TMF|JamiiForums Blog
  • Member Login:
http://www.jamiiforums.com/zain.jpg

+ Reply to Topic
Results 1 to 16 of 16
  1. #1
    JF Senior Expert Member Mzizi wa Mbuyu will become famous soon enough Mzizi wa Mbuyu will become famous soon enough Mzizi wa Mbuyu will become famous soon enough Mzizi wa Mbuyu will become famous soon enough Mzizi wa Mbuyu will become famous soon enough Mzizi wa Mbuyu will become famous soon enough Mzizi wa Mbuyu will become famous soon enough Mzizi wa Mbuyu will become famous soon enough
    Join Date
    Fri May 2009
    Posts
    593
    Thanks : 123
    Thanked 134 Times in 85 Posts
    Rep Power
    23

    Exclamation Kwanini baadhi wanawake wanakuwa na maumble ya kiume, na baadhi wanaume ya kike?

    Hivi inakuwaje jamani, unakuta Mwanamke anamandevu, mishipa iliyisimama kweli!, nywele ndefu miguuni na mikononi, goti kavu na limejaa nywele kama kichwa!
    Au hata hizi suruali zao wanazo vaa sana siku hizi utaona wengine hawana makalio kabisa! au hata kama yapo basi yapoyapo tu, utadhani "Skonzi" mbili zimepachikwa tu mahali! wakati mwingine utakuta hizo "Skonzi" moja iko juu kidogo nyingine iko chini!

    Lakini the other sade;

    Utakuta Jibaba lina maziwa ya kike kabisa kifuani, lina shepu safi kabisa umbo namba nane! Halina kandevu hata kamoja! huku limesheheni sauti nyororo kama ya RayC!

    Jamani kitaalamu hali hii ninini? na inatokana na nini?
    Si kila mtenda mema ni mcha Mungu, bali mcha Mungu hutenda matendo mema.

  2. #2
    JF Senior Expert Member Babuyao will become famous soon enough Babuyao will become famous soon enough Babuyao will become famous soon enough Babuyao will become famous soon enough Babuyao will become famous soon enough Babuyao will become famous soon enough Babuyao will become famous soon enough Babuyao will become famous soon enough
    Join Date
    Sat Jun 2009
    Posts
    1,023
    Thanks : 209
    Thanked 244 Times in 166 Posts
    Rep Power
    24

    Default Re: Kwanini baadhi wanawake wanakuwa na maumble ya kiume, na baadhi wanaume ya kike?

    Jamaa unajua kujieleza aisee! Hongera.

  3. #3
    JF Senior Expert Member Mzizi wa Mbuyu will become famous soon enough Mzizi wa Mbuyu will become famous soon enough Mzizi wa Mbuyu will become famous soon enough Mzizi wa Mbuyu will become famous soon enough Mzizi wa Mbuyu will become famous soon enough Mzizi wa Mbuyu will become famous soon enough Mzizi wa Mbuyu will become famous soon enough Mzizi wa Mbuyu will become famous soon enough
    Join Date
    Fri May 2009
    Posts
    593
    Thanks : 123
    Thanked 134 Times in 85 Posts
    Rep Power
    23

    Default Re: Kwanini baadhi wanawake wanakuwa na maumble ya kiume, na baadhi wanaume ya kike?

    Quote Originally Posted by Babuyao View Post
    Jamaa unajua kujieleza aisee! Hongera.
    Ni katika kutaka kueleweka tu ndugu yangu, huwa napenda sana mtu aelewe ninachozungumza mkuu wangu Babuyao!
    Si kila mtenda mema ni mcha Mungu, bali mcha Mungu hutenda matendo mema.

