefanya uchunguzi na tunaongea kwa ushahidi madhubuti na sio bla bla.
    6. kuhusu ku-appeal, jamani nyie sijui mnaujua ukweli kuhusu kuappeal, procedure ni nzuri lakini uhalisia sio hivyo. mwalimu huyu huyu anakwambia katika social sciences hakuna appeal na ukijaribu tu ni lazima udondokee pua. je nani wa kudhubutu. ebu fanyeni uchunguzi kabla ya kushauri jamani
    7. halafu kuhusu dept kurudisha heshima yake, hivi heshima inakuja kwa kufelisha? mbona dept ya PSPA inaheshima yake kubwa tu na haijapatikana kwa kufelisha. hata dept ya GEOGRAPHY hipo juu sana kwa heshima ingawa sio kwa kufelisha.
    8. halafu jamani hata mkuu wa dept ya sociology DR. MVUNGI, ABUU A.K alikuwa na kozi ngumu sana kuliko hata ya huyu DR lakini watu walisoma na wametoka waliokamatwa wanakiri kweli walifanya mistake sehemu fulani fulani.
    9. jamani hakuna wanafunzi wanaosoma siku hizi kama dept ya sociology, hii ni kutokana na nature ya walimu lakini bado walimu wanawakamata vibaya mno. jaribuni kuangalia ratiba ya supllimentary hipo pale utawala inatisha sana upande wa hii dept. na hii inasababishwa na walimu kujisifu wanapokamata wanfunzi wengi kuliko wengine
    10. hivi mnaposema degree sio vyeti mnamaanisha nini? M.A tutasomaje na GPA za 2.6 na 3.0 wakati vyuo vingine wanapata 3.5 mpaka 3.9. jamani elimu bongo inarudi nyuma. na kazi siku hizi zinapatikana kwa GPA nzuri na sio una nini kichwani, na mwajiri ataamini vipi una mambo kichwani wakati una GPA ya 2.0? GPA za sociology zinatisha sana na tutabaki tung'aa sharubu mtaani tu na wenye pesa ndio watakaosoma M.A ulaya kwa mapesa yao.

    aisee nguogani umenigusa sana na naamini wewe umeweka mambo kiundani zaidi, na ndivyo ilivyo. Ila uliponiliza ni kwenye GPA jamani hapa ni tatizo, GPA ni mbovu ajabu, FAITH mwaka huu kuna first class moja, can you imagine? yaani grade C ndio fashion. Kwa hali hii masters tutasoma wapi??? hata vyuo vya nje SCHOLARSHIP hupati kwa LOWER SECOND... Hilo la vitabu nalo ni issue jamani....DR anasema msome kitabu cha KARL MARX & FREDRICK ENGELS ''collected works'' mtatafuta library yote hampati...na hapo mjue mnatakiwa mfanye BOOK REVIEW...kitabu kinakuja kupatikana kwake pekee bado wiki moja mkusanye kazi....kwanini msizime moto kama hali yenyewe ndio hiyo?. Na hapa pa kuappeal ndio kabisa umemaliza... kuna DR mmoja aliwahi kuniambia FASS hakuna APPEAL...labda uko ENGINEER NA B-COM. Nilimuelewa vizuri, nanyi fikirieni mtaelewa anamaanisha.
    Aisee sipo sina mengi ila habari ndio hiyo na ukweli ndio huo... DR MVUNGI A.A.K (mkuu wa dept) lifanyie kazi hili vinginevyo maisha ya wanafunzi yataishia kuaribiwa na watu wachache ambao watoto wao wanasoma CAPETOWN UNIVERSITY na kwingineko.. Pia FAITH bigup dada unaifahamu vizuri dept na unaonyesha kweli umesoma kwenye ile dept inayoboa kuliko EPA au RICHMOND

  5. #5
    JF Senior Expert Member Sipo will become famous soon enough Sipo will become famous soon enough Sipo will become famous soon enough Sipo will become famous soon enough Sipo will become famous soon enough Sipo will become famous soon enough Sipo will become famous soon enough Sipo will become famous soon enough
    Join Date
    Fri Jul 2008
    Location
    SIPAJUI
    Posts
    2,167
    Thanks : 382
    Thanked 433 Times in 294 Posts
    Rep Power
    27

