Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Wa mwisho ndo mshindi...

    Report Post
    Page 4 of 42 FirstFirst ... 2345614 ... LastLast
    Results 61 to 80 of 833
    1. #1
      Wambuzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th November 2011
      Posts : 442
      Rep Power : 535
      Likes Received
      90
      Likes Given
      138

      Default Wa mwisho ndo mshindi...

      Habari wana jf, naomba tucheze mchezo unaitwa "wa mwisho ndo mshindi"......... Ni mchezo rahisi sana, unaanzisha sentensi kwenye neno la mwisho la sentensi aloandika mwenzako..

      Mfano:

      Ualimu tanzania ni kazi ngumu kiasi

      kiasi ambacho kama hukuzoea maisha ya tabu, utalalama kila siku

      siku uianze vizuri bwana, ukiianza vibaya lazima utukane mwenzio

      mwenzio ni mtu ambaye mnaweka hisia zenu pamoja bila kusalitiana kama dr. Ulimboka na madkatari

      madaktari wa tanzania wanahitaji kulipwa zaidi.................... (tuendelee kwa mtindo huo wana jf, wa mwisho ndo winner.. Karibuni sana)

    2. FemaTV & Radio

    3. #61
      misorgenes's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 7th October 2010
      Posts : 170
      Rep Power : 471
      Likes Received
      14
      Likes Given
      3

      Default Re: Wa mwisho ndo mshindi

      ngano hutumika kutengenezea vitu vingi!

    4. #62
      Shark's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 25th January 2010
      Posts : 4,573
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1305
      Likes Given
      245

      Default

      Quote By misorgenes
      ngano hutumika kutengenezea vitu vingi!
      Vingi vilivyoahidiwa na Rais wakati wa kampeni bado havijafanyika kabisa

    5. #63
      SALOK's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th September 2011
      Location : Some where!!
      Posts : 1,169
      Rep Power : 620
      Likes Received
      222
      Likes Given
      207

      Default

      Quote By chen
      ngano si sembe.....
      sembe ni unga uliosindikwa kutokana na nafaka za mahindi!

    6. #64
      felinda's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd June 2012
      Location : mwanza
      Posts : 272
      Rep Power : 402
      Likes Received
      55
      Likes Given
      45

      Default Re: Wa mwisho ndo mshindi

      mahindi ndio zao kuu la watanzania

    7. #65
      mtamanyali's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th December 2011
      Posts : 602
      Rep Power : 496
      Likes Received
      137
      Likes Given
      186

      Default Re: Wa mwisho ndo mshindi

      watanzania ni vipaji hebu angalia watu wanavyotiririka na huu uzi, yaani unanifanya nijisikie raha hadi nasahau kuwa naongozwa na mr dhaifu na chama chake
      Rural Swagga likes this.

    8. Miaka 50

    9. #66
      comson's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 22nd December 2010
      Location : Dar
      Posts : 187
      Rep Power : 463
      Likes Received
      7
      Likes Given
      25

      Default Re: Wa mwisho ndo mshindi

      chake yeye na mwenzake wa liwalo na liwe,
      "udhaifu ma serikali yetu ndio umetufikisha hapa tulipo...." liwalo na liwe naunga mkono hoja.........

    10. #67
      Wambuzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th November 2011
      Posts : 442
      Rep Power : 535
      Likes Received
      90
      Likes Given
      138

      Default Re: Wa mwisho ndo mshindi

      Liwe jitu la miraba minne, lifupi na linene....... litaweza kupigana na kamanda.

    11. #68
      PayGod's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th March 2008
      Posts : 1,158
      Rep Power : 803
      Likes Received
      42
      Likes Given
      22

      Default Re: Wa mwisho ndo mshindi

      Kamanda yule aliyeusika kumtesa dr ulimboka yuko wap,au amepewa kazi nyingine na Mr dhaifu?

