Msaada kuhusu proceedures za mimba - JamiiForums |The Home of Great Thinkers

Go Back   JamiiForums |The Home of Great Thinkers > Education, Science & Technology Forums > JF Doctor


JF Doctor We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kila binadamu ni mgonjwa, suluhu ya tatizo lako yaweza kupatikana kwa kuuanika ugonjwa. Karibu


Reply
 
LinkBack Thread Tools Display Modes
Old 17th June 2009, 07:13 PM   #1
Msaada kuhusu proceedures za mimba
Penny Penny is online now 17th June 2009, 07:13 PM

Za leo wandugu wapendwa,

Jamani napenda kutoa shukrani kwa wana JF wote wa umoja wenu katika maswa mbalimbali. Leo ningependa kupewa all the proceedures(vyakula, uvaaji n.k) za mama mjamzito kuanzia mwezi wa kwanza mpaka wa mwisho. Mwenye huo ujauzito ni mimi mwenyewe baada ya kupata mafunzo mazuri kupitia hapa JF. Asanteni sana matunda yenu yameonekana. Karibuni sana wandugu katika hili, asanteni.

 
Penny's Avatar
Penny
JF Senior Expert Member
Points: 174,672, Level: 100 Points: 174,672, Level: 100 Points: 174,672, Level: 100
Activity: 2% Activity: 2% Activity: 2%
Join Date: Wed Sep 2008
Posts: 524
Thanks: 190
Thanked 28 Times in 22 Posts
Views: 763
Reply With Quote
  #2  
Old 17th June 2009, 10:44 PM
Mganga wa Jadi Mganga wa Jadi is offline
Mganga wa Jadi 4u
Senior Member
Points: 84,527, Level: 100 Points: 84,527, Level: 100 Points: 84,527, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Wed Mar 2008
Location: Maneromango
Posts: 87
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 23
Mganga wa Jadi will become famous soon enoughMganga wa Jadi will become famous soon enoughMganga wa Jadi will become famous soon enoughMganga wa Jadi will become famous soon enoughMganga wa Jadi will become famous soon enoughMganga wa Jadi will become famous soon enoughMganga wa Jadi will become famous soon enoughMganga wa Jadi will become famous soon enough
Talking Re: Msaada wa khs proceedures za mimba

Penny hongera sana kwa kuwa mama mtarajiwa, Hiyo ni hatua muhimu sana kwenye maisha yako na ni vizuri kwa kuwa inaonesha umejiandaa kimwili na kiakili. Ni vizuri pia kama mwenzi wako pia akawa karibu na wewe kipindi hiki muhimu cha maisha yenu kama wazazi watarajiwa.
Kwa kawaida kipindi cha ujauzito kimegawanywa katika makundi matatu ya takriban miezi mitatu kila kundi. Miezi mitatu ya kwanza ni kipindi muhimu kuliko vyote kwa sababu ndo viungo vya mtoto vinaundwa na vipindi vingine ni ukuaji wa kawaida. Utumiaji wa dawa na vyakula vyenye kemikali ambazo zinaathiri mgawanyiko wa chembechembe za mwili ( cell division) haitakiwi kabisa kwa sababu zaweza kuharibu maumbile ya kiumbe au hata kuharibu mimba. Ni vizuri kupata maelekezo ya daktari kabla ya kutumia aina yoyote ya dawa.
Kwa upande wa vyakula ni vizuri kutumia chakula bora ( balanced diet) ni muhimu kwa ukuajia wa mtoto na kwa afya yako pia.
Vyakula vinavyoongeza damu ni muhimu sana matunda na mboga za majani, ni muhimu pia kunywa maji kwa wingi.
Ukifikisha miezi mitano ya ujauzito anza clinic ya wajawazito kwenye hospitali au kituo karibu nawe.
mambo muhimu ya kuzingatia:
Damu au maji kutoka ukeni
mtoto kupunguza kucheza
maumivu makali ya tumbo
Homa
Kuvimba miguu
Kuongezeka uzito kwa kasi sana ( > 5kg per month)
etc..........
Uwaone wataalamu mapema.
Otherwise kwa niaba ya wana JF nakutakia miezi tisa yenye utulivu na kila la kheri kwa kipindi chote cha ujauzito wako.
regards
Reply With Quote
  #3  
Old 18th June 2009, 08:33 AM
Kifimbocheza Kifimbocheza is offline
Kifimbocheza has no status.
Senior Member
Points: 72,170, Level: 100 Points: 72,170, Level: 100 Points: 72,170, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Thu Aug 2008
Posts: 181
Thanks: 0
Thanked 7 Times in 6 Posts
Rep Power: 22
Kifimbocheza will become famous soon enoughKifimbocheza will become famous soon enoughKifimbocheza will become famous soon enoughKifimbocheza will become famous soon enoughKifimbocheza will become famous soon enoughKifimbocheza will become famous soon enoughKifimbocheza will become famous soon enoughKifimbocheza will become famous soon enough
Default Re: Msaada wa khs proceedures za mimba

