Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Enzi ulipokuwa boarding.

    Report Post
    Page 2 of 14 FirstFirst 123412 ... LastLast
    Results 21 to 40 of 276
    1. #1
      Jaguar's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th March 2011
      Location : IRINGA
      Posts : 3,000
      Rep Power : 1085
      Likes Received
      677
      Likes Given
      256

      Default Enzi ulipokuwa boarding.

      Nakumbuka siku moja nikiwa o-level form 1 kibaha sec,si unajua ule utaratibu wa misosi,watu kadhaa mnaunda kikosi,maybe watu 13 mnakuwa na dishi lenu moja la ugali/wali na moja la mboga.

      Ugumu ulikuwa unatokea ikifika zamu yako, unafuata msosi jikoni,unagawa kwa wenzio na kuosha madishi na kuyarudisha jikoni.siku moja jamaa alipojua ni zamu yake akaamua kutokuja kabisa.

      Tulikuwa form one 5,form two 4 na form four 2.Form four mmoja akashauri form one(nyoya,salamanda,nyoka) mmoja ajitolee lakini tuligoma wote. Wale form iv walijitolea ku-save msosi,ila walichofanya sitasahau.

      Waligawana msosi wao wawili wakatosheka, baada ya hapo walimwaga wali wote uliobaki chini na mchuzi wakaugeuza maji ya kunawa,kiufupi tulipigwa dash.

      Dah!vp wewe ulipokuwa form one,tupe kisanga kilichokukuta!
      sakapal and patience96 like this.

    2. RukaaJuu Final

    3. #21
      Katavi's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 31st August 2009
      Location : Lyamba Lya Mfipa
      Posts : 19,639
      Rep Power : 16776
      Likes Received
      2516
      Likes Given
      1938

      Default

      Quote By Safety last
      Nakumbukuka niko sec Siha ,siku moja jioni kuna jamaa kutoka kigoma alienda kujisadia ,na alikuwa na Ada kwenye walet ghafla ikadondoka chooni,alikuwa form 6,akaanza kutindua choo kwa pembeni, akaingia na kuitoa ada ,bahati nzuri kulikuwa na vyoo vya kulenga set mbili.alinyoa nywele zote mpaka kwenye kope,he had a strange personality.
      Du huyo jamaa kiboko...

    4. #22
      Tigga Mumba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th November 2010
      Posts : 332
      Rep Power : 498
      Likes Received
      126
      Likes Given
      177

      Default Re: Enzi ulipokuwa boarding.

      Quote By Jaguarpaw
      Kwanjeka noma,kuna mother mmoja tulimkamata mwanae kwa wizi wa viatu,alipotonywa kuhusu mwanae kukamatwa na wanafunzi,alikuja mkuku na kuanza kuvua nguo moja baada ya nyingine,wote tulitoka nduki tukamwacha yeye na mwanae.
      Umenichekesha sana!!

      Nakumbuka pale Mzumbe SEC ukiumwa Malaria unapewa SOFT DIET(Wali topetope na kabichi). Basi watu tulikuwa tunaumwa kila siku. Tatizo sasa mpaka Daktari wa shule(hata sio daktari), akuandikie(21days SD). Hapo ndugu chereko tu hahaha

    5. #23
      B'REAL's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th October 2010
      Location : streat
      Posts : 1,206
      Rep Power : 677
      Likes Received
      196
      Likes Given
      82

      Default Re: Enzi ulipokuwa boarding.

      dah!!mnanikumbushaaaa kitambo sanaaa hiyo shinga sec...ma usangi banaa,TULIKUWAA VIBAKAA SANAA,MAGODORO,MASHUKAAA,BLANG ETI TUNAENDAA KUUZA KIJIJINI,day mojaa nikaa ibaa viatu banaa vya bitozii mmoja bana saa chini nilikuwa nimevyaa lapa nilivyo zama dom nikavua lapa nika pigaa viatu malapa nimeshika mkononi naenda mtoni,kufika mtoni nikavua viatu nikavyaa lapa nikazama kijijini kikweni kuuza banaa,hahaha mzee kumbe kuna jamaa mmoja mnoko kinoma aliona tukio lote...kachala na rudi na kama elfu tano,nshakunywaa denge nakuta watu wanadiskasii hiyo issue,kwavile nilikuwa mtemi nika enda kijiji nikaja na sime...nikapanda prepo,saa kumbe wame pangaa tukirudi dom wanianzishie bifu.mwananguu sitasahau...nilipigaaa watu bapaaaaa mbayaaa,dah!!ikawaa mwisho wa kusomaa hapo tenaaa

