mke wa jamaa na mamamkwe wanagombana
mamamkwe:nakwambia mwanangu lazima anisikilize,alinyonya ziwa hili kwa miaka miwili!hawezi kukusikiliza wewe kikaragosi!
mke:hahaha,alikunyonya miaka 2?mimi ameninyonya kwa miaka 5 na bado ananinyonya!
mamamkwe:mwanaharamu wewe,nakwambia mwanangu hakusikilizi we mbwa,nimembeba tumboni miezi 9,leo aje akusikilize we changudoa?
mke:heheheheiyaa,utajijua bibie,we ulimbeba miezi tisa akiwa na kilo 2,hah?sasa kwa miaka 5 nimekuwa nambeba kifuani kwangu kila usiku,na sasa ana kilo 90!
Follow Us Here