    Default Re: Kiini cha suplementary dept. Ya sociology

    aisee nguogani umenigusa sana na naamini wewe umeweka mambo kiundani zaidi, na ndivyo ilivyo. Ila uliponiliza ni kwenye GPA jamani hapa ni tatizo, GPA ni mbovu ajabu, FAITH mwaka huu kuna first class moja, can you imagine? yaani grade C ndio fashion. Kwa hali hii masters tutasoma wapi??? hata vyuo vya nje SCHOLARSHIP hupati kwa LOWER SECOND... Hilo la vitabu nalo ni issue jamani....DR anasema msome kitabu cha KARL MARX & FREDRICK ENGELS ''collected works'' mtatafuta library yote hampati...na hapo mjue mnatakiwa mfanye BOOK REVIEW...kitabu kinakuja kupatikana kwake pekee bado wiki moja mkusanye kazi....kwanini msizime moto kama hali yenyewe ndio hiyo?. Na hapa pa kuappeal ndio kabisa umemaliza... kuna DR mmoja aliwahi kuniambia FASS hakuna APPEAL...labda uko ENGINEER NA B-COM. Nilimuelewa vizuri, nanyi fikirieni mtaelewa anamaanisha.
    Aisee sipo sina mengi ila habari ndio hiyo na ukweli ndio huo... DR MVUNGI A.A.K (mkuu wa dept) lifanyie kazi hili vinginevyo maisha ya wanafunzi yataishia kuaribiwa na watu wachache ambao watoto wao wanasoma CAPETOWN UNIVERSITY na kwingineko.. Pia FAITH bigup dada unaifahamu vizuri dept na unaonyesha kweli umesoma kwenye ile dept inayoboa kuliko EPA au RICHMOND

  6. #6
    Member Faith will become famous soon enough Faith will become famous soon enough Faith will become famous soon enough Faith will become famous soon enough Faith will become famous soon enough Faith will become famous soon enough Faith will become famous soon enough Faith will become famous soon enough
    Join Date
    Wed Jul 2008
    Posts
    47
    Thanks : 0
    Thanked 0 Times in 0 Posts
    Rep Power
    0

    Default Re: Kiini cha suplementary dept. Ya sociology

    FAITH bigup dada unaifahamu vizuri dept na unaonyesha kweli umesoma kwenye ile dept inayoboa kuliko EPA au RICHMOND

    mimi nimepita hapo FASS japo ni miaka mingi kidogo lakini hali ni ile ile nilioiacha,
    maana enzi zetu kulikua na kina MUSOKE, CHACHAGE hata MVUNGI, hawa kwa kweli walikua wakali mno lakini very fair! japo walikua wanakamata walikua wanakamata ki-haki kabisa!
    kulikua na DR.MESAKI huyu namfagilia kwani alikua na utu sana yaani akiona mna MWAMI, CHACHAGE, MSOKEyeye alikua anajaribu kutowabania maks ili angalau mrudi masomo machache tu
    hata DR. MASANJA ALIKUA VERY FAIR+dr.sanga, lyimo
    ila kuna mwanamama yeye klas alikua naingia mara 2 kwa semister lkn du kukamata balaa(nimemsahau kidogo nikimkumbuka nitamtaja ila alikua anafundisha research)
    kuna waalim kama dora hawakua wabaya
    tatizo lilikua kwa MWAMIyaani ni balaa tatizo kubwa huyu dr. ni UNFAIR KABISA!
    ACHUNGUZWE NA IKIBIDI UTAWALA UMCHUKULIE HATUA MAANA DEPARTMENT WANABEBANA SANA!na si kua hawalijui hilo!
    nina mengi juu ya hii deprtment
    ntarudi baadae
    ila kwa ufupi niwafagilie
    DR. SANGA-RIP
    PROF CHACHAGE-RIP
    DR.MESAKI
    DR.COMMORO
    DR.MVUNGI
    DR.MASANJA
    DORA

    MM! KUNA THOMAS NILIMSAHAU HUYU NAE DU!SAUTI HANA KUTWA KUTOA BOOK REVIEW yaani anaact km ndo head wa department anafuata nyayo za MWAMI
    BAADAE

  7. #7
    JF Senior Expert Member Sipo will become famous soon enough Sipo will become famous soon enough Sipo will become famous soon enough Sipo will become famous soon enough Sipo will become famous soon enough Sipo will become famous soon enough Sipo will become famous soon enough Sipo will become famous soon enough
    Join Date
    Fri Jul 2008
    Location
    SIPAJUI
    Posts
    2,167
    Thanks : 382
    Thanked 433 Times in 294 Posts
    Rep Power
    27

