Kwanini baadhi wanawake wanakuwa na maumble ya kiume, na baadhi wanaume ya kike? - Page 2 - JamiiForums |The Home of Great Thinkers

Go Back   JamiiForums |The Home of Great Thinkers > Education, Science & Technology Forums > JF Doctor


JF Doctor We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kila binadamu ni mgonjwa, suluhu ya tatizo lako yaweza kupatikana kwa kuuanika ugonjwa. Karibu


Reply
 
LinkBack Thread Tools Display Modes
Old 23rd June 2009, 03:02 PM  
Kwanini baadhi wanawake wanakuwa na maumble ya kiume, na baadhi wanaume ya kike?
Mzizi wa Mbuyu Mzizi wa Mbuyu is offline 23rd June 2009, 03:02 PM

Hivi inakuwaje jamani, unakuta Mwanamke anamandevu, mishipa iliyisimama kweli!, nywele ndefu miguuni na mikononi, goti kavu na limejaa nywele kama kichwa!
Au hata hizi suruali zao wanazo vaa sana siku hizi utaona wengine hawana makalio kabisa! au hata kama yapo basi yapoyapo tu, utadhani "Skonzi" mbili zimepachikwa tu mahali! wakati mwingine utakuta hizo "Skonzi" moja iko juu kidogo nyingine iko chini!

Lakini the other sade;

Utakuta Jibaba lina maziwa ya kike kabisa kifuani, lina shepu safi kabisa umbo namba nane! Halina kandevu hata kamoja! huku limesheheni sauti nyororo kama ya RayC!

Jamani kitaalamu hali hii ninini? na inatokana na nini?
__________________
Heri kupendwa na mwenye akili mmoja, kuliko kupendwa wapumbavu maelfu!

Mzizi wa Mbuyu
JF Senior Expert Member
Points: 182,247, Level: 100 Points: 182,247, Level: 100 Points: 182,247, Level: 100
Activity: 13% Activity: 13% Activity: 13%
Join Date: Fri May 2009
Posts: 331
Thanks: 27
Thanked 53 Times in 28 Posts
Views: 577
Reply With Quote
  #11  
Old 24th June 2009, 02:37 AM
Babylon Babylon is offline
Babylon has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 306,109, Level: 100 Points: 306,109, Level: 100 Points: 306,109, Level: 100
Activity: 7% Activity: 7% Activity: 7%
 
Join Date: Thu Feb 2009
Posts: 624
Thanks: 12
Thanked 35 Times in 23 Posts
Rep Power: 23
Babylon will become famous soon enoughBabylon will become famous soon enoughBabylon will become famous soon enoughBabylon will become famous soon enoughBabylon will become famous soon enoughBabylon will become famous soon enoughBabylon will become famous soon enoughBabylon will become famous soon enough
Default Re: Kwanini baadhi wanawake wanakuwa na maumble ya kiume, na baadhi wanaume ya kike?

Quote:
View Post
What is this?! Siku hizi hapa JF upupu umezidi sana. Kuna haja ya kuanza ku-screen posts, vinginevyo inakuwa vigumu sana kuchagua posts za kusoma. Invicible?

Taratibu Mkuu hasira hasara .
Reply With Quote
  #12  
Old 24th June 2009, 09:05 AM
Nguli's Avatar
Nguli Nguli is offline
Nguli is a God fearing Man
JF Premium Member
Points: 794,470, Level: 100 Points: 794,470, Level: 100 Points: 794,470, Level: 100
Activity: 16% Activity: 16% Activity: 16%
 
Join Date: Mon Mar 2008
Location: HOME
Posts: 2,478
Thanks: 584
Thanked 977 Times in 523 Posts
Rep Power: 26
Nguli will become famous soon enoughNguli will become famous soon enoughNguli will become famous soon enoughNguli will become famous soon enoughNguli will become famous soon enoughNguli will become famous soon enoughNguli will become famous soon enoughNguli will become famous soon enough
Default Re: Kwanini baadhi wanawake wanakuwa na maumble ya kiume, na baadhi wanaume ya kike?

