Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Wa mwisho ndo mshindi...

    Report Post
    Page 3 of 42 FirstFirst 1234513 ... LastLast
    Results 41 to 60 of 833
    1. #1
      Wambuzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th November 2011
      Posts : 442
      Rep Power : 535
      Likes Received
      90
      Likes Given
      139

      Default Wa mwisho ndo mshindi...

      Habari wana jf, naomba tucheze mchezo unaitwa "wa mwisho ndo mshindi"......... Ni mchezo rahisi sana, unaanzisha sentensi kwenye neno la mwisho la sentensi aloandika mwenzako..

      Mfano:

      Ualimu tanzania ni kazi ngumu kiasi

      kiasi ambacho kama hukuzoea maisha ya tabu, utalalama kila siku

      siku uianze vizuri bwana, ukiianza vibaya lazima utukane mwenzio

      mwenzio ni mtu ambaye mnaweka hisia zenu pamoja bila kusalitiana kama dr. Ulimboka na madkatari

      madaktari wa tanzania wanahitaji kulipwa zaidi.................... (tuendelee kwa mtindo huo wana jf, wa mwisho ndo winner.. Karibuni sana)

    2. Miaka 50

    3. #41
      Profesa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th October 2010
      Location : Anywhere in Africa
      Posts : 511
      Rep Power : 750
      Likes Received
      219
      Likes Given
      322

      Default Re: Wa mwisho ndo mshindi

      Quote By daughter
      Mwisho wa ubaya aibu.
      Auibu hii ya madai ya Madaktari kutaka huduma za afya ziboreshwe lakini serikali haioni inachoona ni kile cha maslahi tu na kung'ang'ania hapo kutupotosha, sijui CCM ikiangushwa viongozi watajificha wapi.

    4. #42
      salito's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th December 2011
      Location : Dar es salaam
      Posts : 971
      Rep Power : 568
      Likes Received
      215
      Likes Given
      138

      Default Re: Wa mwisho ndo mshindi

      wapi pa kwenda sisi walala hoi tunwoshindwa kulipia matibabu hospital za binafsi ndio tatizo..lakini magamba wao wataenda nje nchi ikichafuka.
      gstar likes this.

    5. #43
      Madame B's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th April 2012
      Location : KINO CLAIN
      Posts : 12,461
      Rep Power : 28584
      Likes Received
      8063
      Likes Given
      5865

      Default

      Quote By salito
      wapi pa kwenda sisi walala hoi tunwoshindwa kulipia matibabu hospital za binafsi ndio tatizo..lakini magamba wao wataenda nje nchi ikichafuka.
      Ikichafuka unaitoa unaweka ingine ili BF wako asiione hyo shuka iliyotapakaa Shedo nyekundu.

    6. #44
      Candy kisses's Avatar
      Member Array
      Join Date : 4th June 2011
      Posts : 46
      Rep Power : 412
      Likes Received
      9
      Likes Given
      1

      Default Re: Wa mwisho ndo mshindi

      Aibu pale taulo linapoanguka mbele ya mama mkwe

    7. #45
      Madame B's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th April 2012
      Location : KINO CLAIN
      Posts : 12,461
      Rep Power : 28584
      Likes Received
      8063
      Likes Given
      5865

      Default

      Quote By Candy kisses
      Aibu pale taulo linapoanguka mbele ya mama mkwe
      Nenda kwa Step,
      unatuharibia Game letu bhana.
      mjasiria, NDINDA and Wambuzi like this.

    8. RukaaJuu Final

    9. #46
      VUTA-NKUVUTE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2011
      Posts : 1,703
      Rep Power : 724
      Likes Received
      892
      Likes Given
      125

      Default Re: Wa mwisho ndo mshindi

      Mama mkwe si mkeo

    10. #47
      omben's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th May 2012
      Posts : 342
      Rep Power : 420
      Likes Received
      92
      Likes Given
      336

      Default Re: Wa mwisho ndo mshindi

      Mama mkwe akijifungua utasema hongera mama umetuletea shemeji

    11. #48
      Sting's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd June 2011
      Location : Mafichoni
      Posts : 673
      Rep Power : 535
      Likes Received
      132
      Likes Given
      45

      Default

      Quote By Madame B
      Ikichafuka unaitoa unaweka ingine ili BF wako asiione hyo shuka iliyotapakaa Shedo nyekundu.
      Nyekundu Kama Rangi iongezwe kwenye bendera yetu kureflect matukio mbalimbali ya umwagaji damu
      gstar likes this.

