Kwanini baadhi wanawake wanakuwa na maumble ya kiume, na baadhi wanaume ya kike? - JamiiForums |The Home of Great Thinkers

Go Back   JamiiForums |The Home of Great Thinkers > Education, Science & Technology Forums > JF Doctor


JF Doctor We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kila binadamu ni mgonjwa, suluhu ya tatizo lako yaweza kupatikana kwa kuuanika ugonjwa. Karibu


Reply
 
LinkBack Thread Tools Display Modes
Old 23rd June 2009, 02:02 PM   #1
Kwanini baadhi wanawake wanakuwa na maumble ya kiume, na baadhi wanaume ya kike?
Mzizi wa Mbuyu Mzizi wa Mbuyu is offline 23rd June 2009, 02:02 PM

Hivi inakuwaje jamani, unakuta Mwanamke anamandevu, mishipa iliyisimama kweli!, nywele ndefu miguuni na mikononi, goti kavu na limejaa nywele kama kichwa!
Au hata hizi suruali zao wanazo vaa sana siku hizi utaona wengine hawana makalio kabisa! au hata kama yapo basi yapoyapo tu, utadhani "Skonzi" mbili zimepachikwa tu mahali! wakati mwingine utakuta hizo "Skonzi" moja iko juu kidogo nyingine iko chini!

Lakini the other sade;

Utakuta Jibaba lina maziwa ya kike kabisa kifuani, lina shepu safi kabisa umbo namba nane! Halina kandevu hata kamoja! huku limesheheni sauti nyororo kama ya RayC!

Jamani kitaalamu hali hii ninini? na inatokana na nini?
__________________
Heri kupendwa na mwenye akili mmoja, kuliko kupendwa wapumbavu maelfu!

Mzizi wa Mbuyu
JF Senior Expert Member
Points: 187,652, Level: 100 Points: 187,652, Level: 100 Points: 187,652, Level: 100
Activity: 15% Activity: 15% Activity: 15%
Join Date: Fri May 2009
Posts: 365
Thanks: 34
Thanked 60 Times in 33 Posts
Views: 583
Reply With Quote
  #2  
Old 23rd June 2009, 02:16 PM
Babuyao Babuyao is online now
Babuyao has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 83,888, Level: 100 Points: 83,888, Level: 100 Points: 83,888, Level: 100
Activity: 5% Activity: 5% Activity: 5%
 
Join Date: Sat Jun 2009
Posts: 507
Thanks: 32
Thanked 44 Times in 29 Posts
Rep Power: 22
Babuyao will become famous soon enoughBabuyao will become famous soon enoughBabuyao will become famous soon enoughBabuyao will become famous soon enoughBabuyao will become famous soon enoughBabuyao will become famous soon enoughBabuyao will become famous soon enoughBabuyao will become famous soon enough
Default Re: Kwanini baadhi wanawake wanakuwa na maumble ya kiume, na baadhi wanaume ya kike?

Jamaa unajua kujieleza aisee! Hongera.
Reply With Quote
  #3  
Old 23rd June 2009, 02:22 PM
Mzizi wa Mbuyu Mzizi wa Mbuyu is offline
Mzizi wa Mbuyu has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 187,652, Level: 100 Points: 187,652, Level: 100 Points: 187,652, Level: 100
Activity: 15% Activity: 15% Activity: 15%
 
Join Date: Fri May 2009
Posts: 365
Thanks: 34
Thanked 60 Times in 33 Posts
Rep Power: 21
Mzizi wa Mbuyu will become famous soon enoughMzizi wa Mbuyu will become famous soon enoughMzizi wa Mbuyu will become famous soon enoughMzizi wa Mbuyu will become famous soon enoughMzizi wa Mbuyu will become famous soon enoughMzizi wa Mbuyu will become famous soon enoughMzizi wa Mbuyu will become famous soon enoughMzizi wa Mbuyu will become famous soon enough
Default Re: Kwanini baadhi wanawake wanakuwa na maumble ya kiume, na baadhi wanaume ya kike?

