Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Tatizo la utumbo mpana kuwa mrefu kuliko kawaida

    Report Post
    Results 1 to 7 of 7
    1. #1
      Kurunzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st July 2009
      Location : DAR ES SALAAM
      Posts : 2,012
      Rep Power : 905
      Likes Received
      392
      Likes Given
      171

      Default Tatizo la utumbo mpana kuwa mrefu kuliko kawaida

      Wanabidi wataalamu wa afya naomba msaada wenu, mtoto wa ndugu yangu anaumri wa miaka 5, alikuwa analalamika sana kuwa anapata maumivu ya tumbo baada ya kula chakula na walipompeleka Hospitali madaktari walikuwa wanamuandikia antbiotic lakini hata huvyo hazikuweza kumsadia mpaka wiki mbili zilizopita alipokwenda hospitali na kumkuta dr. mmoja aliweza kubaini tatizo la huyo mtoto kuwa anatatizo la utumbo mpana ni mrefu kuliko kawaida hali inayopelekea uchafu kubaki tumboni na kumsababishia maumivu ya tumbo.

      Kwa hiyo Dr. amemuandikia dawa za kutumia kwaajili ya kutoa uchafu then waangalie uwezekano wa kufanyiwa upasuaji.

      Tokea kupewa taarifa hiyo wazazi wa mtoto wamekuwa na majonzi na hajui hatima ya mtoto wao. Napenda kwa niaba ya familia hiyo kuomba msaada wa mawazo na ushauri kwa wale ambao wanalijua au wamekumbana nalo tatizo hili tuweze kushare hapa,

      Natanguliza shukrani za dhati.


    2. #2
      BADILI TABIA's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 13th June 2011
      Location : DUNIANI
      Posts : 14,836
      Rep Power : 5674
      Likes Received
      6320
      Likes Given
      2418

      Default Re: Tatizo la utumbo mpana kuwa mrefu kuliko kawaida

      pole kwa mtoto. Natumai madaktari watakuja hapa

    3. #3
      kisukari's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th July 2010
      Posts : 2,629
      Rep Power : 3888
      Likes Received
      1415
      Likes Given
      661

      Default Re: Tatizo la utumbo mpana kuwa mrefu kuliko kawaida

      poleni sana,madokta msaidieni kumpatia maelezo

    4. #4
      CHUDU KHAMIS's Avatar
      Member Array
      Join Date : 10th September 2012
      Location : TABORA
      Posts : 33
      Rep Power : 347
      Likes Received
      5
      Likes Given
      0

      Default Re: Tatizo la utumbo mpana kuwa mrefu kuliko kawaida

      Poleni."Chamsingi ni kuomba mungu na jitiada zingine zikiendelea kufuatwa!

    5. #5
      Kurunzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st July 2009
      Location : DAR ES SALAAM
      Posts : 2,012
      Rep Power : 905
      Likes Received
      392
      Likes Given
      171

      Default Re: Tatizo la utumbo mpana kuwa mrefu kuliko kawaida

      Baada ya kumpeleka hospitali kadhaa tumekutana na Dk mmoja ameshauri afanyiwe upasuaji na kabla ya kufanyiwa upasuaji wa kuondoa tatizo wakati huo watabadilishe mfumo wa utoaji taka kuwa chini ya kifua kwa muda wa miezi mitatu, hapo tumepata mtihani kwani pamoja na mambo mengine huenda hali hiyo ikamuadhiri sana mtoto kisaikolojia pamoja na wadogo zake pia ni changamoto kwa wazazi wake.

      Ikiwa kunamdau yoyote ambaye ana alishakabiliana na ugojwa huu nitafurahi sana kama atatupa maelekezo ya jinsi alivyokabiliana nao

      Ni hayo tu.
      INSIGHT


    6. ram is online now
      ram
      #6
      ram's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th October 2007
      Posts : 2,044
      Rep Power : 1138
      Likes Received
      741
      Likes Given
      409

      Default

      kuwa mvumilivu tu akina mzizi watakuja soon, bt poleni na Mungu atamponya mtoto, punguzeni wasiwasi na majonzi ili kumtia moyo mtoto
      Quote By Kurunzi View Post
      Baada ya kumpeleka
      hospitali kadhaa tumekutana na Dk mmoja ameshauri afanyiwe upasuaji na
      kabla ya kufanyiwa upasuaji wa kuondoa tatizo wakati huo watabadilishe
      mfumo wa utoaji taka kuwa chini ya kifua kwa muda wa miezi mitatu, hapo
      tumepata mtihani kwani pamoja na mambo mengine huenda hali hiyo
      ikamuadhiri sana mtoto kisaikolojia pamoja na wadogo zake pia ni
      changamoto kwa wazazi wake.

      Ikiwa kunamdau yoyote ambaye ana alishakabiliana na ugojwa huu
      nitafurahi sana kama atatupa maelekezo ya jinsi alivyokabiliana nao

      Ni hayo tu.

    7. #7
      Kurunzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st July 2009
      Location : DAR ES SALAAM
      Posts : 2,012
      Rep Power : 905
      Likes Received
      392
      Likes Given
      171

      Default Re: Tatizo la utumbo mpana kuwa mrefu kuliko kawaida

      Quote By ram View Post
      kuwa mvumilivu tu akina mzizi watakuja soon, bt poleni na Mungu atamponya mtoto, punguzeni wasiwasi na majonzi ili kumtia moyo mtoto
      Shukrani sana , tunaendelea kumuomba MUNGU.
      INSIGHT

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...