kuna jama alikuwa anamlalamikia dem wake ile mbaya MAMBO YALIKUWA HIVI.
Jamaa: kwanini umeniita nije kwenu wakati we haupo !
Dem: jamani dia si uliniambia siku kukiwa hamna mtu nyumbani ndo nikuite sasa nimekosea nini hun !
kuna jama alikuwa anamlalamikia dem wake ile mbaya MAMBO YALIKUWA HIVI.
Jamaa: kwanini umeniita nije kwenu wakati we haupo !
Dem: jamani dia si uliniambia siku kukiwa hamna mtu nyumbani ndo nikuite sasa nimekosea nini hun !
Demu kilaza huyo. Na mwanaume gani uende kwa demu?
ishiii subiri mademu waje
ASIYEUMBA HAUMBUI
Follow Us Here