    6. #24
      mtu chake's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th August 2010
      Location : Kivu
      Posts : 2,159
      Rep Power : 1762
      Likes Received
      1010
      Likes Given
      1327

      Default Re: Enzi ulipokuwa boarding.

      kwa wale wa aza boy kwa mkuu Kwayu ..tulio kuwa hostel..full kuibiana ili upate hela ya kula chips jangwani...
      @@

    7. #25
      Henge's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th May 2009
      Posts : 5,440
      Rep Power : 1675
      Likes Received
      918
      Likes Given
      1673

      Default Re: Enzi ulipokuwa boarding.

      Quote By Katavi
      ahahahaah!! Bora sisi seminarini hakukuwa na ubabe wa namna hii!
      Katavi ipi mbona mimi nimesoma huko hayao mambo yalikuwepo sana tuu! hasa wakati wa Nyama na wali!
      TUKIWAKAMATA MAFISADI NCHI ITAYUMBA by PINDA

    8. Miaka 50

    9. #26
      Henge's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th May 2009
      Posts : 5,440
      Rep Power : 1675
      Likes Received
      918
      Likes Given
      1673

      Default Re: Enzi ulipokuwa boarding.

      Umenikumbusha chaka langu huko daah! Yaani ilikuwa ukitaka kutoka nje (kwenda town) lazima usingizie ugonjwa, hapo unaenda huko na barua kibao jamaa wameagiza upeleke kuzipost, so fan kupokea barua nyingi shuleni ilikuwa ndo umaarufu wako kila mtu atakufahamu, basi ilikuwa nikufanya juhudi kuwa na madem kibao ili upate barua nyingi! SIJUI KAMA SIKU HIZI KUNA MAMBO HAYO. WALE WA CHAKA LA TOSA WATAKUMBUKA PIA!
      zumbemkuu likes this.
      TUKIWAKAMATA MAFISADI NCHI ITAYUMBA by PINDA

    10. #27
      Sanja's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 7th November 2010
      Posts : 209
      Rep Power : 474
      Likes Received
      25
      Likes Given
      1

      Default Re: Enzi ulipokuwa boarding.

      Moshi tech enzi izo siku ya wali ukijaziwa sahani uwezekano wa kuipoteza au kukuta punjepunje ndo zimebakia ulikuwa mkubwa. Siku moja tumeingia mesini kwa kugombania tukajikuta tumeizunguka meza ila kuchukua sahani zetu ilikuwa insue,meza ikawa ina move kutegemea na upande unaokuwa weak. Nyali ikawa inamwagika na plate nyingine zinaibiwa apoapo na mwizi unamuona ila kutoka na kumkamata haiwezekani. Ku miss wali ilikuwa kawaida. Maisha ya bording ni hadithi tosha kwa wanangu

    11. #28
      TANMO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th April 2008
      Location : Tanzagiza
      Posts : 5,046
      Rep Power : 7769
      Likes Received
      1808
      Likes Given
      3439

      Default Re: Enzi ulipokuwa boarding.

      Quote By Sanja
      Moshi tech enzi izo siku ya wali ukijaziwa sahani uwezekano wa kuipoteza au kukuta punjepunje ndo zimebakia ulikuwa mkubwa. Siku moja tumeingia mesini kwa kugombania tukajikuta tumeizunguka meza ila kuchukua sahani zetu ilikuwa insue,meza ikawa ina move kutegemea na upande unaokuwa weak. Nyali ikawa inamwagika na plate nyingine zinaibiwa apoapo na mwizi unamuona ila kutoka na kumkamata haiwezekani. Ku miss wali ilikuwa kawaida. Maisha ya bording ni hadithi tosha kwa wanangu
      Mkuu umegusa penyewe, namkumbuka "Braza" Mpande na mambo yake ya kuja kuamsha watu kwenda mchaka mchaka. Kuna siku alikuja na kali ya mwaka: Eti akiwaona watu mjini alikuwa anawakariri uso, sasa watu wamegundua wakimwona tu wanageuka upesi na anashindwa kuwakariri uso, basi akasema atakuwa anakariri visogo. Baada ya majuma kadhaa akasema wanafunzi wakimwona basi wanageuka na kuvua mashati wanayafunga kichwani ili kuficha visogo, sasa akasema basi nitakuwa nakariri (ashakum siyo matusi) ******, nikiliona linaenda hivi au hivi basi nitajua ni la fulani,,, alikuja kutuacha hoi siku alipo-prove jinsi mbinu yake inavyofanya kazi kwa kumtolea mfano jamaa mmoja aliyemwona town Moshi,,

      Yule Mwalimu sintokaa nimsahau aisee..
      Mentor and ZLATAN like this.
      Do Something......

