Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kisa cha abunuasi na tamaa ya utajiri

    Report Post
    Results 1 to 11 of 11
    1. #1
      Deo bony's Avatar
      Member Array
      Join Date : 27th March 2011
      Posts : 74
      Rep Power : 427
      Likes Received
      7
      Likes Given
      1

      Default Kisa cha abunuasi na tamaa ya utajiri

      Basi hapo mwanzo abunuasi alibahatika kuwa na mbuzi jike hivyo basi akawa na fikra za kuwa tajiri hapo baadae kwani alijua kwamba ipo siku ambapo mbuzi wake angezaa na yeye angekuwa tajiri kwa kuwa na mbuzi wengi.Basi siku moja alienda nambuzi wake malishoni na wakati alipokuwa anatembea mara akaona kiatu kizuri sana tena cha gold njiani lakini kutokana na upungufu wake wa mawazo hakukiokota kile kiatu akaamua kuendelea na safari basi baada ya mwendo kama wa masaa mawili aliona kiatu kingine cha gold yaani mwenza wa kiatu kile cha mwanzo,safari hii aliamua kukiokota kile kiatu akakiweka sehemu ambapo alimfunga mbuzi wake na kuamua kurudi kukifwata kiatu cha mwanzo kwa bahati mbaya alipofika eneo husika hakukikuta kiatu kile ndipo alipoamua kumrejea mbuzi wake pamoja na kiatu cha pili alicho kiacha cha kushangaza hakumkuta mbuzi wala kiatu ndipo alipoanza kuhuzunika na kulia kwani ndoto yake yakuwa tajiri ilikuwa imetoweka .MWISHO
      General mex likes this.

    2. Miaka 50

    3. #2
      serio's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th April 2011
      Location : dar es salaam
      Posts : 842
      Rep Power : 579
      Likes Received
      79
      Likes Given
      522

      Default Re: Kisa cha abunuasi na tamaa ya utajiri

      not funy,but good trial

    4. #3
      Gagurito's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th February 2011
      Location : Gangilonga....
      Posts : 5,271
      Rep Power : 1458
      Likes Received
      694
      Likes Given
      696

      Default Re: Kisa cha abunuasi na tamaa ya utajiri

      Nzuri sana teh!

    5. #4
      imma.one's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th September 2011
      Posts : 332
      Rep Power : 456
      Likes Received
      19
      Likes Given
      3

      Default Re: Kisa cha abunuasi na tamaa ya utajiri

      Mmmhhh mi napita tu lakini sio story poa walanini?

    6. #5
      Nyaubwii's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 16th September 2011
      Posts : 149
      Rep Power : 418
      Likes Received
      27
      Likes Given
      28

      Default Re: Kisa cha abunuasi na tamaa ya utajiri

      Haichekeshi hata kidogo. Imenipotezea muda wangu tu.
      ngulinho likes this.


    7. #6
      Nyleptha's Avatar
      Member Array
      Join Date : 19th June 2012
      Location : Mji Mpya
      Posts : 70
      Rep Power : 363
      Likes Received
      43
      Likes Given
      74

      Default

      stori nyingine ni: Kulikuwa na sherehe kubwa kwa mfalme na akaalika watu kibao matajiri, kwenye eneo hilo kulikuwa na maskini mmoja alikuwa na njaa sana ila ndio hivyo hakualikwa kwenye sherehe. Ndani alikuwa na kiporo chake cha wali akakichukua na kukaa nje akisikilizia harufu ya msosi toka kwa mfalme, akala kiporo chake kwa kusindikizia ile harufu nzuri ya chakula.
      Alipomaliza akanywa maji akaenda kwa mfalme kumshukuru kwa kushiba! mfalme alikasirika sana akamkwida aeleze ni vipi amekula chakula chake wakati hakualikwa, kesi ikapelekwa barazani itolewe hukumu kesho yake. maskini akaenda kwa abunuwasi kuomba msaada kwani alijua faini atayopewa hatoweza kulipa, abunuwasi akamwambia tulia kesho tutaenda wote. asubuhi wakaenda, maskini akaambiwa alipe faini, abunuwasi akaenda mbele ya mfalme akamuuliza 'ulimualika maskini?' akajibu hapana, sasa alikulaje chakula chako? akamwambia amekula harufu. abunuwasi kamjibu sawa, basi ngoja nikupe faini yako.
      Akatoa sarafu kadhaa mfukoni mwake akaziangusha chini zikazagaa kwa kelele nyingi, zilipotulia akazichukua na kuzirudisha mfukoni, kisha akamwambia mfalme' kama maskini alikula harufu akashiba, basi umelipwa faini kwa mlio wa sarafu uridhike!'

