Mama na mwanae walikuwa
ndani ya tax usiku
wakapitishwa mitaa ambyo
kuna wanawake wanaojiuza
kukawa na mazungumzo hvi
mtoto:mama hao watu walio
cmama pembezon mwa bara2
wanafanya nn?
Mama:wanasubri waume zao
watoke kazni waje
... kuwachukua
dereva tax:c umwambie mtoto
ukwel kuwa ni malaya na
hapo walipo wanasubr
wanaume wasex nao kwa
malipo.
Mtoto:mama watoto wanaozaa
hawa wanawake huwa
wanafanya kazi gani?
Mama:huwa wanakuwa
madreva tax.


Reply With Quote


Follow Us Here