Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Naomba msaada khari tete wadau.

    Report Post
    Results 1 to 2 of 2
    1. #1
      kazi2000's Avatar
      Member Array
      Join Date : 1st January 2012
      Location : Dodoma
      Posts : 60
      Rep Power : 385
      Likes Received
      10
      Likes Given
      4

      Default Naomba msaada khari tete wadau.

      Jamani bila shaka mmeamka salama,na wale ambao wameamka wanasumbuliwa na magonjwa mbali mbali nawaombea kwa mungu awaponye haraka.ndugu zangu naombeni msaada wa dawa ya kuacha pombe maana nahis kaka yangu soon atakuwa kichaa,au atafukuzwa kazi au kupoteza maisha.

    2. Miaka 50

    3. #2
      kvelia's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 24th June 2009
      Location : Canada
      Posts : 238
      Rep Power : 552
      Likes Received
      41
      Likes Given
      112

      Default Re: Naomba msaada khari tete wadau.

      Ndugu yangu pole sana kwa hiyo khali. Angalia sana spelling za maneno watu watashindwa kuchangia kwa sababu hiyo (khari-hali). Naamini kwa wale wenye utaalam wa aina tofauti tofauti watasema japo najua hili suala linahitaji sana hekima ya mtu binafsi hata kama ana aleji. Ushauri wako kwake ni mzuri sana.

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...