Penny

Hongera kwa kuwa Mama Mtarajiwa.
Reply With Quote
  #4  
Old 18th June 2009, 09:33 AM
Sweet Mary Sweet Mary is offline
Sweet Mary has no status.
Junior Member
Points: 52,972, Level: 100 Points: 52,972, Level: 100 Points: 52,972, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Wed Jun 2009
Location: Kigoma
Posts: 3
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 0
Sweet Mary will become famous soon enoughSweet Mary will become famous soon enoughSweet Mary will become famous soon enoughSweet Mary will become famous soon enoughSweet Mary will become famous soon enoughSweet Mary will become famous soon enoughSweet Mary will become famous soon enoughSweet Mary will become famous soon enough
Send a message via Yahoo to Sweet Mary
Default Re: Msaada wa khs proceedures za mimba

Penny, Hongera sana mama.
Reply With Quote
  #5  
Old 18th June 2009, 09:37 AM
REOLASTON REOLASTON is offline
REOLASTON has no status.
Senior Member
Points: 64,544, Level: 100 Points: 64,544, Level: 100 Points: 64,544, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Tue Feb 2009
Posts: 71
Thanks: 0
Thanked 1 Time in 1 Post
Rep Power: 22
REOLASTON will become famous soon enoughREOLASTON will become famous soon enoughREOLASTON will become famous soon enoughREOLASTON will become famous soon enoughREOLASTON will become famous soon enoughREOLASTON will become famous soon enoughREOLASTON will become famous soon enoughREOLASTON will become famous soon enough
Default Re: Msaada wa khs proceedures za mimba

Penny hongera sana. uashauri aliokupa M/Jadi ni mzuri na cha kuongezea ule samaki kwa wingi na usifanye kazi nzito
Reply With Quote
  #6  
Old 18th June 2009, 10:42 AM
Akili Unazo!'s Avatar
Akili Unazo! Akili Unazo! is offline
Akili Unazo! Kichwangum
JF Premium Member
Points: 324,263, Level: 100 Points: 324,263, Level: 100 Points: 324,263, Level: 100
Activity: 3% Activity: 3% Activity: 3%
 
Join Date: Wed Feb 2009
Location: Tanzania
Posts: 522
Thanks: 295
Thanked 69 Times in 45 Posts
Rep Power: 23
Akili Unazo! will become famous soon enoughAkili Unazo! will become famous soon enoughAkili Unazo! will become famous soon enoughAkili Unazo! will become famous soon enoughAkili Unazo! will become famous soon enoughAkili Unazo! will become famous soon enoughAkili Unazo! will become famous soon enoughAkili Unazo! will become famous soon enough
Default Re: Msaada wa khs proceedures za mimba

