Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Lowassa atia fitina uchaguzi DARUSO (UDSM)

    Report Post
    Results 1 to 13 of 13
    1. #1
      KAMBONA's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 8th June 2011
      Posts : 3
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Lowassa atia fitina uchaguzi DARUSO (UDSM)

      lowasa amezihirisha yeye pekee ndio mtu mwenye nguvu kubwa kuliko wote ndani ya chama cha mapinduzi,hii inzidi kujiziirisha baada ya kila mchezo wa fitina anao shiriki kushinda kwa hasirimia zaidi ya 60%,tumeshuhudia kwenye kamati mbalil mbali za bunge,uteuzi wa mabalozi wa nchi.na sasa ameamua kuingia ndani ya uchaguzi wa daruso akiwa na ma Freemasonry watatu kijana wake kipenzi aliye mludisha kambini NAPE NNAUYE,SALUMU ALLY HAPPY na MATHIUS SAIMON KIPARA.hawa ni baadhi ya vijana 40 wa"EDLLE BOYS",ambao atafanya nao kazi ya kuingia ikulu 2015,tayari vijana wake wamekutana na" DARUSO BOARD"kila mjumbe kulamba milion 2,wameshatia mkono kuhakikisha akuna hata kijana mmoja asiyekuwa kada kupita kwenda kupigiwa kura,tayari tumeshuhudia mhanga wa kwanza kutolewa bila hata kuhojiwa bwana LISU,na wamehaidi kuiteka TAHLISO kuiweka chini ya EDDLE kabla ya vijana wake kumalizia UVCCM.MUNGU mbaliki LOWASA,mungu ibaliki TANZANIA.

    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      Zak Malang's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th December 2008
      Posts : 4,835
      Rep Power : 1922
      Likes Received
      187
      Likes Given
      2

      Default Re: Lowasa atia fitina uchaguzi daruso (udsm)

      Mpelekee salamu Nape. Mwambie EL akitoka huko anaingia sektarieti ya chama naye atakuwa hana tena kazi. Atarudi kwa bwanawake Mengi kuendeleza libeneke.

    4. #3
      Mrdash1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2010
      Posts : 1,379
      Rep Power : 1460
      Likes Received
      305
      Likes Given
      201

      Default Re: Lowasa atia fitina uchaguzi daruso (udsm)

      usijali it is Kikwete for presidency 2015

    5. MPG
      #4
      MPG's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th May 2011
      Posts : 483
      Rep Power : 503
      Likes Received
      51
      Likes Given
      4

      Default Re: Lowasa atia fitina uchaguzi daruso (udsm)

      Mwambie NAPE anawaza kwa kutumia makamasi

    6. #5
      Maarko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 490
      Rep Power : 509
      Likes Received
      82
      Likes Given
      29

      Default Re: Lowasa atia fitina uchaguzi daruso (udsm)

      Nape wewe ulitoroka ccj rudi.

    7. Miaka 50

    8. #6
      samirnasri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th November 2010
      Posts : 1,213
      Rep Power : 675
      Likes Received
      169
      Likes Given
      50

      Default Re: Lowasa atia fitina uchaguzi daruso (udsm)

      pumba tupu.

    9. #7
      NgumiJiwe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th March 2011
      Posts : 732
      Rep Power : 614
      Likes Received
      195
      Likes Given
      52

      Default Re: Lowasa atia fitina uchaguzi daruso (udsm)

      degree za UDSM ndipo zilipofikia hapa siku hizi?

    10. #8
      Elli's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 17th March 2008
      Location : Kijito-Upele
      Posts : 8,574
      Rep Power : 2551
      Likes Received
      2142
      Likes Given
      1862

      Default Re: Lowasa atia fitina uchaguzi daruso (udsm)

      Duh, mzee una matatizo ya uandishi au uliandika wakati unafukuzwa? Hebu nenda kwa Mzee Mweteni au Kibogoya hapo chuoni kama bado wapo wakufundishe Communication skills, ok, message imefika kwa wakati hao ndio CCM
      ...but what MAN is entirely without Evil intent in the Silence of his Soul???

    11. #9
      kusisimba's Avatar
      Member Array
      Join Date : 20th May 2011
      Posts : 37
      Rep Power : 413
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: Lowasa atia fitina uchaguzi daruso (udsm)

      mbona hizo ni siasa za maji taka? nape anatakiwa kuendelea na ccj yake.

