Maumivu ndani ya tundu ya haja ndogo - JamiiForums |The Home of Great Thinkers

Go Back   JamiiForums |The Home of Great Thinkers > Education, Science & Technology Forums > JF Doctor


JF Doctor We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kila binadamu ni mgonjwa, suluhu ya tatizo lako yaweza kupatikana kwa kuuanika ugonjwa. Karibu


Reply
 
LinkBack Thread Tools Display Modes
Old 22nd June 2009, 05:23 PM   #1
Maumivu ndani ya tundu ya haja ndogo
Amosam Amosam is offline 22nd June 2009, 05:23 PM

Kuna jamaa yangu anaomba msaada wa ushauri kimatibabu kwani anasumbuliwa na maumivu katika eneo la shingo ya uume wake.Tatizo hilo amekuwa nalo kwa zaidi ya miaka saba sasa kwani ameshakwenda katika hospitali nyingi kupata matibabu lakini bado hajapona.Baadhi ya madakitari walipompima walimwambia ana mchubuko ndani ya urethra na wakampatia dawa za antibiotic lakini pamoja na matibabu hayo bado hakupata nafuu.Akaenda kwa madakitari wengine wakamwambia ana tatizo la ugonjwa wa zinaa hali iliyomfanya achanganyikiwe kwani kwa tabia yake na ya mkewe hakutarajia kitu kama hicho kutokea(hawa jamaa ni walokole wa hali ya juu).Yeye pamoja na mkewe wakapatiwa matibabu(sindano za penadol)-ziliwatesa sana kwa uchungu,pamoja na tiba hizo bado jamaa anaendele kusumbuliwa na tatizo hilo. Akaenda hospitali nyingine akaambiwa ni mchubuko tuu unaomsumbua kwani wakapimwa yeye na mkewe magonjwa yote ya zinaa hawakukutwa nayo,akapatiwa tiba ya antibiotic tena lakini bado jamaa anasumbuliwa.Kuna wakati anaweza akawa fiti karibu wiki nzima lakini baadae hali hiyo hujirudia.
Wana JF wenzangu wenye utaalamu wa magonjwa na matibabu naomba msaada wenu wa ushauri ili huyu jamaa yangu aweze kutibiwa na kupata nafuu.Nawakilisaha.

Amosam
Senior Member
Points: 83,099, Level: 100 Points: 83,099, Level: 100 Points: 83,099, Level: 100
Activity: 9% Activity: 9% Activity: 9%
Join Date: Thu Jan 2009
Posts: 156
Thanks: 0
Thanked 2 Times in 2 Posts
Views: 352
Reply With Quote
  #2  
Old 22nd June 2009, 05:40 PM
Next Level's Avatar
Next Level Next Level is offline
Next Level is optimistic one day yes
JF Premium Member
Points: 176,473, Level: 100 Points: 176,473, Level: 100 Points: 176,473, Level: 100
Activity: 3% Activity: 3% Activity: 3%
 
Join Date: Mon Nov 2008
Location: Pwani
Posts: 2,559
Thanks: 386
Thanked 531 Times in 325 Posts
Rep Power: 27
Next Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enough
Default Re: Maumivu ndani ya tundu ya haja ndogo

Hayo maantibiotics yatamuua....amtafute urologist haraka....atakuwa na stricture huko kny njia ya mkojo....tiba yake ni operation ndogo inaitwa DVU! Lakini kabla ya kufanyiwa hii kitu, kunavipimo anatakiwa akavifanye.....! Pale tumaini, Aghakhan, Muhimbili, Regency...wanafanya hii kitu!

Tatizo la hii DVU kama hata zingatia mazoezi fulani ...hali hii huwa inajirudia....na solution yake huwa ni hiyo kitu tu!

