Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kunuka kikwapa: Ni ugonjwa au uchafu?

    Report Post
    Page 1 of 17 12311 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 326
    1. #1
      Asked for a BAN's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 11th December 2008
      Posts : 5,550
      Rep Power : 0
      Likes Received
      21
      Likes Given
      0

      Default Kunuka kikwapa: Ni ugonjwa au uchafu?

      Wakuu,

      Kunuka harufu mbaya (kikwapa) ni ugonjwa au uchafu? Kuna dawa?

      Kuna hii hali ambayo mtu ananuka kikwapa wakati wa kula tunda (wakati mwingine aaaah yuko safiii tu). Je inatokana na nini? Na nini kifanyike ili kuzuia hali hiyo?
      Last edited by Asked for a BAN; 7th December 2009 at 18:54.

    2. Miaka 50

    3. #2
      Nyani Ngabu's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 15th May 2006
      Location : Ikungulyabashashi
      Posts : 39,256
      Rep Power : 31392
      Likes Received
      9624
      Likes Given
      685

      Default Re: Ananuka kikwapa!

      Duh!
      Mpake deo kabla hujamdinya
      Miafrika Ndivyo Tulivyo.

    4. #3
      ChaMtuMavi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2008
      Posts : 323
      Rep Power : 605
      Likes Received
      3
      Likes Given
      0

      Default Re: Ananuka kikwapa!

      Somo la sayansi kimu lilifutwa Tanzania. Sasa kama kwapa tu ni hivyo je sehemu nyingine???.

      Labda utueleze huyo ni nani wako? (mkeo/mmeo). Kama ni wanandoa basi fanya kamchezo ka kuingia wote bafuni kuoga kabla ya kudinyana.

      Kama unavizia waliochoka na kazi za kutumia msuli(kuli, utingo, machinga, mama lishe n.k) basi huenda unamngángánia kabla hajajiweka sawa.

      Mpe nafasi ajisafishe kabla ya kudinyana. unless wewe ni mwizi.



    5. #4
      Asked for a BAN's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 11th December 2008
      Posts : 5,550
      Rep Power : 0
      Likes Received
      21
      Likes Given
      0

      Default Re: Ananuka kikwapa!

      Quote By ChaMtuMavi
      Somo la sayansi kimu lilifutwa Tanzania. Sasa kama kwapa tu ni hivyo je sehemu nyingine???.

      Labda utueleze huyo ni nani wako? (mkeo/mmeo). Kama ni wanandoa basi fanya kamchezo ka kuingia wote bafuni kuoga kabla ya kudinyana.

      Kama unavizia waliochoka na kazi za kutumia msuli(kuli, utingo, machinga, mama lishe n.k) basi huenda unamngángánia kabla hajajiweka sawa.

      Mpe nafasi ajisafishe kabla ya kudinyana. unless wewe ni mwizi.


      hahaha eti mwizi hahahaha...

    6. #5
      Chimunguru's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd May 2009
      Posts : 7,797
      Rep Power : 2149
      Likes Received
      1223
      Likes Given
      546

      Default Re: Ananuka kikwapa!

      Wakuu, kuna harufi mbili za kikwapa:

      Kuna kikwapa cha jasho na kikwapa cha mahaba; km huyo ananuka kikwapa cha jasho na uvundo basi ni karaha tupu lkn kuna scent fulani huwa inatoka kwenye kwapa wakati wa malavidavi, kwa wakati ule maalum ile scent huwa tamu ajabu, hu stimulate ashki na kuleta hamu kubwa ya kufanya malavidavi. Hii scent kule uingereza wameitengenezea perfume kabisa si unajua wazungu madomo zege so ukijipulizia kinda perfume akiipata ile scent mchuchu anakuwa attracted na wewe hahaa
      Thesammanger likes this.

    7. RukaaJuu Final

    8. #6
      Sipo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th July 2008
      Location : SIPAJUI
      Posts : 2,167
      Rep Power : 985
      Likes Received
      9
      Likes Given
      0

      Default Re: Ananuka kikwapa!

      Quote By Chimunguru
      Wakuu, kuna harufi mbili za kikwapa:

      Kuna kikwapa cha jasho na kikwapa cha mahaba; km huyo ananuka kikwapa cha jasho na uvundo basi ni karaha tupu lkn kuna scent fulani huwa inatoka kwenye kwapa wakati wa malavidavi, kwa wakati ule maalum ile scent huwa tamu ajabu, hu stimulate ashki na kuleta hamu kubwa ya kufanya malavidavi. Hii scent kule uingereza wameitengenezea perfume kabisa si unajua wazungu madomo zege so ukijipulizia kinda perfume akiipata ile scent mchuchu anakuwa attracted na wewe hahaa
      Mwe! Kweli watu wana experience za kutisha
      "Ficha Upumbavu wako, husifiche hekima yako'' Invisible

    9. SMU
      #7
      SMU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th February 2008
      Location : Mavurunza
      Posts : 4,532
      Rep Power : 3811
      Likes Received
      1312
      Likes Given
      1916

      Default Re: Ananuka kikwapa!

