Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Tetesi :onyo kwa mashabiki wa arsenal

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 22
    1. #1
      Kintiku's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2011
      Posts : 434
      Rep Power : 506
      Likes Received
      169
      Likes Given
      108

      Default Tetesi :onyo kwa mashabiki wa arsenal

      Katika utafiti uliofanyika kwenye hospital ya Muhimbili, imebainika kuwa asilimia 80% ya watu wenye umri kati ya miaka 15- 57 nchini Tanzania wanaosumbuliwa na ugonjwa wa moyo ni mashabiki wa Arsenal.

      Kwa mujibu wa Dr Mwandamizi wa magonjwa ya moyo toka kitengo cha moyo (jina limehifadhiwa), alisema aliamua kufanya utafiti huo baada ya kuona wagonjwa wengi ambao wamekuwa wakifikishwa hapo wanakuwa wamevaa jezi za timu ya Arsenal, halafu wamekuwa wakijisonya sonya aah Wenger, Fabregas, Van Persie etc.

      Aligundua kuwa mioyo ya mashabiki wa Arsenal huwa juu juu sana timu yao inapocheza kwani hugongeana pasi sana na mtu hufikiri kuwa sasa wanafunga bao, hivyo kujiandaa kushangilia..............gooo gooo gooooo aaaaaaaaaaaaaaah, basi moyo unakuwa unapanda na kushuka kitu ambacho ni hatari sana . Hivyo wengi hujikuta wanapata magonjwa ya moyo.

      Katika utafiti huo alikuwa na sampuli ya wagonjwa 1,000 kutoka nchini kote, na 60% walisema wao ni mashabiki wa Arsenal

      Source: Unpublished report of Dr................

    2. Miaka 50

    3. #2
      Bucad's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 15th August 2011
      Posts : 120
      Rep Power : 416
      Likes Received
      20
      Likes Given
      0

      Default Re: Tetesi :onyo kwa mashabiki wa arsenal

      Ebwana huo utafiti ni wa ukweli kabisaaaaa!na nimeukubali haswa!mbona mfano mzuri ni wenger mwenyewe afya yake kila kukicha inazidi zorota utakuta mara aanze kuvua koti mara alegeze tai mara aanze kunywa maji hovyo utasema labda yeye ndiye anayecheza mara aanze kupiga mateke chupa ya ani hizo zote ni dalili za pressure na hata akili zake kama unakuwa makini sometimes unaona kabisa zinapoteza network.sasa njoo kwa vitoto vyake!mungu wangu kila siku vinadumaa badala ya kukua na wale waliobahatika kukua wanastuka na kukimbia na kiukweli msimu huu nina uhakika tutawizika mashabiki wengi wa arsenal na hata wenger sijui kama atamaliza msimu salama kutokana na matitizo hayo!

    4. #3
      LiverpoolFC's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th April 2011
      Posts : 6,645
      Rep Power : 11271
      Likes Received
      1465
      Likes Given
      570

      Default Re: Tetesi :onyo kwa mashabiki wa arsenal

      Mi nawaonea huruma sana ktk mechi ya kesho itakayopigwa 2:45pm ya hapo East Africa. Cha zaidi ni huyo doctor ajiandae kuwapokea wagonjwa wengi. Luisz Suaressssss!!!! Ndani ya nyumba. Patachimbika.

    5. #4
      SILENT WHISPER's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th June 2009
      Posts : 2,045
      Rep Power : 917
      Likes Received
      570
      Likes Given
      156

      Default Re: Tetesi :onyo kwa mashabiki wa arsenal

      ----..! WATU WALIOANZA KUSHABIKIA MECHI JUZI UTAWAJUA TU..! ..players move....sisi wakongwe wa ushabiki tulishazoea..!
      POLITICIAN, ONE WHO SHAKES YOUR HAND BEFORE ELECTION AND YOUR CONFIDENCE LATER

    6. #5
      Viper's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st December 2007
      Location : Zaragoza (Spain)
      Posts : 3,336
      Rep Power : 3365
      Likes Received
      1080
      Likes Given
      769

      Default Re: Tetesi :onyo kwa mashabiki wa arsenal

      Mods hii ipelekwe kwenye lile jukwaa Jokes na Utani .. haijakaa ki sports !
      “Not only am I better looking….I’m just plain better.”
      Arsenal My heart Juventus My soul