Quote:
View Post
Jamaa unajua kujieleza aisee! Hongera.
Ni katika kutaka kueleweka tu ndugu yangu, huwa napenda sana mtu aelewe ninachozungumza mkuu wangu Babuyao!
__________________
Heri kupendwa na mwenye akili mmoja, kuliko kupendwa wapumbavu maelfu!
Reply With Quote
  #4  
Old 23rd June 2009, 02:32 PM
Bujibuji's Avatar
Bujibuji Bujibuji is offline
Bujibuji NABII
JF Senior Expert Member
Points: 647,566, Level: 100 Points: 647,566, Level: 100 Points: 647,566, Level: 100
Activity: 28% Activity: 28% Activity: 28%
 
Join Date: Wed Feb 2009
Location: NYUMBANI PANONO
Posts: 1,674
Thanks: 169
Thanked 481 Times in 286 Posts
Rep Power: 25
Bujibuji will become famous soon enoughBujibuji will become famous soon enoughBujibuji will become famous soon enoughBujibuji will become famous soon enoughBujibuji will become famous soon enoughBujibuji will become famous soon enoughBujibuji will become famous soon enoughBujibuji will become famous soon enough
Default Re: Kwanini baadhi wanawake wanakuwa na maumble ya kiume, na baadhi wanaume ya kike?

mabadiliko yanayoikabili dunia...
zamani kulikuwa na kuku wetu...
siku hizi wanaitwa kuku wa kienyeji baada ya kuja hawa wakisasa,
kuku wa kisasa ni wengi kuliko wa kienyeji...
muda utafika kuku wa kienyeji watapotea kabisa.
ngombe nao ni hivyo hivyo na mbegu za mahindi, mpunga, mapapai, maembe na kadhalika.
__________________
KAZI NDIO MSINGI WA MAENDELEO. NCHI MASIKINI HAIWEZI KUENDELEA KWA MSINGI WA FEDHA. NCHI MASIKINI HAIWEZI KUJITAWALA KAMA INATEGEMEA MSAADA KUTOKA NCHI ZA NJE- J. K. NYERERE
Reply With Quote
  #5  
Old 23rd June 2009, 02:44 PM
Arsene Wenger's Avatar
Arsene Wenger Arsene Wenger is offline
Arsene Wenger has no status.
JF Premium Member
Points: 140,820, Level: 100 Points: 140,820, Level: 100 Points: 140,820, Level: 100
Activity: 41% Activity: 41% Activity: 41%
 
Join Date: Tue May 2009
Location: dodoma
Posts: 1,663
Thanks: 255
Thanked 455 Times in 324 Posts
Rep Power: 24
Arsene Wenger will become famous soon enoughArsene Wenger will become famous soon enoughArsene Wenger will become famous soon enoughArsene Wenger will become famous soon enoughArsene Wenger will become famous soon enoughArsene Wenger will become famous soon enoughArsene Wenger will become famous soon enoughArsene Wenger will become famous soon enough
Default Re: Kwanini baadhi wanawake wanakuwa na maumble ya kiume, na baadhi wanaume ya kike?

mambo ya hormonal imbalance .
__________________
"Football is not as predictable or scientific as some people think and sometimes people are wrong on what they say".Arsene Wenger a.k.a "The proffesor"
Reply With Quote
  #6  
Old 23rd June 2009, 02:59 PM
Mfamaji's Avatar
Mfamaji Mfamaji is offline
Mfamaji Is Very very serious against Ufisadi
JF Senior Expert Member
Points: 131,549, Level: 100 Points: 131,549, Level: 100 Points: 131,549, Level: 100
Activity: 6% Activity: 6% Activity: 6%
 
Join Date: Tue Nov 2007
Posts: 544
Thanks: 12
Thanked 95 Times in 43 Posts
Rep Power: 24
Mfamaji will become famous soon enoughMfamaji will become famous soon enoughMfamaji will become famous soon enoughMfamaji will become famous soon enoughMfamaji will become famous soon enoughMfamaji will become famous soon enoughMfamaji will become famous soon enoughMfamaji will become famous soon enough
Default Re: Kwanini baadhi wanawake wanakuwa na maumble ya kiume, na baadhi wanaume ya kike?

