Kuna mwelekeo wa Festi Ledi (FL) wa Bongo kutuletea Kachanga mwaka huu. Kumekuwa na minong'ono mitaani kwamba mwonekano wa FL unaonyesha kuwa mjamzito.
__________________
Pilato akamwuliza, "Ukweli ni kitu gani"
teh teh mi nilitaka nishangaa mtoto wa kikwere kuenda enda kote huko ulaya na mam sapu fulu AC ,fulu kubembea ,asicheke na nyavu !!!! teh teh hongera mwanakwetu...na hivi umejiunga na facebook mbona tutakuchagulia jina la dogo
__________________
_______________________________ Kagatui kamusii atiagwako ageni=The Oilskin of the house is not for rubbing on the skin of strangers
Kuna mwelekeo wa Festi Ledi (FL) wa Bongo kutuletea Kachanga mwaka huu. Kumekuwa na minong'ono mitaani kwamba mwonekano wa FL unaonyesha kuwa mjamzito.
Huo mwelekeo, hiyo minong'ono mbona kama ipo kwenye mitaa yako tu wengine hatusikii wala kuiona? na ni juthi juthi tu mama tumemwona akiwa kwenye crane kule Jamaica haonyeshi hizo dalili za hii nyepesi nyepesi yako?.
__________________ "Life is not measured by the breaths we take, but by the moments that take our breath away, Keep smiling, it makes people wonder what you're up to."
inawezekana, kwani rais kiutaratibu haruhusiwi kumpa mkewe mimba, kwani kuna siri kuwa rais anashiriki ndoa na mkewe, labda kama angetenda kama ZUMA, kuzini na mademu wengine huko mitaani wakati anandoa za mitaala.
Hapo nilipowekea rangi nyeusi pame-catch attention yangu kwa kweli..,kwa kweli hakuna utaratibu kama huo popote duniani.,sioni kama ni tatizo kwa FL kuwa mjamzito (kama ni kweli), kwani yeye ni mjane?.,nani asiyejua kuwa wanandoa huwa wanashiriki tendo la ndoa ambalo moja ya matokeo yake ni ujauzito?.,au unadhani mheshimiwa haduu, nakumbuka vizuri sana enzi za Tony Blair kule UK (sio Ukerewe) wife wake alipata ujauzito na kujifungua wakati mumewe yu madarakani na haikuwahi kuwa skendo.,ni jambo la kawaida tu, tena yaweza kuwa la kheri sana kwa watz kushuhudia kachanga kanakozaliwa Ikulu
__________________ Every generation revolts against its fathers and makes friends with its grandfathers
inawezekana, kwani rais kiutaratibu haruhusiwi kumpa mkewe mimba, kwani kuna siri kuwa rais anashiriki ndoa na mkewe, labda kama angetenda kama ZUMA, kuzini na mademu wengine huko mitaani wakati anandoa za mitaala.
Hapo nilipowekea rangi nyeusi pame-catch attention yangu kwa kweli..,kwa kweli hakuna utaratibu kama huo popote duniani.,sioni kama ni tatizo kwa FL kuwa mjamzito (kama ni kweli), kwani yeye ni mjane?.,nani asiyejua kuwa wanandoa huwa wanashiriki tendo la ndoa ambalo moja ya matokeo yake ni ujauzito?.,au unadhani mheshimiwa haduu, nakumbuka vizuri sana enzi za Tony Blair kule UK (sio Ukerewe) wife wake alipata ujauzito na kujifungua wakati mumewe yu madarakani na haikuwahi kuwa skendo.,ni jambo la kawaida tu, tena yaweza kuwa la kheri sana kwa watz kushuhudia kachanga kanakozaliwa Ikulu
__________________ Every generation revolts against its fathers and makes friends with its grandfathers