Msaada kuhusu proceedures za mimba - Page 2 - JamiiForums |The Home of Great Thinkers

Go Back   JamiiForums |The Home of Great Thinkers > Education, Science & Technology Forums > JF Doctor


JF Doctor We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kila binadamu ni mgonjwa, suluhu ya tatizo lako yaweza kupatikana kwa kuuanika ugonjwa. Karibu


Reply
 
LinkBack Thread Tools Display Modes
Old 17th June 2009, 07:13 PM  
Msaada kuhusu proceedures za mimba
Penny Penny is offline 17th June 2009, 07:13 PM

Za leo wandugu wapendwa,

Jamani napenda kutoa shukrani kwa wana JF wote wa umoja wenu katika maswa mbalimbali. Leo ningependa kupewa all the proceedures(vyakula, uvaaji n.k) za mama mjamzito kuanzia mwezi wa kwanza mpaka wa mwisho. Mwenye huo ujauzito ni mimi mwenyewe baada ya kupata mafunzo mazuri kupitia hapa JF. Asanteni sana matunda yenu yameonekana. Karibuni sana wandugu katika hili, asanteni.

 
Penny's Avatar
Penny
JF Senior Expert Member
Points: 174,854, Level: 100 Points: 174,854, Level: 100 Points: 174,854, Level: 100
Activity: 2% Activity: 2% Activity: 2%
Join Date: Wed Sep 2008
Posts: 525
Thanks: 190
Thanked 28 Times in 22 Posts
Views: 764
Reply With Quote
  #11  
Old 18th June 2009, 10:08 PM
Masanilo's Avatar
Masanilo Masanilo is offline
Masanilo is alcoholic
JF Premium Member
Points: 826,872, Level: 100 Points: 826,872, Level: 100 Points: 826,872, Level: 100
Activity: 46% Activity: 46% Activity: 46%
 
Join Date: Tue Oct 2007
Location: Swat valley
Posts: 7,059
Thanks: 1,055
Thanked 1,106 Times in 724 Posts
Rep Power: 77
Masanilo is a jewel in the roughMasanilo is a jewel in the roughMasanilo is a jewel in the roughMasanilo is a jewel in the roughMasanilo is a jewel in the roughMasanilo is a jewel in the roughMasanilo is a jewel in the roughMasanilo is a jewel in the roughMasanilo is a jewel in the roughMasanilo is a jewel in the roughMasanilo is a jewel in the rough
Default Re: Msaada kuhusu proceedures za mimba

Tafadhali usiache kufanya mapenzi mnaweza kuendelea hata siku moja kabla ya kujifungua, hii huweka strong bond kati ya mtoto na babayake tangia akiwa tumboni! Pia hii husaidia kujifungua salama!!! Mengine wajuzi wameisha yaweka hadharani!
__________________
To be able to do everything by knowing nothing is dangerous

E-mail:
masanilo@jamiiforums.com
Reply With Quote
  #12  
Old 19th June 2009, 03:47 PM
dmaujanja1 dmaujanja1 is offline
dmaujanja1 Is Ur Buddy
Senior Member
Points: 75,569, Level: 100 Points: 75,569, Level: 100 Points: 75,569, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Mon Nov 2008
Posts: 109
Thanks: 57
Thanked 5 Times in 3 Posts
Rep Power: 22
dmaujanja1 will become famous soon enoughdmaujanja1 will become famous soon enoughdmaujanja1 will become famous soon enoughdmaujanja1 will become famous soon enoughdmaujanja1 will become famous soon enoughdmaujanja1 will become famous soon enoughdmaujanja1 will become famous soon enoughdmaujanja1 will become famous soon enough
Default Re: Msaada kuhusu proceedures za mimba

KWANZA-Penny hongera sana dada Mungu akupiganie vya kutosha ktk kipindi chote cha ujauzito wako Siha njema akujaalie na Shari akuepushie.
PILI-Mganga wa Jadi vyakula vya kuongeza damu nivip namboa na mifano plz.
Reply With Quote
  #13  
Old 19th June 2009, 04:06 PM
WomanOfSubstance's Avatar
WomanOfSubstance WomanOfSubstance is offline
WomanOfSubstance is counting her blessings
JF Premium Member
Points: 797,828, Level: 100 Points: 797,828, Level: 100 Points: 797,828, Level: 100
Activity: 23% Activity: 23% Activity: 23%
 
Join Date: Fri May 2008
Posts: 3,655
Thanks: 416
Thanked 681 Times in 339 Posts
Rep Power: 29
WomanOfSubstance will become famous soon enoughWomanOfSubstance will become famous soon enoughWomanOfSubstance will become famous soon enoughWomanOfSubstance will become famous soon enoughWomanOfSubstance will become famous soon enoughWomanOfSubstance will become famous soon enoughWomanOfSubstance will become famous soon enoughWomanOfSubstance will become famous soon enough
Default Re: Msaada kuhusu proceedures za mimba

Kuna kitu naona kimesahaulika:
Penny unatakiwa as much as possible uwe na mawazo mazuri kila mara, acha kukasirika ovyo na kisirani pale inapowezekana kama mimba haikusumbui. Kuna vijitabia vya watoto tunakuwa tumewapatia sis wenyewe katika process ya kubeba mimba.Uwe na raha na pia kumsemesha mwano aliye tumboni - hasa mweleze mnavyompenda n akumtarajia!

Sijui mwenzio mliyoshirikiana katika uumbaji naye anashiriki vipi katika safari yako kubeba tumbo miezi tisa.Na yeye mpe nafasi - ashike tumbo lako, asikilize mateke pale mtoto atakavyoanza kucheza tumboni, akusindikize clinic, mpe card yako ya clinic asome na mweleweshe kinachoendelea.

