jaman nnaomba kujuzwa kuhusu uvimbe sehemu za siri, ni kama vijipu ila havina usaha vinatuna kwa ndani na kutokeza nje kidogo, mwakajana nlipima syphilis nkaambiwa cna wakanipa madawa hayajasaidia kwa anayejua dawa au ushauri. NB: Vilianza kunitokea kabla cjaanza kushirik sex, na kiujumla mimi cna hzo tabia japo nlishawah kusex na nlitumia kinga.
MziziMkavu

Reply With Quote




Follow Us Here