Quote:
View Post
what is this?! Siku hizi hapa jf upupu umezidi sana. Kuna haja ya kuanza ku-screen posts, vinginevyo inakuwa vigumu sana kuchagua posts za kusoma. Invicible?

what is wrong with this post? Au kulalamika jadi yako??
__________________
Women will never be as successful as men because they have no wives to advise them. Dick Van Dyke
Reply With Quote
  #13  
Old 24th June 2009, 09:21 AM
Mzizi wa Mbuyu Mzizi wa Mbuyu is offline
Mzizi wa Mbuyu has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 182,247, Level: 100 Points: 182,247, Level: 100 Points: 182,247, Level: 100
Activity: 13% Activity: 13% Activity: 13%
 
Join Date: Fri May 2009
Posts: 331
Thanks: 27
Thanked 53 Times in 28 Posts
Rep Power: 21
Mzizi wa Mbuyu will become famous soon enoughMzizi wa Mbuyu will become famous soon enoughMzizi wa Mbuyu will become famous soon enoughMzizi wa Mbuyu will become famous soon enoughMzizi wa Mbuyu will become famous soon enoughMzizi wa Mbuyu will become famous soon enoughMzizi wa Mbuyu will become famous soon enoughMzizi wa Mbuyu will become famous soon enough
Default Re: Kwanini baadhi wanawake wanakuwa na maumble ya kiume, na baadhi wanaume ya kike?

Quote:
View Post
What is this?! Siku hizi hapa JF upupu umezidi sana. Kuna haja ya kuanza ku-screen posts, vinginevyo inakuwa vigumu sana kuchagua posts za kusoma. Invicible?
Mkuu wangu, kwa jinsi ulivyosema hapa ninaweza hata kukutajia umri wako! Inaonekana ni wale wazee tunao waita "wanoko" walioachwa na wakati! amabao hata wake zao nyumbani wanawaamkia 'shikamoo baba', huku watoto hawaruhusiwi kabisa kumsogelea baba yao achilia mbali kuongea nae!
Huyo Invicible kaona ila hana mtizamo kama wako wa kutazama kitu huku umesimamia mikono miguu iko juu! lazima utkuwa unaona taswira tofauti na kitu halisi.
Dunia hii nipana, usijifungie chumbani baba, jifinze na na mambo mapya au usiyoyajua! .....lasivyo utakuwa kituko!
__________________
Heri kupendwa na mwenye akili mmoja, kuliko kupendwa wapumbavu maelfu!
Reply With Quote
  #14  
Old 24th June 2009, 11:20 AM
Pangu Pakavu Tia Mchuzi Pangu Pakavu Tia Mchuzi is offline
Pangu Pakavu Tia Mchuzi has no status.
Member
Points: 87,849, Level: 100 Points: 87,849, Level: 100 Points: 87,849, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Sat Jun 2006
Location: 1599 Clifton Road, Atlanta, USA
Posts: 29
Thanks: 0
Thanked 1 Time in 1 Post
Rep Power: 0
Pangu Pakavu Tia Mchuzi will become famous soon enoughPangu Pakavu Tia Mchuzi will become famous soon enoughPangu Pakavu Tia Mchuzi will become famous soon enoughPangu Pakavu Tia Mchuzi will become famous soon enoughPangu Pakavu Tia Mchuzi will become famous soon enoughPangu Pakavu Tia Mchuzi will become famous soon enoughPangu Pakavu Tia Mchuzi will become famous soon enoughPangu Pakavu Tia Mchuzi will become famous soon enough
Default Re: Kwanini baadhi wanawake wanakuwa na maumble ya kiume, na baadhi wanaume ya kike?

Quote:
View Post
Hivi inakuwaje jamani, unakuta Mwanamke anamandevu, mishipa iliyisimama kweli!, nywele ndefu miguuni na mikononi, goti kavu na limejaa nywele kama kichwa!
Au hata hizi suruali zao wanazo vaa sana siku hizi utaona wengine hawana makalio kabisa! au hata kama yapo basi yapoyapo tu, utadhani "Skonzi" mbili zimepachikwa tu mahali! wakati mwingine utakuta hizo "Skonzi" moja iko juu kidogo nyingine iko chini!

Lakini the other sade;

Utakuta Jibaba lina maziwa ya kike kabisa kifuani, lina shepu safi kabisa umbo namba nane! Halina kandevu hata kamoja! huku limesheheni sauti nyororo kama ya RayC!

Jamani kitaalamu hali hii ninini? na inatokana na nini?
Mkuu, you really made up my morning :-) Yaani unajua ku-articulate points zako kwenye suali kiasi kwamba hata mbumbumbu ataelewa unauliza nini :-)

Suali zuri sana. Nimebanwa kidogo. Nitatafuta muda nijaribu kuchangia.