Kuzaa kwa mwanaume siyo kupanda mbegu tu, afuatilie hadi mazao yanapotokea.
Good luck and enjoy the process of motherhood.
__________________
Do not dwell in the past, do not dream of the future, concentrate the mind on the present moment. -- Buddha
Reply With Quote
  #14  
Old 19th June 2009, 08:07 PM
Mganga wa Jadi Mganga wa Jadi is offline
Mganga wa Jadi 4u
Senior Member
Points: 84,527, Level: 100 Points: 84,527, Level: 100 Points: 84,527, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Wed Mar 2008
Location: Maneromango
Posts: 87
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 23
Mganga wa Jadi will become famous soon enoughMganga wa Jadi will become famous soon enoughMganga wa Jadi will become famous soon enoughMganga wa Jadi will become famous soon enoughMganga wa Jadi will become famous soon enoughMganga wa Jadi will become famous soon enoughMganga wa Jadi will become famous soon enoughMganga wa Jadi will become famous soon enough
Default Re: Msaada kuhusu proceedures za mimba

Quote:
View Post
KWANZA-Penny hongera sana dada Mungu akupiganie vya kutosha ktk kipindi chote cha ujauzito wako Siha njema akujaalie na Shari akuepushie.
PILI-Mganga wa Jadi vyakula vya kuongeza damu nivip namboa na mifano plz[/I][/I][/I].

Vyakula vinavyoongeza damu ni pamoja na mboga za majani zilizopikwa vizuri, matunda, nyama (red meat), Mayai na samaki pia unywaji wa maji na juice fresh ni muhimu.
Reply With Quote
  #15  
Old 23rd June 2009, 01:16 PM
Nameless- Nameless- is offline
Nameless- has no status.
Member
Points: 65,978, Level: 100 Points: 65,978, Level: 100 Points: 65,978, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
 
Join Date: Thu May 2009
Posts: 26
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 0
Nameless- will become famous soon enoughNameless- will become famous soon enoughNameless- will become famous soon enoughNameless- will become famous soon enoughNameless- will become famous soon enoughNameless- will become famous soon enoughNameless- will become famous soon enoughNameless- will become famous soon enough
Default Re: Msaada kuhusu proceedures za mimba

Hongera mdada Penny! Kama alivyosema WOS kuhusu kujiepusha na hasira, hiyo ni moja ya sehemu ya usafi (moyoni), na kuwa na mawazo mazuri muda wote. Utaifurahia mimba na mtoto wako. Kwa kuongezea, kumbuka kuwa msafi na mtanashati mwilini pia. Kama ni mvaaji suruali, zipo zinazomfaa mama mjamzito, na vitop vinavyofaa kabisa. Kila la heri!
Reply With Quote
  #16  
Old 23rd June 2009, 02:52 PM
Dina Dina is offline
Dina has no status.
Senior Member
Points: 69,679, Level: 100 Points: 69,679, Level: 100 Points: 69,679, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
 
Join Date: Thu Sep 2008
Posts: 132
Thanks: 23
Thanked 17 Times in 14 Posts
Rep Power: 22
Dina will become famous soon enoughDina will become famous soon enoughDina will become famous soon enoughDina will become famous soon enoughDina will become famous soon enoughDina will become famous soon enoughDina will become famous soon enoughDina will become famous soon enough
Default Re: Msaada kuhusu proceedures za mimba

Quote:
View Post
Kuna kitu naona kimesahaulika:
Penny unatakiwa as much as possible uwe na mawazo mazuri kila mara, acha kukasirika ovyo na kisirani pale inapowezekana kama mimba haikusumbui. Kuna vijitabia vya watoto tunakuwa tumewapatia sis wenyewe katika process ya kubeba mimba.Uwe na raha na pia kumsemesha mwano aliye tumboni - hasa mweleze mnavyompenda n akumtarajia!

Sijui mwenzio mliyoshirikiana katika uumbaji naye anashiriki vipi katika safari yako kubeba tumbo miezi tisa.Na yeye mpe nafasi - ashike tumbo lako, asikilize mateke pale mtoto atakavyoanza kucheza tumboni, akusindikize clinic, mpe card yako ya clinic asome na mweleweshe kinachoendelea.

Kuzaa kwa mwanaume siyo kupanda mbegu tu, afuatilie hadi mazao yanapotokea.
Good luck and enjoy the process of motherhood.
WoS, ndugu yangu, umpate huyo wa kukusindikiza..manake akina baba...whyuuuuu...kazi ipo.
Reply With Quote
Reply

Bookmarks

Tags
kuhusu, mimba, msaada, proceedures


Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
 
Thread Tools
Display Modes

Posting Rules
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts

BB code is On
Smilies are On
[IMG] code is On
HTML code is Off
Trackbacks are Off
Pingbacks are Off
Refbacks are On


Similar Threads
Thread Thread Starter Forum Replies Last Post
Kazi ya kuubomoa upinzani ndiyo imeanza ama inatekelezwa? Mugishagwe Jukwaa la Siasa 12 2nd February 2010 10:21 AM
ndivyo wanaume wawazavyo kuhusu sex mr impossible Mahusiano, mapenzi, urafiki 8 8th June 2009 10:49 PM
Kwanini watanzania wanamlaumu mwalimu Nyerere kwa kukosa elimu? popo Jukwaa la Siasa 304 6th April 2009 01:23 AM
Hotuba Ya Mheshimiwa Zitto Zuberi Kabwe Kuhusu Miundombinu Bungeni Mpaka Kieleweke Jukwaa la Siasa 39 18th December 2008 12:15 AM

Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako!


All times are GMT +3. The time now is 04:07 PM.

Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com