Salamu sana wadogo zangu!
Nawaletea majina ya walichaguliwa TCU kwa mwaka 2011/12
NB:- Kwa wale wadogo zangu Group B ,hamjawa allocated Mkopo toka HESLB but endeleeni kujaribu kufuatilia
-Kumbuka kuwa na Adobe Reader kwenye Kompyuta yako
-Bado naendelea na zoezi la kuyafanya yaweze kufunguka kwenye Ms.Word
Poleni wadogo zangu ambao hamjafanikiwa kuchaguliwa na ninawaomba msikate tamaa kwakuwa bado ni wadogo anzeni kwa kozi za Diploma na mjiendeleze mpaka badaye mtapata sifa za kujiunga na Vyuo ziku zijazo kama mimi kaka yenu.
Mimi kaka yenu Saggy.

Reply With Quote
Follow Us Here