jamani naombeni maoni yenu kuhusu bima ya taifa ya afya, kuna mvutano kazini kuhusu kujiunga nayo, je kwa waliowahi kutumia mnaonaje huduma za bima hiyo? ni za kuridhisha au?
jamani naombeni maoni yenu kuhusu bima ya taifa ya afya, kuna mvutano kazini kuhusu kujiunga nayo, je kwa waliowahi kutumia mnaonaje huduma za bima hiyo? ni za kuridhisha au?
AQUARIUS - The Sweetheart
........................................
I have long since come to believe that people never mean half of what they say, and that it is best to disregard their talk and judge only their actions.
WHAAAAT!!!.......FULL WASTE OF RESOURCES!...is all i can SAY ABOUT THIS SERVICE...
Ni ya kishenzi mbaya kabisa....Mi ninapoishi ni kwamba mahospitali yoote wanawakataa wateja wa Bima ya Afya...!
Ni wasanii wa hatari, they just are there to rip money from Poor contributors, while delivering a miserable service in return...huh!
I suspect there are hidden hands with this service...Its there to foster some peoples interests!
Whoever Knows Everything Is Expert In Nothing
Dark City (27th November 2009)
I'm no psychologist but surely misplaced optimism can lead to a state of delusion
Bima ya afya kwa kweli ni usanii, hospitali nyingi haziwathamini wagonjwa wanaotumia bima ya afya.
Whenever You find the KEY to success, someone changes the Lock.
MamaParoko bila shaka uko pale kwa wasomi! Ngoja nami nikae mkao wa kuisikia humu ili sera yake ikiletwa kwetu niwe nilishaijua
Le silence est un imbécile pour sage
- A silent fool is counted wise"
Mkuu, kwanza tukubali kwa kiasi fulani NHIF imepiga hatua sana kwenye kujiweka katika ramani ya health care financing hata Tz, their website is also far better than most of our government isntitutions (including hata ile ya wakuu)
Now, challenges bado ni nyingi kwasababu ya namna NHIF inavyo-integrate na local government na vituo vya afya visvyo na direct management ya serikali (FBO, VA na private), hapo kidogo patahitaji collective approach
wenye bima hizi hawathaminiwi kutokana na limitations za services na products zinazotokana na caps! hivyo kuonekana ni wa hadhi duni kulinganisha na mifumo mingine ya bima ya afya
Kuna huge problem kwenye accountability hasa kwenye hospitals zinazopata multiple supports - utakuta hospitali zinapata dawa za misaada halafu wanacharge wagonjwa kwenye forms za NHIF na hili linapelekea NHIF kuibiwa. Inawezekana kabisa hili tatizo linasukwa na baadhi ya NHIF staffs na pesa kupigwa panga
NHIF imekuwa ikijivunia hata efforts ambazo si za kwao ilimradi wao wanasapoti hospital basi chochote chenye improvement wanaclaim wakati si kweli
NHIF imeshindwa ku-adress suala nyeti la dawa accountability wakati kwenye fact sheet yao inaonekana wazi kwamba ni muhimu
I am sure wanaelekea kuzuri lakini humuma zao zinahitaji kuwa more integrated na mifumo iliyopo na waboreshe accountability, nina imani hii ni epa nyingine isipoangaliwa vyema kutokana na baadhi ya halmashauri kuweka magonjwa na dawa feki kwenye fomu feki kuongeza kipato
I'm no psychologist but surely misplaced optimism can lead to a state of delusion
NHIF ni bonge la EPA. Na kuonesha kuwa kuna mkono wa mtu, Bunge tayari limepitisha sheria kuwa kila mfanyakazi lazima ajiunge nalo. Mfano jamaa yangu anatoa 3% ya mshahara kwa mwezi (>60,000/- kwa mwezi) na mwajiri anamchangia kiasi kama hicho. Je kuna uhalali wowote wa kutungiwa sheria ya kulazimisha wafanyakaji kujiunga na NHI?
