Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Pm za watu

    Report Post
    Results 1 to 8 of 8
    1. #1
      Excellent's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th December 2009
      Posts : 5,559
      Rep Power : 2284
      Likes Received
      2347
      Likes Given
      4083

      Post Pm za watu

      PM/emails/inbox za girls/ladies

      1.I love u dear (kutoka Vicent)
      2.Nakuja kukuchukua kesho asubuhi(from Joseph)
      3.Huwa najihisi vibaya nikikuona na mwanaume mwingine(from Alex)
      4.Jamani mammy usisahau kuja kwenye birthday yangu (from Anita)
      5.Nitafanya kila kitu ili uwe wangu (from Peter)
      6.Najua ur taken but wunt mind being ur number two (from Kevin)


      Pm/emails/inbox za wanaume.
      1.You have insufficient funds to renew your daily data bundles (from zantel)
      2.Huna masikio wewe?usinisumbue nimeshkuambia nimeolewa (from Jane)
      3.Usinisumbue tena ain't ur type (from Stella)
      4.Hakikisha huu mwezi usilete story zako kama mwezi uliopita (from Landlord)
      5.I never knew u could be a player,its over between us (from sookie/girlfriend)
      6.Sijaona siku zangu huu ni mwezi wa 2 sasa (from mke wa jirani)
      7.Oya tutakosana niletee DVD zangu (from Danny)


      Mwanaume mwanaume tu,anapata inbox kavu na hana stress.
      Last edited by Excellent; 10th July 2012 at 22:31.
      sakapal and Mtanzanika like this.
      Mbuzi kafia kwa mwuza supu.

    2. Miaka 50

    3. #2
      sakapal's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 1,185
      Rep Power : 3649
      Likes Received
      767
      Likes Given
      2334

      Default Re: Pm za watu

      umesahau hii

      kama hujaja na laki tatu leo nilizokwambia ninashida nazo usije kabisa na naenda jolies kuzitafuta(frm anitha-nyumba ndogo)
      leo usisahau ada ya salome na hela yangu ya kwenda kusuka baba salome (frm wife)
      si nilikwambia kaka huyo mke siyoo tangu hujamtolea mahari ona sasa anavokupa presha, cheupe dawa huyu shoga yangu anakupenda kweli (frm sis mariam)
      hakikisha kesho asubuhi unanikabidhi barua zote za kwenda wizarani zenye madai ya wafanyakazi mwezi huu (frm boss)
      lol! bado gangwe tuu!
      Excellent and Mtanzanika like this.

    4. #3
      Kilahunja's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th December 2011
      Posts : 935
      Rep Power : 562
      Likes Received
      161
      Likes Given
      3

      Default Re: Pm za watu

      Hahaha
      Excellent likes this.

    5. #4
      Mtanzanika's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th February 2012
      Posts : 493
      Rep Power : 463
      Likes Received
      73
      Likes Given
      189

      Default Re: Pm za watu

      hahaaha!!!!Wanaume tumeumbwa .............................. .kuhangaikaaaaaaa!!!!!!!
      "Serikali inayowashwa wananchi tu ndo wakunaji"

    6. #5
      Excellent's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th December 2009
      Posts : 5,559
      Rep Power : 2284
      Likes Received
      2347
      Likes Given
      4083

      Default Re: Pm za watu

      Quote By sakapal
      umesahau hii

      kama hujaja na laki tatu leo nilizokwambia ninashida nazo usije kabisa na naenda jolies kuzitafuta(frm anitha-nyumba ndogo)
      leo usisahau ada ya salome na hela yangu ya kwenda kusuka baba salome (frm wife)
      si nilikwambia kaka huyo mke siyoo tangu hujamtolea mahari ona sasa anavokupa presha, cheupe dawa huyu shoga yangu anakupenda kweli (frm sis mariam)
      hakikisha kesho asubuhi unanikabidhi barua zote za kwenda wizarani zenye madai ya wafanyakazi mwezi huu (frm boss)
      lol! bado gangwe tuu!
      hapo ndo huwa tunaona dunia chungu
      Mbuzi kafia kwa mwuza supu.

    7. RukaaJuu Final

    8. #6
      Excellent's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th December 2009
      Posts : 5,559
      Rep Power : 2284
      Likes Received
      2347
      Likes Given
      4083

      Default Re: Pm za watu

      Quote By Mtanzanika
      hahaaha!!!!Wanaume tumeumbwa .............................. .kuhangaikaaaaaaa!!!!!!!
      halafu hatukati tamaa
      Mbuzi kafia kwa mwuza supu.

    9. #7
      Kilahunja's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th December 2011
      Posts : 935
      Rep Power : 562
      Likes Received
      161
      Likes Given
      3

      Default

      Quote By Excellent
      halafu hatukati tamaa
      poleni

    10. #8
      Excellent's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th December 2009
      Posts : 5,559
      Rep Power : 2284
      Likes Received
      2347
      Likes Given
      4083

      Default Re: Pm za watu

      Quote By Kilahunja
      poleni
      halafu jibu PM yangu basi
      Mbuzi kafia kwa mwuza supu.

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...