    Default Re: Kiini cha suplementary dept. Ya sociology

    ila kuna mwanamama yeye klas alikua naingia mara 2 kwa semister lkn du kukamata balaa(nimemsahau kidogo nikimkumbuka nitamtaja ila alikua anafundisha research)

    Anaitwa NYONI huyu mama, ni noma kwanza haingii darasani, halafu test zake multiple choice na fill in the blanks...lakini anaua vibaya....DR MESACK umenena...this man give what one deserve to get... hana bias... siku hizi faith yupo MOSES anaua... na yeye alituambia kwenye somo lake la SOCIAL WORK kwamba hakuna mtu wa kupata A mpaka yeye aache kufundisha hiyo kozi... sasa huyu mwalimu au KICHEFUCHEFU...??? jamani hii dept nasema tena MORE THAN REFORMATION vinginevyo mabinti wote watavua G-STRINGS zao bila kupenda ili kupata maksi.... kamwe mimi mdogo wangu hawezi kusoma au kufanya option ndani ya ile dept.... siku ikibidi asome pale UDSM... ITS TERRIBLE JAMANI... mimi sijui kama wenzetu mliosoma vyuo vingine mnatuelewa......halafu SEMINAR LEADERS ndio VICHOMI kabisa na wanaaribu maisha ya wengine..... kwanza system hii ni mbovu kumpa maksi 40 za course work seminar leader na kuzitumia hizi kuwatesa wanafunzi kwa kuwa tu anataka demu halafu ni domo zege. halafu semister iliyopita kulitokea kisa seminar leader mmoja wa M.A mwaka wa kwanza alibambwa akisolvia demu wake wa SECOND YEAR pepa la U.E siku mbili kabla ya pepa... lakini huwezi kuamini kwa kuwa wenzake waliomkamata wote ni wakware hili jambo lilifichwa mkuu wa dept DR MVUNGI hakulipata... jamaa anaendelea kupeta na demu wake akapiga banda... halafu demu kama huyo mwakani unamkuta nae ni seminar leader....huu si UPUMBAVU mkubwa.... kilaza kama huyu kusimamia presentation na kutoa comments hatutafika kwa hali hii.... DARUSO okoeni jahazi kwa kulisimamia hili kidete..... shule sio kubebana ni kukomaa...

    [GEMBE]umepata hiyo ya nguo gani??? nataka kuona comment zako kwenye hili ili wadogo zetu wasome kwa amani na kupata kile wanachostahili kutokana na bongo zao na sio kununulia DR's pombe na wengine kuvua G-STRINGS zao wakati wameacha masela wao mtaani...kwa hali hiii ngoma haitoisha

  8. #8
    JF Senior Expert Member Mwanamalundi will become famous soon enough Mwanamalundi will become famous soon enough Mwanamalundi will become famous soon enough Mwanamalundi will become famous soon enough Mwanamalundi will become famous soon enough Mwanamalundi will become famous soon enough Mwanamalundi will become famous soon enough Mwanamalundi will become famous soon enough
    Join Date
    Thu Aug 2007
    Posts
    403
    Thanks : 0
    Thanked 10 Times in 6 Posts
    Rep Power
    24

    Default Re: Kiini cha suplementary dept. Ya sociology

    Duh!! Vijana mnanimaliza kabisa. Tanzania ufisadi kila kona.

  9. #9
    JF Senior Expert Member Yo Yo will become famous soon enough Yo Yo will become famous soon enough Yo Yo will become famous soon enough Yo Yo will become famous soon enough Yo Yo will become famous soon enough Yo Yo will become famous soon enough Yo Yo will become famous soon enough Yo Yo will become famous soon enough
    Join Date
    Sat May 2008
    Posts
    5,484
    Thanks : 57
    Thanked 59 Times in 41 Posts
    Rep Power
    33

    Default Re: Kiini cha suplementary dept. Ya sociology

    Quote Originally Posted by sipo View Post
    wengine kuvua G-STRINGS zao wakati wameacha masela wao mtaani...kwa hali hiii ngoma haitoisha
    Looool wa karibu yangu anasoma Sociolgy hapo Udsm....chonde chonde nyie waalimu mkigusa hapo tutafikishana mbali....taafadhali sana