    7. Study Abroad

    8. #6
      Henge's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th May 2009
      Posts : 5,440
      Rep Power : 1674
      Likes Received
      918
      Likes Given
      1673

      Default Re: Tetesi :onyo kwa mashabiki wa arsenal

      MASABURI YANAFANYA KAZI Yake!
      TUKIWAKAMATA MAFISADI NCHI ITAYUMBA by PINDA

    9. #7
      Ringo Edmund's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th May 2010
      Location : MDAWI
      Posts : 3,670
      Rep Power : 1360
      Likes Received
      885
      Likes Given
      586

      Default Re: Tetesi :onyo kwa mashabiki wa arsenal

      kwa taarifa yako hakuna mashabiki wenye roho ngumu kama wa arsenal,liverpool hao unaowasema ni man u.
      mfano ni fagason huyu mzee anatumia big g zenye dawa ya kubalansi mapigo ya moyo.
      wenga ni mfano wa watu wenye afya nzuri duniani wengine ni putin,obama,sarkozy,maurinho nk.wenye bp fargason,mubarak,mfaransa aliyeondoka liva,na wengine wote wenye vitambi.
      pumzisha hayo masaburi kwani unayachosha kwa kufikiri mashudu.
      ​kusema ni fedha na kusikilizwa ni zahabu.

    10. #8
      Jaguar's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th March 2011
      Location : IRINGA
      Posts : 3,000
      Rep Power : 1085
      Likes Received
      677
      Likes Given
      256

      Default

      Quote By RINGO EDMUND
      kwa taarifa yako hakuna mashabiki wenye roho ngumu kama wa arsenal,liverpool hao unaowasema ni man u.<br />
      mfano ni fagason huyu mzee anatumia big g zenye dawa ya kubalansi mapigo ya moyo.<br />
      wenga ni mfano wa watu wenye afya nzuri duniani wengine ni putin,obama,sarkozy,maurinho nk.wenye bp fargason,mubarak,mfaransa aliyeondoka liva,na wengine wote wenye vitambi.<br />
      pumzisha hayo masaburi kwani unayachosha kwa kufikiri mashudu.
      <br />
      <br />
      sijui wanakumbuka mechi yao ManYoo dhidi ya barca,mzee fergie atetema kama saddam anavishwa kitanzi.

    11. #9
      Kintiku's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2011
      Posts : 434
      Rep Power : 506
      Likes Received
      169
      Likes Given
      108

      Default Re: Tetesi :onyo kwa mashabiki wa arsenal

      Kwa kutambua hilo kesho FA wameandaa ambulance tatu spesho kwa ajili ya kuwahisha mashabiki wa Arsenal hospital. Ambulance mbili zitakuwa na cardiologists na mitambo ya huduma ya kwanza kwa mgonjwa aliyepata shambulizi la moyo.

      Source: Yahoo!

    12. #10
      Kintiku's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2011
      Posts : 434
      Rep Power : 506
      Likes Received
      169
      Likes Given
      108

      Default Re: Tetesi :onyo kwa mashabiki wa arsenal

      Arsenal wamefanya tena- mashabiki watatu wameanguka uwanjani ambulance zimewabeba- mlioangalia mechi ya leo mmeona. Hapa Dar tunasubiri ripoti ya Muhimbili kesho

    13. #11
      Galileo Galilei's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th February 2011
      Posts : 6,278
      Rep Power : 1607
      Likes Received
      559
      Likes Given
      3

      Default Re: Tetesi :onyo kwa mashabiki wa arsenal

      Unatafuta vita na mashabiki wa Arsenal

    14. #12
      mchemsho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th June 2011
      Posts : 2,015
      Rep Power : 809
      Likes Received
      269
      Likes Given
      20

