Kuna mwelekeo wa Festi Ledi (FL) wa Bongo kutuletea Kachanga mwaka huu. Kumekuwa na minong'ono mitaani kwamba mwonekano wa FL unaonyesha kuwa mjamzito.
__________________
Pilato akamwuliza, "Ukweli ni kitu gani"
nguvumali
uzuri kipimo cha ubaya, hakuna haki isio ambatana
na wajibu
JF Senior Expert Member
Join Date: Thu Sep 2009
Location: Mwanza
Posts: 1,240
Thanks: 540
Thanked 687 Times in 376 Posts
Rep Power: 23
Re: Ikulu ya JMT Kupata Katoto Mwaka Huu
mtoto ataitwa Lowassa heshima ya urafiki wao , maana hawakukutana njiani, na hii bila shaka itadumisha undugu wao.
kama atazaliwa mtoto wa kike aitwe Sophia, kwa heshima ya Sophia Simba ambapo hii itamkumbusha JK uwepo wa waziri Mwenye tabia za hovyo barazani mwake milele.
__________________ The most potent weapon of the oppressor is the mind of the oppressed
Mke wa Blair (Wakati akiwa Waziri Mkuu) alipojifungua ahari zake zilifika hadi kwenye masoko ya hisa na mitaji ya Uingereza kwa hiyo inawezekanasana habari/hali kama hii kukuhusu/kukuathiri kwa namna moja ama nyingine wakati mwingine bila wewe kufahamu
__________________
Pilato akamwuliza, "Ukweli ni kitu gani"
......watu wa ajabu aisee, hii issue inatuhusu sana kama walipa kodi, labda kama hulipi kodi.....! mtoto atakaye zaliwa directly au indirectly atabenefit kodi za wabongo, mtoto huyo kuna uwezekano akaja ingia NEC, then akapewa u-JK baadaye......so we habari za ujio wake zinatuhusu sana!
__________________ “Without leaps of imagination, or dreaming, we lose the excitement of possibilities. Dreaming, after all, is a form of planning - GLORIA STEINEM.
The Following User Says Thank You to Next Level For This Useful Post:
......watu wa ajabu aisee, hii issue inatuhusu sana kama walipa kodi, labda kama hulipi kodi.....! mtoto atakaye zaliwa directly au indirectly atabenefit kodi za wabongo, mtoto huyo kuna uwezekano akaja ingia NEC, then akapewa u-JK baadaye......so we habari za ujio wake zinatuhusu sana!
hahaaa mpwa auko ki- PAYE zaidi just like me!!!!!!!!!!!!! inahuuu hii habari kwa kweli!!!
__________________ You dont have to win every Argument, Agree to Disagree
The Following User Says Thank You to bht For This Useful Post:
hahaaa mpwa auko ki- PAYE zaidi just like me!!!!!!!!!!!!! inahuuu hii habari kwa kweli!!!
.......cousin watu wanaangalia juu juu tuuuuuu.....twaangalia cash implication, political implication! ona kina Ridhiwan, ona kina January, ona kina Hussen Mwinyi, ona kina Karume, ona kina Malima etc etc etc......acha tu......!
...ukiangalia ka-payslip kako na likodi linavyokatwa unatamani kulia aisee
__________________ “Without leaps of imagination, or dreaming, we lose the excitement of possibilities. Dreaming, after all, is a form of planning - GLORIA STEINEM.
The Following User Says Thank You to Next Level For This Useful Post: