Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Situation zingine usiombe zikukute.

    Report Post
    Page 2 of 2 FirstFirst 12
    Results 21 to 21 of 21
    1. #1
      Jaguar's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th March 2011
      Location : IRINGA
      Posts : 3,000
      Rep Power : 1085
      Likes Received
      677
      Likes Given
      256

      Default Situation zingine usiombe zikukute.

      Kuna jamaa mmoja baada ya kuzidiwa na haja kubwa aliamua kuingia kwenye shamba la mahindi la bwana mmoja.Alipofika katikati ya shamba,akaangalia pande zote nane kuu za dunia hakuona mtu yeyote karibu.Hapo ndipo alipochukua uamuzi wa kubonyea chini na kuendelea ku-offload mzigo.Akiwa kati kati ya shughuli,mara akasikia salamu kutoka kwa mwenye shamba akiwa nyuma yake,"Habari za saizi bwana?".Ungekuwa wewe ungefanyaje? [a]Ungejibu salamu. [b]Ungemchunia na kuendelea na shughuli huku kakusimamia nyuma yako. [c]Ungekatiza shughuli na kuondoka zako.
      driller likes this.

    2. Miaka 50

    3. #21
      simba29's Avatar
      Member Array
      Join Date : 22nd June 2011
      Location : Arusha
      Posts : 29
      Rep Power : 406
      Likes Received
      1
      Likes Given
      18

      Default

      Pia zinaendelea mpaka 16. . .hyo ndo jogorafia ,hutak- unaomba po?

    Page 2 of 2 FirstFirst 12

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...