  4. #4
    JF Senior Expert Member Bujibuji will become famous soon enough Bujibuji will become famous soon enough Bujibuji will become famous soon enough Bujibuji will become famous soon enough Bujibuji will become famous soon enough Bujibuji will become famous soon enough Bujibuji will become famous soon enough Bujibuji will become famous soon enough Bujibuji's Avatar
    Join Date
    Wed Feb 2009
    Location
    NYUMBANI PANONO
    Posts
    2,396
    Thanks : 299
    Thanked 713 Times in 441 Posts
    Rep Power
    26

    Default Re: Kwanini baadhi wanawake wanakuwa na maumble ya kiume, na baadhi wanaume ya kike?

    mabadiliko yanayoikabili dunia...
    zamani kulikuwa na kuku wetu...
    siku hizi wanaitwa kuku wa kienyeji baada ya kuja hawa wakisasa,
    kuku wa kisasa ni wengi kuliko wa kienyeji...
    muda utafika kuku wa kienyeji watapotea kabisa.
    ngombe nao ni hivyo hivyo na mbegu za mahindi, mpunga, mapapai, maembe na kadhalika.
    KAZI NDIO MSINGI WA MAENDELEO. NCHI MASIKINI HAIWEZI KUENDELEA KWA MSINGI WA FEDHA. NCHI MASIKINI HAIWEZI KUJITAWALA KAMA INATEGEMEA MSAADA KUTOKA NCHI ZA NJE- J. K. NYERERE

  5. #5
    JF Premium Member Arsene Wenger will become famous soon enough Arsene Wenger will become famous soon enough Arsene Wenger will become famous soon enough Arsene Wenger will become famous soon enough Arsene Wenger will become famous soon enough Arsene Wenger will become famous soon enough Arsene Wenger will become famous soon enough Arsene Wenger will become famous soon enough Arsene Wenger's Avatar
    Join Date
    Tue May 2009
    Location
    dodoma
    Posts
    3,316
    Thanks : 713
    Thanked 1,007 Times in 734 Posts
    Rep Power
    28

    Default Re: Kwanini baadhi wanawake wanakuwa na maumble ya kiume, na baadhi wanaume ya kike?

    mambo ya hormonal imbalance .
    "Football is not as predictable or scientific as some people think and sometimes people are wrong on what they say".Arsene Wenger a.k.a "The proffesor"

  6. #6
    JF Senior Expert Member Mfamaji will become famous soon enough Mfamaji will become famous soon enough Mfamaji will become famous soon enough Mfamaji will become famous soon enough Mfamaji will become famous soon enough Mfamaji will become famous soon enough Mfamaji will become famous soon enough Mfamaji will become famous soon enough Mfamaji's Avatar
    Join Date
    Tue Nov 2007
    Posts
    727
    Thanks : 19
    Thanked 160 Times in 84 Posts
    Rep Power
    24

    Default Re: Kwanini baadhi wanawake wanakuwa na maumble ya kiume, na baadhi wanaume ya kike?

    Quote Originally Posted by Bujibuji View Post
    mabadiliko yanayoikabili dunia...
    zamani kulikuwa na kuku wetu...
    siku hizi wanaitwa kuku wa kienyeji baada ya kuja hawa wakisasa,
    kuku wa kisasa ni wengi kuliko wa kienyeji...
    muda utafika kuku wa kienyeji watapotea kabisa.
    ngombe nao ni hivyo hivyo na mbegu za mahindi, mpunga, mapapai, maembe na kadhalika.
    Kwa mantiki hiyo unataka kusema tutakuja kushuhudia wanawake wakibadika na na sura ya kike kufutika ibaki ya kiume ?

    Naamini kuna sababu kisayansi au kibailogia zaidi kuliko hii ya breeds.

  7. #7
    JF Senior Expert Member Mzizi wa Mbuyu will become famous soon enough Mzizi wa Mbuyu will become famous soon enough Mzizi wa Mbuyu will become famous soon enough Mzizi wa Mbuyu will become famous soon enough Mzizi wa Mbuyu will become famous soon enough Mzizi wa Mbuyu will become famous soon enough Mzizi wa Mbuyu will become famous soon enough Mzizi wa Mbuyu will become famous soon enough
    Join Date
    Fri May 2009
    Posts
    593
    Thanks : 123
    Thanked 134 Times in 85 Posts
    Rep Power
    23

    Default Re: Kwanini baadhi wanawake wanakuwa na maumble ya kiume, na baadhi wanaume ya kike?

    Quote Originally Posted by Mfamaji View Post
    Kwa mantiki hiyo unataka kusema tutakuja kushuhudia wanawake wakibadika na na sura ya kike kufutika ibaki ya kiume ?

    Naamini kuna sababu kisayansi au kibailogia zaidi kuliko hii ya breeds.