Can PM nikupe contact za baadhi ya urologists ninaowafahamu!
__________________
“Without leaps of imagination, or dreaming, we lose the excitement of possibilities. Dreaming, after all, is a form of planning
- GLORIA STEINEM.
Reply With Quote
  #3  
Old 22nd June 2009, 06:04 PM
Kang's Avatar
Kang Kang is online now
Kang has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 269,119, Level: 100 Points: 269,119, Level: 100 Points: 269,119, Level: 100
Activity: 7% Activity: 7% Activity: 7%
 
Join Date: Tue Jun 2008
Posts: 1,355
Thanks: 0
Thanked 113 Times in 77 Posts
Rep Power: 24
Kang will become famous soon enoughKang will become famous soon enoughKang will become famous soon enoughKang will become famous soon enoughKang will become famous soon enoughKang will become famous soon enoughKang will become famous soon enoughKang will become famous soon enough
Default Re: Maumivu ndani ya tundu ya haja ndogo

Check link hii: Urethral Pain With No Infection >> Medical Questions, Weight Loss, Pregnancy, Drugs, Health Insurance

Pia ningekushauri kutofanya operation yoyote bongo.
__________________
“Society is like a stew. If you don't stir it up every once in a while then a layer of scum floats to the top.”
Reply With Quote
  #4  
Old 23rd June 2009, 11:39 AM
Mganga wa Jadi Mganga wa Jadi is offline
Mganga wa Jadi 4u
Senior Member
Points: 84,527, Level: 100 Points: 84,527, Level: 100 Points: 84,527, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Wed Mar 2008
Location: Maneromango
Posts: 87
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 23
Mganga wa Jadi will become famous soon enoughMganga wa Jadi will become famous soon enoughMganga wa Jadi will become famous soon enoughMganga wa Jadi will become famous soon enoughMganga wa Jadi will become famous soon enoughMganga wa Jadi will become famous soon enoughMganga wa Jadi will become famous soon enoughMganga wa Jadi will become famous soon enough
Default Re: Maumivu ndani ya tundu ya haja ndogo

Quote:
View Post
Check link hii: Urethral Pain With No Infection >> Medical Questions, Weight Loss, Pregnancy, Drugs, Health Insurance

Pia ningekushauri kutofanya operation yoyote bongo.
Pole sana kwa matatizo yaliyomsibu huyo ndugu yako. Ushauri aliokupa Next level ni mzuri na muhimu. Direct Vision Urethroscopy (DVU) ni aina ya kipimo ambacho humsaidia urologist kuitazama urethra kwa macho yake mwenyewe (direct) pia kama kuna stricture au aina yoyote ya kidonda ni rahisi kuiona na kuitibu hapohapo kwahiyo naona ni muhimu kuifanya DVU kwa urologist kwanye hospitali ulizo tajiwa.
Reply With Quote
  #5  
Old 23rd June 2009, 11:46 AM
Froida Froida is offline
Froida has no status.
Senior Member
Points: 65,405, Level: 100 Points: 65,405, Level: 100 Points: 65,405, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Mon May 2009
Posts: 198
Thanks: 0
Thanked 3 Times in 1 Post
Rep Power: 21
Froida will become famous soon enoughFroida will become famous soon enoughFroida will become famous soon enoughFroida will become famous soon enoughFroida will become famous soon enoughFroida will become famous soon enoughFroida will become famous soon enoughFroida will become famous soon enough
Default Re: Maumivu ndani ya tundu ya haja ndogo

Amtafute urologist, pia angalie vyakula anavyokula na kiwango cha maji anachokunya
asichoke wakati mwingine inachukua muda mrefu sana kungudua chanzo na tatizo la ugonjwa husika ,pia ningemshauri kwenda kwenye hospitali za rufaa za serikali hata kama kuna foleni sana na tabu sana kuwaona wataalamu lakini vipimo vya maabara mara nyingi huwa vya uhakika
Reply With Quote
  #6  
Old 23rd June 2009, 11:47 AM
Geoff's Avatar
Geoff Geoff is offline
Geoff geoff@jamiiforums.com
JF Premium Member
Points: 667,247, Level: 100 Points: 667,247, Level: 100 Points: 667,247, Level: 100
Activity: 100% Activity: 100% Activity: 100%
 