Quote:
View Post
mabadiliko yanayoikabili dunia...
zamani kulikuwa na kuku wetu...
siku hizi wanaitwa kuku wa kienyeji baada ya kuja hawa wakisasa,
kuku wa kisasa ni wengi kuliko wa kienyeji...
muda utafika kuku wa kienyeji watapotea kabisa.
ngombe nao ni hivyo hivyo na mbegu za mahindi, mpunga, mapapai, maembe na kadhalika.
Kwa mantiki hiyo unataka kusema tutakuja kushuhudia wanawake wakibadika na na sura ya kike kufutika ibaki ya kiume ?

Naamini kuna sababu kisayansi au kibailogia zaidi kuliko hii ya breeds.
Reply With Quote
  #7  
Old 23rd June 2009, 05:05 PM
Mzizi wa Mbuyu Mzizi wa Mbuyu is offline
Mzizi wa Mbuyu has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 187,652, Level: 100 Points: 187,652, Level: 100 Points: 187,652, Level: 100
Activity: 15% Activity: 15% Activity: 15%
 
Join Date: Fri May 2009
Posts: 365
Thanks: 34
Thanked 60 Times in 33 Posts
Rep Power: 21
Mzizi wa Mbuyu will become famous soon enoughMzizi wa Mbuyu will become famous soon enoughMzizi wa Mbuyu will become famous soon enoughMzizi wa Mbuyu will become famous soon enoughMzizi wa Mbuyu will become famous soon enoughMzizi wa Mbuyu will become famous soon enoughMzizi wa Mbuyu will become famous soon enoughMzizi wa Mbuyu will become famous soon enough
Default Re: Kwanini baadhi wanawake wanakuwa na maumble ya kiume, na baadhi wanaume ya kike?

Quote:
View Post
Kwa mantiki hiyo unataka kusema tutakuja kushuhudia wanawake wakibadika na na sura ya kike kufutika ibaki ya kiume ?

Naamini kuna sababu kisayansi au kibailogia zaidi kuliko hii ya breeds.

Kama ni hiyo hakutakuwa na mabadiliko itakuwa ni kuhama kwa jinsia tu,
maana wanaume nao watakuwa kama wanawake!
__________________
Heri kupendwa na mwenye akili mmoja, kuliko kupendwa wapumbavu maelfu!
Reply With Quote
  #8  
Old 24th June 2009, 01:07 AM
Ndugu's Avatar
Ndugu Ndugu is online now
Ndugu Loves You
JF Senior Expert Member
Points: 290,629, Level: 100 Points: 290,629, Level: 100 Points: 290,629, Level: 100
Activity: 3% Activity: 3% Activity: 3%
 
Join Date: Sat Apr 2008
Location: Here
Posts: 499
Thanks: 44
Thanked 43 Times in 28 Posts
Rep Power: 22
Ndugu will become famous soon enoughNdugu will become famous soon enoughNdugu will become famous soon enoughNdugu will become famous soon enoughNdugu will become famous soon enoughNdugu will become famous soon enoughNdugu will become famous soon enoughNdugu will become famous soon enough
Default Re: Kwanini baadhi wanawake wanakuwa na maumble ya kiume, na baadhi wanaume ya kike?

Ndiyo maana siku hizi kuna mashoga na wasagaji mazee,, mambo ya kubadilishana majukumu hayo..

