Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kilimo cha mpunga,nimeipenda hii!

    Report Post
    Results 1 to 14 of 14
    1. #1
      Jaguar's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th March 2011
      Location : IRINGA
      Posts : 3,000
      Rep Power : 1085
      Likes Received
      677
      Likes Given
      256

      Default Kilimo cha mpunga,nimeipenda hii!

      Je,unasumbuliwa na ndege waharibifu kwenye shamba lako la mpunga?.Usipate tabu,fanya kama ifuatavyo;jitahidi kuwakamata japo ndege kumi waharibifu~>Wakate miguu yao kisha ikaange mpaka ibaki majivu~>Yale majivu changanya na maji kisha nenda kayapake hayo majivu kona zote za shamba lako. Baada ya kufanya hivyo kuwa huru kufanya shughuli zako kwani ndege waharibifu wote watafanya shamba lako kama sehemu ya kupumzikia tu,njaa ikiwauma watakwenda mashamba ya jirani zako.SOURCE:Mzee mmoja mkulima wa mpunga kijiji cha Mvumi,wilayani Kilosa.

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      Wamisosi's Avatar
      Member Array
      Join Date : 22nd May 2012
      Posts : 55
      Rep Power : 364
      Likes Received
      11
      Likes Given
      2

      Default Re: Kilimo cha mpunga,nimeipenda hii!

      Mzee mwanga huyo

    4. #3
      dudupori's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 6th January 2012
      Posts : 227
      Rep Power : 1434
      Likes Received
      66
      Likes Given
      4

      Default Re: Kilimo cha mpunga,nimeipenda hii!

      Tutaijaribu hiyo teknolojia mkuu!

    5. #4
      Jaguar's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th March 2011
      Location : IRINGA
      Posts : 3,000
      Rep Power : 1085
      Likes Received
      677
      Likes Given
      256

      Default

      Quote By dudupori
      Tutaijaribu hiyo teknolojia mkuu!
      Go n try it for us dudupori.

    6. #5
      Tuyuku's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th January 2011
      Posts : 658
      Rep Power : 559
      Likes Received
      139
      Likes Given
      16

      Default Re: Kilimo cha mpunga,nimeipenda hii!

      ukitaka demu wako asimegwe?

    7. Miaka 50

    8. #6
      Kima Mchanga's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 3rd October 2011
      Location : Dynamic
      Posts : 4,496
      Rep Power : 11225
      Likes Received
      605
      Likes Given
      446

      Default Re: Kilimo cha mpunga,nimeipenda hii!

      Du!!!!

    9. #7
      Never give up's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th September 2009
      Location : miles from nowhere
      Posts : 3,637
      Rep Power : 1219
      Likes Received
      722
      Likes Given
      585

      Default Re: Kilimo cha mpunga,nimeipenda hii!

      huyo mzee atakuwa anatumia nguvu za giza maana nimelima sana mpunga sikuwahi kusikia hii.

    10. #8
      Jaguar's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th March 2011
      Location : IRINGA
      Posts : 3,000
      Rep Power : 1085
      Likes Received
      677
      Likes Given
      256

      Default

      Quote By Never give up
      huyo mzee atakuwa anatumia nguvu za giza maana nimelima sana mpunga sikuwahi kusikia hii.
      Never give up!

    11. #9
      matungusha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th December 2010
      Location : Juu Ya Mti
      Posts : 528
      Rep Power : 534
      Likes Received
      92
      Likes Given
      197

      Default Re: Kilimo cha mpunga,nimeipenda hii!

      Quote By Tuyuku
      ukitaka demu wako asimegwe?
      Nadhan itabid utafute nyeti za wanaume kama watano hivi wanaommega then kata dushelele zao zikaange mpaka ziwe majivu then mpake mwili mzima....no one will go there.
      WAHEED SUDAY likes this.
      Kama huwezi kulipa Tsh 200 basi piga mbizi...Mh Magufuli

    12. #10
      Jaguar's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th March 2011
      Location : IRINGA
      Posts : 3,000
      Rep Power : 1085
      Likes Received
      677
      Likes Given
      256

      Default

      Quote By Tuyuku
      ukitaka demu wako asimegwe?
      Ahaah!very simple,umewahi kuona jani kavu la mhindi likipepea angani na kimbunga?basi unalifukuzia lile jani mpaka unahakikisha umelidaka kabla halijagusa ardhi.Baada ya hapo kalichome moto,chukua majivu yake kisha changanya na unga wa tangawizi.Paka huo unga kwenye kichwa ya mtulinga wako,then mwingilie your dearest one,she will never cheat on you!

    13. #11
      Jaguar's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th March 2011
      Location : IRINGA
      Posts : 3,000
      Rep Power : 1085
      Likes Received
      677
      Likes Given
      256

      Default

      Quote By matungusha
      Nadhan itabid utafute nyeti za wanaume kama watano hivi wanaommega then kata dushelele zao zikaange mpaka ziwe majivu then mpake mwili mzima....no one will go there.
      Yeeuuw!

    14. #12
      WAHEED SUDAY's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th June 2011
      Posts : 2,844
      Rep Power : 2970
      Likes Received
      479
      Likes Given
      318

      Default Re: Kilimo cha mpunga,nimeipenda hii!

      Quote By Tuyuku
      ukitaka demu wako asimegwe?
      Mlete kwangu hatamegwa tena
      Just a charcoal, don't expect anything white

    15. #13
      equivocal's Avatar
      Member Array
      Join Date : 11th September 2011
      Posts : 17
      Rep Power : 392
      Likes Received
      2
      Likes Given
      1

      Default Re: Kilimo cha mpunga,nimeipenda hii!

      naomba u2weke sawa, ukikaanga ki2 unapatapata mjivu kweliiiiiii au kuchomaaaaa

    16. #14
      Katavi's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 31st August 2009
      Location : Lyamba Lya Mfipa
      Posts : 19,586
      Rep Power : 16766
      Likes Received
      2483
      Likes Given
      1846

      Default

      Quote By Jaguar
      Ahaah!very simple,umewahi kuona jani kavu la mhindi likipepea angani na kimbunga?basi unalifukuzia lile jani mpaka unahakikisha umelidaka kabla halijagusa ardhi.Baada ya hapo kalichome moto,chukua majivu yake kisha changanya na unga wa tangawizi.Paka huo unga kwenye kichwa ya mtulinga wako,then mwingilie your dearest one,she will never cheat on you!
      Mweee.....hizi teknolojia za asili mbona ngumu namna hii.

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...