JF DoctorWe care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kila binadamu ni mgonjwa, suluhu ya tatizo lako yaweza kupatikana kwa kuuanika ugonjwa. Karibu
Imethibitika kuwa condomu haina uwezo wa kuzuia ukimwi kwa wanawake kama ilivyo kwa wanaume, kwa sababu ile chuchu ya mbele ya condomu inao uwezo wa kubeba 2.5ml za shahawa na wakati huo mwanaume mwenye afya kamili anatoa 5ml-15ml, hivyo kupelekea kiasi kingine kinachobaki baada ya chuchu kujaa kinapanda kwa kufuata uume na kumwagika kwenye uke na hivyo kupelekea maambukizo,
utajiuliza mbona mimba hazipatikani, hii inatokana na mbegu kufa kwa sababu seminal fluid inapopanda juu kunakuwa na friction ambayo inaongeza temp. na kuuwa mbegu.
Hakina mama hacheni kutumia condomu kuweni waaminifu kwa ndoa zenu, na hii inapelekea wanawake kuongoza kwa maambukizi kuliko wanaume.
Last edited by Kaitaba; 1st July 2009 at 01:33 PM..
Reason: To make the real meaning
Imethibitika kuwa condomu haina uwezo wa kuzuia ukimwi kwa wanawake kama ilivyo kwa wanaume, kwa sababu ile chuchu ya mbele ya condomu inao uwezo wa kubeba 2.5ml za shahawa na wakati huo mwanaume mwenye afya kamili anatoa 5ml-15ml, hivyo kupelekea kiasi kingine kinachobaki baada ya chuchu kujaa kinapanda kwa kufuata uume na kumwagika kwenye uke na hivyo kupelekea maambukizo,
utajiuliza mbona mimba hazipatikani, hii inatokana na mbegu kufa kwa sababu seminal fluid inapopanda juu kunakuwa na friction ambayo inaongeza temp. na kuuwa mbegu.
Hakina mama hacheni kutumia condomu kuweni waaminifu kwa ndoa zenu, na hii inapelekea wanawake kuongoza kwa maambukizi kuliko wanaume.