    12. #29
      LivingBody's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 21st November 2010
      Location : Here
      Posts : 166
      Rep Power : 468
      Likes Received
      15
      Likes Given
      15

      Default Re: Enzi ulipokuwa boarding.

      Quote By Jaguarpaw
      Nakumbuka siku moja nikiwa o-level form 1 kibaha sec,si unajua ule utaratibu wa misosi,watu kadhaa mnaunda kikosi,maybe watu 13 mnakuwa na dishi lenu moja la ugali/wali na moja la mboga.Ugumu ulikuwa unatokea ikifika zamu yako,unafuata msosi jikoni,unagawa kwa wenzio na kuosha madishi na kuyarudisha jikoni.siku moja jamaa alipojua ni zamu yake akaamua kutokuja kabisa.Tulikuwa form one 5,form two 4 na form four 2.Form four mmoja akashauri form one(nyoya,salamanda,nyoka) mmoja ajitolee lakini tuligoma wote.Wale form iv walijitolea ku-save msosi,ila walichofanya sitasahau.Waligawana msosi wao wawili wakatosheka,baada ya hapo walimwaga wali wote uliobaki chini na mchuzi wakaugeuza maji ya kunawa,kiufupi tulipigwa dash.Dah!vp wewe ulipokuwa form one,tupe kisanga kilichokukuta!
      Kama kuna mtu alisomea Monfort Secondary school,,,,,, huko Rujewa kama wapo,, pls naomba PM.

    13. #30
      Katavi's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 31st August 2009
      Location : Lyamba Lya Mfipa
      Posts : 19,639
      Rep Power : 16776
      Likes Received
      2516
      Likes Given
      1938

      Default

      Quote By Jaguarpaw
      Nakumbuka siku moja nikiwa o-level form 1 kibaha sec,si unajua ule utaratibu wa misosi,watu kadhaa mnaunda kikosi,maybe watu 13 mnakuwa na dishi lenu moja la ugali/wali na moja la mboga.Ugumu ulikuwa unatokea ikifika zamu yako,unafuata msosi jikoni,unagawa kwa wenzio na kuosha madishi na kuyarudisha jikoni.siku moja jamaa alipojua ni zamu yake akaamua kutokuja kabisa.Tulikuwa form one 5,form two 4 na form four 2.Form four mmoja akashauri form one(nyoya,salamanda,nyoka) mmoja ajitolee lakini tuligoma wote.Wale form iv walijitolea ku-save msosi,ila walichofanya sitasahau.Waligawana msosi wao wawili wakatosheka,baada ya hapo walimwaga wali wote uliobaki chini na mchuzi wakaugeuza maji ya kunawa,kiufupi tulipigwa dash.Dah!vp wewe ulipokuwa form one,tupe kisanga kilichokukuta!
      Mkwawa high school kwa sisi tuliosoma o level seminari tulipata shida sana nyakati za mwanzo kusoma na mabinti hasa nyakati za prepo. Kombolela hasa siku za jumatatu katika mabweni ya wavulana...

    14. #31
      It is Sur_Plus's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 28th September 2010
      Posts : 169
      Rep Power : 472
      Likes Received
      7
      Likes Given
      31

      Default Re: Enzi ulipokuwa boarding.

      Daa wanajamvi mie nakumbuka tulipo fika 2 form one pale Mazwi secondary, tulikumbana na kwataa kwa wiki sita nakumbuka jamaa walitupigasana mabuti na mitama

    15. #32
      Makindi N's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th March 2008
      Location : Morogoro
      Posts : 1,043
      Rep Power : 783
      Likes Received
      128
      Likes Given
      149

      Default Re: Enzi ulipokuwa boarding.