Heshima!
__________________
"Don't cross your bridges before you come to them."
Reply With Quote
  #15  
Old 24th June 2009, 01:17 PM
WomanOfSubstance's Avatar
WomanOfSubstance WomanOfSubstance is online now
WomanOfSubstance is counting her blessings
JF Premium Member
Points: 787,692, Level: 100 Points: 787,692, Level: 100 Points: 787,692, Level: 100
Activity: 23% Activity: 23% Activity: 23%
 
Join Date: Fri May 2008
Posts: 3,634
Thanks: 391
Thanked 651 Times in 325 Posts
Rep Power: 29
WomanOfSubstance will become famous soon enoughWomanOfSubstance will become famous soon enoughWomanOfSubstance will become famous soon enoughWomanOfSubstance will become famous soon enoughWomanOfSubstance will become famous soon enoughWomanOfSubstance will become famous soon enoughWomanOfSubstance will become famous soon enoughWomanOfSubstance will become famous soon enough
Default Re: Kwanini baadhi wanawake wanakuwa na maumble ya kiume, na baadhi wanaume ya kike?

Kila binadamu anapotungwa tumboni kwa mamaye anakuwa anazo hormone zote..za kike na za kiume.Baada ya kuzaliwa na kuanza kukua na kubadilika kutoka utoto kwenda utu uzima - puberty - zile za jinsi yake huwa nyingi zaidi na kumpa features stahili.Inapotokea hormone za jinsi ile nyingine zimezidi basi hata maumbile nayo yanapata athari ulizozitaja.Vilevile kuna uwezekano wa kuathirika na madawa ya kula na kupaka ( wanawake wengi sasa wana ndevu kama wanaume!)
Pia huenda hata zamani maumbile ya kike kwa mwanaume na ya kiume kwa mwanamke yalikuwapo ila labda kwa sababu ya aina ya mavazi watu wavaayo siku hizi ndiyo yanajionyesha zaidi..sijui lakini.
Wanawake wanaotumia mikorogo ya kumeza na kujipaka wajihadhari sana.... mengine yana hormone za kiume testisterone kwa viwango vya juu.
__________________
Do not dwell in the past, do not dream of the future, concentrate the mind on the present moment. -- Buddha
Reply With Quote
  #16  
Old 9th July 2009, 04:01 PM
mgiriki mgiriki is offline
mgiriki has no status.
Member
Points: 63,440, Level: 100 Points: 63,440, Level: 100 Points: 63,440, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Fri Aug 2008
Posts: 19
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 0
mgiriki will become famous soon enoughmgiriki will become famous soon enoughmgiriki will become famous soon enoughmgiriki will become famous soon enoughmgiriki will become famous soon enoughmgiriki will become famous soon enoughmgiriki will become famous soon enoughmgiriki will become famous soon enough
Red face Re: Kwanini baadhi wanawake wanakuwa na maumble ya kiume, na baadhi wanaume ya kike?

Zamani ma babu zetu walikuwa nanasema kuwa mwanamke mwenye ndevu, wana nyota ya mali! je, hilo kuna aliewahi kusikia au ni mimi? na tunalionaje hili linaweza kuwa kweli?
Reply With Quote
Reply

Bookmarks

Tags
baadhi, kike, kiume, kwanini, maumble, wanakuwa, wanaume, wanawake


Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
 
Thread Tools
Display Modes

Posting Rules
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts

BB code is On
Smilies are On
[IMG] code is On
HTML code is Off
Trackbacks are Off
Pingbacks are Off
Refbacks are On


Similar Threads
Thread Thread Starter Forum Replies Last Post
Kwanini Wanawake wanakuwa wavivu kimapenzi katika Ndoa? mmaroroi Mahusiano, mapenzi, urafiki 59 22nd May 2009 08:46 PM
Tumevuka lengo la nafasi za uwakilishi wa wanawake kalld Habari na Hoja mchanganyiko 1 6th June 2008 07:33 PM
Kuelekea siku ya wanawake duniani Asha Abdala Habari na Hoja mchanganyiko 4 12th March 2008 08:11 AM
Wanaume Kupigwa Na Wanawake Bongolander Jukwaa la Siasa 4 16th August 2007 10:24 PM

Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako!


All times are GMT +3. The time now is 07:41 PM.

Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com