    8. #7
      kookolikoo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th March 2012
      Posts : 1,954
      Rep Power : 754
      Likes Received
      281
      Likes Given
      147

      Default

      Quote By serio
      not funy,but good trial
      not original as well!

    9. #8
      Jrafiki's Avatar
      Member Array
      Join Date : 23rd December 2011
      Posts : 65
      Rep Power : 388
      Likes Received
      12
      Likes Given
      1

      Default Re: Kisa cha abunuasi na tamaa ya utajiri

      Vitu vingine vinavyoandikwa humu si lazima ucheke au unune ila jitahidi uishughulishe akili yako upande wa pili wa shilingi.
      Welevu wananielewa.

    10. #9
      Jrafiki's Avatar
      Member Array
      Join Date : 23rd December 2011
      Posts : 65
      Rep Power : 388
      Likes Received
      12
      Likes Given
      1

      Default Re: Kisa cha abunuasi na tamaa ya utajiri

      Vitu vingine vinavyoandikwa humu si lazima ucheke au unune ila jitahidi uishughulishe akili yako upande wa pili wa shilingi.
      Welevu wananielewa.
      All stories are good.

    11. #10
      kookolikoo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th March 2012
      Posts : 1,954
      Rep Power : 754
      Likes Received
      281
      Likes Given
      147

      Default

      huu uzi umerudiwa! tazama chini.

      Quote By Deo bony
      Basi hapo mwanzo abunuasi
      alibahatika kuwa na mbuzi jike hivyo basi akawa na fikra za kuwa tajiri
      hapo baadae kwani alijua kwamba ipo siku ambapo mbuzi wake angezaa na
      yeye angekuwa tajiri kwa kuwa na mbuzi wengi.Basi siku moja alienda
      nambuzi wake malishoni na wakati alipokuwa anatembea mara akaona kiatu
      kizuri sana tena cha gold njiani lakini kutokana na upungufu wake wa
      mawazo hakukiokota kile kiatu akaamua kuendelea na safari basi baada ya
      mwendo kama wa masaa mawili aliona kiatu kingine cha gold yaani mwenza
      wa kiatu kile cha mwanzo,safari hii aliamua kukiokota kile kiatu
      akakiweka sehemu ambapo alimfunga mbuzi wake na kuamua kurudi kukifwata
      kiatu cha mwanzo kwa bahati mbaya alipofika eneo husika hakukikuta kiatu
      kile ndipo alipoamua kumrejea mbuzi wake pamoja na kiatu cha pili
      alicho kiacha cha kushangaza hakumkuta mbuzi wala kiatu ndipo alipoanza
      kuhuzunika na kulia kwani ndoto yake yakuwa tajiri ilikuwa imetoweka
      .MWISHO

    12. #11
      Mayombo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th July 2011
      Posts : 330
      Rep Power : 462
      Likes Received
      88
      Likes Given
      61

      Default Re: Kisa cha abunuasi na tamaa ya utajiri

      nampenda sana abunuasi, mkuu kama unazo nyingi ni PM ndugu yangu....

    Similar Topics

    1. Vituko vya abunuasi ni noma
      By omari msuya in forum Jokes/Utani + Udaku/Gossips
      Replies: 31
      Last Post: 26th June 2012, 08:47
    2. Abunuasi na kisa cha punda
      By DEVINE in forum Jokes/Utani + Udaku/Gossips
      Replies: 9
      Last Post: 16th June 2012, 12:10
    3. Siasa na hekaya za Abunuasi
      By Sumba-Wanga in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 1
      Last Post: 16th June 2011, 16:50

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...