      Time niko Lindi Sec, kulikua kuna miti ya Maembe dodo. Muda wa kuiva, hata uamke saa ngapi hukuti kitu kimeanguka. Unashindwa elewa washkaji wanaamka saa ngapi. Ila asbuhi kwenye uji unaona wana madodo safi wanakula na mchana hivyo hivyo. Mshikaji mmoja siku hiyo akavaa shuka nyeupe mwili mzima. Akapanda juu ya mti, naamini alikaa kama masaa hata mawili au matatu. Mshikaji alipokuja kuokota jamaa kule juu akajitingisha, kuangalia juu akajua ni shetani. Alipiga makelele, nduki bwenini. Mshikaji akashuka fasta akavua lishuka na yeye kurudi dom. Watu wakawa wanaogopa kwenda usiku tena, mshikaji akawa anakula yeye tu madodo. Watu wanaulizana kulikoni huyu mshikaji, inamaana yeye ndo haogopi? Mwishoni kabisa ndo akasema, yeye ndo alifanya ule ushenzi........

      Boarding zilikua nzuri. Nikiwa table leader siku ya nyama tu nilikua napakua mm....... zingine zote na-delegate kwa nyoyaz/njukaz...........
      Jestina and MatikaC like this.
      Leo Tolstoy once said "Everybody thinks of changing the world, no one thinks of changing himself"

    16. #33
      Tasia I's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st April 2010
      Posts : 1,139
      Rep Power : 693
      Likes Received
      150
      Likes Given
      129

      Default Re: Enzi ulipokuwa boarding.

      hahaaaa! siku hiyo sasa ndani ya MALANGALI HIGH SCHOOL! kitu cha wali nyama ilikua mara mojamoja kchizi, jamaangu akadokoa nyama katika sahani ya mwenzake. yule mshikaji ambae nya ilidokolewa kutok sahani yake akaachia sahani yopte ya wali na nyama zilizobaki ikadondoka chini eti kisa anangangania ile nyama moja iliyo dokolewa...........!
      Saint Ivuga and MatikaC like this.

    17. #34
      wiseboy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd March 2011
      Posts : 646
      Rep Power : 543
      Likes Received
      169
      Likes Given
      29

      Default Re: Enzi ulipokuwa boarding.

      pale KIBITI SEC SCHOOL Kulikuwa na ticha wa kike ambaye ilipokuwa zamu yake hupita kila dom kuwaamusha madent, basi bwana ipo cku tukakubaliana kwamba tulalapo hamna kujifunika shuka, hamna kushusha net wala kulala na nguo yoyote ile ikiwemo CHUPI, Alipokuja maadam karudi mbio akipiga makelele na toka ck hyo alikata mguu kuamsha watu

    18. #35
      mzee wa ndonga's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 3
      Rep Power : 0
      Likes Received
      5
      Likes Given
      0

      Default Re: Enzi ulipokuwa boarding.

      Mi nakumbuka mwaka 1994 tukiwa sengerema secondary a.k.a Singapore, ile tunaingia form 5 kuna mwalimu mmoja tulimkuta anaitwa mwalimu BUGA.kumbe bwana lilikuwa jina la utani...siku moja akanikamata sijaenda parade, basi akawa ananiuliza namjua yeye ni nani? me kwa kujiamini nikamwambia wewe si mwalimu BUGA.. aiseeeeeee nilichezea kichapo cha hatari..kumbe bwana BUGA lilikuwa jina la utani,,kwa vile alikuwa anavaa suruali zile BUGA..yaani ile juu imebana afu chini umemwagika..ahahaha sitasahau kabisa..

    19. #36
      wiseboy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd March 2011
      Posts : 646
      Rep Power : 543
      Likes Received
      169
      Likes Given
      29

      Default

      Quote By mzee wa ndonga
      Mi nakumbuka mwaka 1994 tukiwa sengerema secondary a.k.a Singapore, ile tunaingia form 5 kuna mwalimu mmoja tulimkuta anaitwa mwalimu BUGA.kumbe bwana lilikuwa jina la utani...siku moja akanikamata sijaenda parade, basi akawa ananiuliza namjua yeye ni nani? me kwa kujiamini nikamwambia wewe si mwalimu BUGA.. aiseeeeeee nilichezea kichapo cha hatari..kumbe bwana BUGA lilikuwa jina la utani,,kwa vile alikuwa anavaa suruali zile BUGA..yaani ile juu imebana afu chini umemwagika..ahahaha sitasahau kabisa..
      sijawahi cheka kama leo. yaaani

    20. #37
      kijana makini's Avatar
      Member Array
      Join Date : 5th November 2010
      Posts : 47
      Rep Power : 442
      Likes Received
      4
      Likes Given
      15

      Default Re: Enzi ulipokuwa boarding.

      nakumbuka seminarini..ilikuwa huruhusiwi kuokota matunda ule mwenyewe..ukishikwa lazima ununulie shule nzima matunda..hapo ''pocket money'' yote lazima umalize..dah sitonsahau!!!

