Wakuu,
Kunuka harufu mbaya (kikwapa) ni ugonjwa au uchafu? Kuna dawa?
Kuna hii hali ambayo mtu ananuka kikwapa wakati wa kula tunda (wakati mwingine aaaah yuko safiii tu). Je inatokana na nini? Na nini kifanyike ili kuzuia hali hiyo?
Wakuu,
Kunuka harufu mbaya (kikwapa) ni ugonjwa au uchafu? Kuna dawa?
Kuna hii hali ambayo mtu ananuka kikwapa wakati wa kula tunda (wakati mwingine aaaah yuko safiii tu). Je inatokana na nini? Na nini kifanyike ili kuzuia hali hiyo?
Last edited by Asked for a BAN; 7th December 2009 at 18:54.
Wadau naombeni msaada wa kujua dawa ya kutibu harufu ya kikwapa permanently,nimechoka kutumia deodorants daily,naomba anaefahamu dawa yeyote whether mbadala au kawaida,pliiiz,with thaks!
Paka povu la sabuni ya kipande!
Paka malimao.
uhakikishe na bustani zimepaliliwa kabisa.
Kama huogi sina msaada.
kama unachoka kutumia deodorants mie nakua sikuelewi unajua!ina maana hata ndevu nazo umechoka kunyoa,na kuoga nako,na kupiga mswaki nako,na kufua chupi kila unapo oga,na kupaka perfume,na kunawa uso kila unapo amka na hata kula pia nadhani itafikia siku utachoka,acha uvivu bado sikuelewi kabisa.
pole...kama kwapa tu linakupa shida kule kwingine!!!
....ukubwa AKILI...NDEVU uchafu...
Usichoke maana utakimbiwa
Paka Petroli!.
Vua GAMBA Vaa GWANDA
ubahili tu...
Tumia maji ya ukoko wa ugali ulio lowekwa ndio tiba sahihi.
Ukiona Hivyo ujue unasumu nying mwilini
tatzo haliko liko ndani so fanya kazi ya kutoa sumu mwilini
kwa kunywa chai ya kijan i mean ya mchai chai au dozi ya malimao 120 af utaona!!
[QUOTE=gody;4185794]Ukiona Hivyo ujue unasumu nying mwilini tatzo haliko liko ndani so fanya kazi ya kutoa sumu mwilini kwa kunywa chai ya kijan i mean ya mchai chai au dozi ya malimao 120 af utaona!![/QU] au akiweza atumie ile aloe vera gel kwa ajili ya kuondoa sumu mwilini,na kutibu magonjwa mengine.
NI UGONJWA,.UNAJULIKANA KAMA BROM-HYDROSIS,. TIBA ILIYO BORA NI SURGERY KAMA UPO BONGO NI Pm,.nitakufanyia mwenyewe
Follow Us Here