    Kama ni hiyo hakutakuwa na mabadiliko itakuwa ni kuhama kwa jinsia tu,
    maana wanaume nao watakuwa kama wanawake!
    Si kila mtenda mema ni mcha Mungu, bali mcha Mungu hutenda matendo mema.

  8. #8
    JF Senior Expert Member Ndugu will become famous soon enough Ndugu will become famous soon enough Ndugu will become famous soon enough Ndugu will become famous soon enough Ndugu will become famous soon enough Ndugu will become famous soon enough Ndugu will become famous soon enough Ndugu will become famous soon enough Ndugu's Avatar
    Join Date
    Sat Apr 2008
    Location
    Here
    Posts
    524
    Thanks : 48
    Thanked 49 Times in 34 Posts
    Rep Power
    24

    Default Re: Kwanini baadhi wanawake wanakuwa na maumble ya kiume, na baadhi wanaume ya kike?

    Ndiyo maana siku hizi kuna mashoga na wasagaji mazee,, mambo ya kubadilishana majukumu hayo..

    Joking LOL!
    Nobody can do everything but everybody can do something.

  9. #9
    JF Senior Expert Member Mwanjelwa will become famous soon enough Mwanjelwa will become famous soon enough Mwanjelwa will become famous soon enough Mwanjelwa will become famous soon enough Mwanjelwa will become famous soon enough Mwanjelwa will become famous soon enough Mwanjelwa will become famous soon enough Mwanjelwa will become famous soon enough
    Join Date
    Sun Jul 2007
    Location
    Chenorbly
    Posts
    562
    Thanks : 27
    Thanked 43 Times in 26 Posts
    Rep Power
    25

    Default Re: Kwanini baadhi wanawake wanakuwa na maumble ya kiume, na baadhi wanaume ya kike?

    Quote Originally Posted by Mzizi wa Mbuyu View Post
    Hivi inakuwaje jamani, unakuta Mwanamke anamandevu, mishipa iliyisimama kweli!, nywele ndefu miguuni na mikononi, goti kavu na limejaa nywele kama kichwa!
    Au hata hizi suruali zao wanazo vaa sana siku hizi utaona wengine hawana makalio kabisa! au hata kama yapo basi yapoyapo tu, utadhani "Skonzi" mbili zimepachikwa tu mahali! wakati mwingine utakuta hizo "Skonzi" moja iko juu kidogo nyingine iko chini!

    Lakini the other sade;

    Utakuta Jibaba lina maziwa ya kike kabisa kifuani, lina shepu safi kabisa umbo namba nane! Halina kandevu hata kamoja! huku limesheheni sauti nyororo kama ya RayC!

    Jamani kitaalamu hali hii ninini? na inatokana na nini?


    What is this?! Siku hizi hapa JF upupu umezidi sana. Kuna haja ya kuanza ku-screen posts, vinginevyo inakuwa vigumu sana kuchagua posts za kusoma. Invicible?

  10. #10
    JF Senior Expert Member Babylon will become famous soon enough Babylon will become famous soon enough Babylon will become famous soon enough Babylon will become famous soon enough Babylon will become famous soon enough Babylon will become famous soon enough Babylon will become famous soon enough Babylon will become famous soon enough
    Join Date
    Thu Feb 2009
    Posts
    735
    Thanks : 13
    Thanked 55 Times in 33 Posts
    Rep Power
    23

    Default Re: Kwanini baadhi wanawake wanakuwa na maumble ya kiume, na baadhi wanaume ya kike?

    Lakini umesha waona wanigeria ?Huwezi kufananisha Mwanamume na mwanamke LoL Mungu tuepushie mbali tusije tukafikia kuwa na kizazi kama cha wale jamaa hapa nchi kwetu.

    [ame="http://www.youtube.com/watch?v=I05IpCne6Og&videos=SVyE3DJIwBY&playnext_fr om=TL&playnext=1"]YouTube - Sexual Attraction (Human Instinct)[/ame]

  11. #11
    JF Senior Expert Member Babylon will become famous soon enough Babylon will become famous soon enough Babylon will become famous soon enough Babylon will become famous soon enough Babylon will become famous soon enough Babylon will become famous soon enough Babylon will become famous soon enough Babylon will become famous soon enough
    Join Date
    Thu Feb 2009
    Posts
    735
    Thanks : 13
    Thanked 55 Times in 33 Posts
    Rep Power
    23

    Default Re: Kwanini baadhi wanawake wanakuwa na maumble ya kiume, na baadhi wanaume ya kike?

