During sex ktk maeneo ya msichana wangu panakuwa pakavu sana hadi kero hata nikimchezea sana, je ni kweli kuna mafuta yanauzwa kwa ajil ya kulainisha? Msaada pliz
During sex ktk maeneo ya msichana wangu panakuwa pakavu sana hadi kero hata nikimchezea sana, je ni kweli kuna mafuta yanauzwa kwa ajil ya kulainisha? Msaada pliz
yapo mkuu,yanaitwa KY kaka...kazi kwako
Usijekuta unataka kuruka ukuta!!!
Miili ya waliokufa katika ajali ya Meli ya Spice Islander ipimwe DNA ili kutambua Ndugu zao - Dk. Jakaya .M. Kikwete,, September 2011.
Kwa swali hili nahisi hujui hata ufanyalo. Hebu google jinsi ya ku-perform kwanza Kabla hujaachwa
I can be changed by what happens to me. But I refuse to be reduced by it-Maya Angelou
Kwanza kabisa inabidi utazame kama muda wa love play umemtosheleza, wanaume wengi tuko wabinafsi sana. Asumani akisha kasirika tu, tunaamini kuwa girls wetu wako tayari! Siyo!!!!!!!!!!!!!! Hilo ni la kwanza, pili mazingira mnayofanyia, kuna usalama, privacy ya kutosha n.k Kwa wanawake ni kitu cha muhimu sana but for men popote haa kichochoroni anaridhika tu................Tatu,Ndena pharmacy ulizia K_Y Jelly. Lakini inabidi umshirikishe mpenzi wako. Si wanawake wote wanaopenda kutumia aina hiyo ya kilainishi. Inatakiwa fikra zake ziridhike kutumia mafuta hayo.
thax mkuu
Durex na vaginal lubricant zingine (supermarket), KY (chemist) , mate (for quickies)... hakikisha lubricant unayo tumia ni water-based. Usitumii ya mafuta, Condom itabust kabla hujamaliza shughuli.
I am not better than anyone, but nobody is better than me (Jose Mourinho)
BAK, unaniponza sasa, imenilazimu kudance.
i love this song, nashangaa Kwenye old skul haupigwi!
Thanks best
I can be changed by what happens to me. But I refuse to be reduced by it-Maya Angelou
Let your graceful words fly out into the World, carried on winds of courage, imagination and joy. Let them inspire others to step into action
Nimecheza na google kidogo. Nimekuta kitu wanaita Frigid.
Mwanamke akiwa frigid unakuwa una mwili wake tu, lakini mawazo na moyo wake vipo kwingine;
yaani kichwani mwake anawaza mambo mengine kwa hiyo hayupo nawe kimawazo.
KY utaitumia sawa, lakini si tiba ya kudumu. Tiba ni kumfanya akutake kama walivyosema wengine.
Unamfanyaje akutake?... hapo sasa itabidi tuanze tu thread nyingine.
2mia girisi kaka injini kavu
Follow Us Here