Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mwanasheria na muuza nyama

    Report Post
    Results 1 to 11 of 11
    1. #1
      Mtanzanika's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th February 2012
      Posts : 503
      Rep Power : 469
      Likes Received
      76
      Likes Given
      204

      Default Mwanasheria na muuza nyama

      Mwanasheria alikua na mbwa wake.Siku moja mbwa aliingia Buchani akaiba nyama na kukimbia.
      Muuza nyama akamfuata Mwanasheria. "Mbwa wako akiingia buchani kwangu nakuiba nyama, Je napaswa kukudai malipo?"
      Mwanasheria: "Ndio"
      Muuza nyama: Ok nakudai 12,000/=
      Mwanasheria akamlipa Muuza nyama.
      Baada ya siku kama nne hivi muuza nyama alikuta bahasha buchani kwake,alipoifungua ilikua karatasi imetoka kwa Mwanasheria imeandikwa "45,000/=, ada ya kumwona Mwanasheria (Consultation Fee)"
      "Serikali inayowashwa wananchi tu ndo wakunaji"


    2. #2
      Jakubumba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th March 2011
      Location : United states
      Posts : 1,214
      Rep Power : 730
      Likes Received
      312
      Likes Given
      130

      Default

      Quote By Mtanzanika View Post
      Mwanasheria alikua na mbwa wake.Siku moja mbwa aliingia Buchani akaiba nyama na kukimbia.
      Muuza nyama akamfuata Mwanasheria. "Mbwa wako akiingia buchani kwangu nakuiba nyama, Je napaswa kukudai malipo?"
      Mwanasheria: "Ndio"
      Muuza nyama: Ok nakudai 12,000/=
      Mwanasheria akamlipa Muuza nyama.
      Baada ya siku kama nne hivi muuza nyama alikuta bahasha buchani kwake,alipoifungua ilikua karatasi imetoka kwa Mwanasheria imeandikwa "45,000/=, ada ya kumwona Mwanasheria (Consultation Fee)"
      So what??????=)))))))))))

    3. #3
      Mr.Professional's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th October 2010
      Location : Dar
      Posts : 1,514
      Rep Power : 744
      Likes Received
      210
      Likes Given
      95

      Default Re: Mwanasheria na muuza nyama

      Duh huyo mwanasheria ni bomba la jembe
      Mtanzanika likes this.
      for further assistance please press "CTRL + W"

    4. #4
      VUTA-NKUVUTE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2011
      Posts : 1,801
      Rep Power : 5611
      Likes Received
      1040
      Likes Given
      163

      Default Re: Mwanasheria na muuza nyama

      Si mchezo. Swali moja tu malipo kibao...
      Mtanzanika likes this.

    5. #5
      Luluka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th October 2011
      Posts : 586
      Rep Power : 571
      Likes Received
      119
      Likes Given
      89

      Default Re: Mwanasheria na muuza nyama

      Ha ha ha ha!nimeipenda hiyo!na mimi ntaanza kucharge consultation fee!
      Mtanzanika likes this.


    6. #6
      Gele vaheke's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 22nd March 2012
      Posts : 138
      Rep Power : 392
      Likes Received
      6
      Likes Given
      2

      Default Re: Mwanasheria na muuza nyama

      Safi sana
      Mtanzanika likes this.

    7. #7
      Mtanzanika's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th February 2012
      Posts : 503
      Rep Power : 469
      Likes Received
      76
      Likes Given
      204

      Default Re: Mwanasheria na muuza nyama

      Quote By Jakubumba View Post
      So what??????=)))))))))))
      Kwani Great Thinker wangu wewe ulikua unatakaje?!!?!?!?!?
      "Serikali inayowashwa wananchi tu ndo wakunaji"

    8. #8
      Man KKK's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Location : Ndani ya Laptop
      Posts : 789
      Rep Power : 521
      Likes Received
      94
      Likes Given
      46

      Default Re: Mwanasheria na muuza nyama

      kidogo........
      Mtanzanika likes this.

    9. #9
      Jaguar's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th March 2011
      Location : IRINGA
      Posts : 3,000
      Rep Power : 1089
      Likes Received
      679
      Likes Given
      256

      Default

      Quote By Mtanzanika View Post
      Kwani Great Thinker wangu wewe ulikua unatakaje?!!?!?!?!?
      I'm sure huyu jamaa hajakuelewa but mimi nimekusoma vizuri kabisa,bravo!
      Mtanzanika likes this.

    10. #10
      Mtanzanika's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th February 2012
      Posts : 503
      Rep Power : 469
      Likes Received
      76
      Likes Given
      204

      Default Re: Mwanasheria na muuza nyama

      Quote By Jaguar View Post
      I'm sure huyu jamaa hajakuelewa but mimi nimekusoma vizuri kabisa,bravo!
      Pamoja mkuu
      "Serikali inayowashwa wananchi tu ndo wakunaji"

    11. #11
      simba29's Avatar
      Member Array
      Join Date : 22nd June 2011
      Location : Arusha
      Posts : 29
      Rep Power : 409
      Likes Received
      1
      Likes Given
      18

      Default Re: Mwanasheria na muuza nyama

      Wanasema "elimu ikukomboe". . .

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...