Hivi inakuwaje jamani, unakuta Mwanamke anamandevu, mishipa iliyisimama kweli!, nywele ndefu miguuni na mikononi, goti kavu na limejaa nywele kama kichwa!
Au hata hizi suruali zao wanazo vaa sana siku hizi utaona wengine hawana makalio kabisa! au hata kama yapo basi yapoyapo tu, utadhani "Skonzi" mbili zimepachikwa tu mahali! wakati mwingine utakuta hizo "Skonzi" moja iko juu kidogo nyingine iko chini!
Lakini the other sade;
Utakuta Jibaba lina maziwa ya kike kabisa kifuani, lina shepu safi kabisa umbo namba nane! Halina kandevu hata kamoja! huku limesheheni sauti nyororo kama ya RayC!
Jamani kitaalamu hali hii ninini? na inatokana na nini?




LinkBack URL
About LinkBacks
Reply With Quote

Bookmarks