    12. #10
      moshijeff's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 31st May 2011
      Posts : 102
      Rep Power : 424
      Likes Received
      5
      Likes Given
      4

      Default Re: Lowasa atia fitina uchaguzi daruso (udsm)

      ebana MPG upo sawa kabisa mkubwa, huyu nepi si kichaa? au amepona?

    13. #11
      Rweye's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th March 2011
      Posts : 2,674
      Rep Power : 949
      Likes Received
      414
      Likes Given
      0

      Default Re: Lowassa atia fitina uchaguzi DARUSO (UDSM)

      '11-'15 ccm mtanyea debe

    14. #12
      Leonard Robert's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd April 2011
      Posts : 4,247
      Rep Power : 1263
      Likes Received
      522
      Likes Given
      175

      Default

      Quote By NgumiJiwe
      degree za UDSM ndipo zilipofikia hapa siku hizi?
      we uliziachaje? Changamoto za magamba hukuziacha? Au ulisoma kipindi kile chama kimeshika atamu?

    15. #13
      MVUMBUZI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th January 2011
      Posts : 2,586
      Rep Power : 1089
      Likes Received
      684
      Likes Given
      374

      Default Re: Lowassa atia fitina uchaguzi DARUSO (UDSM)

      Quote By KAMBONA
      lowasa amezihirisha yeye pekee ndio mtu mwenye nguvu kubwa kuliko wote ndani ya chama cha mapinduzi,hii inzidi kujiziirisha baada ya kila mchezo wa fitina anao shiriki kushinda kwa hasirimia zaidi ya 60%,tumeshuhudia kwenye kamati mbalil mbali za bunge,uteuzi wa mabalozi wa nchi.na sasa ameamua kuingia ndani ya uchaguzi wa daruso akiwa na ma Freemasonry watatu kijana wake kipenzi aliye mludisha kambini NAPE NNAUYE,SALUMU ALLY HAPPY na MATHIUS SAIMON KIPARA.hawa ni baadhi ya vijana 40 wa"EDLLE BOYS",ambao atafanya nao kazi ya kuingia ikulu 2015,tayari vijana wake wamekutana na" DARUSO BOARD"kila mjumbe kulamba milion 2,wameshatia mkono kuhakikisha akuna hata kijana mmoja asiyekuwa kada kupita kwenda kupigiwa kura,tayari tumeshuhudia mhanga wa kwanza kutolewa bila hata kuhojiwa bwana LISU,na wamehaidi kuiteka TAHLISO kuiweka chini ya EDDLE kabla ya vijana wake kumalizia UVCCM.MUNGU mbaliki LOWASA,mungu ibaliki TANZANIA.
      Mkuu tumepata ujumbe ila inaonekana kabisa wewe siyo raia wa nchi yetu umetokea Somalia au wapi? hebu angalia kwenye red kwani kama kiswahili cha kuandika kinakuwia kigumu hivi basi utakuwa unaongea kihindi bana dogo. Hapa hujaitendea haki lugha yetu adhimu ya kiswahili mkuu.

      Zaidi sana unaonekana kama Mamluki wa Lowassa na utakuwa wewe hujavuliwa bahari lazima utakuwa imevuliwa kwenye vidimbwi vya maji ya mvua au mabwawa ya maji taka kwa sababu mambo yako tata veve!!!!!!!!!!!.

    Similar Topics

    1. DARUSO wapanga kupitisha mgomo rasmi UDSM
      By Janja PORI in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 30
      Last Post: 15th November 2011, 07:28
    2. Spika wa bunge la daruso-udsm atua ccm, baada ya kuridhishwa na kujivua gamba
      By tindikalikali in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 39
      Last Post: 19th April 2011, 05:49
    3. UONGOZI UDSM, RAIS DARUSO Wanataka kuleta Mgomo.
      By jambo1 in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 15
      Last Post: 5th December 2010, 12:59
    4. Wanafunzi UDSM wagomea uteuzi wa viongozi Daruso
      By BAK in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 21
      Last Post: 20th March 2009, 07:02
    5. Wanafunzi UDSM wagomea uteuzi wa viongozi Daruso
      By BAK in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 0
      Last Post: 18th March 2009, 00:20

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...