  10. #10
    JF Senior Expert Member Belo will become famous soon enough Belo will become famous soon enough Belo will become famous soon enough Belo will become famous soon enough Belo will become famous soon enough Belo will become famous soon enough Belo will become famous soon enough Belo will become famous soon enough
    Join Date
    Mon Jun 2007
    Location
    Nakahuga
    Posts
    2,304
    Thanks : 141
    Thanked 162 Times in 133 Posts
    Rep Power
    28

    Default Re: Kiini cha suplementary dept. Ya sociology

    Quote Originally Posted by Yo Yo View Post
    Looool wa karibu yangu anasoma Sociolgy hapo Udsm....chonde chonde nyie waalimu mkigusa hapo tutafikishana mbali....taafadhali sana
    Kama yuko mwaka wa kwanza bado hawajammega ila mwaka wa 2 na 3 hatapona
    Nobody remain VIRGIN life FUCKS everyone

  11. #11
    Member Faith will become famous soon enough Faith will become famous soon enough Faith will become famous soon enough Faith will become famous soon enough Faith will become famous soon enough Faith will become famous soon enough Faith will become famous soon enough Faith will become famous soon enough
    Join Date
    Wed Jul 2008
    Posts
    47
    Thanks : 0
    Thanked 0 Times in 0 Posts
    Rep Power
    0

    Default Re: Kiini cha suplementary dept. Ya sociology

    Quote Originally Posted by Yo Yo View Post
    Looool wa karibu yangu anasoma Sociolgy hapo Udsm....chonde chonde nyie waalimu mkigusa hapo tutafikishana mbali....taafadhali sana

    mmmmmmmmmmmmmm may be kashaguswa mana kina MWA.. balaa kwa vitoto vya watu!..usihofu wanakutunzia!
    (utani)lol

  12. #12
    JF Premium Member Fidel80 will become famous soon enough Fidel80 will become famous soon enough Fidel80 will become famous soon enough Fidel80 will become famous soon enough Fidel80 will become famous soon enough Fidel80 will become famous soon enough Fidel80 will become famous soon enough Fidel80 will become famous soon enough
    Join Date
    Sat May 2008
    Location
    UVUNGUNI
    Posts
    8,710
    Thanks : 843
    Thanked 1,479 Times in 1,043 Posts
    Rep Power
    40

    Default Re: Kiini cha suplementary dept. Ya sociology

    Quote Originally Posted by Belo View Post
    Kama yuko mwaka wa kwanza bado hawajammega ila mwaka wa 2 na 3 hatapona
    kwi kwi kwi!
    Duh hapo kazi sasa kwa hiyo mrembo mzuri hapo MLIMANI lazima wakubwa wammege??Dah bora kuoa kijijini uzindue mwenyewe.
    **^^+Raha ya mchezo ni kuchezeshana+^^**
    Chuda Raha

    Email: fidel80@jamiiforums.com

  13. #13
    Member Faith will become famous soon enough Faith will become famous soon enough Faith will become famous soon enough Faith will become famous soon enough Faith will become famous soon enough Faith will become famous soon enough Faith will become famous soon enough Faith will become famous soon enough
    Join Date
    Wed Jul 2008
    Posts
    47
    Thanks : 0
    Thanked 0 Times in 0 Posts
    Rep Power
    0

    Default Re: Kiini cha suplementary dept. Ya sociology

    ila kuna mwanamama yeye klas alikua naingia mara 2 kwa semister lkn du kukamata balaa(nimemsahau kidogo nikimkumbuka nitamtaja ila alikua anafundisha research)


    huyu nimemkumbuka anaitwa DR. MWAIPOPO hivi bado yupo??
    yeye alikua kutwa kwenye research zake, akirudi test tena anarudi karibu na UE kwa kukamata nae alikua tishio ila alikua fair mana anakamata kwakua watu hawana cha kujibu kwenye pepa lake!kisa yeye hayupo klas so hakuna anachofundisha hadi mwishonimwishoni mwa semister ndo anakuja!hapo unategemea nn..kwakweli alikua 'anawavua' sana 'samaki'
    alikua anakamata yaani alikua anakimbizana na mwami
    ntarudi tena
    Anaitwa NYONI huyu mama, ni noma kwanza haingii darasani, halafu test zake multiple choice na fill in the blanks...

