Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Enzi ulipokuwa boarding.

    Report Post
    Page 9 of 14 FirstFirst ... 7891011 ... LastLast
    Results 161 to 180 of 276
    1. #1
      Jaguar's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th March 2011
      Location : IRINGA
      Posts : 3,000
      Rep Power : 1085
      Likes Received
      677
      Likes Given
      256

      Default Enzi ulipokuwa boarding.

      Nakumbuka siku moja nikiwa o-level form 1 kibaha sec,si unajua ule utaratibu wa misosi,watu kadhaa mnaunda kikosi,maybe watu 13 mnakuwa na dishi lenu moja la ugali/wali na moja la mboga.

      Ugumu ulikuwa unatokea ikifika zamu yako, unafuata msosi jikoni,unagawa kwa wenzio na kuosha madishi na kuyarudisha jikoni.siku moja jamaa alipojua ni zamu yake akaamua kutokuja kabisa.

      Tulikuwa form one 5,form two 4 na form four 2.Form four mmoja akashauri form one(nyoya,salamanda,nyoka) mmoja ajitolee lakini tuligoma wote. Wale form iv walijitolea ku-save msosi,ila walichofanya sitasahau.

      Waligawana msosi wao wawili wakatosheka, baada ya hapo walimwaga wali wote uliobaki chini na mchuzi wakaugeuza maji ya kunawa,kiufupi tulipigwa dash.

      Dah!vp wewe ulipokuwa form one,tupe kisanga kilichokukuta!
      sakapal and patience96 like this.

    2. Miaka 50

    3. #161
      G_crisis's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th June 2011
      Posts : 430
      Rep Power : 487
      Likes Received
      54
      Likes Given
      2

      Default Re: Enzi ulipokuwa boarding.

      Pale Umbwe sec kwenda maputo(chooni) ilikuwa ni inshu,maputo yalikuwa yamefurika hadi wale wadudu weupe walitoka hadi nnje,unavua nguo zote unakata gogo likidondoka tu unasimama kukwepa maji yasikurukie,shida tupu

    4. #162
      Chiwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th April 2008
      Posts : 421
      Rep Power : 651
      Likes Received
      76
      Likes Given
      133

      Default Re: Enzi ulipokuwa boarding.

      form one bwana kucheza matangazo ya vifo

    5. #163
      Jaguar's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th March 2011
      Location : IRINGA
      Posts : 3,000
      Rep Power : 1085
      Likes Received
      677
      Likes Given
      256

      Default

      Quote By Chiwa
      form one bwana kucheza matangazo ya vifo
      <br />
      <br />
      Yaani matangazo ya kifo mwacheza music,so amazing my friend!.

    6. #164
      bryleen's Avatar
      Member Array
      Join Date : 28th July 2011
      Posts : 90
      Rep Power : 414
      Likes Received
      24
      Likes Given
      2

      Default Re: Enzi ulipokuwa boarding.

      nimekumbuka kowak girls nikiwa 4m3 jamani shule za masista cku hyo kaja kukagua vyoo na bafu kakuta m2 kaacha pedi(Always)bafuni kuuliza wote kima alichofanya akakusanya zote akaweka kwenye ndoo za maji akakoroga ikawa nyekundu then 2kapanga mstari kunawa then unapokea kikombe cha uji unywe hapohapo ukimaliza ndo 2kanawa 2kaenda claz walai ctakaa nisahau khaa

    7. #165
      ritired cube's Avatar
      Member Array
      Join Date : 25th April 2011
      Posts : 26
      Rep Power : 414
      Likes Received
      2
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Safety last
      Nakumbuka mashindano ya kujamba niko f. 3.tulikuwa tunakulamaharage changanya na sukari na ugali mwingi mkitoka prepo tunakula kiporo tena cha beans ,kwenye saa 4.tunatulia kwenye cube mtu akitoa ushuzi muhimu ni ile sauti na lazima mwingine ajibu.kulikuwa na milio kama ya trekta,ndege ,filimbi ...
      <br />
      <br />
      sakapal likes this.

    8. RukaaJuu Final

    9. #166
      ritired cube's Avatar
      Member Array
      Join Date : 25th April 2011
      Posts : 26
      Rep Power : 414
      Likes Received
      2
      Likes Given
      0

      Default Re: Enzi ulipokuwa boarding.

      teh teh teh teh duh mwana iyo mix ndio nimeikubali lazima product iwe ya kutisha.