    12. #69
      Utingo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th December 2009
      Location : Lyazumbi
      Posts : 4,417
      Rep Power : 1380
      Likes Received
      588
      Likes Given
      404

      Default Re: Wa mwisho ndo mshindi

      tabia ya kung'oana meno au kucha bila ganzi ikome mara moja hata kama mnataka kuua
      Without justice – Government is nothing but a band of robbers

    13. #70
      oldonyo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th August 2011
      Posts : 536
      Rep Power : 500
      Likes Received
      71
      Likes Given
      0

      Default Re: Wa mwisho ndo mshindi

      Kujamba ni kupumua

    14. #71
      felinda's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd June 2012
      Location : mwanza
      Posts : 272
      Rep Power : 402
      Likes Received
      55
      Likes Given
      45

      Default Re: Wa mwisho ndo mshindi

      kupumua ni lazma kwa kila binadamu.

    15. #72
      Wambuzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th November 2011
      Posts : 442
      Rep Power : 535
      Likes Received
      90
      Likes Given
      138

      Default Re: Wa mwisho ndo mshindi

      Binadamu wana wivu sana haswa wanapoona mtu amefanikiwa

    16. #73
      Baba V's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th December 2010
      Location : Buguruni Mnyamani
      Posts : 10,811
      Rep Power : 30203
      Likes Received
      4652
      Likes Given
      3477

      Default

      Quote By chen
      Ngano si sembe.....
      sembe ya bakhresa ndo kila kitu!

    17. #74
      Baba V's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th December 2010
      Location : Buguruni Mnyamani
      Posts : 10,811
      Rep Power : 30203
      Likes Received
      4652
      Likes Given
      3477

      Default

      Quote By PayGod
      Kamanda yule aliyeusika kumtesa dr ulimboka yuko wap,au amepewa kazi nyingine na Mr dhaifu?
      Dhaifu mwili na akili,kalikoroga kwa wamarekani kuhusu Irani

    18. #75
      Baba V's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th December 2010
      Location : Buguruni Mnyamani
      Posts : 10,811
      Rep Power : 30203
      Likes Received
      4652
      Likes Given
      3477

      Default

      Quote By Wambuzi
      Binadamu wana wivu sana haswa wanapoona mtu amefanikiwa
      amefanikiwa kupata demu mzuri

    19. #76
      Kibwebwe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th June 2012
      Posts : 279
      Rep Power : 402
      Likes Received
      30
      Likes Given
      11

      Default Re: Wa mwisho ndo mshindi

      Amefanikiwa kuhamasisha matumizi ya condom

    20. #77
      Ennie's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th January 2011
      Location : DAR ES SALAAAM
      Posts : 1,594
      Rep Power : 817
      Likes Received
      498
      Likes Given
      539

      Default

      Quote By Wambuzi
      Binadamu wana wivu sana haswa wanapoona mtu amefanikiwa
      Amefanikiwa kuanzisha uzi pacha wa Jf game of the year.

    21. #78
      Baba V's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th December 2010
      Location : Buguruni Mnyamani
      Posts : 10,811
      Rep Power : 30203
      Likes Received
      4652
      Likes Given
      3477

      Default

      Quote By Utingo
      tabia ya kung'oana meno au kucha bila ganzi ikome mara moja hata kama mnataka kuua
      Kuua mtatuua sana ili muishi vizuri na wanenu
      Utingo likes this.

    22. #79
      Baba V's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th December 2010
      Location : Buguruni Mnyamani
      Posts : 10,811
      Rep Power : 30203
      Likes Received
      4652
      Likes Given
      3477

      Default

      Quote By Kibwebwe
      Amefanikiwa kuhamasisha matumizi ya condom
      Kondom zenyewe siku hizi zimechakachuliwa!

    23. #80
      waleoleo's Avatar
      Member Array
      Join Date : 18th June 2012
      Posts : 36
      Rep Power : 356
      Likes Received
      11
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Pombekali
      Kondom zenyewe siku hizi zimechakachuliwa!
      zimechakakuliwa hela za watoto yatima ijekua za wakachuo

    Page 4 of 42 FirstFirst ... 2345614 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...