Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: mfumo mpya wa kujaza fomu HESLB kwa new applicant na wanaoendelea

    Report Post
    Results 1 to 5 of 5
    1. #1
      China Vach's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 13th March 2011
      Posts : 7
      Rep Power : 416
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default mfumo mpya wa kujaza fomu HESLB kwa new applicant na wanaoendelea

      Hilaw!bodi ya elimu ya juu imeanzisha utaratibu wa kujisajili online wale wanaomba mkopo kwa mara ya kwanza na wale wanaoendelea kutumia website ya olas.heslb.go.tz, pia kwa mujibu wa tangazo lililotolewa na gazeti la mwananchi la tarehe 12 katika page 13, lakini kinachonishangaza katika masharti ya kutumia hakina term inayozungumzia juu ya issue of privacy, wakati faragha ni suala la kikatibu(Article 16 ya katiba ya Tanzania

    2. Miaka 50

    3. #2
      nukta's Avatar
      Member Array
      Join Date : 23rd September 2010
      Posts : 70
      Rep Power : 459
      Likes Received
      8
      Likes Given
      6

      Default Re: mfumo mpya wa kujaza fomu HESLB kwa new applicant na wanaoendelea

      bado hawajatatua kero na gharama za maombi, nahisi huu mfumo utaongeza grarama na usumbufu. kujaza form online baadae uprint na kuzipeleke serekali za mitaa na mahakamani baadae ulipie 30,000/= kupitia mitandao ya simu then uzitume bodi kupitia ems. Sioni kama ni kumrahisishia mwanafunzi?!!!. Kwa nn wasingewaiga tcu unanunua vocha ya malipo bank then unatuma maombi yako online au kwa sms mambo kwisha.

    4. #3
      Fabian John's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 23rd March 2011
      Posts : 1
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      2

      Post Re: mfumo mpya wa kujaza fomu HESLB kwa new applicant na wanaoendelea

      Kwa kweli Tanzania ya leo tunajaribu kwenda na ulimwengu wa utandawazi, kwa maana hiyo huu mfumo wangetakiwa waufanyie marekebisho kidogo kwenye swala la malipo wajitahidi basi kama tcu walivyotumia mfumo wa vocha.

      Naomba watusaidie kutueleza kwa mapana zaidi kuhusu hicho King'amuzi uwezo kinavyo asses hizo form za mikopo kwa wananchi.

    5. #4
      kotinkarwak's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th August 2010
      Posts : 381
      Rep Power : 523
      Likes Received
      116
      Likes Given
      61

      Default Re: mfumo mpya wa kujaza fomu HESLB kwa new applicant na wanaoendelea

      Quote By China Vach
      Hilaw!bodi ya elimu ya juu imeanzisha utaratibu wa kujisajili online wale wanaomba mkopo kwa mara ya kwanza na wale wanaoendelea kutumia website ya olas.heslb.go.tz, pia kwa mujibu wa tangazo lililotolewa na gazeti la mwananchi la tarehe 12 katika page 13, lakini kinachonishangaza katika masharti ya kutumia hakina term inayozungumzia juu ya issue of privacy, wakati faragha ni suala la kikatibu(Article 16 ya katiba ya Tanzania
      Nimeweza kujiandikisha kutafuta mkopo hapa lakini sioni tofauti ya hii system na ile ya zamani. Hapa nachoona tu ni kuwa, unakusanya information zako sehemu moja kwa kujaza vipengele vilivyowekwa na baadae una-print hiyo document na kuanza shughuli ya kuizungusha huku na kule. Hiyo 10,000 au 30,000 sijafahamu ni cost ya nini, je ni ya kutumia haka ka website au ni cost ya wao wizara kuishughulikia application yangu in full.


      btw: Uwe makini kwani ukisha-submit kipengele, hauna njia ya kufanya marekebisho tena.

      Nimeiangalia PDF file ambayo unatakiwa ku-print, naona hapa ndio kikomo cha hii web application kwani sasa, kazi kuwatafuta wakuu wa serikali za mitaa.... JAMANI, bado tuko kwenye mfumo huu wa UJAMAA? Professional signatories wanatosha, vijijini niende kufanya nini...

    6. #5
      thesonofafrica's Avatar
      Member Array
      Join Date : 9th February 2010
      Posts : 50
      Rep Power : 482
      Likes Received
      2
      Likes Given
      1

      Default Re: mfumo mpya wa kujaza fomu HESLB kwa new applicant na wanaoendelea

      MSAADA KUHUSU UJAZAJI FORM ZA MIKOPO ON-LINE PLS:
      Today on 1st.04.2000 I sucessfully registred myself on OLAS.I am an overseas,countinuing,undergrad uate.
      Upon loging in,two links appeared on my left ,one link has the name APPLICATION FORM for continuing students.The Second link was APPEAL FORM.

      1.Before these links,I expeceted first to see A SUB FORM FOR PRELIMINARY INFO Based upon which the subforms would be provided.I never saw this SUBFORM FOR PRELIMINARY INFO as stated in the Guidlines provided by the HESL.Why?any mistake?
      2.now,I Chose the link for CONTINUING STUDENTS APPLICATION FORM.Upon choosing this link,only TWO SUBFORMS Were displayed and those are PERMANENT ADRESS and ADMISSION DETAILS.Is this correct?

      3.The major problem which suprised me is this:I filled the two subforms one after another.However,after filling ,upon clicking the SUBMIT button,each subform could not be submitted and be moved to the right hand side of the application menu as stated in your guidlines.Please note that,I filled all the mandatory feald as requred.Now what is the problem?is something to do with the system itself.

      I have done my part to familiarize mysefl with the GUIDLINES as the board advised.Thats why ,it becomes a suprise for me when the results are different form what I expected after studying the guideline.
      Thanks in advance.

    7. RukaaJuu Final

    Similar Topics

    1. Mfumo mpya ugawaji mikopo HESLB is an Issue
      By buhange in forum Jukwaa la Elimu (Education Forum)
      Replies: 0
      Last Post: 4th November 2011, 00:15
    2. Mch: Dk rwakatare atoa mpya tume ya maadili ;shetan amepoteza fomu zangu
      By Pdidy in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 1
      Last Post: 16th June 2011, 10:29
    3. Una tatizo na kujaza fomu za mikopo?HESLIB
      By Black Bat in forum Jukwaa la Elimu (Education Forum)
      Replies: 1
      Last Post: 11th June 2011, 07:14
    4. Replies: 6
      Last Post: 4th December 2010, 08:01
    5. HESLB: Sheria-mpya!
      By Luther in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 66
      Last Post: 23rd February 2010, 01:03

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...