    10. #167
      Rejao's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th May 2010
      Location : Long Street
      Posts : 8,756
      Rep Power : 25651
      Likes Received
      3344
      Likes Given
      2878

      Default Re: Enzi ulipokuwa boarding.

      Jamani tuliosoma Ilboru,
      Mnakumbuka kwa miaka yote mmeoga mara ngapi?
      Ile baridi ya pale nomaaa! Mi nilikuwa naoga siku za KITEI tu!

    11. #168
      pumbatupu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th July 2011
      Posts : 258
      Rep Power : 448
      Likes Received
      77
      Likes Given
      53

      Default Re: Enzi ulipokuwa boarding.

      Nakumbuka enzi hizo nasoma Mara Sec.. yaan mnawaza kugombana na Musoma Tec. Sababu zenyewe za maana hakuna yaan mkikutana..ndo tuseme kwenye UMISSETA mazee yaan mnapeana kichapo cha mbwa mwizi..nakumbuka game ilipigwa Musoma Tec tukamvunja jamaa Yao mguu.Ebwanaee jamaa Hawakujua mambo ya 'fairplay' walitukimbiza Kama km6..kwa masela angalau ilikuwa poa..ila mademu wetu jamaa waliwapa taabu..sipati kusimulia..haya maisha tumetoka mbali!!
      maisha ni ubatili mtupu, hebu ishi kama marehemu mtarajiwa..

    12. #169
      Janja PORI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st July 2011
      Posts : 662
      Rep Power : 653
      Likes Received
      86
      Likes Given
      0

      Default Re: Enzi ulipokuwa boarding.

      Hii thread imenifanya nimejua watu kwa majina yao kbsa me enzi hzo Kiranja wa bweni unamwaga maji then Form one wanatambaa wanadeki nkiamka naweka kikombe dogo anaenda kuchukua uji

    13. #170
      Katavi's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 31st August 2009
      Location : Lyamba Lya Mfipa
      Posts : 19,639
      Rep Power : 16776
      Likes Received
      2515
      Likes Given
      1937

      Default

      Quote By bryleen
      nimekumbuka kowak girls nikiwa 4m3 jamani shule za masista cku hyo kaja kukagua vyoo na bafu kakuta m2 kaacha pedi(Always)bafuni kuuliza wote kima alichofanya akakusanya zote akaweka kwenye ndoo za maji akakoroga ikawa nyekundu then 2kapanga mstari kunawa then unapokea kikombe cha uji unywe hapohapo ukimaliza ndo 2kanawa 2kaenda claz walai ctakaa nisahau khaa
      Mmmh! Hapo hamkurudia tena...

    14. #171
      Jaguar's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th March 2011
      Location : IRINGA
      Posts : 3,000
      Rep Power : 1085
      Likes Received
      677
      Likes Given
      256

      Default

      Quote By Janja PORI
      Hii thread imenifanya nimejua watu kwa majina yao kbsa me enzi hzo Kiranja wa bweni unamwaga maji then Form one wanatambaa wanadeki nkiamka naweka kikombe dogo anaenda kuchukua uji
      <br />
      <br />
      Halafu sukari,blueband na vitafunwa ni jukumu la huyo dogo.

    15. #172
      bryleen's Avatar
      Member Array
      Join Date : 28th July 2011
      Posts : 90
      Rep Power : 414
      Likes Received
      24
      Likes Given
      2

      Default

      Quote By Katavi
      Mmmh! Hapo hamkurudia tena...
      <br />
      <br />
      uctake kujua hyo adhabu ili2fundisha balaa

    16. #173
      mbweta's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th December 2010
      Posts : 545
      Rep Power : 537
      Likes Received
      55
      Likes Given
      1

      Default Re: Enzi ulipokuwa boarding.

      Daa nakumbuka wakati tupo form one kuna rafiki yang alikuwa anategea wakati watu wanapiga kelele sana yeye anajamba. Basi kuna siku kelele zilikuwa nying kweli ile jamaa anajamba 2 darasa zima likawa kimya gafla watu walicheka noma balaa ningekuwa mie nngetafuta uhamisho fasta ila jamaa alikaza mana ilikuwa mchanganyiko.

