Nampenda kila mtu,wengine napenda kuwa karibu nao,wengine napenda kuwakwepa,wengine napenda kuwapiga ngumi za uso hahaha!
Nampenda kila mtu,wengine napenda kuwa karibu nao,wengine napenda kuwakwepa,wengine napenda kuwapiga ngumi za uso hahaha!
Wengi tuna wazo la Tanzania tunayoitaka/hitaji,tutafikaje huko ?
Heeee! Mpenzi mambo?
Good night shemeji uporoto. Hapa nimetoka kapa, sijajua wazungumzia nini. Nisalimie husni popote alipo.
son,kweli tulikufundisha upendo. wanasema dont do anything without a passion,lol!
Napita bandugu!
Uporoto na uparato ni maneno ya aina ya kichaga wa rombo na maana yake ni Uharisho au kinyesi lainiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.
mapenzi kizunguzungu
"BUSINESS FOR FRIENDSHIP IS BETTER THAN FRIENDSHIP FOR BUSINESS"
Follow Us Here