    12. #49
      Zimba's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 30th July 2011
      Posts : 107
      Rep Power : 416
      Likes Received
      8
      Likes Given
      0

      Default Re: Wa mwisho ndo mshindi

      mkwe wake anamtumia kama ATM.

    13. #50
      WAHEED SUDAY's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th June 2011
      Posts : 2,844
      Rep Power : 2970
      Likes Received
      479
      Likes Given
      318

      Default Re: Wa mwisho ndo mshindi

      Quote By daughter
      Mwisho wa ubaya aibu.
      Aibu inayowakumba ziongozi wetu ni matokeo ya maovu wanayoyafanya
      Just a charcoal, don't expect anything white

    14. #51
      felinda's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd June 2012
      Location : mwanza
      Posts : 272
      Rep Power : 402
      Likes Received
      55
      Likes Given
      45

      Default Re: Wa mwisho ndo mshindi

      wanayoyafanya viongozi wa nchi ni kuondoa aman iliyopo tanzania.

    15. #52
      HardMartin's Avatar
      Member Array
      Join Date : 8th June 2012
      Posts : 88
      Rep Power : 367
      Likes Received
      10
      Likes Given
      0

      Default Re: Wa mwisho ndo mshindi

      Tanzania bila magamba inawezekana.

    16. #53
      salito's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th December 2011
      Location : Dar es salaam
      Posts : 971
      Rep Power : 568
      Likes Received
      215
      Likes Given
      138

      Default

      Quote By Sir. Burn
      Nyekundu Kama Rangi iongezwe kwenye bendera yetu kureflect matukio mbalimbali ya umwagaji damu
      damu salama inahitajika jaman kwa ndugu zetu wagonjwa wenye upungufu wa damu.usisahau kuchangia hata kama hakuna madaktari wa kuwahudumia lakini sisi tuwe tumewajibika kivyetu.
      Wambuzi likes this.

    17. #54
      Leonard Robert's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd April 2011
      Posts : 4,247
      Rep Power : 1262
      Likes Received
      522
      Likes Given
      175

      Default Re: Wa mwisho ndo mshindi

      Wengi wanasema bora afe Dhaifu kuliko Ulimboka

    18. #55
      Wambuzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th November 2011
      Posts : 442
      Rep Power : 535
      Likes Received
      90
      Likes Given
      139

      Default Re: Wa mwisho ndo mshindi

      Quote By salito
      damu salama inahitajika jaman kwa ndugu zetu wagonjwa wenye upungufu wa damu.usisahau kuchangia hata kama hakuna madaktari wa kuwahudumia lakini sisi tuwe tumewajibika kivyetu.
      kivyetu vyetu ni sehemu ya kibwagizo kinachosikika kwenye nyimbo za msanii mmoja aliewahi kutikisa bongo flava kwa jina la Inspector Haroun, ila kwa sasa amefulia

    19. #56
      Wambuzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th November 2011
      Posts : 442
      Rep Power : 535
      Likes Received
      90
      Likes Given
      139

      Default Re: Wa mwisho ndo mshindi

      Amefulia kwa sababu alendekeza misosi, mitungi na pamba na kusahau kipaji

    20. #57
      felinda's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd June 2012
      Location : mwanza
      Posts : 272
      Rep Power : 402
      Likes Received
      55
      Likes Given
      45

      Default

      Quote By Wambuzi
      Amefulia kwa sababu alendekeza misosi, mitungi na pamba na kusahau kipaji
      kipaji ndo mpango mzma.

    21. #58
      Wambuzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th November 2011
      Posts : 442
      Rep Power : 535
      Likes Received
      90
      Likes Given
      139

      Default Re: Wa mwisho ndo mshindi

      Quote By felinda
      kipaji ndo mpango mzma.
      Mzima ni neno lililokua linaniponyoka kila nilipotaka kuitaja sekondari ya Mzizima

    22. #59
      felinda's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd June 2012
      Location : mwanza
      Posts : 272
      Rep Power : 402
      Likes Received
      55
      Likes Given
      45

      Default Re: Wa mwisho ndo mshindi

      mzizima ni kiwanda kinachotengeneza unga wa ngano....

    23. #60
      chen's Avatar
      Member Array
      Join Date : 12th February 2012
      Posts : 60
      Rep Power : 379
      Likes Received
      6
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By felinda
      mzizima ni kiwanda kinachotengeneza unga wa ngano....
      Ngano si sembe.....

    Page 3 of 42 FirstFirst 1234513 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...