Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kunuka kikwapa: Ni ugonjwa au uchafu?

    Report Post
    Page 11 of 17 FirstFirst ... 910111213 ... LastLast
    Results 201 to 220 of 326
    1. #1
      Asked for a BAN's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 11th December 2008
      Posts : 5,550
      Rep Power : 0
      Likes Received
      21
      Likes Given
      0

      Default Kunuka kikwapa: Ni ugonjwa au uchafu?

      Wakuu,

      Kunuka harufu mbaya (kikwapa) ni ugonjwa au uchafu? Kuna dawa?

      Kuna hii hali ambayo mtu ananuka kikwapa wakati wa kula tunda (wakati mwingine aaaah yuko safiii tu). Je inatokana na nini? Na nini kifanyike ili kuzuia hali hiyo?
      Last edited by Asked for a BAN; 7th December 2009 at 18:54.

    2. Miaka 50

    3. #201
      Galileo Galilei's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th February 2011
      Posts : 6,278
      Rep Power : 1607
      Likes Received
      559
      Likes Given
      3

      Default

      Quote By Mzee wa Rula
      Niliwahi kusikia lakini sijui kama ni kweli eti dawa ya kienyeji ya kikwapa hata kiwe kikalo vipi inachukua sufuria uliyopikia ugali kisha unailoweka na maji halafu asubuhi unaoga yale maji yaani kama unajikanda sehemu za kikwapa kabla ya kuoga kwa muda wa siku mbili tatu halafu nasikia kinapotea!!!!
      Nilisikia watu wanajadili dawa hii baada ya jamaa yangu mmoja kuwa na kikwapa na kushauriwa tumwambie afanye hivyo mambo yatakuwa mazuri!!!!
      Hii dawa tulishawahi kufanya lakini hamna kitu

    4. #202
      Galileo Galilei's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th February 2011
      Posts : 6,278
      Rep Power : 1607
      Likes Received
      559
      Likes Given
      3

      Default

      Quote By The Finest
      Dah!! Sijui hapa utachukua ushauri wa nani..
      Kaka, kwa kweli nimeshindwa sijui niufuate ushauri upi

    5. #203
      Straddler's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2009
      Posts : 638
      Rep Power : 9118
      Likes Received
      136
      Likes Given
      162

      Default Re: Mpenzi wangu nampenda sana lakini harufu ya kikwapa inanikatisha tamaa

      Quote By Chinchilla
      Great Thinkers.
      Mimi na mpenzi wangu leo tuna mwaka na nusu toka tuwe kwenye mahusiano.
      Lakini napata shida sana kupambana na harufu ya kikwapa chake.

      tumejaribu kutumia kila aina ya vipodozi bado wakati mwingine nakuwa kama nazidisha harufu, mtanisaidiaje ili kikwapa kisiwepo!

      Umenusa kwapa lako? Mara nyingine mtu unafikiria harufu inatoka kwingine kumbe..?.. Inakuwa ile story ya "nyani haoni kundule".
      In my country we go to prison first, then become President - Nelson Mandela.

    6. #204
      Galileo Galilei's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th February 2011
      Posts : 6,278
      Rep Power : 1607
      Likes Received
      559
      Likes Given
      3

      Default Re: Mpenzi wangu nampenda sana lakini harufu ya kikwapa inanikatisha tamaa

      Wakuu, hizo ndimu, malimao, vitunguu, kupaka kwenye makwapa havina madhara kweli?

    7. #205
      Galileo Galilei's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th February 2011
      Posts : 6,278
      Rep Power : 1607
      Likes Received
      559
      Likes Given
      3

      Default

      Quote By Straddler
      Umenusa kwapa lako? Mara nyingine mtu unafikiria harufu inatoka kwingine kumbe..?.. Inakuwa ile story ya "nyani haoni kundule".
      Mkuu, ilo tatizo la mpenzi wangu na yeye mwenye analijua ilo..

      Nimekuja humu JF kutafuta ushauri, wewe unaleta utoto

    8. FemaTV & Radio

    9. #206
      Straddler's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2009
      Posts : 638
      Rep Power : 9118
      Likes Received
      136
      Likes Given
      162

      Default Re: Mpenzi wangu nampenda sana lakini harufu ya kikwapa inanikatisha tamaa

      Quote By Chinchilla
      Mkuu, ilo tatizo la mpenzi wangu na yeye mwenye analijua ilo..

      Nimekuja humu JF kutafuta ushauri, wewe unaleta utoto
      Sio utoto kaka, ni ushauri pia. Sikujua kama yeye mwenyewe analijua tatizo lake.
      Binafsi nilishawahi kuwa na mtu wa aina hiyo. Kitu cha kwanza nilichofanya ni kujicheki mwenyewe kwanza. Kisha nikaanza kumcheki na yeye.
      1. Reason? Alikuwa hakogi sawasawa.
      2. Solution? Nikajipa jukumu la kumkogesha ...
      3. Results? Problem solved.
      In my country we go to prison first, then become President - Nelson Mandela.