      Quote By Sipo
      Mwe! Kweli watu wana experience za kutisha
      Ndo utamu wa JF. Kuna diversity ya kutosha;)!
      "Rather than love, than money, than fame, give me truth" ----Thoreau

    10. #8
      Gang Chomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th February 2008
      Location : hell
      Posts : 5,035
      Rep Power : 1723
      Likes Received
      971
      Likes Given
      0

      Default Re: Ananuka kikwapa!

      Quote By Chimunguru
      Wakuu, kuna harufi mbili za kikwapa:

      Kuna kikwapa cha jasho na kikwapa cha mahaba; km huyo ananuka kikwapa cha jasho na uvundo basi ni karaha tupu lkn kuna scent fulani huwa inatoka kwenye kwapa wakati wa malavidavi, kwa wakati ule maalum ile scent huwa tamu ajabu, hu stimulate ashki na kuleta hamu kubwa ya kufanya malavidavi. Hii scent kule uingereza wameitengenezea perfume kabisa si unajua wazungu madomo zege so ukijipulizia kinda perfume akiipata ile scent mchuchu anakuwa attracted na wewe hahaa
      Kwenda zako huko...
      Hakuna kitu kama hicho.
      Hakuna harufu chafu inayoamsha hamasa za mapenzi.
      Huko chini kwenyewe ambako ni kuhusika kukuu kukiwa na harufu basi utatamani game iahirishwe....ndo ije kuwa kwapa?

      Kawadanganye wavivu wenzio wa kuoga.
      HATA UKINICHUKIA...LA MOYONI NTAKWAMBIA.

    11. #9
      Asprin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 8th March 2008
      Location : Psychiatric Ward
      Posts : 25,441
      Rep Power : 32076
      Likes Received
      14547
      Likes Given
      22033

      Default Re: Ananuka kikwapa!

      Quote By Gang Chomba
      Kwenda zako huko...
      Hakuna kitu kama hicho.
      Hakuna harufu chafu inayoamsha hamasa za mapenzi.
      Huko chini kwenyewe ambako ni kuhusika kukuu kukiwa na harufu basi utatamani game iahirishwe....ndo ije kuwa kwapa?

      Kawadanganye wavivu wenzio wa kuoga.
      Hahaha! Pole sana!
      Wenzio siku hizi wananyonya mpaka vitoa kinyes.i sembuse harufu ya kwapa!! Mapenzi uchafu mkubwa!
      BlackBerry likes this.
      ....Shimo La Panya Halifunikwi Kwa Mkate.....

    12. #10
      remyshas's Avatar
      Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Posts : 25
      Rep Power : 554
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Ananuka kikwapa!

      nasomba nikuambie hivi mwambie awe anasafisha maeneo yake mpka ndani kila akikoga na pia atumie fame wash kwa ajili ya kukata harufu na usafi pia.zipo fame wash za oriflame,na nyingine nyingi tuuuu

    13. #11
      Chimunguru's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd May 2009
      Posts : 7,797
      Rep Power : 2149
      Likes Received
      1223
      Likes Given
      546

      Thumbs down Re: Ananuka kikwapa!

      Quote By Gang Chomba
      Kwenda zako huko...
      Hakuna kitu kama hicho.
      Hakuna harufu chafu inayoamsha hamasa za mapenzi.
      Huko chini kwenyewe ambako ni kuhusika kukuu kukiwa na harufu basi utatamani game iahirishwe....ndo ije kuwa kwapa?

      Kawadanganye wavivu wenzio wa kuoga.
      Mkuu nadhani wewe hii si fani yako so unahitaji msaada wa elimu juu ya mapenzi

    14. #12
      Pearl's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th November 2009
      Location : banda la kuku
      Posts : 3,043
      Rep Power : 1095
      Likes Received
      224
      Likes Given
      238

      Wink Re: Ananuka kikwapa!

      mmmmh jamani!!!!!!!!!mm ninjonjeni tu lakini kumnjonya mtu!Aku nani anaetaka kula mavi na kuachiwa mashuzi?
      Quote By Chrispin
      Hahaha! Pole sana!
      Wenzio siku hizi wananyonya mpaka vitoa kinyes.i sembuse harufu ya kwapa!! Mapenzi uchafu mkubwa!

    15. #13
      Chimunguru's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd May 2009
      Posts : 7,797
      Rep Power : 2149
      Likes Received
      1223
      Likes Given
      546

      Thumbs up Re: Ananuka kikwapa!

      Quote By Chrispin
      Hahaha! Pole sana!
      Wenzio siku hizi wananyonya mpaka vitoa kinyes.i sembuse harufu ya kwapa!! Mapenzi uchafu mkubwa!
      Hahaha mwambie huyo jamaa inaelekea hajui lolote kwenye sekta hii, hawa ndo wanao megewa hawa

    16. GP
      #14
      GP's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2009
      Location : every where
      Posts : 1,951
      Rep Power : 919
      Likes Received
      76
      Likes Given
      96

      Default Re: Ananuka kikwapa!