    Quote Originally Posted by Mwanjelwa View Post
    What is this?! Siku hizi hapa JF upupu umezidi sana. Kuna haja ya kuanza ku-screen posts, vinginevyo inakuwa vigumu sana kuchagua posts za kusoma. Invicible?

    Taratibu Mkuu hasira hasara .

  12. #12
    JF Premium Member Super Star will become famous soon enough Super Star will become famous soon enough Super Star will become famous soon enough Super Star will become famous soon enough Super Star will become famous soon enough Super Star will become famous soon enough Super Star will become famous soon enough Super Star will become famous soon enough Super Star's Avatar
    Join Date
    Mon Mar 2008
    Location
    HOME
    Posts
    3,134
    Thanks : 828
    Thanked 1,361 Times in 732 Posts
    Rep Power
    29

    Default Re: Kwanini baadhi wanawake wanakuwa na maumble ya kiume, na baadhi wanaume ya kike?

    Quote Originally Posted by mwanjelwa View Post
    what is this?! Siku hizi hapa jf upupu umezidi sana. Kuna haja ya kuanza ku-screen posts, vinginevyo inakuwa vigumu sana kuchagua posts za kusoma. Invicible?

    what is wrong with this post? Au kulalamika jadi yako??
    Be kind, for everyone you meet is fighting a hard battle.



  13. #13
    JF Senior Expert Member Mzizi wa Mbuyu will become famous soon enough Mzizi wa Mbuyu will become famous soon enough Mzizi wa Mbuyu will become famous soon enough Mzizi wa Mbuyu will become famous soon enough Mzizi wa Mbuyu will become famous soon enough Mzizi wa Mbuyu will become famous soon enough Mzizi wa Mbuyu will become famous soon enough Mzizi wa Mbuyu will become famous soon enough
    Join Date
    Fri May 2009
    Posts
    593
    Thanks : 123
    Thanked 134 Times in 85 Posts
    Rep Power
    23

    Default Re: Kwanini baadhi wanawake wanakuwa na maumble ya kiume, na baadhi wanaume ya kike?

    Quote Originally Posted by Mwanjelwa View Post
    What is this?! Siku hizi hapa JF upupu umezidi sana. Kuna haja ya kuanza ku-screen posts, vinginevyo inakuwa vigumu sana kuchagua posts za kusoma. Invicible?
    Mkuu wangu, kwa jinsi ulivyosema hapa ninaweza hata kukutajia umri wako! Inaonekana ni wale wazee tunao waita "wanoko" walioachwa na wakati! amabao hata wake zao nyumbani wanawaamkia 'shikamoo baba', huku watoto hawaruhusiwi kabisa kumsogelea baba yao achilia mbali kuongea nae!
    Huyo Invicible kaona ila hana mtizamo kama wako wa kutazama kitu huku umesimamia mikono miguu iko juu! lazima utkuwa unaona taswira tofauti na kitu halisi.
    Dunia hii nipana, usijifungie chumbani baba, jifinze na na mambo mapya au usiyoyajua! .....lasivyo utakuwa kituko!
    Si kila mtenda mema ni mcha Mungu, bali mcha Mungu hutenda matendo mema.

  14. #14
    Member Pangu Pakavu Tia Mchuzi will become famous soon enough Pangu Pakavu Tia Mchuzi will become famous soon enough Pangu Pakavu Tia Mchuzi will become famous soon enough Pangu Pakavu Tia Mchuzi will become famous soon enough Pangu Pakavu Tia Mchuzi will become famous soon enough Pangu Pakavu Tia Mchuzi will become famous soon enough Pangu Pakavu Tia Mchuzi will become famous soon enough Pangu Pakavu Tia Mchuzi will become famous soon enough
    Join Date
    Sat Jun 2006
    Location
    1599 Clifton Road, Atlanta, USA
    Posts
    30
    Thanks : 0
    Thanked 1 Time in 1 Post
    Rep Power
    0

    Default Re: Kwanini baadhi wanawake wanakuwa na maumble ya kiume, na baadhi wanaume ya kike?

