Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: hawa ndo wanasiasa wetu bana!

    Report Post
    Results 1 to 8 of 8
    1. #1
      mnyikungu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th July 2009
      Location : IRINGA
      Posts : 478
      Rep Power : 595
      Likes Received
      63
      Likes Given
      41

      Default hawa ndo wanasiasa wetu bana!

      kuna mbunge mmja wa njombe aliamua kufanya ziara mbalimbali kwenye jimbo lake, alipokuwa huko akaruhusu wananchi watoe malalamiko yao na kisha yeye kuyajibu, mambo yalikuwa kama ifuatavyo:-
      swali la kwanza lilitoka kwa wanafunzi: mheshimiwa sisi tuna matatizo sana na labalatory zetu sasa wewe kama mbunge wetu utatusaidiaje?
      jibu kutoka kwa mheshimiwa: aisee! kwanza nashangaa sana kitu kidogo kama hicho hamkuniambia mapema, hizo laboratory ziko nyingi sana dar es salaam, waalimu na viongozi wengine mliopo hapa naomba mnikumbushe nikifika dar salaam ninunue hizo laboratory kisha niwaletee wanafunzi waweze kusoma
      swali la pili lilitoka kwa wananchi wa kwawaida: mheshimiwa kuna hili jambo la katiba mpya, sasa wewe kama mheshimiwa utatusaidiaje ili tupate katiba imara?
      jibu kutoka kwa mheshimiwa: wananchi wangu mnataka katiba imaraaaa?(wakajibu ndiyooooooooo!), ok ok ok, nina marafiki zangu wengi sana tutachangishana pesa kisha tutaenda kununua saruji(sument) ya kutosha ili tuwezeshe hili zoezi la kujenga katiba iwe imara kabisa, msihofu kabisa

      hawa ndo wabunge wetu wa std 7 bana.

    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      Mr.Kombo's Avatar
      Member Array
      Join Date : 26th June 2012
      Posts : 59
      Rep Power : 359
      Likes Received
      2
      Likes Given
      0

      Default Re: hawa ndo wanasiasa wetu bana!

      mnh! uwiiii hiyo kali

    4. #3
      WAHEED SUDAY's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th June 2011
      Posts : 2,844
      Rep Power : 2970
      Likes Received
      479
      Likes Given
      318

      Default Re: hawa ndo wanasiasa wetu bana!

      Huyu mp si ni yule mzee ya mitusi aka niwachane nisiwachane........!
      Just a charcoal, don't expect anything white

    5. #4
      THK DJAYZZ's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th September 2011
      Posts : 1,873
      Rep Power : 840
      Likes Received
      96
      Likes Given
      0

      Default Re: hawa ndo wanasiasa wetu bana!

      Searching...100%
      Loading...100%
      Network Connected !

      Near by Tunduma Mbeya.

    6. #5
      Excellent's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th December 2009
      Posts : 5,552
      Rep Power : 2283
      Likes Received
      2347
      Likes Given
      4030

      Default Re: hawa ndo wanasiasa wetu bana!

      Kuna moja anaitwa Mateo Qaresi aliwaahidi watu kuwaletea umeme.ikaja uchaguzi mwingine akaanza tena kuomba kura.,akaulizwa maswali.

      Mmama(mwananchi):we tangu ulipopata kura uchaguzi uliopita hukuonekana tena jimboni je tukikupa kura tena si ndo
      hurudi?
      Mbunge:We mmama unataka kila saa niwafuatilie nye tu nisifanya kazi za serikali?au ulitaka niwe napiga picha na wewe?

      Mwananchi mwengine:uliahidi umeme mpaka leo hamna,halafu unaomba tena kura,mambo si yale yale?
      Mbunge:sasa kama hamjajenga nyumba za maana nikileta umeme niwafungie nyaya kwenye masikio?
      Mbuzi kafia kwa mwuza supu.

    7. Miaka 50

    8. #6
      mgodi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th November 2010
      Posts : 994
      Rep Power : 631
      Likes Received
      113
      Likes Given
      81

      Default

      Quote By Excellent
      Kuna moja anaitwa Mateo Qaresi aliwaahidi watu kuwaletea umeme.ikaja uchaguzi mwingine akaanza tena kuomba kura.,akaulizwa maswali.

      Mmama(mwananchi):we tangu ulipopata kura uchaguzi uliopita hukuonekana tena jimboni je tukikupa kura tena si ndo
      hurudi?
      Mbunge:We mmama unataka kila saa niwafuatilie nye tu nisifanya kazi za serikali?au ulitaka niwe napiga picha na wewe?

      Mwananchi mwengine:uliahidi umeme mpaka leo hamna,halafu unaomba tena kura,mambo si yale yale?
      Mbunge:sasa kama hamjajenga nyumba za maana nikileta umeme niwafungie nyaya kwenye masikio?
      Majibu kama haya yanatakiwa uombe ulinzi wa vijana wa Kova mapema.

    9. #7
      Erickb52's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2010
      Location : Chit-Chat
      Posts : 16,459
      Rep Power : 50824
      Likes Received
      9372
      Likes Given
      14588

      Default Re: hawa ndo wanasiasa wetu bana!

      dah matheo noma

    10. #8
      Masuke's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th February 2008
      Posts : 2,176
      Rep Power : 1009
      Likes Received
      382
      Likes Given
      81

      Default

      Quote By Excellent
      Kuna moja anaitwa Mateo Qaresi aliwaahidi watu kuwaletea umeme.ikaja uchaguzi mwingine akaanza tena kuomba kura.,akaulizwa maswali.

      Mmama(mwananchi):we tangu ulipopata kura uchaguzi uliopita hukuonekana tena jimboni je tukikupa kura tena si ndo
      hurudi?
      Mbunge:We mmama unataka kila saa niwafuatilie nye tu nisifanya kazi za serikali?au ulitaka niwe napiga picha na wewe?

      Mwananchi mwengine:uliahidi umeme mpaka leo hamna,halafu unaomba tena kura,mambo si yale yale?
      Mbunge:sasa kama hamjajenga nyumba za maana nikileta umeme niwafungie nyaya kwenye masikio?
      Mkuu huyo alikuwa ni mbunge wetu toka kanda ya ziwa na sasa ni marehemu, Ernest Nyanda, kwenye umeme anatolea mfano sasa unataka mimi nipeleke umeme kwenye jumba kama kale kanyasi na ukimuuliza kuhusu barabara anakuuliza wewe una gari mpaka unataka barabara na mwishoni anawachana hata msiponipigia kura mimi nitashinda tu na jamaa alikuwa anashinda kweli mpaka alipokufa 2001 ndo akapoteza ubunge.

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...