Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Simba wanataka kufungua kesi dhidi ya tanesco

    Report Post
    Results 1 to 4 of 4
    1. #1
      Lighondi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Location : Wahapahapa
      Posts : 266
      Rep Power : 605
      Likes Received
      27
      Likes Given
      60

      Default Simba wanataka kufungua kesi dhidi ya tanesco

      Kuna tetesi zisizothibitishwa kwamba Simba Sports Club wanataka kuwashtaki Tanesco kwa kuvunja moja ya kipengele kikuu (major term) cha mkataba. Kwa mujibu wa mkataba wao Tanesco walitakiwa kukata umeme dakika tano kabla ya mpira kuisha endapo Simba ingekuwa imefungwa ili ikibidi gemu irudiwe siku nyingine. Japo kwa kufanya hivyo ingeleta gharama nyingi zisizokuwa za lazima kwa TFF. Lakini Tanesco waliamua kukata umeme baada ya mpira kuisha na timu hiyo ktunukiwa ushindi wa pili.
      Viongozi wa timu wako kwenye maandalizi ya ku-file kesi!

      Wanasheria vp hapa jamaa wanaweza kushinda kweli!!
      "Work like you don't need the money. Love like you've never been hurt. Dance
      like nobody is watching." - Mark Twain


    2. #2
      JF-BAN1's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 13th April 2011
      Posts : 10,447
      Rep Power : 0
      Likes Received
      3753
      Likes Given
      2889

      Default Re: Simba wanataka kufungua kesi dhidi ya tanesco

      Udaku mwingine hauna kichwa wala miguu!

    3. #3
      Ulimakafu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th March 2011
      Location : Itabanya Balasi
      Posts : 11,262
      Rep Power : 2670
      Likes Received
      722
      Likes Given
      1639

      Default Re: Simba wanataka kufungua kesi dhidi ya tanesco

      Watafanikiwa tu,maana mtaalam wa vipengele-Rage yupo.

    4. #4
      First Born's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th July 2011
      Location : Tanzania Vijiweni
      Posts : 2,724
      Rep Power : 951
      Likes Received
      432
      Likes Given
      199

      Default Re: Simba wanataka kufungua kesi dhidi ya tanesco

      Meneja mshabiki wa Yanga, we sema aliamua kufanya hivo huenda kwa sababu alimega hela za Simba.

    Similar Topics

    1. Procedures za kushitaki/kufungua kesi
      By Kalunguine in forum Jukwaa la Sheria (The Law Forum)
      Replies: 2
      Last Post: 15th August 2011, 18:23
    2. kesi dhidi ya sophia simba-ilikuwa tishia nyau...?
      By The Kop in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 1
      Last Post: 3rd May 2011, 12:49
    3. Replies: 7
      Last Post: 19th February 2011, 10:00
    4. Msaada wa kufungua jarada la kesi kwa mary chatanda
      By urasa in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 0
      Last Post: 11th January 2011, 07:43
    5. Mtikila, wenzake kufungua kesi dhidi ya mafisadi
      By BAK in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 12
      Last Post: 15th July 2008, 12:07

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...