    21. #38
      Galileo Galilei's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th February 2011
      Posts : 6,278
      Rep Power : 1607
      Likes Received
      559
      Likes Given
      3

      Default Re: Enzi ulipokuwa boarding.

      Mimi nakumbuka nilikuwa nasoma Lake Secondary Mwanza tulikuwa form two nilikuwa na rafiki yangu mmoja mdosi anaitwa Raju, alikuwa noma kwa kupiga nyeto kwa siku alikuwa anapiga nyeto mara tatu au mara mbili, uwezi kuamini ukimuona alikuwa mpole sana lakini kwa nyeto balaaa!!
      Saint Ivuga and MatikaC like this.

    22. #39
      Jaguar's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th March 2011
      Location : IRINGA
      Posts : 3,000
      Rep Power : 1085
      Likes Received
      677
      Likes Given
      256

      Default Hello D.A

      Quote By TANMO
      Mkuu umegusa penyewe, namkumbuka "Braza" Mpande na mambo yake ya kuja kuamsha watu kwenda mchaka mchaka. Kuna siku alikuja na kali ya mwaka: Eti akiwaona watu mjini alikuwa anawakariri uso, sasa watu wamegundua wakimwona tu wanageuka upesi na anashindwa kuwakariri uso, basi akasema atakuwa anakariri visogo. Baada ya majuma kadhaa akasema wanafunzi wakimwona basi wanageuka na kuvua mashati wanayafunga kichwani ili kuficha visogo, sasa akasema basi nitakuwa nakariri (ashakum siyo matusi) ******, nikiliona linaenda hivi au hivi basi nitajua ni la fulani,,, alikuja kutuacha hoi siku alipo-prove jinsi mbinu yake inavyofanya kazi kwa kumtolea mfano jamaa mmoja aliyemwona town Moshi,,

      Yule Mwalimu sintokaa nimsahau aisee..
      Tanga tech kuna kiumbe mmoja anaitwa mdoe alikuwa mwalimu wa nidhamu.Yeye mkikumbana kitaa iwe makorola,kwanjeka,sahare,raska zoni beach n.k,ukimkimbia hata akikuona kisigino au kisogo,utamsikia anavyobweka nyuma,'wewe ni goodluck johnson lema,unaishi bweni la twiga,dorm C,cube namba 3,kitanda namba 245,Form V PCM 3,kesho tuonane uwanjani ukiwa na kwanja.
      Last edited by Jaguar; 16th April 2011 at 13:06.
      Mahesabu, Mentor and Jestina like this.

    23. #40
      Katavi's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 31st August 2009
      Location : Lyamba Lya Mfipa
      Posts : 19,639
      Rep Power : 16776
      Likes Received
      2516
      Likes Given
      1938

      Default

      Quote By chatu dume
      Mimi nakumbuka nilikuwa nasoma Lake Secondary Mwanza tulikuwa form two nilikuwa na rafiki yangu mmoja mdosi anaitwa Raju, alikuwa noma kwa kupiga nyeto kwa siku alikuwa anapiga nyeto mara tatu au mara mbili, uwezi kuamini ukimuona alikuwa mpole sana lakini kwa nyeto balaaa!!
      Ahahahaaah!!!

    Page 2 of 14 FirstFirst 123412 ... LastLast

    Similar Topics

    1. Tetesi: matumizi ya mafuta ya taa ktk boarding schools!
      By MESSI in forum Mahusiano, mapenzi, urafiki
      Replies: 1
      Last Post: 19th August 2011, 12:17
    2. A Son In A Boarding School
      By ng'wanankamba in forum Jokes/Utani + Udaku/Gossips
      Replies: 6
      Last Post: 10th August 2011, 12:24
    3. Son in a boarding school
      By ammah in forum Jokes/Utani + Udaku/Gossips
      Replies: 10
      Last Post: 14th July 2011, 12:18
    4. Boarding school
      By uncle in forum Matangazo madogo
      Replies: 6
      Last Post: 23rd June 2009, 14:03
    5. Boarding Schools- Kunani??
      By Kana-Ka-Nsungu in forum Jukwaa la Elimu (Education Forum)
      Replies: 1
      Last Post: 10th October 2007, 18:55

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...