    10. #207
      Mamzalendo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th December 2010
      Location : KASKAZINI
      Posts : 1,445
      Rep Power : 721
      Likes Received
      438
      Likes Given
      166

      Default

      Quote By Nyani Ngabu
      Siyo tu atumie deodorant. Anachotakiwa kutumia ni 48 hr clinical strength ANTI-PERSPIRANT deodorant. Kuna tofauti baina ya deodorant na ANTI-PERSPIRANT deodorant.

      Mtu mwenye tatizo kubwa la kikwapa deodorant pekee haitasadia kuondoa tatizo. Inapaswa atumie deodorant zinazokata utokwaji wa jasho kwenye kwapa na hizo ndiyo ANTI-PERSPIRANT deodorants.

      Baadhi ya watu huwa hawajui hilo. Wakiona tu container lina neno deodorant basi anakimbilia kununua. Sasa deodorants zisizo na anti perspirant ingredients huwa haziko effective kwa watu wenye vikwapa vinavyotema na ndiyo maana utakuta watu wanalalamika kuwa wamejaribu kutumia deodorant lakini wapi.

      Ni muhimu sana kusoma ni deodorant ya aina gani mtu unanunua. I always recommend ANTI-PERSPIRANT deodorants.
      niliwahi kuona mada east african tv kuwa anti perspirant deodorants zinasababisha breast cancer both to ladies and male wakaweka na scientific pics,binafsi situmii toka hyo cku,

    11. #208
      Nyani Ngabu's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 15th May 2006
      Location : Ikungulyabashashi
      Posts : 39,214
      Rep Power : 31383
      Likes Received
      9603
      Likes Given
      683

      Default Re: Mpenzi wangu nampenda sana lakini harufu ya kikwapa inanikatisha tamaa

      Quote By Mamzalendo
      niliwahi kuona mada east african tv kuwa anti perspirant deodorants zinasababisha breast cancer both to ladies and male wakaweka na scientific pics,binafsi situmii toka hyo cku,
      Basi kwa magwiji wa sayansi za tiba hizo products zimejaa kibao kwenye maduka.

      Ila hata dawa za mswaki nasikia zinasababisha saratani ya kinywa. Hata vilongalonga vinasababisha saratani ya ubongo. Hutumii vilongalonga wewe?

      Oh na kompyuta nazo zinasababisha saratani pia. Unatumia kompyuta wewe? Kama unatumia acha mara moja. Sawa eeh?
      Miafrika Ndivyo Tulivyo.

    12. #209
      Nyani Ngabu's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 15th May 2006
      Location : Ikungulyabashashi
      Posts : 39,214
      Rep Power : 31383
      Likes Received
      9603
      Likes Given
      683

      Default Re: Mpenzi wangu nampenda sana lakini harufu ya kikwapa inanikatisha tamaa

      Anyway, ngoja niweke vipande hapa kutoka National Cancer Institute ya Marekani kuhusiana na uhusiano wa anti perspirants na saratani za matiti.

      Tuanze na hii kwanza:

      Key Points

      • There is no conclusive research linking the use of underarm antiperspirants or deodorants and the subsequent development of breast cancer.
      • Research studies of underarm antiperspirants or deodorants and breast cancer have been completed and provide conflicting results.

      Tuendelee:

      1. Can antiperspirants or deodorants cause breast cancer? Articles in the press and on the Internet have warned that underarm antiperspirants (a preparation that reduces underarm sweat) or deodorants (a preparation that destroys or masks unpleasant odors) cause breast cancer (1). The reports have suggested that these products contain harmful substances, which can be absorbed through the skin or enter the body through nicks caused by shaving. Some scientists have also proposed that certain ingredients in underarm antiperspirants or deodorants may be related to breast cancer because they are applied frequently to an area next to the breast (2, 3).

        However, researchers at the National Cancer Institute (NCI), a part of the National Institutes of Health, are not aware of any conclusive evidence linking the use of underarm antiperspirants or deodorants and the subsequent development of breast cancer. The U.S. Food and Drug Administration (FDA), which regulates food, cosmetics, medicines, and medical devices, also does not have any evidence or research data that ingredients in underarm antiperspirants or deodorants cause cancer.
      Kwa habari zaidi tembelea hapa Antiperspirants/Deodorants and Breast Cancer - National Cancer Institute

      Sasa mwenye kuamini anachotaka kuamini na aamini. Lakini habari ndo hiyo, kwamba hakuna CONCLUSIVE EVIDENCE ya uhusiano wa moja kwa moja baina ya vikata jasho na saratani za matiti. Ila sidhani kama baadhi ya watu humu wanaelewa maana ya CONCLUSIVE EVIDENCE. Hilo somo ni kwa siku ingine, labda.
      Nsuri likes this.
      Miafrika Ndivyo Tulivyo.