    Nyoni kipindi chetu was just tutorial assistant alikua anamshikiashikia MUSOKE ila seminar zake watu walikua wanamkimbia mana kimeo alikua

  14. #14
    JF Senior Expert Member MwanajamiiOne will become famous soon enough MwanajamiiOne will become famous soon enough MwanajamiiOne will become famous soon enough MwanajamiiOne will become famous soon enough MwanajamiiOne will become famous soon enough MwanajamiiOne will become famous soon enough MwanajamiiOne will become famous soon enough MwanajamiiOne will become famous soon enough
    Join Date
    Thu Jul 2008
    Location
    TANZANIA
    Posts
    3,087
    Thanks : 2,364
    Thanked 1,159 Times in 683 Posts
    Rep Power
    29

    Default Re: Kiini cha suplementary dept. Ya sociology

    Duh kwa stahili hii kweli Department imeoza..... sasa tufanye nini ? tatizo ni nini? je sheria za chuo za kazi zikoje? kwa nini walimu hawa wanaidharau kazi inayowapa kunya kiasi hiki?
    When You are in love and You get hurt, it's like a cut... it will heal, but there will always be a scar.

  15. #15
    JF Senior Expert Member Belo will become famous soon enough Belo will become famous soon enough Belo will become famous soon enough Belo will become famous soon enough Belo will become famous soon enough Belo will become famous soon enough Belo will become famous soon enough Belo will become famous soon enough
    Join Date
    Mon Jun 2007
    Location
    Nakahuga
    Posts
    2,304
    Thanks : 141
    Thanked 162 Times in 133 Posts
    Rep Power
    28

    Default Re: Kiini cha suplementary dept. Ya sociology

    Nimesikia MISANYA nae wakati anasoma alikuwa kilaza ila Marehemu Prof. Chachage alimbeba
    Nobody remain VIRGIN life FUCKS everyone

  16. #16
    Member Faith will become famous soon enough Faith will become famous soon enough Faith will become famous soon enough Faith will become famous soon enough Faith will become famous soon enough Faith will become famous soon enough Faith will become famous soon enough Faith will become famous soon enough
    Join Date
    Wed Jul 2008
    Posts
    47
    Thanks : 0
    Thanked 0 Times in 0 Posts
    Rep Power
    0

    Default Re: Kiini cha suplementary dept. Ya sociology

    Quote Originally Posted by Belo View Post
    Nimesikia MISANYA nae wakati anasoma alikuwa kilaza ila Marehemu Prof. Chachage alimbeba
    habari ndio hiyo ndugu yaani kilaza balaa/kuliko, mbaya zaidi kilaza hadi sasa!yaani ukiskia maprofesa uchwara wa baadae mmojawapo yeye
    ntarudi ngoja nifanye kazi kidoooooooogo

  17. #17
    JF Senior Expert Member Sipo will become famous soon enough Sipo will become famous soon enough Sipo will become famous soon enough Sipo will become famous soon enough Sipo will become famous soon enough Sipo will become famous soon enough Sipo will become famous soon enough Sipo will become famous soon enough
    Join Date
    Fri Jul 2008
    Location
    SIPAJUI
    Posts
    2,167
    Thanks : 382
    Thanked 433 Times in 294 Posts
    Rep Power
    27

    Default Re: Kiini cha suplementary dept. Ya sociology

    wewe FAITH nani kakwambia baadae tutakuwa na MAPROF kama akina CHACHAGE, MUSHI, HAROUB HOUTHMAN, SHIVJI, MGOGO FIMBO na wengineo,,,kama wapo basi wachache sana,,, hawa wa kuvaa cheni na kuja darasani hakuna lolote,,,, lakini kuna akina DR. KAMATA, NG''WANZA na wengine very few they know what they are doing,,,

    GEMBE na MAMA MIA jamani hamjaiona hii ya NGUOGANI,,,????