      Quote By chimunguru
      Hahaha mwambie huyo jamaa inaelekea hajui lolote kwenye sekta hii, hawa ndo wanao megewa hawa
      hahahaaaaaaa, atajuaje na yeye signature yake inaonyesha muda wote yuko sisiemu!.
      M4C

    17. #15
      Asprin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 8th March 2008
      Location : Psychiatric Ward
      Posts : 25,441
      Rep Power : 32076
      Likes Received
      14547
      Likes Given
      22033

      Default Re: Ananuka kikwapa!

      Quote By George_Porjie
      sanaa mkuu hajui huyu!.
      bytheway nimekugongea senksi, thibitisha hapahapa:
      nimekujibu mpwa! Kaangalie. Watu wengine bana! Eti wanaogopa harufu ya kikwapa wakati wenzao hata harufu ya ushuz.i mzito kwao burudani!
      ....Shimo La Panya Halifunikwi Kwa Mkate.....

    18. #16
      Asprin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 8th March 2008
      Location : Psychiatric Ward
      Posts : 25,441
      Rep Power : 32076
      Likes Received
      14547
      Likes Given
      22033

      Default Re: Ananuka kikwapa!

      Quote By Pearl
      mmmmh jamani!!!!!!!!!mm ninjonjeni tu lakini kumnjonya mtu!Aku nani anaetaka kula mavi na kuachiwa mashuzi?
      Subiri walume wakumegee afu uje hapa jamvini kuomba ushauri! Kalaghabaho!
      ....Shimo La Panya Halifunikwi Kwa Mkate.....

    19. #17
      Guyana Halima's Avatar
      Member Array
      Join Date : 23rd February 2009
      Posts : 80
      Rep Power : 538
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Ananuka kikwapa!

      Pole journal!! kutoa harufu ya kikwapa huwa haina sababu maalum, inawezekana ikawa ni maumbile au ufanyaji wa kazi za kutumia nguvu na nk. Dawa yake niijuayo mimi ni deodorant!! but also kuna vitu kama sabuni ya omo. Huyo anaetoa harufu awe anaosha kikwapa chake na omo kila mara anapopata nafasi. Au anaweza akapaka ndimu katika kikwapa huwa inakata harufu. Apake mara kwa mara anapopata muda, ataona matokeo yake.

    20. #18
      NGULI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st March 2008
      Location : HOME
      Posts : 4,441
      Rep Power : 1457
      Likes Received
      214
      Likes Given
      1

      Default Re: Ananuka kikwapa!

      Quote By GUYANA HALIMA
      Pole journal!! kutoa harufu ya kikwapa huwa haina sababu maalum, inawezekana ikawa ni maumbile au ufanyaji wa kazi za kutumia nguvu na nk. Dawa yake niijuayo mimi ni deodorant!! but also kuna vitu kama sabuni ya omo. Huyo anaetoa harufu awe anaosha kikwapa chake na omo kila mara anapopata nafasi. Au anaweza akapaka ndimu katika kikwapa huwa inakata harufu. Apake mara kwa mara anapopata muda, ataona matokeo yake.
      Du! Huo utafiti ulifanywa na dr. gani? nipeni jina lake nimfute kazi. Unamshauri mwenzio apate cancer siyo?
      Some sweet hearts are bitter than chloroquine packed in a sweet paper

    21. #19
      Boflo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th January 2010
      Posts : 3,761
      Rep Power : 5459
      Likes Received
      3670
      Likes Given
      3718

      Default Harufu ya Kikwapa

      Jamani hii harufu naipenda sana kuisikilizia, huwa sipendi kabisa kuona shemeji yenu anatumia deodrant, na mara nyingine huwa nazificha ili nipate kusikia hii harufu, sometime akilala huwa naweka pua yangu kwapani kwake nisikie vizuri harufu hii,nimekuwa kama teja.Hivi hii kitu kuna wengine wenye kupenda???

    22. #20
      Preta's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 28th November 2009
      Location : yaeda chini
      Posts : 14,765
      Rep Power : 15109
      Likes Received
      7230
      Likes Given
      6906

      Default Re: Harufu ya Kikwapa

      huyo shemeji/wifi huwa analala bila kuoga?
      Life is too short to waste time hating anyone.........

    Page 1 of 17 12311 ... LastLast

    LinkBacks (?)

    1. 14th March 2012, 21:01

    Similar Topics

    1. Bwahaha cheki kikwapa hicho!
      By Nyani Ngabu in forum Celebrities Forum
      Replies: 13
      Last Post: 15th March 2012, 03:12
    2. Uchafu...uchafu wa big brother africa (bba)
      By Mbavu mbili in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 23
      Last Post: 25th May 2011, 16:11
    3. Huu uchafu duh
      By Shy in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 1
      Last Post: 23rd October 2008, 19:37

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...