Wakuu,
Kunuka harufu mbaya (kikwapa) ni ugonjwa au uchafu? Kuna dawa?
Kuna hii hali ambayo mtu ananuka kikwapa wakati wa kula tunda (wakati mwingine aaaah yuko safiii tu). Je inatokana na nini? Na nini kifanyike ili kuzuia hali hiyo?
Wakuu,
Kunuka harufu mbaya (kikwapa) ni ugonjwa au uchafu? Kuna dawa?
Kuna hii hali ambayo mtu ananuka kikwapa wakati wa kula tunda (wakati mwingine aaaah yuko safiii tu). Je inatokana na nini? Na nini kifanyike ili kuzuia hali hiyo?
Last edited by Asked for a BAN; 7th December 2009 at 18:54.
Duh!
Mpake deo kabla hujamdinya
Miafrika Ndivyo Tulivyo.
Somo la sayansi kimu lilifutwa Tanzania. Sasa kama kwapa tu ni hivyo je sehemu nyingine???.
Labda utueleze huyo ni nani wako? (mkeo/mmeo). Kama ni wanandoa basi fanya kamchezo ka kuingia wote bafuni kuoga kabla ya kudinyana.
Kama unavizia waliochoka na kazi za kutumia msuli(kuli, utingo, machinga, mama lishe n.k) basi huenda unamngángánia kabla hajajiweka sawa.
Mpe nafasi ajisafishe kabla ya kudinyana. unless wewe ni mwizi.
Wakuu, kuna harufi mbili za kikwapa:
Kuna kikwapa cha jasho na kikwapa cha mahaba; km huyo ananuka kikwapa cha jasho na uvundo basi ni karaha tupu lkn kuna scent fulani huwa inatoka kwenye kwapa wakati wa malavidavi, kwa wakati ule maalum ile scent huwa tamu ajabu, hu stimulate ashki na kuleta hamu kubwa ya kufanya malavidavi. Hii scent kule uingereza wameitengenezea perfume kabisa si unajua wazungu madomo zege so ukijipulizia kinda perfume akiipata ile scent mchuchu anakuwa attracted na wewe hahaa
HATA UKINICHUKIA...LA MOYONI NTAKWAMBIA.
nasomba nikuambie hivi mwambie awe anasafisha maeneo yake mpka ndani kila akikoga na pia atumie fame wash kwa ajili ya kukata harufu na usafi pia.zipo fame wash za oriflame,na nyingine nyingi tuuuu
Pole journal!! kutoa harufu ya kikwapa huwa haina sababu maalum, inawezekana ikawa ni maumbile au ufanyaji wa kazi za kutumia nguvu na nk. Dawa yake niijuayo mimi ni deodorant!! but also kuna vitu kama sabuni ya omo. Huyo anaetoa harufu awe anaosha kikwapa chake na omo kila mara anapopata nafasi. Au anaweza akapaka ndimu katika kikwapa huwa inakata harufu. Apake mara kwa mara anapopata muda, ataona matokeo yake.
Jamani hii harufu naipenda sana kuisikilizia, huwa sipendi kabisa kuona shemeji yenu anatumia deodrant, na mara nyingine huwa nazificha ili nipate kusikia hii harufu, sometime akilala huwa naweka pua yangu kwapani kwake nisikie vizuri harufu hii,nimekuwa kama teja.Hivi hii kitu kuna wengine wenye kupenda???
huyo shemeji/wifi huwa analala bila kuoga?
Life is too short to waste time hating anyone.........
Follow Us Here