Kuna moja anaitwa Mateo Qaresi aliwaahidi watu kuwaletea umeme.ikaja uchaguzi mwingine akaanza tena kuomba kura.,akaulizwa maswali.
Mmama(mwananchi):we tangu ulipopata kura uchaguzi uliopita hukuonekana tena jimboni je tukikupa kura tena si ndo
hurudi?
Mbunge:We mmama unataka kila saa niwafuatilie nye tu nisifanya kazi za serikali?au ulitaka niwe napiga picha na wewe?
Mwananchi mwengine:uliahidi umeme mpaka leo hamna,halafu unaomba tena kura,mambo si yale yale?
Mbunge:sasa kama hamjajenga nyumba za maana nikileta umeme niwafungie nyaya kwenye masikio?
Follow Us Here