    13. #210
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2884
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default Re: Mpenzi wangu nampenda sana lakini harufu ya kikwapa inanikatisha tamaa

      Pole mdau,

    14. #211
      Regghan's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 25th November 2011
      Posts : 4
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: Mpenzi wangu nampenda sana lakini harufu ya kikwapa inanikatisha tamaa

      Lakini siyo lazima kutumia vitu vilivyotengenezwa na chemical huwezijua ukweli, mbona ukitumi maji ya ukwaju au maji ya ugali yaliyo loekewa kwenye sufuria inakata kabisa ndani ya mwezi,jaribu kunawia kila siku ujionee

    15. #212
      Eiyer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th April 2011
      Posts : 8,909
      Rep Power : 6889
      Likes Received
      2734
      Likes Given
      34

      Default Re: Mpenzi wangu nampenda sana lakini harufu ya kikwapa inanikatisha tamaa

      Nakushauri tafuta miti shamba inaweza kumsaidia!

    16. #213
      kashengo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th March 2011
      Location : ROCK CITY
      Posts : 1,129
      Rep Power : 638
      Likes Received
      296
      Likes Given
      110

      Default Re: Mpenzi wangu nampenda sana lakini harufu ya kikwapa inanikatisha tamaa

      Akaoge maji ya mchele sirious ni dawa ..aoge siku tatu asubuhi na jioni

    17. #214
      Nsuri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd October 2011
      Posts : 567
      Rep Power : 499
      Likes Received
      173
      Likes Given
      130

      Default Re: Mpenzi wangu nampenda sana lakini harufu ya kikwapa inanikatisha tamaa

      Kwa ushauri aliyopewa naona jamaa ana kazi!
      " To be happy, we must not be too concerned with others"

    18. #215
      Kongosho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2011
      Location : Location loading...
      Posts : 25,178
      Rep Power : 13068
      Likes Received
      14104
      Likes Given
      14940

      Default Re: Mpenzi wangu nampenda sana lakini harufu ya kikwapa inanikatisha tamaa

      Sikuja mjini na jembe, nikale polisi?
      Akili kumkichwa ukizubaa hapa dar watakuuzia bahari!!!

      Quote By SOBY
      Nina uhakika kuna moja ndiye unaemtegea, wakinadada siku zote wanaju nani watampa darasani, mtani, kazini, roommates.... wanajua yupi ni sexy na ndiowanawategea.
      Ila yako kali,inaonekana pesa ndiyo itayotembeza mkia.

      I kinda liked it.
      daughter likes this.
      No matter how hot your anger is, it can not cook yams-Nigeria

    19. #216
      Galileo Galilei's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th February 2011
      Posts : 6,278
      Rep Power : 1607
      Likes Received
      559
      Likes Given
      3

      Default

      Quote By kashengo
      Akaoge maji ya mchele sirious ni dawa ..aoge siku tatu asubuhi na jioni
      Mkuu, hayo maji ya mchele akoge vipi?

    20. #217
      BUMIJA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th October 2011
      Posts : 580
      Rep Power : 499
      Likes Received
      36
      Likes Given
      22

      Default Mh... harufu fulani

      Usafi ni kila mtu unafanya,ila unaweza kuta kuna harufu fulani,yani kutema kwa lugha ya mtaani,je kutema huko ambapo kupo kwa wanaume na wanawake kunachangia kupunguza ladha ya penzi ama ali mradi ladha tamu zipo hakuna tabu jameni wanajf

    21. #218
      Kongosho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2011
      Location : Location loading...
      Posts : 25,178
      Rep Power : 13068
      Likes Received
      14104
      Likes Given
      14940

      Default Re: Mh HARUFU FULANI

      Ni sawa na kuuliza viboko vinauma?

    22. #219
      Mkirua's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2010
      Posts : 3,421
      Rep Power : 1035
      Likes Received
      1173
      Likes Given
      599

      Default Re: Mh HARUFU FULANI

      Quote By BUMIJA
      Usafi ni kila mtu unafanya,ila unaweza kuta kuna harufu fulani,yani kutema kwa lugha ya mtaani,je kutema huko ambapo kupo kwa wanaume na wanawake kunachangia kupunguza ladha ya penzi ama ali mradi ladha tamu zipo hakuna tabu jameni wanajf
      Not clear...fafanua...
      The world suffers a lot. Not because of the violence of bad people, but because of the silence of good people!

    23. #220
      hayaka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2011
      Posts : 451
      Rep Power : 477
      Likes Received
      91
      Likes Given
      73

      Default Re: Mh HARUFU FULANI

      pua za nani zinapenda harufu mbaya?

    Page 11 of 17 FirstFirst ... 910111213 ... LastLast

    LinkBacks (?)

    1. 14th March 2012, 21:01

    Similar Topics

    1. Bwahaha cheki kikwapa hicho!
      By Nyani Ngabu in forum Celebrities Forum
      Replies: 13
      Last Post: 15th March 2012, 03:12
    2. Uchafu...uchafu wa big brother africa (bba)
      By Mbavu mbili in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 23
      Last Post: 25th May 2011, 16:11
    3. Huu uchafu duh
      By Shy in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 1
      Last Post: 23rd October 2008, 19:37

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...