Join Date: Fri Jan 2009
Location: CHAWOTE BAR!
Posts: 7,000
Thanks: 1,896
Thanked 2,047 Times in 1,382 Posts
Rep Power: 36
Geoff will become famous soon enoughGeoff will become famous soon enoughGeoff will become famous soon enoughGeoff will become famous soon enoughGeoff will become famous soon enoughGeoff will become famous soon enoughGeoff will become famous soon enoughGeoff will become famous soon enough
Send a message via MSN to Geoff Send a message via Yahoo to Geoff
Default Re: Maumivu ndani ya tundu ya haja ndogo

pole sana mkuu!
wataalamu waliotangulia wameshauri vizuri tu.napenda kukusisitizia tu wakamwone mtaalam 'urologist' ili akushauri kitaalamu zaidi.

POLE SANA!
__________________
''TRUTH TAKES TIME''
Reply With Quote
  #7  
Old 23rd June 2009, 12:05 PM
Next Level's Avatar
Next Level Next Level is offline
Next Level is optimistic one day yes
JF Premium Member
Points: 176,473, Level: 100 Points: 176,473, Level: 100 Points: 176,473, Level: 100
Activity: 3% Activity: 3% Activity: 3%
 
Join Date: Mon Nov 2008
Location: Pwani
Posts: 2,559
Thanks: 386
Thanked 531 Times in 325 Posts
Rep Power: 27
Next Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enough
Default Re: Maumivu ndani ya tundu ya haja ndogo

Quote:
View Post

Pia ningekushauri kutofanya operation yoyote bongo.
Mkuu ushauri wako umezingatia uwezo wa mgonjwa? Unamshauri mwenzio kutofanya operation yoyote bongo, mbona husemi akafanye wapi....china,au kenya or India? Na kama uwezo wakwenda huko kwingine hana...afanyeje?

Ingekuwa bora zaidi useme operation za bongo zina matatizo gani pia ile wote tujifunze hapa!
__________________
“Without leaps of imagination, or dreaming, we lose the excitement of possibilities. Dreaming, after all, is a form of planning
- GLORIA STEINEM.
Reply With Quote
  #8  
Old 24th June 2009, 02:43 PM
Amosam Amosam is offline
Amosam has no status.
Senior Member
Points: 83,099, Level: 100 Points: 83,099, Level: 100 Points: 83,099, Level: 100
Activity: 9% Activity: 9% Activity: 9%
 
Join Date: Thu Jan 2009
Posts: 156
Thanks: 0
Thanked 2 Times in 2 Posts
Rep Power: 22
Amosam will become famous soon enoughAmosam will become famous soon enoughAmosam will become famous soon enoughAmosam will become famous soon enoughAmosam will become famous soon enoughAmosam will become famous soon enoughAmosam will become famous soon enoughAmosam will become famous soon enough
Default Re: Maumivu ndani ya tundu ya haja ndogo

Nashukuru wote mliochangia na ushauri wenu utazingatiwa,ahsanteni sana.
Reply With Quote
Reply

Bookmarks

Tags
haja, maumivu, ndani, ndogo, tundu


Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
 
Thread Tools
Display Modes

Posting Rules
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts

BB code is On
Smilies are On
[IMG] code is On
HTML code is Off
Trackbacks are Off
Pingbacks are Off
Refbacks are On


Similar Threads
Thread Thread Starter Forum Replies Last Post
Ni wakati wa kuacha woga! Invisible Habari na Hoja mchanganyiko 6 4th June 2009 10:01 PM
Hotuba Mbadala TAMISEMI: Slaa ataka Balali ajiuzulu; ambana Lowassa kuhusu Richmond John Mnyika Jukwaa la Siasa 13 16th December 2008 02:21 PM
Tanzania:Utawala bora vs Rushwa Mkira Jukwaa la Siasa 483 27th September 2008 04:15 PM
When the Pressure Group Called ...before the hurricane.... Taasisi Jukwaa la Siasa 11 13th April 2008 10:50 PM
Vita Kali Ndani Ya Chadema Mtoto wa Mkulima Jukwaa la Siasa 182 17th October 2007 11:34 AM

Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako!


All times are GMT +3. The time now is 07:03 PM.

Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com