Naombeni msaada.kifua kinapata moto/kinauma kwa muda fulani.pia nakuwa na banja sana labda kila baada saa2 Au3.naomba kujua tatizo nini? Au ndio TB?
Naombeni msaada.kifua kinapata moto/kinauma kwa muda fulani.pia nakuwa na banja sana labda kila baada saa2 Au3.naomba kujua tatizo nini? Au ndio TB?
Ni vizuri ukaenda hospitali. Inawezekana ni mazingira ya vumbi yamesababisha au kitu kingine.
Labda ngoma hiyo!!!
Follow Us Here