      Default

      Quote By Kintiku
      Katika utafiti uliofanyika kwenye hospital ya Muhimbili, imebainika kuwa asilimia 80% ya watu wenye umri kati ya miaka 15- 57 nchini Tanzania wanaosumbuliwa na ugonjwa wa moyo ni mashabiki wa Arsenal.<br />
      <br />
      Kwa mujibu wa Dr Mwandamizi wa magonjwa ya moyo toka kitengo cha moyo (jina limehifadhiwa), alisema aliamua kufanya utafiti huo baada ya kuona wagonjwa wengi ambao wamekuwa wakifikishwa hapo wanakuwa wamevaa jezi za timu ya Arsenal, halafu wamekuwa wakijisonya sonya aah Wenger, Fabregas, Van Persie etc.<br />
      <br />
      Aligundua kuwa mioyo ya mashabiki wa Arsenal huwa juu juu sana timu yao inapocheza kwani hugongeana pasi sana na mtu hufikiri kuwa sasa wanafunga bao, hivyo kujiandaa kushangilia..............gooo gooo gooooo aaaaaaaaaaaaaaah, basi moyo unakuwa unapanda na kushuka kitu ambacho ni hatari sana . Hivyo wengi hujikuta wanapata magonjwa ya moyo.<br />
      <br />
      Katika utafiti huo alikuwa na sampuli ya wagonjwa 1,000 kutoka nchini kote, na 60% walisema wao ni mashabiki wa Arsenal<br />
      <br />
      <b>Source: Unpublished report of Dr................</b>
      <br />
      <br />
      whatever..! hata tufungwe mimi ni aseno sio maniyuuu.!

    15. #13
      Washawasha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th August 2006
      Location : jo'burg
      Posts : 4,004
      Rep Power : 1454
      Likes Received
      456
      Likes Given
      891

      Default Re: Tetesi :onyo kwa mashabiki wa arsenal

      tuwe Wazalendo tuzipende timu ze2 hizo za wazungu tuwaachie wenyewe. Mie ni mshabiki wa Mapweza Fc

    16. #14
      SHERRIF ARPAIO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th August 2010
      Location : The Bronx
      Posts : 2,864
      Rep Power : 1038
      Likes Received
      1065
      Likes Given
      386

      Default Re: Tetesi :onyo kwa mashabiki wa arsenal

      Quote By Kintiku
      Katika utafiti uliofanyika kwenye hospital ya Muhimbili, imebainika kuwa asilimia 80% ya watu wenye umri kati ya miaka 15- 57 nchini Tanzania wanaosumbuliwa na ugonjwa wa moyo ni mashabiki wa Arsenal.

      Kwa mujibu wa Dr Mwandamizi wa magonjwa ya moyo toka kitengo cha moyo (jina limehifadhiwa), alisema aliamua kufanya utafiti huo baada ya kuona wagonjwa wengi ambao wamekuwa wakifikishwa hapo wanakuwa wamevaa jezi za timu ya Arsenal, halafu wamekuwa wakijisonya sonya aah Wenger, Fabregas, Van Persie etc.

      Aligundua kuwa mioyo ya mashabiki wa Arsenal huwa juu juu sana timu yao inapocheza kwani hugongeana pasi sana na mtu hufikiri kuwa sasa wanafunga bao, hivyo kujiandaa kushangilia..............gooo gooo gooooo aaaaaaaaaaaaaaah, basi moyo unakuwa unapanda na kushuka kitu ambacho ni hatari sana . Hivyo wengi hujikuta wanapata magonjwa ya moyo.

      Katika utafiti huo alikuwa na sampuli ya wagonjwa 1,000 kutoka nchini kote, na 60% walisema wao ni mashabiki wa Arsenal

      Source: Unpublished report of Dr................
      Basi mwaka huu kwa mwenendo wa Arsenal FC mmmmmnnnhh wengi wao watakufa na high blood pressure
      He who knows, and knows that he knows, is a wise man, emulate him.
      He who knows not, and knows not that he knows not, is a fool, shun him.

    17. #15
      Kintiku's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2011
      Posts : 434
      Rep Power : 506
      Likes Received
      169
      Likes Given
      108

      Default Re: Tetesi :onyo kwa mashabiki wa arsenal

      Mhh,

      Jamani ilikuwa shughuli pevu maana mashabiki wa Arsenal badala ya kupata matatizo ya moyo tu, kufungwa huko kuliambatana na kuhara pia. It is the right time the man in charge to say gooodbye. Msipofanya shinikizo jamaa kuondoka mtaendelea kupata cardiac arrhythmia etc.