Quote:
View Post
Penny hongera sana kwa kuwa mama mtarajiwa, Hiyo ni hatua muhimu sana kwenye maisha yako na ni vizuri kwa kuwa inaonesha umejiandaa kimwili na kiakili. Ni vizuri pia kama mwenzi wako pia akawa karibu na wewe kipindi hiki muhimu cha maisha yenu kama wazazi watarajiwa.
Kwa kawaida kipindi cha ujauzito kimegawanywa katika makundi matatu ya takriban miezi mitatu kila kundi. Miezi mitatu ya kwanza ni kipindi muhimu kuliko vyote kwa sababu ndo viungo vya mtoto vinaundwa na vipindi vingine ni ukuaji wa kawaida. Utumiaji wa dawa na vyakula vyenye kemikali ambazo zinaathiri mgawanyiko wa chembechembe za mwili ( cell division) haitakiwi kabisa kwa sababu zaweza kuharibu maumbile ya kiumbe au hata kuharibu mimba. Ni vizuri kupata maelekezo ya daktari kabla ya kutumia aina yoyote ya dawa.
Kwa upande wa vyakula ni vizuri kutumia chakula bora ( balanced diet) ni muhimu kwa ukuajia wa mtoto na kwa afya yako pia.
Vyakula vinavyoongeza damu ni muhimu sana matunda na mboga za majani, ni muhimu pia kunywa maji kwa wingi.
Ukifikisha miezi mitano ya ujauzito anza clinic ya wajawazito kwenye hospitali au kituo karibu nawe.
mambo muhimu ya kuzingatia:
Damu au maji kutoka ukeni
mtoto kupunguza kucheza
maumivu makali ya tumbo
Homa
Kuvimba miguu
Kuongezeka uzito kwa kasi sana ( > 5kg per month)
etc..........
Uwaone wataalamu mapema.
Otherwise kwa niaba ya wana JF nakutakia miezi tisa yenye utulivu na kila la kheri kwa kipindi chote cha ujauzito wako.
regards
Asante mganga wa jadi kwa ushauri mzuri.

Kwa kuongezea tu fanya mazoezi ya kutembea kila siku hii itasaidia kupunguza uvimbe wa miguu na kuwa na nguvu mungu akikujalia kufika siku husika ya kupush.

Be good woman hapo ndo sehemu pa kumshukuru mungu kwa kuweza kuhakikishiwa uzima wa kizazi chako.Kama mnyaji wa bia tumia pia Guness bia walau chupa moja kwa wiki inasaidia sana kuongeza damu kwa wingi ila ina alcohol content 7.5.Nazungumzia hivyo kwa kuwa mke wangu naye amepitia hatua hizo na sasa tuna mtoto wa kiume ambaye alizaliwa akiwa na kg 5. one week ago.
God bless you Penny.
Reply With Quote
  #7  
Old 18th June 2009, 10:46 AM
Akili Unazo!'s Avatar
Akili Unazo! Akili Unazo! is offline
Akili Unazo! Kichwangum
JF Premium Member
Points: 324,263, Level: 100 Points: 324,263, Level: 100 Points: 324,263, Level: 100
Activity: 3% Activity: 3% Activity: 3%
 
Join Date: Wed Feb 2009
Location: Tanzania
Posts: 522
Thanks: 295
Thanked 69 Times in 45 Posts
Rep Power: 23
Akili Unazo! will become famous soon enoughAkili Unazo! will become famous soon enoughAkili Unazo! will become famous soon enoughAkili Unazo! will become famous soon enoughAkili Unazo! will become famous soon enoughAkili Unazo! will become famous soon enoughAkili Unazo! will become famous soon enoughAkili Unazo! will become famous soon enough
Default Re: Msaada wa khs proceedures za mimba

Quote:
View Post
Penny hongera sana. uashauri aliokupa M/Jadi ni mzuri na cha kuongezea ule samaki kwa wingi na usifanye kazi nzito

Kutofanya kazi nzito inategemeana na tabia za mimba.

Reolaston.Kila mama mjamzito huwa anabehave tofauti kuna mwingine kuanzia day one mpaka mwisho ni mchapa kazi hivyo inategemeana na aina ya kazi uisemayo kama ni ya kutumia akili sana au uzito wa ukubwa (kgs tani)

Mke wangu kuanzia day one mpaka mwisho alikuwa akifanya kazi na hakupa bed rest hata moja na wala hajawahi kutapika na uchungu umeaupatia kazini hivyo inategemana kwakweli siyo uniform kwa kila mtu.

