Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Ujiko mwingine bana!

    Report Post
    Results 1 to 10 of 10
    1. #1
      Daz Chief's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 11th May 2011
      Location : Tanzaniano
      Posts : 2
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Post Ujiko mwingine bana!

      Baada ya kumaliza degree yake ya sheria mlimani Bwana Rwegoshora aliamua kurudi nyumbani Bukoba mjini na kufungua ofisi yake kwa ajili ya kuhudumia clients(wateja) . Siku ya kwanza wakati ndio amefungua ofisi yake,alimuona kijana mtanashati anakuja kuel...ekea ofisini kwake.Hapo ndipo alipoanza kunyanyua mkono wa simu ya TTCL,wakati anajizungusha kwenye viti virefu. Wakati kijana alipokaribia Rwegoshora alionesha kumkaribisha wakati anaongea na simu,alisikika akiongea ''No.no, no, Absolutely no, You tell those clowns in New York that I won't settle this case for less than one million. (pause) Yes, yes . The Appeals Court has agreed to hear that case next week, I'll be handling the primary argument and the other members of my team will provide support. Okay. Pliz dont forget to tell the State Prosecutor that I'll meet with him next week to discuss the details." Yule kijana ametulia tu anamuangalia bwana Rwegoshora anajinyonganyonga kwamuda zaidi dakika 5. Baada ya kumaliza kuongea na simu,bwana Rwegoshora alielekea kwa huyu jamaa. ''Samahani sana, kwa kukupotezea muda wako, unajua tena kazi zetu hizi unaumiza kichwa sana,kama unavyoona tena mwenyewe hapa, yaani niko busy sana, ninapokea simu mpaka nimechoka mwenyewe. enh by the way, what can i do for you? Jamaa alijibu. '' Mimi ni mfanyakazi wa TTCL,nimekuja kuunganisha line yako ya simu kwani haipo hewani''.

    2. Miaka 50

    3. #2
      Globu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th January 2011
      Location : Giningi
      Posts : 4,861
      Rep Power : 3306
      Likes Received
      539
      Likes Given
      30

      Default Re: Ujiko mwingine bana!

      Haaahaa haah haaaaa. Jamaa noma. Hakuzimia.

    4. #3
      Tasia I's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st April 2010
      Posts : 1,138
      Rep Power : 692
      Likes Received
      150
      Likes Given
      129

      Default Re: Ujiko mwingine bana!

      duh! hivi jamani hawa jamaa ni kweli wapo hivi au basi ni kasumba ya kabila!!

    5. #4
      Masuke's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th February 2008
      Posts : 2,168
      Rep Power : 1006
      Likes Received
      381
      Likes Given
      80

      Default Re: Ujiko mwingine bana!

      Ili kuua so, angemwambia tu kuna mwenzako ametoka hapa sasa hivi na ndo aliyeunganisha ndio maana nimeweza kuwasiliana.

    6. #5
      Daz Chief's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 11th May 2011
      Location : Tanzaniano
      Posts : 2
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Post Re: Ujiko mwingine bana!

      Ni tabia tu ya mtu! haihusiani na kabila!

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      mamakunda's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th July 2010
      Posts : 364
      Rep Power : 523
      Likes Received
      9
      Likes Given
      14

      Default Re: Ujiko mwingine bana!

      Hiyo ni kali ya mwaka!

    9. #7
      KILOTI's Avatar
      Member Array
      Join Date : 10th April 2011
      Posts : 46
      Rep Power : 420
      Likes Received
      3
      Likes Given
      0

      Default Re: Ujiko mwingine bana!

      Haa! hakuona aibu?, bonge lasoo nanoma kilo kumi....

    10. #8
      Jaguar's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th March 2011
      Location : IRINGA
      Posts : 3,000
      Rep Power : 1085
      Likes Received
      677
      Likes Given
      256

      Default Re: Ujiko mwingine bana!

      Lazima jamaa alipata kigugumizi from nowhere!

    11. #9
      Galileo Galilei's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th February 2011
      Posts : 6,278
      Rep Power : 1607
      Likes Received
      559
      Likes Given
      3

      Default Re: Ujiko mwingine bana!

      Ahahahaha mabwenga bana

    12. #10
      Leonard Robert's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd April 2011
      Posts : 4,247
      Rep Power : 1262
      Likes Received
      522
      Likes Given
      175

      Default Re: Ujiko mwingine bana!

      Hii nimeipenda,aaaah ukiishi kule lazima ujue maneno kama obvious,infact,yes&no,never e.t.c,ata kama ujui maana.

    Similar Topics

    1. Wabunge punguzeni ujiko kwenye ugonjwa
      By Nyunzo in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 1
      Last Post: 28th October 2011, 10:41
    2. Utani mwingine bana!!
      By babu M in forum Jamii Photos
      Replies: 15
      Last Post: 7th January 2011, 18:02
    3. Ujiko wa Tanzania...
      By Kibunango in forum International Forum
      Replies: 10
      Last Post: 29th October 2010, 18:46

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...