  18. #18
    JF Senior Expert Member Mushobozi will become famous soon enough Mushobozi will become famous soon enough Mushobozi will become famous soon enough Mushobozi will become famous soon enough Mushobozi will become famous soon enough Mushobozi will become famous soon enough Mushobozi will become famous soon enough Mushobozi will become famous soon enough
    Join Date
    Mon Aug 2007
    Location
    Buzwagi
    Posts
    405
    Thanks : 3
    Thanked 0 Times in 0 Posts
    Rep Power
    24

    Default Re: Kiini cha suplementary dept. Ya sociology

    poleni wadogo zangu. inasikitisha ila wewe kuwa mwaminifu kama bado unasoma. ninaomba kuwa mwanadini kuwa 'mungu alichokuifadhia kinaweza kucheleweshwa ila hakiwezi kunyang'anywa na mtu yeyote"
    NI HERI NIISHI KAMA BINADAMU ASIYERIDHIKA
    KULIKO KUISHI KAMA NGURUWE ALIYERIDHIKA



    Though pressed and crooked against walls
    I will die fighting back

  19. #19
    JF Senior Expert Member Magobe T is a jewel in the rough Magobe T is a jewel in the rough Magobe T is a jewel in the rough Magobe T is a jewel in the rough Magobe T is a jewel in the rough Magobe T is a jewel in the rough Magobe T is a jewel in the rough Magobe T is a jewel in the rough Magobe T is a jewel in the rough Magobe T is a jewel in the rough Magobe T is a jewel in the rough
    Join Date
    Wed Mar 2008
    Location
    I'm based in Dar es Salaam
    Posts
    1,051
    Thanks : 246
    Thanked 189 Times in 123 Posts
    Rep Power
    65

    Default Re: Kiini cha suplementary dept. Ya sociology

    Quote Originally Posted by nguogani View Post
    HI JEFF, nimejiunga rasmi leo ingawa nimekuwa msomaji wa mada mbalimbali kwenye hii forum. kilichonikuna ni mada ya sipo kuhusu sup hapo UDSM. kusema kweli imenigusa sana na nimesoma michango ya watu, kuna ya kuipa credit na kuna ya kuipuuza, ndio uhuru wa kusema huu. nianze kusema nami ni muathirika wa tatizo hili na si kweli kuwa hatusomi kama baadhi ya washiriki walivyosema ingawa ni kweli kuna ambao dhahiri hawasomi lakini haina maana ya kufanya generalization. kuna mambo makuu ninayotaka kusema:
    1. sup ni kawaida na sehemu ya shule lakini kinachotokea hapa ni sup za lazima na za kukomoana baina ya lecturer na mwanafunzi, kwasababu mwalimu huyu toka mwanzo wa semister anasema ya kuwa hakuna wa kupata B+ hapa na kweli matokeo yakitoka ndivyo ilivyo. je hii ni sahihi kwenye ufundishaji?
    2. somo la huyu mwalimu sio gumu kiasi hicho na kwa wale wanaokumbuka zamani lililkuwa likifundishwa na hayati Prof. Chachage na historia inaonyesha wanafunzi walielewa na aliyefeli alikubali kuwa mzembe. sasa huyu mwalimu toka apokee ni kilio na kusaga meno
    3. hoja ya kusoma vitabu kwa huyu mwalimu sio sahihi kwani tulikuwa tunafuata mbinu zake zote za usomaji alizotaka yeye lakini kwakuwa alishapanga kukamata alikuwa haoni hivyo vitabu kwenye scripts wakati wa kusahihisha.
    4. huyu sipo na mimi au wengine sio tunalalamika ila tunataka watanzania wajue kuwa kuna walimu wachache wanaharibu mfumo wa elimu Tanzania kwa malengo yao binafsi na kuyafanya maisha ya watoto wa maskini kuwa magumu, hata wale wanaojitahidi kwa kila hali.
    5. tabia ya kukemea kwa huyu mwalimu pia ni kuwa na uhusiano na baadhi ya wanafunzi ambapo hudiriki hata kuwapa matokeo kabla hayajawa released. hii tumefanya uchunguzi na tunaongea kwa ushahidi madhubuti na sio bla bla.
    6. kuhusu ku-appeal, jamani nyie sijui mnaujua ukweli kuhusu kuappeal, procedure ni nzuri lakini uhalisia sio hivyo. mwalimu huyu huyu anakwambia katika social sciences hakuna appeal na ukijaribu tu ni lazima udondokee pua. je nani wa kudhubutu. ebu fanyeni uchunguzi kabla ya kushauri jamani
    7. halafu kuhusu dept kurudisha heshima yake, hivi heshima inakuja kwa kufelisha? mbona dept ya PSPA inaheshima yake kubwa tu na haijapatikana kwa kufelisha. hata dept ya GEOGRAPHY hipo juu sana kwa heshima ingawa sio kwa kufelisha.
    8. halafu jamani hata mkuu wa dept ya sociology DR. MVUNGI, ABUU A.K alikuwa na kozi ngumu sana kuliko hata ya huyu DR lakini watu walisoma na wametoka waliokamatwa wanakiri kweli walifanya mistake sehemu fulani fulani.
    9. jamani hakuna wanafunzi wanaosoma siku hizi kama dept ya sociology, hii ni kutokana na nature ya walimu lakini bado walimu wanawakamata vibaya mno. jaribuni kuangalia ratiba ya supllimentary hipo pale utawala inatisha sana upande wa hii dept. na hii inasababishwa na walimu kujisifu wanapokamata wanfunzi wengi kuliko wengine
    10. hivi mnaposema degree sio vyeti mnamaanisha nini? M.A tutasomaje na GPA za 2.6 na 3.0 wakati vyuo vingine wanapata 3.5 mpaka 3.9. jamani elimu bongo inarudi nyuma. na kazi siku hizi zinapatikana kwa GPA nzuri na sio una nini kichwani, na mwajiri ataamini vipi una mambo kichwani wakati una GPA ya 2.0? GPA za sociology zinatisha sana na tutabaki tung'aa sharubu mtaani tu na wenye pesa ndio watakaosoma M.A ulaya kwa mapesa yao.