Nawasilisha.
Reply With Quote
  #8  
Old 18th June 2009, 04:23 PM
Penny's Avatar
Penny Penny is online now
Penny mutoto ya mujini
JF Senior Expert Member
Points: 174,672, Level: 100 Points: 174,672, Level: 100 Points: 174,672, Level: 100
Activity: 2% Activity: 2% Activity: 2%
 
Join Date: Wed Sep 2008
Posts: 524
Thanks: 190
Thanked 28 Times in 22 Posts
Rep Power: 23
Penny will become famous soon enoughPenny will become famous soon enoughPenny will become famous soon enoughPenny will become famous soon enoughPenny will become famous soon enoughPenny will become famous soon enoughPenny will become famous soon enoughPenny will become famous soon enough
Default Re: Msaada wa khs proceedures za mimba

Jamani nashukuruni sana tena sana. Simnaujua tena ukiwa tena mbali na wazazi inabidi mtu uulize mambo kwa wazoefu. Yani kwa kweli nimejisikia kama niko nyumbani kweli. Umoja wa JF uendelee hivi hivi jamani. Nitayafanyia kazi maushauri yenu ya nguvu. Mungu awabarikini sana tena sana.
Reply With Quote
  #9  
Old 18th June 2009, 05:05 PM
sumji sumji is offline
sumji has no status.
Member
Points: 60,999, Level: 100 Points: 60,999, Level: 100 Points: 60,999, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
 
Join Date: Thu Jun 2009
Posts: 26
Thanks: 2
Thanked 1 Time in 1 Post
Rep Power: 0
sumji will become famous soon enoughsumji will become famous soon enoughsumji will become famous soon enoughsumji will become famous soon enoughsumji will become famous soon enoughsumji will become famous soon enoughsumji will become famous soon enoughsumji will become famous soon enough
Default Re: Msaada wa khs proceedures za mimba