"SABABU ZA MSINGI KABISA ZA KUWAPIGA CHINI TUNAZO, NIA TUNAYO NA UWEZO PIA TUNAO......SASA KAZI YETU NI MOJA TU, KUWAPIGA CHINI....31.OKTOBA 2010"
dc@jamiiforums.com
Sidhani kama wapo serious na wanajua wanachokifanya, kwa mfano serikali kama mwajiri ilitakiwa kugharamia huduma za afya, nyumba na elimu kwa wafanyakazi wake na familia zao, kinyume chake mbali na kodi wanazokatwa kuchangia huduma za kijamii ikiwemo afya, mfanyakazi huyu anatakiwa kuchangia tena bima ya afya ambayo mwisho wa siku haimsaidii!
The greatest achievement for any human being is to love God, yourself and others...
Dark City (29th November 2009)
mi nimewahi kutumia ni nzuri. hasa ukipata green card tumia hospitali zinazoeleweka kama agakhani hakuna matatizo. kwa broun card ndio kuna matatizo
angalizo: kupata greencard unatakiwa kuwa na mshahara kuanzia Tshs. 864,030/- kwa mwezi au zaidi, chini ya kiwango hiki utapata brown card
Mkuu tatizo sio wewe kupata huduma, tatizo ni hiyo huduma unayopewa kugeuzwa dili kati ya hospitali na wafanyakazi wa NHIF
Sadly, hata zile dawa za magonjwa nyemelezi ya ukimwi na vipimo vya maabara vinavyolipiwa huingizwa kwenye fomu na watu kupata reimbursement kutoka NHIF
bora nikae kimya maana huko ni soo
I'm no psychologist but surely misplaced optimism can lead to a state of delusion
hii bima ya kipumbafu sana wife anayo baba yake ni mwanachama lkn hospitali zote wanakataa, utasikia yaani huna kadi nyingine? wakiiona tu utawaona wanavyosikitika, simu zitapigwa hapo kuulizana mpaka utibiwe ht masaa mawili yatakuwa yamepita
Mkuu umesema ukweli unapokua na Green card kuna unafuu kidogo,, ila wengiwetu tuna Brown card kutibiwa ni baadhi ya hospitali,,hupatiwi huduma katika hospitali yoyote.
Nilitaraji kama ni bima ya Afya ya TAIFA kipaumbele kingewekwa kwa watu wa kipato cha chini alau katika suala hili muhimi la Afya.
Kwa kiwango hicho cha mshahara huduma hiyo ni kwa watu wa tabaka fulani la wenye nacho wengine tutakua ni wachangiaji tu
Jamani tuweni wa kweli kwa nafsi zetu. Unafuu wa tiba ya Green Card unatokana na kiwango cha mchango. Mimi ninayo hiyo Green Card lakini ningepewa nafasi ya kuchagua kutoka ningetoka maana ninachanga kiwango kikubwa na kwa uwezo wa mungu mahudhurio yangu hospital hayaendani na mchango huo. Hata hivyo kwa vile ni bima inatukuwa kama nimewekeza. sasa iweje huduma ipatikanayo iwe sawa na yule ambaye anachangia kidogo? Tusahau mambo ya zamani anayeumia zaidi kimichango apate huduma zaidi logic inadictate hivyo wala siyo ubinafsi
Mimi nina green card lakini masuala ya madawa ni usanii mtupu, Vipimo na kumuona daktari haina shida lakini hata daktari akikuandikia dawa za mwezi mzima unapewa za wiki moja tu. hii ya madawa imenikumba leo hapo agakhan dar es salaam na nilipoulizia nikaambiwa wanatoa madawa ya wiki moja tu, eti hiyo ndiyo sera ya bima ya afya ya taifa.
There are currently 1 users browsing this thread. (0 members and 1 guests)
Bookmarks