Wakuu,
Kunuka harufu mbaya (kikwapa) ni ugonjwa au uchafu? Kuna dawa?
Kuna hii hali ambayo mtu ananuka kikwapa wakati wa kula tunda (wakati mwingine aaaah yuko safiii tu). Je inatokana na nini? Na nini kifanyike ili kuzuia hali hiyo?
Wakuu,
Kunuka harufu mbaya (kikwapa) ni ugonjwa au uchafu? Kuna dawa?
Kuna hii hali ambayo mtu ananuka kikwapa wakati wa kula tunda (wakati mwingine aaaah yuko safiii tu). Je inatokana na nini? Na nini kifanyike ili kuzuia hali hiyo?
Last edited by Asked for a BAN; 7th December 2009 at 18:54.
Hahahahahaaa....Bwabwa is off the chain
Miafrika Ndivyo Tulivyo.
Hahahahahaha... Bwabwaaaa.
Uzuri wa thread za bwabwa hazidodi.
Yaani akianzisha tu, michango inakua mingi.
Bwabwa kweli mtu wa watu.
"Smile though your heart is aching"...Me says
Mpendwa hivi ni kweli nilichosoma ama naota? Hivi kweli ile harufu mbaya hivi wewe unaipenda na kuifurahia? Nenda kwa daktari sio bure!
Mmh,bwabwa naye kashaanza.
Kilombero For Change(K4C)-Mfuko wa Maendeleo Kilombero
halafu bwabwa huyu shemeji ni dem au men ?
Ni kweli kwapa hasa la msichana mwembamba ni zuri na pale linaponukia kaharufu flani. Me ni mdau sana wa hii.
Bwabwa huyo!!! ataka akutane na watu awaelekeze vizuri!!!
Bwabwa bana...
There is no such a thing as part freedom- Nelson Mandela
e-mail: [email protected]
BWABWA leo umeniacha hoi.. endelea kunusa.. RAHA JIPE MENYEWE.
Bwabwa, Akili Kichwani na JiuParatupu nawafeel!
Hamko peke yenu ila labda mie naongelea harufu ya kiutu uzima sio uchafu wa kutooga! Je ni kweli tunaumwa? ama ni dhambi?
Mie na shem wenu tumefika mbali zaidi hadi kwenye nguo zetu! Nadhani mnanielewa!
24 hours in a day! 24 beers in a case, Coincidence? I think not!
Hapa sio kwamba nawachekesha...la! Ila kuna wakati naacha kutembea na mkoko wangu na kupanda daladala...sasa basi nisione msichana mwembamba amevaa nguo ioneshayo kwapa halafu ameshika bomba.....haki ya kweli nitapitiliza kituo mradi nipate raha ya kuona kwapale!
Ki-harufu kina raha bwana; miee nabeba hata baadhi ya nguo zake nikisafiri lakini ni zile safi zilizokwisha valiwa kwa muda huwa zinabaki na harufu yake! we acha bwana!
24 hours in a day! 24 beers in a case, Coincidence? I think not!
Lo!!!!1
Najuuuuuuuuuuuuuuuuuuuta kukufahamu.
"I'm not afraid of storms, for I'm learning to sail my ship"
Hivi kikwapa huwa ugonjwa au ni uchafu tu - utakuta mtu kila siku aonge asioge ni kunuka harufu ya ajabu ajabu - akipaka perfume ndo kabisaa anaharibu - kama mpo naye ofisi moja basi ni kero unaweza hata kubadili section - sasa kasheshe awe anatafuta urafiki na wewe yaani kila saa usiniache twende wote lunch, au anakuja mezani kwako anakuwekea kwapa lake kukuonyesha kitu kwenye computer basi kero kero mtindo mmoja - kama umetoka kula muda huo basi unahisi tumbo linachemka vyakula vinataka kutoka nje.
haya madaktari hebu gagadueni jambo hili tujue na kama ni ugonjwa semeni dawa yake ni nini?
Follow Us Here