Joking LOL!
__________________
Nobody can do everything but everybody can do something.
Reply With Quote
  #9  
Old 24th June 2009, 01:32 AM
Mwanjelwa Mwanjelwa is offline
Mwanjelwa Msema kweli kulingana na muda uliopo.
JF Senior Expert Member
Points: 136,264, Level: 100 Points: 136,264, Level: 100 Points: 136,264, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
 
Join Date: Sun Jul 2007
Location: Chenorbly
Posts: 520
Thanks: 17
Thanked 25 Times in 17 Posts
Rep Power: 24
Mwanjelwa will become famous soon enoughMwanjelwa will become famous soon enoughMwanjelwa will become famous soon enoughMwanjelwa will become famous soon enoughMwanjelwa will become famous soon enoughMwanjelwa will become famous soon enoughMwanjelwa will become famous soon enoughMwanjelwa will become famous soon enough
Default Re: Kwanini baadhi wanawake wanakuwa na maumble ya kiume, na baadhi wanaume ya kike?

Quote:
View Post
Hivi inakuwaje jamani, unakuta Mwanamke anamandevu, mishipa iliyisimama kweli!, nywele ndefu miguuni na mikononi, goti kavu na limejaa nywele kama kichwa!
Au hata hizi suruali zao wanazo vaa sana siku hizi utaona wengine hawana makalio kabisa! au hata kama yapo basi yapoyapo tu, utadhani "Skonzi" mbili zimepachikwa tu mahali! wakati mwingine utakuta hizo "Skonzi" moja iko juu kidogo nyingine iko chini!

Lakini the other sade;

Utakuta Jibaba lina maziwa ya kike kabisa kifuani, lina shepu safi kabisa umbo namba nane! Halina kandevu hata kamoja! huku limesheheni sauti nyororo kama ya RayC!

Jamani kitaalamu hali hii ninini? na inatokana na nini?


What is this?! Siku hizi hapa JF upupu umezidi sana. Kuna haja ya kuanza ku-screen posts, vinginevyo inakuwa vigumu sana kuchagua posts za kusoma. Invicible?
Reply With Quote
  #10  
Old 24th June 2009, 01:35 AM
Babylon Babylon is offline
Babylon has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 316,316, Level: 100 Points: 316,316, Level: 100 Points: 316,316, Level: 100
Activity: 5% Activity: 5% Activity: 5%
 
Join Date: Thu Feb 2009
Posts: 628
Thanks: 12
Thanked 36 Times in 24 Posts
Rep Power: 23
Babylon will become famous soon enoughBabylon will become famous soon enoughBabylon will become famous soon enoughBabylon will become famous soon enoughBabylon will become famous soon enoughBabylon will become famous soon enoughBabylon will become famous soon enoughBabylon will become famous soon enough
Default Re: Kwanini baadhi wanawake wanakuwa na maumble ya kiume, na baadhi wanaume ya kike?

Lakini umesha waona wanigeria ?Huwezi kufananisha Mwanamume na mwanamke LoL Mungu tuepushie mbali tusije tukafikia kuwa na kizazi kama cha wale jamaa hapa nchi kwetu.

Reply With Quote
Reply

Bookmarks

Tags
baadhi, kike, kiume, kwanini, maumble, wanakuwa, wanaume, wanawake


Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
 
Thread Tools
Display Modes

Posting Rules
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts

BB code is On
Smilies are On
[IMG] code is On
HTML code is Off
Trackbacks are Off
Pingbacks are Off
Refbacks are On


Similar Threads
Thread Thread Starter Forum Replies Last Post
Kwanini Wanawake wanakuwa wavivu kimapenzi katika Ndoa? mmaroroi Mahusiano, mapenzi, urafiki 59 22nd May 2009 07:46 PM
Tumevuka lengo la nafasi za uwakilishi wa wanawake kalld Habari na Hoja mchanganyiko 1 6th June 2008 06:33 PM
Kuelekea siku ya wanawake duniani Asha Abdala Habari na Hoja mchanganyiko 4 12th March 2008 07:11 AM
Wanaume Kupigwa Na Wanawake Bongolander Jukwaa la Siasa 4 16th August 2007 09:24 PM

Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako!


All times are GMT +3. The time now is 11:04 PM.

Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com