    17. #174
      serio's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th April 2011
      Location : dar es salaam
      Posts : 838
      Rep Power : 577
      Likes Received
      78
      Likes Given
      520

      Default Re: Enzi ulipokuwa boarding.

      there was this gigantic dude who always foorced mto sing for him till he fell a sleep.... that was so nasty of him,.
      you lose some, you win some

    18. #175
      Lofefm's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 22nd May 2011
      Location : Morogoro
      Posts : 115
      Rep Power : 428
      Likes Received
      5
      Likes Given
      1

      Default

      Du nimekumbuka form 1 nilikuwa nikila chakula jioni najikuta napata njaa mapema. Hivyo nikaamua niwe nakula paka kuvimbiwa. Hiyo ikanisaidia sana. Siku moja ijumaa nilikula kiepe nje ya shule kurudi dining hall nikasahau kama nlikula chips hivyo nikajilazimisha kula na kuvimbiwa sana paka nikawa nalia mwenyewe baadaye ndo nkakumbuka huku nikiwa hoi

    19. #176
      Said maneno's Avatar
      Member Array
      Join Date : 2nd August 2011
      Posts : 37
      Rep Power : 402
      Likes Received
      2
      Likes Given
      0

      Default Re: Enzi ulipokuwa boarding.

      Tehtehteh hii mada inanikumbusha wakati 2naingia form5 mambo ya disco welcome form5 2ko 600 wasichana 80 kazi kweli2 basi mi na wenzangu 2kaamua kucheza mableka kwa kugöngagonga miguu na kuchezesha mikono kama bata yani ilikuwa ni noma tena karibia wote 2liku pcb kweli ilikua ni noma

    20. #177
      kingazi's Avatar
      Member Array
      Join Date : 4th July 2011
      Posts : 35
      Rep Power : 406
      Likes Received
      7
      Likes Given
      0

      Default Re: Enzi ulipokuwa boarding.

      ninakumbuka siku ya kwanza kuingia bwenini tukakabidhiwa tishu paper basi mimi na mshikaji tukiwa tunatoka bush si tulidhania ni matunda tukapeleka mdomoni ili tule jamaa wacha watucheke.
      sakapal likes this.

    21. #178
      mchemsho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th June 2011
      Posts : 2,015
      Rep Power : 810
      Likes Received
      269
      Likes Given
      20

      Default Re: Enzi ulipokuwa boarding.

      Mbona shule zinazotajwa ni ilboru, kibaha,mazengo..duh kumbe enzi zenu shule zilikuwa chache kweli. Mmenikumbusha madenge alipoambiwa na dingi yake kwamba enzi wanasoma yeye alikuwa akifeli sana anakuwa wa3, ndipo madenge akamuuliza baba yake ina maana zamani nyie mlikuwa mnasoma wa 3 tu darasani? Manake kila mtu eti akifeli sana wa3

    22. #179
      mojoki's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st October 2010
      Posts : 904
      Rep Power : 616
      Likes Received
      128
      Likes Given
      3

      Default

      Quote By ritired cube
      &lt;br /&gt;<br />
      &lt;br /&gt;
      <br />
      <br />
      mazoezi ya ushoga hayo mkuu

    23. #180
      mojoki's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st October 2010
      Posts : 904
      Rep Power : 616
      Likes Received
      128
      Likes Given
      3

      Default

      Quote By Jaguar
      Mi nilikuwa nashangaa sana,Tanga tech siku ya vyoo vya shimo kuzibuliwa,yanatolewa mawe,magunzi,sahani,vijiko,vik ombe n.k,sasa sijui watu wanakula msosi na kunywa chai chooni au hivi ndo vifaa alternative vya kutawadhia,na cha ajabu zaidi ukutani kuna maandishi,herufi zimeundwa vizuri sana kwa kinyesi!
      <br />
      <br />
      mdoe huyo hahaaaa

    Page 9 of 14 FirstFirst ... 7891011 ... LastLast

    Similar Topics

    1. Tetesi: matumizi ya mafuta ya taa ktk boarding schools!
      By MESSI in forum Mahusiano, mapenzi, urafiki
      Replies: 1
      Last Post: 19th August 2011, 12:17
    2. A Son In A Boarding School
      By ng'wanankamba in forum Jokes/Utani + Udaku/Gossips
      Replies: 6
      Last Post: 10th August 2011, 12:24
    3. Son in a boarding school
      By ammah in forum Jokes/Utani + Udaku/Gossips
      Replies: 10
      Last Post: 14th July 2011, 12:18
    4. Boarding school
      By uncle in forum Matangazo madogo
      Replies: 6
      Last Post: 23rd June 2009, 14:03
    5. Boarding Schools- Kunani??
      By Kana-Ka-Nsungu in forum Jukwaa la Elimu (Education Forum)
      Replies: 1
      Last Post: 10th October 2007, 18:55

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...