Mzee mmoja aliingia kwa Doctor huku akiangua kilio.....Doctor akamuuliza vipi?... Jamaa huku ameweka mikono kichwani akamwambie, Doctor...hivi ile dawa ya kupaka uliniambia ninywe mara ngapi.... Doctor alitoa macho utadhani alimwona shetani......
Mzee mmoja aliingia kwa Doctor huku akiangua kilio.....Doctor akamuuliza vipi?... Jamaa huku ameweka mikono kichwani akamwambie, Doctor...hivi ile dawa ya kupaka uliniambia ninywe mara ngapi.... Doctor alitoa macho utadhani alimwona shetani......
Never Judge any one because you never know how their life is and what they are going through
ugonjwa + ukata wa maisha usishae ukatoa majibu kama hayo.. ha ha ha
Never Judge any one because you never know how their life is and what they are going through
duuh! huyu kazidi kuchanganyikiwa
Nomaaa...!
Hii sasa kali.
mh...kazi ipo.
Simulated Automated Breakthroughs....
Kwel ukichanganyikiwa noma!..
Kwa hali halisi ya maisha kwa sasa haya mambo ni lazima yatoke kwani kichwa kimoja kina msongo wa mambo kibao
Follow Us Here