Quote:
View Post
Penny hongera sana kwa kuwa mama mtarajiwa, Hiyo ni hatua muhimu sana kwenye maisha yako na ni vizuri kwa kuwa inaonesha umejiandaa kimwili na kiakili. Ni vizuri pia kama mwenzi wako pia akawa karibu na wewe kipindi hiki muhimu cha maisha yenu kama wazazi watarajiwa.
Kwa kawaida kipindi cha ujauzito kimegawanywa katika makundi matatu ya takriban miezi mitatu kila kundi. Miezi mitatu ya kwanza ni kipindi muhimu kuliko vyote kwa sababu ndo viungo vya mtoto vinaundwa na vipindi vingine ni ukuaji wa kawaida. Utumiaji wa dawa na vyakula vyenye kemikali ambazo zinaathiri mgawanyiko wa chembechembe za mwili ( cell division) haitakiwi kabisa kwa sababu zaweza kuharibu maumbile ya kiumbe au hata kuharibu mimba. Ni vizuri kupata maelekezo ya daktari kabla ya kutumia aina yoyote ya dawa.
Kwa upande wa vyakula ni vizuri kutumia chakula bora ( balanced diet) ni muhimu kwa ukuajia wa mtoto na kwa afya yako pia.
Vyakula vinavyoongeza damu ni muhimu sana matunda na mboga za majani, ni muhimu pia kunywa maji kwa wingi.
Ukifikisha miezi mitano ya ujauzito anza clinic ya wajawazito kwenye hospitali au kituo karibu nawe.
mambo muhimu ya kuzingatia:
Damu au maji kutoka ukeni
mtoto kupunguza kucheza
maumivu makali ya tumbo
Homa
Kuvimba miguu
Kuongezeka uzito kwa kasi sana ( > 5kg per month)
etc..........
Uwaone wataalamu mapema.
Otherwise kwa niaba ya wana JF nakutakia miezi tisa yenye utulivu na kila la kheri kwa kipindi chote cha ujauzito wako.
regards
Hongera sana Penny, ushauri wa mzee wa jadi ni sahihi kabisa! ila nataka kuongezea jambo kidogo maana namimi nimemaliza ngwe hii miezi sita iliyopita. Kuhusu kuhudhuria kriniki, siku hizi kama huna tatizo lolote wanashauri uhudhurie kriniki mara nne au tano tu. Inashauriwa katika kila kundi kama alivyotanabaisha Mganga wa jadi angalu mara moja. kwahiyo nashauri angalau uanze Kriniki miezi mitatu (Kundi la kwanza) baada ya hapo daktari ndo atakwambia urudi lini, kufuatana na utakavyoamabiwa. Lakini pia chagua kriniki nzuri sio ili mradi kriniki. Na pia angalia hakikisha kila kipimo kilichooneshwa katika kadi ya kriniki unakifuatilia na kujua kinamaanisha nini. Wakati mwingine nesi anaweza akakupima BP akairekodi bila kukuambia kama iko juu, chini au kawaida na vipimo vingine kama mkojo, kiasi cha damu nk ni muhimu kupima katika kila hudhurio la kriniki. Nakutakia kila laheri Mungu akulinde wewe na mtoto ili mwisho wa yote tabasamu lako lizidi hilo ulilonalo sasa.
Reply With Quote
  #10  
Old 18th June 2009, 10:03 PM
Visenti's Avatar
Visenti Visenti is offline
Visenti mafuta ya ndege
Senior Member
Points: 72,084, Level: 100 Points: 72,084, Level: 100 Points: 72,084, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Thu Jul 2008
Posts: 140
Thanks: 14
Thanked 4 Times in 3 Posts
Rep Power: 22
Visenti will become famous soon enoughVisenti will become famous soon enoughVisenti will become famous soon enoughVisenti will become famous soon enoughVisenti will become famous soon enoughVisenti will become famous soon enoughVisenti will become famous soon enoughVisenti will become famous soon enough
Default Re: Msaada kuhusu proceedures za mimba

Wana JF hapo juu wamekupa ushauri mzuri wa ujumla kuhusu matunzo ya mimba, ushauri zaidi utaupata kiliniki kulingana hali yako, jitahidi kuuliza maswali bila kuogopa, kwa kuwa ushauri mwingine utakuwa specific kwako kulingana na watakavyokupima. Pia hakikisha vipimo vifuatavyo vimefanyika- Uwingi wa damu (Hb), kundi la damu na rizazi (BG&Rh), Kaswende (VDRL) na HIV. KUMBUKA HAKUNA MIMBA ILIYO SALAMA MPAKA UMEJIFUNGUA SALAMA, Nakutakia safari njema kuelekea LABOUR ROOM.
__________________
"Speed in a wrong direction is irrelevant" - M.Ghandi
Reply With Quote
Reply

Bookmarks

Tags
kuhusu, mimba, msaada, proceedures


Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
 
Thread Tools
Display Modes

Posting Rules
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts

BB code is On
Smilies are On
[IMG] code is On
HTML code is Off
Trackbacks are Off
Pingbacks are Off
Refbacks are On


Similar Threads
Thread Thread Starter Forum Replies Last Post
Kazi ya kuubomoa upinzani ndiyo imeanza ama inatekelezwa? Mugishagwe Jukwaa la Siasa 12 2nd February 2010 10:21 AM
ndivyo wanaume wawazavyo kuhusu sex mr impossible Mahusiano, mapenzi, urafiki 8 8th June 2009 10:49 PM
Kwanini watanzania wanamlaumu mwalimu Nyerere kwa kukosa elimu? popo Jukwaa la Siasa 304 6th April 2009 01:23 AM
Hotuba Ya Mheshimiwa Zitto Zuberi Kabwe Kuhusu Miundombinu Bungeni Mpaka Kieleweke Jukwaa la Siasa 39 18th December 2008 12:15 AM

Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako!


All times are GMT +3. The time now is 10:27 PM.

Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com