    mwisho wanaoharibu shule zaidi ni ASSISTANT LECTURER na TUTORIALS nenda kafanye uchunguzi UDSM wana mademu kila seminar anayosimamia. wanawapendelea washkaji na mademu zao kwa kuwapa coursework za juu wakati wale wanao-toil library wanapata 2 ya 10.

    SITULALAMIKI KWANI SUP LAZIMA NIFANYE NA NAAMINI NITATOKA TU ILA NINATOA HALI HALISI KWANI INAUMA SANA KUBANIWA WAKATI ULISTAHILI KUPITA NA KUFANYA MAMBO MENGINE YA KIMAISHA.
    Pole sana ndugu Nguogani. Hiyo hali inatisha sana. Nashauri njia hii - inaweza kusaidia. Unaweza kukusanya malalamiko yote na yaandikwe vizuri kama [COLOR="Blue"anonymous letter[/COLOR].

    Lakini inabidi iandikwe ikielezea matatizo yote kwa namna ambayo mwandishi anaomba mamlaka ya juu iyafanyie kazi. Huenda wakuu wa juu wataanza kufuatilia kwa vile watakuwa na 'clue' ya yale yanayoendelea kwa huyo njemba wa sociology. Huenda ameshachoka kufundisha na hapendi aondoke mwenyewe kwa hiyo anataka aondolewe.

    Try that and we'll see. Hata kama huna hakika kama njia hii itasaidia, ni vizuri kujaribu kuliko kushindwa kujaribu kabisa! Who knows! Inaweza ikafanya kazi.

  20. #20
    Member miguubaja will become famous soon enough miguubaja will become famous soon enough miguubaja will become famous soon enough miguubaja will become famous soon enough miguubaja will become famous soon enough miguubaja will become famous soon enough miguubaja will become famous soon enough miguubaja will become famous soon enough
    Join Date
    Mon Aug 2008
    Location
    Tanzania
    Posts
    36
    Thanks : 0
    Thanked 0 Times in 0 Posts
    Rep Power
    0

    Default Re: Kiini cha suplementary dept. Ya sociology

    Jamani mi naona hapa Dar waajiri waangalie vingi kwani for sure GPA za wadau wa sociology zimeharibiwa sana na hawa walimu wasiojali kabisa hata maisha ya wanafunzi wao ya badae!watu hawana dili za kuwa malecturer wanataka tu GPA zao waendelee na maisha yao.

    For real Sociology inaboa hata kumshauri mtu ajiunge nayo kuna upuuzi mwingi!!

    mademu vilaza sana lakini uliza sasa GPA zao mmmh masuala ya kurembua macho watu wanapeta!

    Lakini poa tu keep on struggling mbona watu hawana hata degree lakini wanatoka!


 

Topic Information

Users Browsing this Topic

There are currently 1 users browsing this thread. (0 members and 1 guests)

     

Tags for this Topic

Bookmarks

Posting Permissions

  • You may not post new threads
  • You may not post replies
  • You may not post attachments
  • You may not edit your posts