    18. #16
      jitu la kale's Avatar
      Member Array
      Join Date : 29th December 2010
      Posts : 43
      Rep Power : 433
      Likes Received
      2
      Likes Given
      0

      Default Re: Tetesi :onyo kwa mashabiki wa arsenal

      Wazungu hawapendi unene,wenger kaishi sn japan,kule chakula chao ni samaki na mboga mboga kwa wingi,Wafrika tunaamini kwenye vitambi na kunenepeana hadi unapumua ovyo ovyo kama...,aka tyson wa kulala bungen ndo kuwa na pesa.WENGER ana afya timamu kuzidi hata Fagie.

    19. #17
      JF-BAN1's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 13th April 2011
      Posts : 10,447
      Rep Power : 0
      Likes Received
      3753
      Likes Given
      2889

      Default Re: Tetesi :onyo kwa mashabiki wa arsenal

      Dahh, huu utafiti una ka ukweli ingawa wa kutunga. Gozi langu toka jana limenuna na swaum hizi ndio usiseme, naogopa hata kumsemesha, hasira zake za kufungwa asinimalizie mimi.. lol.

    20. #18
      Also me's Avatar
      Member Array
      Join Date : 17th August 2011
      Posts : 47
      Rep Power : 401
      Likes Received
      3
      Likes Given
      2

      Default Re: Tetesi :onyo kwa mashabiki wa arsenal

      .....dah! hawa majamaa cku hzi wamekuwa wabunifu, 2meamua 2waite
      ARSENAAANE!....

    21. #19
      Shine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2011
      Posts : 9,131
      Rep Power : 2418
      Likes Received
      936
      Likes Given
      377

      Default

      Quote By Kintiku
      Katika utafiti uliofanyika kwenye hospital ya Muhimbili, imebainika kuwa asilimia 80% ya watu wenye umri kati ya miaka 15- 57 nchini Tanzania wanaosumbuliwa na ugonjwa wa moyo ni mashabiki wa Arsenal.<br />
      <br />
      Kwa mujibu wa Dr Mwandamizi wa magonjwa ya moyo toka kitengo cha moyo (jina limehifadhiwa), alisema aliamua kufanya utafiti huo baada ya kuona wagonjwa wengi ambao wamekuwa wakifikishwa hapo wanakuwa wamevaa jezi za timu ya Arsenal, halafu wamekuwa wakijisonya sonya aah Wenger, Fabregas, Van Persie etc.<br />
      <br />
      Aligundua kuwa mioyo ya mashabiki wa Arsenal huwa juu juu sana timu yao inapocheza kwani hugongeana pasi sana na mtu hufikiri kuwa sasa wanafunga bao, hivyo kujiandaa kushangilia..............gooo gooo gooooo aaaaaaaaaaaaaaah, basi moyo unakuwa unapanda na kushuka kitu ambacho ni hatari sana . Hivyo wengi hujikuta wanapata magonjwa ya moyo.<br />
      <br />
      Katika utafiti huo alikuwa na sampuli ya wagonjwa 1,000 kutoka nchini kote, na 60% walisema wao ni mashabiki wa Arsenal<br />
      <br />
      <b>Source: Unpublished report of Dr................</b>
      <br />
      <br />
      Utafiti wa kufikirika na wakijuha

    22. #20
      Cha Moto's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd July 2011
      Location : Kijijini
      Posts : 937
      Rep Power : 586
      Likes Received
      131
      Likes Given
      247

      Default Re: Tetesi :onyo kwa mashabiki wa arsenal

      Yanga + Arsenal = ??????????

    23. FemaTV & Radio
    Page 1 of 2 12 LastLast

    Similar Topics

    1. Fabregas awaomba radhi mashabiki wa Arsenal!
      By Dj Khalid in forum Sports
      Replies: 8
      Last Post: 17th August 2011, 18:47
    2. Replies: 0
      Last Post: 30th July 2010, 11:21
    3. Mashabiki wa Man U na Arsenal kuweni waangalifu
      By Ab-Titchaz in forum Sports
      Replies: 4
      Last Post: 30th March 2010, 18:36
    4. Replies: 3
      Last Post: 28th January 2010, 23:15

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...