    Quote Originally Posted by Mzizi wa Mbuyu View Post
    Hivi inakuwaje jamani, unakuta Mwanamke anamandevu, mishipa iliyisimama kweli!, nywele ndefu miguuni na mikononi, goti kavu na limejaa nywele kama kichwa!
    Au hata hizi suruali zao wanazo vaa sana siku hizi utaona wengine hawana makalio kabisa! au hata kama yapo basi yapoyapo tu, utadhani "Skonzi" mbili zimepachikwa tu mahali! wakati mwingine utakuta hizo "Skonzi" moja iko juu kidogo nyingine iko chini!

    Lakini the other sade;

    Utakuta Jibaba lina maziwa ya kike kabisa kifuani, lina shepu safi kabisa umbo namba nane! Halina kandevu hata kamoja! huku limesheheni sauti nyororo kama ya RayC!

    Jamani kitaalamu hali hii ninini? na inatokana na nini?
    Mkuu, you really made up my morning :-) Yaani unajua ku-articulate points zako kwenye suali kiasi kwamba hata mbumbumbu ataelewa unauliza nini :-)

    Suali zuri sana. Nimebanwa kidogo. Nitatafuta muda nijaribu kuchangia.

    Heshima!
    "Don't cross your bridges before you come to them."

  15. #15
    JF Premium Member WomanOfSubstance will become famous soon enough WomanOfSubstance will become famous soon enough WomanOfSubstance will become famous soon enough WomanOfSubstance will become famous soon enough WomanOfSubstance will become famous soon enough WomanOfSubstance will become famous soon enough WomanOfSubstance will become famous soon enough WomanOfSubstance will become famous soon enough WomanOfSubstance's Avatar
    Join Date
    Fri May 2008
    Posts
    4,423
    Thanks : 942
    Thanked 1,440 Times in 706 Posts
    Rep Power
    31

    Default Re: Kwanini baadhi wanawake wanakuwa na maumble ya kiume, na baadhi wanaume ya kike?

    Kila binadamu anapotungwa tumboni kwa mamaye anakuwa anazo hormone zote..za kike na za kiume.Baada ya kuzaliwa na kuanza kukua na kubadilika kutoka utoto kwenda utu uzima - puberty - zile za jinsi yake huwa nyingi zaidi na kumpa features stahili.Inapotokea hormone za jinsi ile nyingine zimezidi basi hata maumbile nayo yanapata athari ulizozitaja.Vilevile kuna uwezekano wa kuathirika na madawa ya kula na kupaka ( wanawake wengi sasa wana ndevu kama wanaume!)
    Pia huenda hata zamani maumbile ya kike kwa mwanaume na ya kiume kwa mwanamke yalikuwapo ila labda kwa sababu ya aina ya mavazi watu wavaayo siku hizi ndiyo yanajionyesha zaidi..sijui lakini.
    Wanawake wanaotumia mikorogo ya kumeza na kujipaka wajihadhari sana.... mengine yana hormone za kiume testisterone kwa viwango vya juu.
    You don't write because you want to say something, you write because you've got something to say.

  16. #16
    Member mgiriki will become famous soon enough mgiriki will become famous soon enough mgiriki will become famous soon enough mgiriki will become famous soon enough mgiriki will become famous soon enough mgiriki will become famous soon enough mgiriki will become famous soon enough mgiriki will become famous soon enough
    Join Date
    Fri Aug 2008
    Posts
    19
    Thanks : 0
    Thanked 0 Times in 0 Posts
    Rep Power
    0

    Red face Re: Kwanini baadhi wanawake wanakuwa na maumble ya kiume, na baadhi wanaume ya kike?

    :)Zamani ma babu zetu walikuwa nanasema kuwa mwanamke mwenye ndevu, wana nyota ya mali! je, hilo kuna aliewahi kusikia au ni mimi? na tunalionaje hili linaweza kuwa kweli?


 

Topic Information

Users Browsing this Topic

There are currently 1 users browsing this thread. (0 members and 1 guests)

     

Tags for this Topic

Bookmarks

Posting Permissions

  • You may not post new threads
  • You may not post replies
  • You may not post attachments
  • You may not edit your posts