| Find/Invite Friends | Register | Calendar | Search | Today's Posts | Mark Forums Read |
| FAQ | Members List | Bongo Flava | Zilipendwa | Taarab | Injili |
|
|
#1 | |||||||||||
|
||||||||||||
|
Views: 431
|
||||||||||||
|
#2
|
|||||||||||||||
|
|||||||||||||||
Ni ya kishenzi mbaya kabisa....Mi ninapoishi ni kwamba mahospitali yoote wanawakataa wateja wa Bima ya Afya...! Ni wasanii wa hatari, they just are there to rip money from Poor contributors, while delivering a miserable service in return...huh! I suspect there are hidden hands with this service...Its there to foster some peoples interests!
__________________
Whoever Knows Everything Is Expert In Nothing |
|||||||||||||||
| The Following User Says Thank You to PakaJimmy For This Useful Post: | ||
Dark City (27th November 2009) | ||
|
#3
|
|||||||||||||||
|
|||||||||||||||
Ila kwa ukweli bima ya afya haitoshelezi mahitaji!
__________________
I am on the move... |
|||||||||||||||
|
#4
|
||||||||||||
|
||||||||||||
|
Bima ya afya kwa kweli ni usanii, hospitali nyingi haziwathamini wagonjwa wanaotumia bima ya afya.
__________________
Whenever You find the KEY to success, someone changes the Lock. |
|
#5
|
||||||||||||
|
||||||||||||
|
MamaParoko bila shaka uko pale kwa wasomi! Ngoja nami nikae mkao wa kuisikia humu ili sera yake ikiletwa kwetu niwe nilishaijua
__________________
Le silence est un imbécile pour sage - A silent fool is counted wise" |
|
#6
|
|||||||||||||||
|
|||||||||||||||
Now, challenges bado ni nyingi kwasababu ya namna NHIF inavyo-integrate na local government na vituo vya afya visvyo na direct management ya serikali (FBO, VA na private), hapo kidogo patahitaji collective approach wenye bima hizi hawathaminiwi kutokana na limitations za services na products zinazotokana na caps! hivyo kuonekana ni wa hadhi duni kulinganisha na mifumo mingine ya bima ya afya Kuna huge problem kwenye accountability hasa kwenye hospitals zinazopata multiple supports - utakuta hospitali zinapata dawa za misaada halafu wanacharge wagonjwa kwenye forms za NHIF na hili linapelekea NHIF kuibiwa. Inawezekana kabisa hili tatizo linasukwa na baadhi ya NHIF staffs na pesa kupigwa panga NHIF imekuwa ikijivunia hata efforts ambazo si za kwao ilimradi wao wanasapoti hospital basi chochote chenye improvement wanaclaim wakati si kweli NHIF imeshindwa ku-adress suala nyeti la dawa accountability wakati kwenye fact sheet yao inaonekana wazi kwamba ni muhimu I am sure wanaelekea kuzuri lakini humuma zao zinahitaji kuwa more integrated na mifumo iliyopo na waboreshe accountability, nina imani hii ni epa nyingine isipoangaliwa vyema kutokana na baadhi ya halmashauri kuweka magonjwa na dawa feki kwenye fomu feki kuongeza kipato
__________________
I am on the move... |
|||||||||||||||
|
#7
|
||||||||||||
|
||||||||||||
|
__________________
Kama baba yako ni mwizi na wewe ni mwizi tu, hadi utakapo mkana na kutengana naye. |
|
#8
|
||||||||||||
|
||||||||||||
|
Sidhani kama wapo serious na wanajua wanachokifanya, kwa mfano serikali kama mwajiri ilitakiwa kugharamia huduma za afya, nyumba na elimu kwa wafanyakazi wake na familia zao, kinyume chake mbali na kodi wanazokatwa kuchangia huduma za kijamii ikiwemo afya, mfanyakazi huyu anatakiwa kuchangia tena bima ya afya ambayo mwisho wa siku haimsaidii!
__________________
The greatest achievement for any human being is to love God, yourself and others... |
|
#9
|
||||||||||||
|
||||||||||||
|
__________________
I am on the move... |
| The Following User Says Thank You to De Novo For This Useful Post: | ||
Dark City (29th November 2009) | ||
|
#10
|
||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
|
||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
|
mi nimewahi kutumia ni nzuri. hasa ukipata green card tumia hospitali zinazoeleweka kama agakhani hakuna matatizo. kwa broun card ndio kuna matatizo
angalizo: kupata greencard unatakiwa kuwa na mshahara kuanzia Tshs. 864,030/- kwa mwezi au zaidi, chini ya kiwango hiki utapata brown card
«
Previous Thread
|
Next Thread
»
Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako! All times are GMT +3. The time now is 01:33 PM.
Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com | ||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||